Mashaallah nzuri sana nimeipenda sana hizi ndio kasda nzuri zenye mafundisho na utulivu na hakima allah awajaalie hizi ndio ziwe kasda za daima msije mkaghururika na hiyo minanda ya miziki mkaja mkaupoteza uislamu wetufundisheni jamii kwa nguvu zote mashairi yenye thirah allah awanyanyue darja za juu amiin 😍😍😍👌👍
Nakuhusieni wazazi msiwapeleke watoto wenu kwenye vyuo kama hivi vinapoteza umma. Mtume Muhammad s.a.w angekuwa hivi wallah dini isinge fika Tanzania. Hawa hawasomi dini kazi yao ni kuimba na kucheza allah awanusuru waingie katika haqi. Na ninyi mnao sema mashallah kwa kitu kichafu kama hiki allah awasamee
Nikawaida. "MAN JAHILA SHAIANN AADAU" Mtu Hukikanusha Maadamu Hakijui. Kilakitu Nimatumizi Ndio Maana Hata Spika Wanazoimbia Sisi Tunaswalia. Tusipelekane Motoni. Usilolijua Usilitolee Fatuwa.
Mashallah qasida mardadi kabisa. Ila tujaribu kupunguza huu mchezo WA hawa vijana naona kama vinaharibu. Bora wakae tuinuwe mikono kwa duaa ingelipendeza. Hii sio taarab. Nionavyo. Sauti ya dhahabu inaleta utulivu moyoni
Yani masikini kuna watu hata akisifiwa Mtume (S .A.W ) hawapendi hii ndio furaha yawaislamu wacheze wafurah kwa sifa zake RRasulillah anaechukia ajiunge tu kwenye bongo fleva kila mtu Allah ndie amjuae usijione mcha Mungu kumbe huna lolote
Jitahidini tu maana kwenye mambo haya ya ghunna pale Dar es slaam wapo juu sana sanaaa ukiwasikiliza mpaka unapendaaaa. Kama mutakua na Qaswida kama mtindo huu Wallaahi tutatoka Dar kuja Zanzibar kwenye Shughuli.
Tuloangalia zaid ya mara moja tujuane .mashallah ina ladha nzuri qasida.
Hakika
kweli
Ahsante sana Ustadh Juma Faki kwa kasida iliyojaa ujumbe mzito sana haswa kwa wale wasiompenda Mtume Muhammad (saw).
Mashaallah nzuri sana nimeipenda sana hizi ndio kasda nzuri zenye mafundisho na utulivu na hakima allah awajaalie hizi ndio ziwe kasda za daima msije mkaghururika na hiyo minanda ya miziki mkaja mkaupoteza uislamu wetufundisheni jamii kwa nguvu zote mashairi yenye thirah allah awanyanyue darja za juu amiin 😍😍😍👌👍
MashaAllah 🇰🇪Allah awatimizie haja zenu qaswida nzuri ya tuliza nyoyo wallahi
Hii sio dhikiri ya muridi kadria kadiria wanatumia kuhema kwa nguvu nakutoa sauti yakutisha hii ni kaswida za mapiano hazina mvuto
From Indonesia... MasyaAllah.. Top.. Laziz..
Maashallah Maashallah Maashallah
Nakuhusieni wazazi msiwapeleke watoto wenu kwenye vyuo kama hivi vinapoteza umma. Mtume Muhammad s.a.w angekuwa hivi wallah dini isinge fika Tanzania. Hawa hawasomi dini kazi yao ni kuimba na kucheza allah awanusuru waingie katika haqi. Na ninyi mnao sema mashallah kwa kitu kichafu kama hiki allah awasamee
Mmmmh kwhy hp wnfany maasi
Sahii Sasa huo uchezaji Kani ndg zetu!!!?
Mm nilisoma madrasa kama hii na tulikua tunasoma sana
Nikawaida. "MAN JAHILA SHAIANN AADAU" Mtu Hukikanusha Maadamu Hakijui. Kilakitu Nimatumizi Ndio Maana Hata Spika Wanazoimbia Sisi Tunaswalia. Tusipelekane Motoni. Usilolijua Usilitolee Fatuwa.
kweli kabisa umesema
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali
Mshaambiwa kama mazumari haramu
Allah Akbar mashaallah my brother Allah Akuzidishie
Maanshaalaah Allah awape. Afyanjema
Mashallah. NYIE hamna mpizani munajua mpaka munakera wallahi
Kazi nzuri kwenye mapungufu mujirekebishe mfano ktk uchezaji haifai ni kuvuka mipaka na baadhi ya maneno but kasida nzuriiii
Kweli yako akhuy, bora umeliona hilo.
Mashallah qasida mardadi kabisa. Ila tujaribu kupunguza huu mchezo WA hawa vijana naona kama vinaharibu. Bora wakae tuinuwe mikono kwa duaa ingelipendeza. Hii sio taarab. Nionavyo. Sauti ya dhahabu inaleta utulivu moyoni
Hata usipoangalia kuisikiliza tuu unahisi moyo unasisimka. Maa shaa TUMSWALIE MTUME SAW
Nikweli
Hhhhhhhh ......Ety tuwaache waongee wakimalza watulie hhhhh PAZITOOOOO
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
Yaani, subhaanallah.. Allah awaongoze hawajui walifanyalo.
Yani masikini kuna watu hata akisifiwa Mtume (S .A.W ) hawapendi hii ndio furaha yawaislamu wacheze wafurah kwa sifa zake RRasulillah anaechukia ajiunge tu kwenye bongo fleva kila mtu Allah ndie amjuae usijione mcha Mungu kumbe huna lolote
Maashallah ❤️
Ujumbe mzuri ila kucheza kumezid tuonyeshe kunyenyekea Kwa allah
Penda sana Znz yetu from🇹🇿🇴🇲
hizi mwenziwe tarabu tuu
mimi kinikeracho nikutia vinanda vya mziki
Mashallah ALLAH awbariki kwenye kazi zenu ❤️❤️🇰🇪🇰🇪
Kwel 🤝🤝🤝🤝🥰🥰🥰🥰🥰🥰
👍👍
Imeni gonga moyo wallah Allahu Akbar shekhe Hawa wanao cheza sikitu lakini huyu sheikh sauti ya kumsifu mtume imesisimua
Manshallah Allah awape maisha marefu mzidi kutukumbusha kupitia kaswida.ameeena.
Masha Allah nimeipenda sana allah awazishiye
Yani tunamswalia mtume mjinga mmoja anakuja kucomenti ujinga hvii ata kama ndo mtume akitokea apa akalifurahia hili utasemaje !!!
Mashaalah jaman 💚💚💚💚💚
Mashaaallah nimepnd ma's hair yen mashalah
Hakuna Zaid yenu mpo peke yenu hauna mpinzan hakuna wakulinganishwa nanyi
Mambo vp
Hao wacheza yuri mambo ya soka wanayaleta kwenye qasida asa niaje maeletu adi kwa yuri😁
Tumswalie natuwaache waumie tumuombe rabbi yeye malipo atupatie
Hamna tafaut na wale wanaimba kwenye vikundi vyatarab,neno qaswida ni kama koti tu la kujifichiaaa
Allahumma swalli wasallim wabarik alayhi
Ebwanaweeeeeeeee saut ya dhahabuuuuu mashallah mashallah
Umeonaeeeee Mashaaallah
masha Allah masha Allah Allah akujalie kwa kila la kher insha Allah ak juma kama kaswinda zako ya mafunzo nahisi faraja sana masha Allah
Maa shaa Allah. TUMSWALIE MTUME Muhammad SAW
Aslm alykm, nijulishen xsikuza haflazenu
Dh mashallah💔💔 hii ndio ladha ya qaswda sio mafujo n vurugu mashallah aqaz
Hili balaaaa sasa kutoka Mkono mahiri producer anaesumbua tz kwa ujumla ally ahmad
Swadakt mungu anijalie nipate mme mweny kipaji
Mashallah Tabarakallah..Qaswida Mujarab Kabisa..Kucheza Namna Hio Haipendezi Tujaribu kuipa Qaswida Hadhii Yake ..shukran
WALLAH NAFSI ZINABURUDIKA MNOO, IZI NDO QASDA ZA KUSIKILIZA
Suti moja nilikua naitafuta mwenyewe kwa mbali nikawa sijamuona kumbe yupo kijana matata Ustadh Fakihi.
Me too
Jitahidini tu maana kwenye mambo haya ya ghunna pale Dar es slaam wapo juu sana sanaaa ukiwasikiliza mpaka unapendaaaa. Kama mutakua na Qaswida kama mtindo huu Wallaahi tutatoka Dar kuja Zanzibar kwenye Shughuli.
Yaani hii kaswida nikiingia youtube naingiangalia nukaswida kali.
Mashallah mashallah ❤
Mie naitaka audio jamani hii maan kila siku naiangalia TH-cam pls msaada
Yaani hapo mungemuweka na alikiba ingenoga sanaa
sisi wakristo tulianza hivihivi mpaka shetani akapata nafasi sasa na nyie namuona shetani kwa mbaliii anajipenyeza talatibu ila kaswida safi imetulia
Kwani hapo umeona vimin na mapaja wazi , 😂
Maaashaaallwa mungu awaongoze
wacha majungu y kijingaa ww itakuwa n kikanzuuu boyaa wee
Allahumaswali wasallim alaih
Mashaa Allah kaswida nzur sana Juma faki
Mashaallah kasweda. Imeniliza
Producer matata sana ALLY AHMAD asnt
Peponi tukaingie rasuli tukiwa nae
Mashaallh Allah
Masha allah ❤❤
Masha Allah mung azidishe kipaji chenuu Masha Allah Masha Allah,👌
Acheni bana hapa tunaswalia mtume
Mashaalah
Masha Allah
Mashallah 💯💯
Maa shaa allah
Masha allah
Mashallah pambe sana kaswida
Wewe bidaa peleka huko unafiki wako
Mashallh qwasida zuriiii
Haramu ni wewee Wala so firimbi mwehu we
Mashaallah hiindo kaswida ss
Mashallh mung awaongoz zaid
juma faki ebu lete nyengine kam hii
Qadia juu juu juu zaidi😍😍😍👌👌👌👌
Mashanllah, mashanllah ❤️🤲🤲
mashallah allahubariki
Mashaallah allah awape umri mrefu naawafanyia wesi katika kazi zenuu🙏🙏🙏🙏😘
Mashallah ❤❤❤
MashaAllah MashaAllah barakallahulakum😘 watching from kenya wallahy nimeipenda sana
Kazi nzur
Mashallah ❤❤
Mashallah ❤❤
Manshallah ❤
Mashallah allah akulipe kila la kheir kwa kumsif mtume
Mashaallha
Tamusana safikabisa
Mashallaah🎉
❤❤❤❤
Masha Allah
Mashallah
Wewe ndio ume potea
❤❤❤❤
Mashallah naskia moyo wangu umetulia
Mansha Allah wana qadiria Allah awaongoze jaman
Mwangawachaan
Mashallah
Yaani najihisi kama nipo maeneo ya Mwananyamala Dar es salaam. Pale nyumbani kabisaaaa
Kutokana na style hii ya Qasida 🥰🥰
Dhhhhh sisemi kitu
Masha allah sheikh allah akulinde na hasad za watu wabaya
Mashallah. Ladha halisi ya kaswida
Hongera Ustadh Juma. Kazi zako hazina DOA hata dogo
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
Mashallah 💞💗❤️
Mashaaallah Allah azidi kuwaongoza kwa kusoma Qaswida nzuri Allah awalipe kwa kumsifu Mtume Muhammadi (saw)
Yaskitisha kuona vijana wakiislamu wakipoteza wakati hivi😭
😭😭😭