KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI, VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA 2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 เม.ย. 2024
  • KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI ILIYOIMBWA NA VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA APRIL 21 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE DSM
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    TH-cam: / @babdeomiladu

ความคิดเห็น • 159

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 2 หลายเดือนก่อน +5

    Vijana mashaallah, Allah awaongoze kwa hekma zenu pia Allah awalinde❤❤

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 หลายเดือนก่อน +2

    Watu na sitara zetu, tumetulia, na tunapendeza,tutamsimu,tutamswalia,swala milioni na matirioni🙏 mtume wetu s,a,w popote🙏

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 28 วันที่ผ่านมา +1

    mashaAllah kaswida nzuri sana inafurahisha na kuhuzunisha ❤ alhamdulilah maneno mazuri sana

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 15 วันที่ผ่านมา

    mashaAllah hongera sana kaswida nzuri sana

  • @Ismailhan33Khamis-rs9eo
    @Ismailhan33Khamis-rs9eo หลายเดือนก่อน +1

    mama ni mama hakun kam kam love youuuu mamaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AnifaMaulidi-lk5ho
    @AnifaMaulidi-lk5ho หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah Mungu awabariki❤❤❤

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah🙏wtt wetu, vipenzi vya mtume s,a,w🙏 mungu awabifadhi,

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana vijana wetu

  • @SirajuKhalidi-sz6gu
    @SirajuKhalidi-sz6gu 24 วันที่ผ่านมา

    Masha Allah fanyahima mtoto umeugusa moyo wangu Allah akuzidishie kipaji chak kizid kupanda

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 2 หลายเดือนก่อน +2

    Maashalla Mungu awazidishie watoto wapo vzr hata kama kuna watu hawajapendezewa kwa roho zao mbaya

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman1427 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah kaswida nzur na wanasaut nzur

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa976 14 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah watoto wetu wazidi kubarikiwa

  • @habibaamiri7740
    @habibaamiri7740 2 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah qasida nzuri

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah mama atabaki kua mama tu mama shkamooo

  • @user-wc9vd7dg9o
    @user-wc9vd7dg9o 19 วันที่ผ่านมา

    Maradhi ya kimajini huyu Dr
    Mkali wao Pemba anakutibu hatajam upo mbali pesa ndogo tuu😊

  • @shamimumussa3568
    @shamimumussa3568 หลายเดือนก่อน +1

    Masha,Allah

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 28 วันที่ผ่านมา

    Mama apumzike peponi amatuvusha kweli kutoka pabaya alipotuweka wtz kikwete Mungu ambariki mama Mungu atudaidie tena. 2025 Mungu mwenye tuhurumie

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 หลายเดือนก่อน

    Mashallah kaswida ya mama nzuri wamependeza vijana.

  • @GULIELMAS
    @GULIELMAS หลายเดือนก่อน +1

    Mama ni mama

  • @SabraMapande-ul1mj
    @SabraMapande-ul1mj 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kuna watu wajinga, hapa nini kinachowaonesha upotoshaji Wadini, ama mmesikia matusi humu,, acheni ujinga huo, tuachieni qaswida yetu. Maashallwa mmeweza

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 2 หลายเดือนก่อน

      Hata waimba tarab hawana matuc mbna unawatia kundi la moton acha kuzarau wtu au unawez nipa tofaut ya hiii nyimbo na tarab?

  • @medyahmed4529
    @medyahmed4529 2 หลายเดือนก่อน +1

    Masha-Allah wanajua hawa wapewe pongezi yao

  • @iptsamipt7886
    @iptsamipt7886 หลายเดือนก่อน +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ mashallah

  • @SaotmAlohtm
    @SaotmAlohtm หลายเดือนก่อน

    Mashaala Mungu awazidishiye🎉

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 2 หลายเดือนก่อน

    Allhamdullillah mungu akutabalie yaani nimelia🤲✅

  • @ag-rabbitzenj1379
    @ag-rabbitzenj1379 2 หลายเดือนก่อน

    Dahh Mashallaah ❤🎉

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td 2 หลายเดือนก่อน

    mashallah. watoto wako vizuri

  • @ashachanja8087
    @ashachanja8087 2 หลายเดือนก่อน +1

    MashaaAllah

  • @AbdallahOthman-fy1gl
    @AbdallahOthman-fy1gl 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ❤❤

  • @LeilaWilfred-zc7gn
    @LeilaWilfred-zc7gn 2 หลายเดือนก่อน

    Nikikumbuka Ushoga tu'Yarabbi tunusuru watoto wetuu

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah tabarakallah

  • @user-ix7ov5ph7h
    @user-ix7ov5ph7h 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah

  • @shabanikabaraza9255
    @shabanikabaraza9255 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama kwetu nitunda lisilo shuka thamani. Ambae haelewi maneno mazuri kama haya inamaana yeye hana mama alikotoka ni wapi acheni jamani mama ndio kila kitu

  • @LemkiHamadi
    @LemkiHamadi 2 หลายเดือนก่อน

    Maashallah, vijana wako viziri

  • @mabdi108
    @mabdi108 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah. Vijana wametulia

  • @MohamedMohamed-ry6lt
    @MohamedMohamed-ry6lt 2 หลายเดือนก่อน

    I like kwa kweli hivi tunafarajika kuona vijana wanafanya kitu kikubwa watunzeni hao maana mna sauti zote hapo waoooo

  • @muu_hijama_tz
    @muu_hijama_tz 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka tupandishie qaswida ya yule mwamba mweupe hivi ana kiduku kwa mbaali ivi. Anaimba huku ananesa nesa.

  • @uchidahmaster2834
    @uchidahmaster2834 2 หลายเดือนก่อน

    Vittaah 🌹🌹🌹

  • @user-gh8py4og9k
    @user-gh8py4og9k 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaa allah ❤❤

  • @AbdulRazack-cv7ft
    @AbdulRazack-cv7ft หลายเดือนก่อน

    Maasha allah

  • @fatmajuma-ug1pj
    @fatmajuma-ug1pj 2 หลายเดือนก่อน

    mashaallah ilikua burudani❤

  • @salumally663
    @salumally663 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahio sheikh yahya anatoka kariako!!! Hajii acha zako..

  • @TheSeifahmad1
    @TheSeifahmad1 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @OmanOman-ty6ef
    @OmanOman-ty6ef หลายเดือนก่อน

    Mashaallah watt

  • @MirajiAlhajj
    @MirajiAlhajj 2 หลายเดือนก่อน

    Mihdhari nakubali wakinasaadi wako maashaallh jitahidi

  • @RamaMkongwe
    @RamaMkongwe 2 หลายเดือนก่อน

    Allah Awakuze ktk maadili Bora ya Dini

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman1427 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mmung awalinde na hasad

  • @meowzna
    @meowzna 2 หลายเดือนก่อน

    Masha'Allah🙏🌹

  • @abdallahkassim7602
    @abdallahkassim7602 2 หลายเดือนก่อน

    Ma shaa llah

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 26 วันที่ผ่านมา

    Hata Balkis alitawala wanaume hadithi Iko ndani ya Quran. Alikuwa mwanamke. Mamlaka zinatolewa na Mungu.

  • @cutedidah
    @cutedidah 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah. Watoto wetu ......hizo pesa ziwekeni hapo chini .mnawazonga

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 หลายเดือนก่อน

    Swmia jamaa yangu mzanzibari mwenzangu ukimaliza ondoka walqhi ondoka kwasababu km waliweza kumuuwa jamaa yao magufuli hakika hawashindwi kukuuwa nawewe .......au jiudhulu bora walahi inaniuma kuona kashfa chungumzima

  • @ashabakary1462
    @ashabakary1462 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hawa watoto nahisi wanatokea zanzibari kama sjakosea

    • @abalhisan4265
      @abalhisan4265 หลายเดือนก่อน

      Duuh kwamba bara hamna vijana wenye vipaji na wenye sauti nzuri au?

    • @allyzanzibar8983
      @allyzanzibar8983 12 วันที่ผ่านมา

      ​@@abalhisan4265Muonekano wao ndio na Kiswahili chao na wanajua kughani haya mambo ya vswani

  • @jayhassan3906
    @jayhassan3906 2 หลายเดือนก่อน

    Qaswida tam sana

  • @RukiaJuma-nv3fu
    @RukiaJuma-nv3fu 2 หลายเดือนก่อน

    Mabrouk

  • @arebdyjorginho8154
    @arebdyjorginho8154 2 หลายเดือนก่อน

    Mashllh

  • @hatibuathumani3839
    @hatibuathumani3839 2 หลายเดือนก่อน +1

    Maashallah,,, mzuri mnooo👏

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 หลายเดือนก่อน

    Msikae rohoni sie twajua mmemsakama kwakua ni mzanzibari 😭😭😭😭ndomana mnamnyanyasa kupindukia hebu basini inatosha

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani ataondoka kaa kwa dharura yakuziba pengo la hayati maremu magufuli 😭😭😭😭

  • @yearbah1
    @yearbah1 2 หลายเดือนก่อน

    @babdeo twaomba ya mastia....bado sijaona mfano wako habibi

  • @Harunery
    @Harunery 21 วันที่ผ่านมา

    ALLAH awanusuru hawa watt na mambo haya ya haramu

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bora jiudhulu mana niliwahikuona klip m.bara anaonesha kaburi nakusema utakufa tu 😭😭😭

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b หลายเดือนก่อน

      KWANI WW UTABAKIA KTK HII DUNIA?AU MWENZETU PIA IMEANGALIA ANGANI?ACHA MANENO YAKO JE UNAIJUA KESHO YAKO?UNAWEZA UKATANGULIA UKAMWACHA JE UNAIJUA HILO

  • @shabanikabaraza9255
    @shabanikabaraza9255 2 หลายเดือนก่อน

    Koba koba koba kobaa wewe koba allah akulinde huwa kunakaswaida unaimba wallah ujumbe unatufikia.

  • @shabanikabaraza9255
    @shabanikabaraza9255 2 หลายเดือนก่อน

    Unajua kunawatu wenyewe kila kitu hupinga ukiwaangalia wao huwa ni wakorofi sana,Tuachieni burudani zetu hutaki kusikiliza qaswaida acha tuachie mambo yetu wewe endelea kutuibia ndala zetu msikitini na tukikuona utajuta

  • @ContentHouses-po3mh
    @ContentHouses-po3mh 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hamna tofaut na BONGO FROVER hii din tunaipeleka pabaya sana

    • @AbdulwahdMbahu
      @AbdulwahdMbahu 2 หลายเดือนก่อน

      Una teseka ukiwa pahala gani

    • @AlfarouqIslamic
      @AlfarouqIslamic 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe bongo flavour unazisikiliza ila kaswda zinakutia kichefchef

    • @khadijamohamedkibabi3625
      @khadijamohamedkibabi3625 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@AlfarouqIslamicha ha ha a a a Jmn dah 😂😂😂😂

    • @joharithabiti334
      @joharithabiti334 2 หลายเดือนก่อน

      Subhanallah na suti kabisa wamevaa mtihani😢

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

      Sio bongo flavour ni taarabu

  • @Saumuhosseni
    @Saumuhosseni 26 วันที่ผ่านมา

    Mayahudi nyiyi

  • @FATMAMOHAMED-ss4wn
    @FATMAMOHAMED-ss4wn 2 หลายเดือนก่อน

    Kalamu nnasi la yantahi (maneno ya watu hayamaliki hata awara mbe mkundu watasema TU mama piga kazi

  • @abdulhafidh7749
    @abdulhafidh7749 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uchawa kila sekta daah taifa sijui litakua la vizazi vya aina gan baadaae hili

  • @FATMAMOHAMED-ss4wn
    @FATMAMOHAMED-ss4wn 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu mwenyewe anawaruzuku Kila kitu hawamshukuru atashukuriwa Samia kiumbe dhaifu sio rahisi tunakijua kinachowauma ila tulieni kutesa kwa zamu nulitunyanyasa na kutudhulimu siku nyingi Samia piga kazi hai no nyau TU na kelele za mlango hazimfanyi mwenye nyumba akose usingizi

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 26 วันที่ผ่านมา

      Hata Nabii alipigwa mawe, Yesu alipangiwa mipango ya kumuuwa. Huwezi kupendwa na wote.

  • @alawi6796
    @alawi6796 2 หลายเดือนก่อน +2

    Taarabu au kaswida jaman

    • @user-oh7gv8zg5y
      @user-oh7gv8zg5y 2 หลายเดือนก่อน

      Taarabu hii, si kaswida

    • @user-oh7gv8zg5y
      @user-oh7gv8zg5y 2 หลายเดือนก่อน

      Huoni, pia waimbaji wamevaa, suti, wamenyoa viduku,, ndo matatizo ya mashekh WA bidaaaya

    • @AbdulwahdMbahu
      @AbdulwahdMbahu 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-oh7gv8zg5ywew vaa msuli usiteseke

    • @ummuarham6070
      @ummuarham6070 2 หลายเดือนก่อน

      Kiukweli Hiyo mikato ya nywele si sahihi katika deen yetu

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

      Taarab ikhwan swaafa wadogo hawa kutoka Zanzibar

  • @KhaalidiJumaa-yt4lo
    @KhaalidiJumaa-yt4lo 2 หลายเดือนก่อน

    Yaasalaam

  • @aluishabani627
    @aluishabani627 2 หลายเดือนก่อน

    koba nifannani mkubwa twamwaamini lakini nyimbo njiwa aliaaribu pale alipoleta maneno alivyo endelea nayo akunyamaza ikaanza biti akakosana nabiti biti ikawa kivyake navinanda kivyake amewapa tabu sana aache kupaga nakuengeza navitu watu awakuvichukulia mazoezi lakini uwezi kundua kwa ubingwa wake ila ladha ilipungua kwenje nyimbo yanjiwa biti inapendezesha ilekaswida jamani

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 2 หลายเดือนก่อน

    Uki chelewa kufa uta yaona mengi😢😢😢😢😢

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 28 วันที่ผ่านมา

    Muuuuu!

  • @hamidakhamis-ir5qv
    @hamidakhamis-ir5qv 2 หลายเดือนก่อน

    Haki kitabakia kuwa haki na batil itabakia kuwabatil2 kelele za bure kila kitu kiko wazi

  • @user-du9kd9ks3b
    @user-du9kd9ks3b 2 หลายเดือนก่อน

    Acha upumbavu watu wache wastarehe wakifanya wasaudia na vilemba vyai Mbona husemi kwa......!!!

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 2 หลายเดือนก่อน

    Wallahy, vittah

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k 2 หลายเดือนก่อน

    Inanikumbusha sauti ya mariam Hamdun

  • @JokhaSimba
    @JokhaSimba 2 หลายเดือนก่อน

    Yani kuna watu wanatauonekane mgumu kama yeye hapendi atwache tunaopenda wewe unafanya dhambi kibao mbona watu hawakwambii wanaona hiyari yako

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    Bayyat au taarabu babu weye

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 2 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo iyo

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 2 หลายเดือนก่อน

    Safisana

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x 2 หลายเดือนก่อน

    Hii kaswida imesimwa hapa Tanzania au nchigani?

  • @user-yv3qi1yf3j
    @user-yv3qi1yf3j หลายเดือนก่อน

    Taarab

  • @MohamedMohamed-ry6lt
    @MohamedMohamed-ry6lt 2 หลายเดือนก่อน

    Tz yani mna kila kitu mkitaka kumbe

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 หลายเดือนก่อน

    Tusonge mbele waislam, hao wanaobeza tamasha hili ni roho mbaya zao na chuki zilizo wajaa,

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    Hawa ndo waimbaji taarabu wa baadae mark my words..Omar kopa katokea huku huku..Mzee Yussuf huku huku

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 2 หลายเดือนก่อน +2

    Masalafi wana kosa raha wana taman waje ila hubakia kufunguwa cm wakasikilza tu

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sisi masalafi tunasema ,haya mambo ni ya wanawake, kwao Halali haswaaaa,lakini hii minibaba na medevu Yao hapa wanafata nini.

    • @alikidungura9419
      @alikidungura9419 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu hapendi zumar wala mananda niharamu ilio kubwa

    • @user-gc3ec9wx6z
      @user-gc3ec9wx6z 2 หลายเดือนก่อน

      Salafi mutakuwa nyinyi nyinyi ni wanafiki tu nyinyi ni mayahud tu

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-gc3ec9wx6z ndugu yangu ,kasome dini ,acha jazba ,hii sio Simba na yanga,hii ni dini,unaweza ukamtakia mwenzio maneno yakaishia kutafuna dini yako,kasome ili ujue mipaka ya kizungumza na dini yako pia

  • @riyadhelbakry6375
    @riyadhelbakry6375 20 วันที่ผ่านมา

    Hahaha sasa hii kasida au tarabu 🤣

  • @user-oh7gv8zg5y
    @user-oh7gv8zg5y 2 หลายเดือนก่อน +1

    SASA, mbona waimbaji wenyewe wamevaa, suit Kama wako kanisani, hizi nguo si wanavaaga waimba kwaya makanisani mambo ya ajabu, kweli n

    • @sulej2023
      @sulej2023 2 หลายเดือนก่อน

      Suit ni vazi kama vazi lingine na wala si vazi la wakristo

  • @ahmedmwinyi-pl1cn
    @ahmedmwinyi-pl1cn 2 หลายเดือนก่อน

    Tuwaambie pole hao ndugu 😂 zetu. Napia tuwaombee mwenyezi awaondoshee tabia za kusema wenzao.

  • @FathiyaAlshidhani
    @FathiyaAlshidhani 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @tahirabdalla7189
    @tahirabdalla7189 หลายเดือนก่อน

    Mashalla 😂

  • @Muhammed-km3er
    @Muhammed-km3er 2 หลายเดือนก่อน

    Tutumie shughuli yt mzm

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  2 หลายเดือนก่อน

      Ingia katika akaunti ya Nasaha Crew ya TH-cam ipo shughuli nzima

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo cheni shingoni ndio nini

  • @FATMAMOHAMED-ss4wn
    @FATMAMOHAMED-ss4wn 2 หลายเดือนก่อน

    Kizazi kitakua Cha komba

  • @alfalahbchannel9848
    @alfalahbchannel9848 2 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh huyo dogo mweupe nilijua kma lazima atauua tuu huyo hatree

  • @abuuissa1642
    @abuuissa1642 2 หลายเดือนก่อน

    Hii ni music yenye mahdhi ya kiarab nyimbo za Lebanon

    • @SirajuKhalidi-sz6gu
      @SirajuKhalidi-sz6gu 24 วันที่ผ่านมา

      Acheni watu waburuke ktk majambo ya kheri

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 2 หลายเดือนก่อน

    Mziki unatokamana na Sheitwan,hakuna qaswida za dini wala nn huu mziki tu kama mziki mwengine, Alafu wengine wanadai kuwa ni Mashekhe pembeni wanawake hakuna pazia hakuna tafauti na Manaswara.Allah Atunusuru. Maswahaba walifanya kazi kubwa mpaka dini imetufikia mwafanya masikhara mumekaa mwatumbuizwa na sounds za mziki Wakati Maswahaba Sounds zao zilikua mapanga. Mwafanya mchezo.

    • @fatmaurwa3849
      @fatmaurwa3849 23 วันที่ผ่านมา

      Mziki haukutona na sheitwani, rudi darasani. Sema nini kimekukera ama kuna mapungufu gani,usikimbilie kuropoka kw kuharamisha vitu ambavyo huna mafhum yake. Na ngoma nayo ni haramu ? Ama imeundwa na Sheitwani? Someni acheni kukurupuka kw fatwa za halmashauri za bongo zenu. Inaonekana mna uwezo hata wa kumuingiza mtume motoni basi kw fatawa zenu falyaudhubillah...,.

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika huu nimda wa wapimbavu na wajinga sasa huuu ndio uislam kunatofauti gani kt ya kwaya za wakristo na hawa wanaojiita waislam ? Sasa uisilam wasut nabado mvvaaa misalaba 😅😅😅 someni din ya kiisilam muelewe hahaha😅😅

    • @lalytele3353
      @lalytele3353 หลายเดือนก่อน

      Kila kabila lina mila na dasturi.
      Hawa ni waswahili,misalaba yaingiana vipi?