KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI, VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 เม.ย. 2024
- KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI ILIYOIMBWA NA VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA APRIL 21 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE DSM
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
TH-cam: / @babdeomiladu
Vijana mashaallah, Allah awaongoze kwa hekma zenu pia Allah awalinde❤❤
Watu na sitara zetu, tumetulia, na tunapendeza,tutamsimu,tutamswalia,swala milioni na matirioni🙏 mtume wetu s,a,w popote🙏
mashaAllah kaswida nzuri sana inafurahisha na kuhuzunisha ❤ alhamdulilah maneno mazuri sana
mashaAllah hongera sana kaswida nzuri sana
mama ni mama hakun kam kam love youuuu mamaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah Mungu awabariki❤❤❤
Mashallah🙏wtt wetu, vipenzi vya mtume s,a,w🙏 mungu awabifadhi,
Hongera sana vijana wetu
Masha Allah fanyahima mtoto umeugusa moyo wangu Allah akuzidishie kipaji chak kizid kupanda
Maashalla Mungu awazidishie watoto wapo vzr hata kama kuna watu hawajapendezewa kwa roho zao mbaya
Mashallah kaswida nzur na wanasaut nzur
MashaAllah watoto wetu wazidi kubarikiwa
Masha Allah qasida nzuri
Mashaallah mama atabaki kua mama tu mama shkamooo
Maradhi ya kimajini huyu Dr
Mkali wao Pemba anakutibu hatajam upo mbali pesa ndogo tuu😊
Masha,Allah
Mama apumzike peponi amatuvusha kweli kutoka pabaya alipotuweka wtz kikwete Mungu ambariki mama Mungu atudaidie tena. 2025 Mungu mwenye tuhurumie
Mashallah kaswida ya mama nzuri wamependeza vijana.
Mama ni mama
Kuna watu wajinga, hapa nini kinachowaonesha upotoshaji Wadini, ama mmesikia matusi humu,, acheni ujinga huo, tuachieni qaswida yetu. Maashallwa mmeweza
Hata waimba tarab hawana matuc mbna unawatia kundi la moton acha kuzarau wtu au unawez nipa tofaut ya hiii nyimbo na tarab?
Masha-Allah wanajua hawa wapewe pongezi yao
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ mashallah
Mashaala Mungu awazidishiye🎉
Allhamdullillah mungu akutabalie yaani nimelia🤲✅
Dahh Mashallaah ❤🎉
mashallah. watoto wako vizuri
MashaaAllah
Mashaallah ❤❤
Nikikumbuka Ushoga tu'Yarabbi tunusuru watoto wetuu
Mashaa Allah tabarakallah
MashaAllah
Mama kwetu nitunda lisilo shuka thamani. Ambae haelewi maneno mazuri kama haya inamaana yeye hana mama alikotoka ni wapi acheni jamani mama ndio kila kitu
Maashallah, vijana wako viziri
MashaAllah. Vijana wametulia
I like kwa kweli hivi tunafarajika kuona vijana wanafanya kitu kikubwa watunzeni hao maana mna sauti zote hapo waoooo
Kaka tupandishie qaswida ya yule mwamba mweupe hivi ana kiduku kwa mbaali ivi. Anaimba huku ananesa nesa.
Vittaah 🌹🌹🌹
Mashaa allah ❤❤
Maasha allah
mashaallah ilikua burudani❤
Kwahio sheikh yahya anatoka kariako!!! Hajii acha zako..
Mashallah
Mashaallah watt
Mihdhari nakubali wakinasaadi wako maashaallh jitahidi
Allah Awakuze ktk maadili Bora ya Dini
Mashallah mmung awalinde na hasad
Masha'Allah🙏🌹
Ma shaa llah
Hata Balkis alitawala wanaume hadithi Iko ndani ya Quran. Alikuwa mwanamke. Mamlaka zinatolewa na Mungu.
❤❤❤
Mashaallah. Watoto wetu ......hizo pesa ziwekeni hapo chini .mnawazonga
Swmia jamaa yangu mzanzibari mwenzangu ukimaliza ondoka walqhi ondoka kwasababu km waliweza kumuuwa jamaa yao magufuli hakika hawashindwi kukuuwa nawewe .......au jiudhulu bora walahi inaniuma kuona kashfa chungumzima
Hawa watoto nahisi wanatokea zanzibari kama sjakosea
Duuh kwamba bara hamna vijana wenye vipaji na wenye sauti nzuri au?
@@abalhisan4265Muonekano wao ndio na Kiswahili chao na wanajua kughani haya mambo ya vswani
Qaswida tam sana
Mabrouk
Mashllh
Maashallah,,, mzuri mnooo👏
Msikae rohoni sie twajua mmemsakama kwakua ni mzanzibari 😭😭😭😭ndomana mnamnyanyasa kupindukia hebu basini inatosha
Jamani ataondoka kaa kwa dharura yakuziba pengo la hayati maremu magufuli 😭😭😭😭
@babdeo twaomba ya mastia....bado sijaona mfano wako habibi
ALLAH awanusuru hawa watt na mambo haya ya haramu
Bora jiudhulu mana niliwahikuona klip m.bara anaonesha kaburi nakusema utakufa tu 😭😭😭
KWANI WW UTABAKIA KTK HII DUNIA?AU MWENZETU PIA IMEANGALIA ANGANI?ACHA MANENO YAKO JE UNAIJUA KESHO YAKO?UNAWEZA UKATANGULIA UKAMWACHA JE UNAIJUA HILO
Koba koba koba kobaa wewe koba allah akulinde huwa kunakaswaida unaimba wallah ujumbe unatufikia.
Unajua kunawatu wenyewe kila kitu hupinga ukiwaangalia wao huwa ni wakorofi sana,Tuachieni burudani zetu hutaki kusikiliza qaswaida acha tuachie mambo yetu wewe endelea kutuibia ndala zetu msikitini na tukikuona utajuta
Hamna tofaut na BONGO FROVER hii din tunaipeleka pabaya sana
Una teseka ukiwa pahala gani
Kumbe bongo flavour unazisikiliza ila kaswda zinakutia kichefchef
@@AlfarouqIslamicha ha ha a a a Jmn dah 😂😂😂😂
Subhanallah na suti kabisa wamevaa mtihani😢
Sio bongo flavour ni taarabu
Mayahudi nyiyi
Kalamu nnasi la yantahi (maneno ya watu hayamaliki hata awara mbe mkundu watasema TU mama piga kazi
Uchawa kila sekta daah taifa sijui litakua la vizazi vya aina gan baadaae hili
Makafiri hamna jema
Mungu mwenyewe anawaruzuku Kila kitu hawamshukuru atashukuriwa Samia kiumbe dhaifu sio rahisi tunakijua kinachowauma ila tulieni kutesa kwa zamu nulitunyanyasa na kutudhulimu siku nyingi Samia piga kazi hai no nyau TU na kelele za mlango hazimfanyi mwenye nyumba akose usingizi
Hata Nabii alipigwa mawe, Yesu alipangiwa mipango ya kumuuwa. Huwezi kupendwa na wote.
Taarabu au kaswida jaman
Taarabu hii, si kaswida
Huoni, pia waimbaji wamevaa, suti, wamenyoa viduku,, ndo matatizo ya mashekh WA bidaaaya
@@user-oh7gv8zg5ywew vaa msuli usiteseke
Kiukweli Hiyo mikato ya nywele si sahihi katika deen yetu
Taarab ikhwan swaafa wadogo hawa kutoka Zanzibar
Yaasalaam
❤
koba nifannani mkubwa twamwaamini lakini nyimbo njiwa aliaaribu pale alipoleta maneno alivyo endelea nayo akunyamaza ikaanza biti akakosana nabiti biti ikawa kivyake navinanda kivyake amewapa tabu sana aache kupaga nakuengeza navitu watu awakuvichukulia mazoezi lakini uwezi kundua kwa ubingwa wake ila ladha ilipungua kwenje nyimbo yanjiwa biti inapendezesha ilekaswida jamani
Uki chelewa kufa uta yaona mengi😢😢😢😢😢
Muuuuu!
Haki kitabakia kuwa haki na batil itabakia kuwabatil2 kelele za bure kila kitu kiko wazi
Acha upumbavu watu wache wastarehe wakifanya wasaudia na vilemba vyai Mbona husemi kwa......!!!
Wallahy, vittah
Inanikumbusha sauti ya mariam Hamdun
Yani kuna watu wanatauonekane mgumu kama yeye hapendi atwache tunaopenda wewe unafanya dhambi kibao mbona watu hawakwambii wanaona hiyari yako
Bayyat au taarabu babu weye
Nyimbo iyo
Safisana
Hii kaswida imesimwa hapa Tanzania au nchigani?
Taarab
Tz yani mna kila kitu mkitaka kumbe
Tusonge mbele waislam, hao wanaobeza tamasha hili ni roho mbaya zao na chuki zilizo wajaa,
Hawa ndo waimbaji taarabu wa baadae mark my words..Omar kopa katokea huku huku..Mzee Yussuf huku huku
Masalafi wana kosa raha wana taman waje ila hubakia kufunguwa cm wakasikilza tu
Sisi masalafi tunasema ,haya mambo ni ya wanawake, kwao Halali haswaaaa,lakini hii minibaba na medevu Yao hapa wanafata nini.
Mungu hapendi zumar wala mananda niharamu ilio kubwa
Salafi mutakuwa nyinyi nyinyi ni wanafiki tu nyinyi ni mayahud tu
@@user-gc3ec9wx6z ndugu yangu ,kasome dini ,acha jazba ,hii sio Simba na yanga,hii ni dini,unaweza ukamtakia mwenzio maneno yakaishia kutafuna dini yako,kasome ili ujue mipaka ya kizungumza na dini yako pia
Hahaha sasa hii kasida au tarabu 🤣
SASA, mbona waimbaji wenyewe wamevaa, suit Kama wako kanisani, hizi nguo si wanavaaga waimba kwaya makanisani mambo ya ajabu, kweli n
Suit ni vazi kama vazi lingine na wala si vazi la wakristo
Tuwaambie pole hao ndugu 😂 zetu. Napia tuwaombee mwenyezi awaondoshee tabia za kusema wenzao.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mashalla 😂
Tutumie shughuli yt mzm
Ingia katika akaunti ya Nasaha Crew ya TH-cam ipo shughuli nzima
Hiyo cheni shingoni ndio nini
Kizazi kitakua Cha komba
Duuh huyo dogo mweupe nilijua kma lazima atauua tuu huyo hatree
Hii ni music yenye mahdhi ya kiarab nyimbo za Lebanon
Acheni watu waburuke ktk majambo ya kheri
Mziki unatokamana na Sheitwan,hakuna qaswida za dini wala nn huu mziki tu kama mziki mwengine, Alafu wengine wanadai kuwa ni Mashekhe pembeni wanawake hakuna pazia hakuna tafauti na Manaswara.Allah Atunusuru. Maswahaba walifanya kazi kubwa mpaka dini imetufikia mwafanya masikhara mumekaa mwatumbuizwa na sounds za mziki Wakati Maswahaba Sounds zao zilikua mapanga. Mwafanya mchezo.
Mziki haukutona na sheitwani, rudi darasani. Sema nini kimekukera ama kuna mapungufu gani,usikimbilie kuropoka kw kuharamisha vitu ambavyo huna mafhum yake. Na ngoma nayo ni haramu ? Ama imeundwa na Sheitwani? Someni acheni kukurupuka kw fatwa za halmashauri za bongo zenu. Inaonekana mna uwezo hata wa kumuingiza mtume motoni basi kw fatawa zenu falyaudhubillah...,.
Hakika huu nimda wa wapimbavu na wajinga sasa huuu ndio uislam kunatofauti gani kt ya kwaya za wakristo na hawa wanaojiita waislam ? Sasa uisilam wasut nabado mvvaaa misalaba 😅😅😅 someni din ya kiisilam muelewe hahaha😅😅
Kila kabila lina mila na dasturi.
Hawa ni waswahili,misalaba yaingiana vipi?