KASWIDA ANAYO ALAMA ILIVYOWAINUA WAFALME WA MOROKO NA MUFTI WA TANZANIA - NASAHA CREW

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 293

  • @hassanhussein-ow7qh
    @hassanhussein-ow7qh 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ninetokwa machozi kwa furaha, Allahumma swali Alaa Muhammad S.A.W

  • @raheemhamisi5370
    @raheemhamisi5370 2 ปีที่แล้ว +24

    Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman.
    Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam.
    Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.

    • @riiabbas3393
      @riiabbas3393 2 ปีที่แล้ว

      Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 ปีที่แล้ว +1

      ​@@riiabbas3393 jina la mtume latajwa sana ila sio kwa hili huo sio utaratibu wa kumtaja mtume wetu S.A.W

    • @mariamharoon1840
      @mariamharoon1840 ปีที่แล้ว

      Hapo kwenye muziki 😢 tu kweri ya allah nijarie nijue dini yetu

    • @jamalimussa4928
      @jamalimussa4928 5 หลายเดือนก่อน

      Mziki huo😢😢

    • @ZenaUsangi
      @ZenaUsangi 4 หลายเดือนก่อน

      KAMA UMEPATA HIYO AUDIO NAMI NAOMBA

  • @issajafarimzi2784
    @issajafarimzi2784 2 ปีที่แล้ว +12

    Tumswifu mtume(s.a.w) alojaa sifa nzuri zakupende,a

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 ปีที่แล้ว +4

    Kawaida ya bidaa cku zote huwa inaongezewa utamu ili sheitwaan azidi kuwachezea ndani ya nafsi zao

    • @mwantummakoa4253
      @mwantummakoa4253 6 หลายเดือนก่อน

      Mbona mnawafatilia sana kwann upo humu

    • @karomammwalula9701
      @karomammwalula9701 24 วันที่ผ่านมา

      Kwan Nn co bids sheikh

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 2 ปีที่แล้ว +13

    Apo ndipo waislamu walipo potea, yaan UYAHUDI nyuma ya pazia.
    INNA LILAH WAINA ILAYH RAJIUUN

    • @allyabubakarisaidy5894
      @allyabubakarisaidy5894 2 ปีที่แล้ว +3

      ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 2 ปีที่แล้ว +3

      Wewe unajihisi mtakatifu saana unakwenda peonies ee?km wamepotea unawafatilia yanini?unayapenda haswaa ndy maana unasikiliza na kufatilia.ulilazimishwa kutazama?

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 5 หลายเดือนก่อน +1

    Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi

  • @BakarOthman-fl7cq
    @BakarOthman-fl7cq 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nyote mnaounga mkono upumbavu huo,nyinyi ni majahil murakab,munaunga mkono uyahudi olewenu,na hilo sheikhe lenu ni jahili kubwa

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 ปีที่แล้ว +7

    Uzushi wa mzumari katika dini ni zulma mnawafurahisha viumbe mazaifu mnauza dini yenu

  • @HusnaHussein-oi9jr
    @HusnaHussein-oi9jr ปีที่แล้ว +6

    Mashallah mnanikumbuxha nilipokua nikixom buguruni neemalwaly qadiria chini ya ustadh Hassan Banda m mungu amlinde na hasadi nanyi nyote

  • @ibrahimjumbe6434
    @ibrahimjumbe6434 2 ปีที่แล้ว +8

    MashaAllah
    Mungu amrahamu almarhoum sheikh Ismail Muhammad alikua na beti zake nzuri sana kuhusu kaswida hii 😭😭😭

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah kazi mzuri hakuna bidaa hapo ila nitamaduni to mungu awazidishie kwenye uendelezi ya swala y mtumd s.c.w❤❤❤

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni taarabu watu wasije fikiria kuna dalili ya uislam hapo amekosekana hadija kopa tu

  • @fathiyaali6171
    @fathiyaali6171 ปีที่แล้ว +8

    ماشاء الله ماشاء الله، اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين 😍😍😍😍

    • @Aisha-zz4xy
      @Aisha-zz4xy ปีที่แล้ว

      Maashallah tabaaraka llah

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha 8:58

  • @abdulhamidjafar3176
    @abdulhamidjafar3176 ปีที่แล้ว +2

    Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 5 หลายเดือนก่อน +1

    BIDAA MBAYA 😢😢❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mumebaki kwenda kurikodi na Zuchu sasa...Pumbavu zenu
    Hiiii dini munafikiri ni ujinga huo munaofanya watu wa BIDAA... TUTASHUHUDIA mengiii sanaaa

  • @rashid3562
    @rashid3562 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mnaopenda kuponda ni wachoyo tu Hamna uchamungu wowote

  • @burhantvtzonline5417
    @burhantvtzonline5417 2 ปีที่แล้ว +10

    MAASHAALLAH TABAARAKALLAHU,ZITTAAAAAA ZIKUBWAAAAA,swalluuui a'alaa habibi Muhammad (s.a.w)

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Taarab ,uislam na tarabu wapi na wapi ? Tumcheni allah jaman dunia mapito

  • @imranijuma6955
    @imranijuma6955 2 ปีที่แล้ว +3

    HAWANA TOFAUTI NA MASHIA HAWA ALLAH AWAONGOZE YAANI HATUJA KAMILIKA LKN HAWA WAFUASI WABAKWATA MASHAKA MATUPU NENDA MAKKAH AU MADINA PALE UKAPIGE IVO🙄🤔🤣MASHEKH WA BAKWATA WAPOTISHAJI WAPO KIDUNIA NA STAREHE ZIMEWALEVYA MASKINI NA KUPENDA KUKAA KWENYE MA GARI YA KIFAHARI YANAMWISHO WAKE YAANI WATU WA SUNNA WAPO VIZURI KWENYE MISIMAMO YA KIDINI HAWA WANAPENDA MADUFU SIJAPATA KUONA

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 2 ปีที่แล้ว

      Wewe omba mwisho mwema usihukumu sio kazi yako

    • @abdelqadir5227
      @abdelqadir5227 2 ปีที่แล้ว

      Shiat-Ali and proud❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 2 ปีที่แล้ว +6

    Mbona mmechanyika wanawake na wanaume hayo ndio mafundisho wanawake kuwapiga picha wanaume!?

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 2 ปีที่แล้ว

      Kwani hujui kama hiyo ni taarabu

    • @bakariyusufujuma
      @bakariyusufujuma 2 ปีที่แล้ว

      Hahahaaa hapo sawa nilikuwa napata tabu mashindano ya kitabu kitukufu na na hilo zege inakuaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 5 หลายเดือนก่อน

      Makka wanachanganyikana wanaume na wanawake wanasali kabisa unasemaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 5 หลายเดือนก่อน

      Au hujui ibada za umrah zinavo fanyika

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t 11 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Anllah anayo alama kipenzi chetu 😢❤❤اللهم صل وسلم وبارك علي سيدنا محمد

  • @FasihiRaisi
    @FasihiRaisi 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani hayo maulidi,tofautisheni maulid na wapiga vinanda,hem njoon zanzibar muone maulid y mfunguo 6 maisara,hakuna duf walakinanda

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 ปีที่แล้ว +1

    Watu wa bidaa ni watu wabaya sn ktk jamii na uchafu wote ktk jamii asilimia kubwa wao ndio waanzilishi

  • @kwadumikomaenterprises1131
    @kwadumikomaenterprises1131 หลายเดือนก่อน

    wewe ndio jahilia kuna shida gani kumsifu mtu Mohammed pia vitu kama ivi waislamu vinatuleta pamjoja vinatuunganisha wewe unaesema huu ni ujahilia umejitafakari vizuri mambo yako unayo fanya sio ya kijahilia usikute kutwa unashinda kwa waganga sasa bora hao waliojikusanya pamoja na kumsifu mtume wetu Mohammed acha unafiki acha kuchukia waislamu wenzako waislamu tupendane bila kujali maswala madogomadogo ya kiimani bado wote ni waislamu na kitu kimoja

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 4 หลายเดือนก่อน

    Afu sheikh mmoja ananyanyuka anamtusi mzee yusuph kwenye taarab😂,ni kwa sbbu aliona ya kule na haya hayana tofauti,ila angishekimana na watu wa sunnah angeambiwa tenga mda wako uje usome,raha ya ahlu sunnah ipo kwenye kukesha kwenye elimu,sio kukesha kwenye huo upuuzi

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 2 ปีที่แล้ว +7

    magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza

    • @dullahmihuri
      @dullahmihuri 2 ปีที่แล้ว

      Haongera bro

    • @Zivago12
      @Zivago12 14 วันที่ผ่านมา

      Hiyo ni qasida sio maulidi

    • @Zivago12
      @Zivago12 14 วันที่ผ่านมา

      Ila hata mimi sikupenda vinanda

  • @zenapembe3170
    @zenapembe3170 หลายเดือนก่อน

    Kuna tatizo gani kumsifu Mtume? Hao wanaoipinga Maulid si ajabu hata swala tano hawaswali ila kazi yao kuponda tu.

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 5 หลายเดือนก่อน

    Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha

  • @anwarosman7206
    @anwarosman7206 ปีที่แล้ว +6

    Maashallaaah very beautiful

  • @AbuuSaif
    @AbuuSaif 4 หลายเดือนก่อน

    Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki

  • @AbuuSaif
    @AbuuSaif 4 หลายเดือนก่อน

    Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki

  • @abuuirfan9523
    @abuuirfan9523 2 ปีที่แล้ว +4

    TAARAB LIVE

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 4 หลายเดือนก่อน

    Hii bidaa tunaiyona sisi tu tanzaniya hatari sana Indonesia hakuna bidaa kenya hakuna bidaa na nchi kadhaa zinoimba na kutumiya vyombo hivo.jqmana kuna mambo tumwachiye mola tusihukumiane

  • @NgwaliMakame-g1i
    @NgwaliMakame-g1i หลายเดือนก่อน

    Nauliza kwani mtume alitakiwa asifiwe kwa music? hii ni dhambi kubwa sana kumswifu mtume ndani ya music amakweli bilisi ananguvu

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 ปีที่แล้ว +3

    Dini imekua kanisa Sasa maana hayo nimambo yakikanisakanisa

    • @OmantelCm
      @OmantelCm 5 หลายเดือนก่อน

      Mdomo tu muone vile

  • @ismailkiza
    @ismailkiza 10 หลายเดือนก่อน

    madhehebu ya kisufi nimadhehebu ya batiri kijinga kivivu na niupotevu , haukuwa uislam ila nikitabu cha allah nasunnah za mtume wake swallallah alayhi wasallah ukiona waislam wanapida goma na kucheza ujue nimasufi hao

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 2 ปีที่แล้ว +15

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @IdrisaDulazi
    @IdrisaDulazi หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wanalaana Mungu awazindue tu,anashangilia mpira kwa gharama hasemi ni bidaa lkini hii furaha anasema ni bidaa

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 6 หลายเดือนก่อน

    Mashindano y quran alaf mziki nynyi ni masufi mmejiondolea mipaka

  • @AdamRajab-xd3zg
    @AdamRajab-xd3zg 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu majnun humu dunian sasa cfa za mtume zmpangwa kwa nashair ya qaswda hamtak pia nyie kumcfu mtume hamtak c umajnun huo

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 4 หลายเดือนก่อน

    Teta sura zao zina ghdhabu hwapendi furaha abbadan😮mpaka wanzeeka😂

  • @soudkhamis7006
    @soudkhamis7006 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hii hatari zaidi sasa . Tumuogope mungu jamani

  • @mahfoudhjuma4833
    @mahfoudhjuma4833 ปีที่แล้ว +2

    Mziki ni mchanganyiko wa alarm na mashairi ss unamtaja mtume ndani ya alarm ...mungu tupe hekma ya kujua haki ilipo

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 4 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa hupendi ondoka .we bado umeganda tu tuache sisi wa2 wa bidaaa😂

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 ปีที่แล้ว +4

    Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah

    • @hafidhsalum9149
      @hafidhsalum9149 2 ปีที่แล้ว

      Wangeuwa kwa hiyo taarabu na vinanda me nahic wangeta viuno ndo wangeuwa zaidi pumbavu zao

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 ปีที่แล้ว

      Na mtume alikua akienda kuskiliza kasida na wake zake kwenye zinapigwa kasida

    • @hameezhami7795
      @hameezhami7795 ปีที่แล้ว +1

      Na kunesa alikuwa ananesa rasulullah.❤

    • @BimkumbwaAmour
      @BimkumbwaAmour ปีที่แล้ว

      ​@@hafidhsalum9149😂😂😂😂😂😂

  • @mariamawadhi9650
    @mariamawadhi9650 หลายเดือนก่อน

    sasa kaswida nzur kabisa unakuta mtu eti tunaharibu dini kivip sasa

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 ปีที่แล้ว +2

    Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 2 ปีที่แล้ว

      Waacheni na wewe fanya unaloona kwako sahihi usihukumu watu.wala usiwaangalie ukajikera buree

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 2 ปีที่แล้ว

      @@bahiyalumelezy3016 nenda mapumbavu wewe mmekalia ujinga ujinga hali ya dini mbaya mnafanya mchezo,

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 10 หลายเดือนก่อน +4

    BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 7 หลายเดือนก่อน

      Kama ni Bidaa why umechukua mda wako kwakusikiliza bidaa Acha mambo yako hujalazimishwa kusikiliza Bidaa wewe unaojiona uko sahihi endelea haijatajwa nguruwe hapo katajwa MTUME MOHAMAD S,A,W.

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 7 หลายเดือนก่อน

      BIDAA BIDAA Huku unasikiliza

    • @sharifisangyo8038
      @sharifisangyo8038 5 หลายเดือนก่อน

      Bidaaniwewe hunamaarifayadini acheni wahmu

  • @haidaryshamte
    @haidaryshamte 10 หลายเดือนก่อน

    Kama uelewi tafuta waalim wakueleweshe sio kukosoa watu ovyo.

  • @madamex9662
    @madamex9662 28 วันที่ผ่านมา

    Kaswida na magitaa wapi kwa wapi. Vifaa hivyo haraam

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 2 หลายเดือนก่อน

    Ewe Allah atunusuru hakika sisi ni wakosefu 😢

  • @HamisiramadhaniTurusia
    @HamisiramadhaniTurusia 28 วันที่ผ่านมา

    Nimeipenda Ila hzo magitaa hazifai

  • @BakarOthman-fl7cq
    @BakarOthman-fl7cq 5 หลายเดือนก่อน

    Haji manara ww ni muhuni tu tunakujuwa tangia zamani tena ujahili ww

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 2 ปีที่แล้ว +2

    pia wataitolea futuwa wakitetea leo hii hivyo vyombo vya mziki

  • @leaderboy7565
    @leaderboy7565 2 ปีที่แล้ว +13

    Allah atupe ufahamu sahihi wa dini. Tunafanya mambo mengi tunadhani tupo ktk dini kumbe tunahaaribu dini. Tusimeni uislamu wetu

    • @yahyayusuf1761
      @yahyayusuf1761 ปีที่แล้ว +5

      We wajua maneno yako ni kiasi ya kuita mtu kafiri ati tunaharibu dini hivi ndivo tunavo mswalia mtume s.a.w kama hupendi usitizame

    • @athumanmwamgupu661
      @athumanmwamgupu661 ปีที่แล้ว +4

      Silazima utazame, Kila mtu anafahamu zake!!?

    • @ramadhanShaban-cb9fs
      @ramadhanShaban-cb9fs ปีที่แล้ว +2

      Tupokatika haki achadhanapotofu kasomekwanza

    • @hafanabdallah3112
      @hafanabdallah3112 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂 Anza kusoma kwanza ww alafu ndo ujibiwe

    • @mariamomary3537
      @mariamomary3537 ปีที่แล้ว +2

      Mbea we we wajua lip tunga lako uwe nalo peke yako we mwenyew muovu

  • @MaryamHaji-bb5gv
    @MaryamHaji-bb5gv 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah Allah akuzidishie tupate kuingia nae mtume peponi inshallah

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 4 หลายเดือนก่อน

    Innalillahiy wainnailayhi rajeun. Masufi tupu

  • @HusseinMdee
    @HusseinMdee 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwenyewe ni bidaa Mana umezuka hukuwepo .

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo

    • @mwantummakoa4253
      @mwantummakoa4253 6 หลายเดือนก่อน

      Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 4 หลายเดือนก่อน

      ​Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake​@@mwantummakoa4253

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unapo sema Wafalme wanenyanyuka kwani ndio kiigizo chema Subhannallah huo ni muzki namuziki niharam nasivngine ushushi na wazushi nimotoni

    • @SalumSeif-w5y
      @SalumSeif-w5y 3 หลายเดือนก่อน

      kwahiyo unathibitisha hao wanaingia motoni

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 2 ปีที่แล้ว +3

    Duh Mambo haya ni uzushi xi mziki huu someni dini jaman

    • @mahmouddulajara7307
      @mahmouddulajara7307 2 ปีที่แล้ว

      Anayo alamaa

    • @mariamomary3537
      @mariamomary3537 ปีที่แล้ว

      Wewe ulisomea dunia na mbon huwez kuhukum nyamaza tungoj hukum za allah

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wao kukosowa tuuu lkn hawafundishi mema nendeni mpirani muusifuuu mwisho mupigane😅

    • @zenapembe3170
      @zenapembe3170 หลายเดือนก่อน

      Si ajabu hata swala tano hawaswali ila ni kukosowa tu. Kuna ubaya gani kumsifu mtume?

  • @muhammadabushehe359
    @muhammadabushehe359 2 ปีที่แล้ว +2

    Masufi ni kama machizi

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 2 ปีที่แล้ว +3

    Sasa hiii na taaaarab hakuna tofauti etiiiiii

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 4 หลายเดือนก่อน

    Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .

  • @asmamjema8539
    @asmamjema8539 2 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 2 ปีที่แล้ว +7

    Daaaaaah innalillahi wainnaaa ilaihirajiuuun rajiuuun

  • @shamsaelbeity8250
    @shamsaelbeity8250 2 ปีที่แล้ว +2

    Umesoma quran sasa munapiga tarab pumbavu zenu

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 2 ปีที่แล้ว

      Shukran kwa tusi

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 2 ปีที่แล้ว

      Toa maoni yako tu matusi ya nn ss hujui ya kwamba kumtusi mtu ni dhima?

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 4 หลายเดือนก่อน

    Is this instrumental song halal in Islam???

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 2 ปีที่แล้ว +6

    SUBHAANALLAH LEO DUNIA IMEISHA

    • @Allyahmed40
      @Allyahmed40 2 ปีที่แล้ว +1

      Acha wivu acha Mtume Muhammad Aswaliwe Sheikh

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 ปีที่แล้ว +1

      @@Allyahmed40 kuswaliwa mwenyewe sio hivo sasa

    • @SalumSeif-w5y
      @SalumSeif-w5y 3 หลายเดือนก่อน

      unashangaza unaposema dunia imeisha wakati maulid imeanza kabla hujazaliwa

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 ปีที่แล้ว +2

    اللهم صلى وسلم عليه
    ما شاء الله يا اخواني

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 2 ปีที่แล้ว +4

    Naomba kuuliza huu siyo music ? Kwa sabubu music umekatazwa kwa sababu ya gitar na kinanda .ingekuwa rika pekee sawa siyo music. Sasa naonaduniya imefikamwisho kwa sababu ya kuganga njaa eti kunamwarabu pale .ndomana wafrica mtabaki kuwa nyuma kidini na kiduniya mkimuonamzungu mnajishushamkimuona mwarabu mnajishusha mtihani .mngejuwa kwamba africa duniya nzima sisi ndo tunafata dini sana ilatumekwenda kinyume na mafundisho ya Allaah .acheni .

    • @mohamedmasauni3609
      @mohamedmasauni3609 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu ktk hii dini yetu kuna vivuli kwahiyo walio wengi hutumia hivi vivuli nasio kila unaemuona kavaa kanzu na kofia ni muumini au kila anae adhini ni muumini aàh a wengine ndio hao wanao tumia hivo vivuli mwenye akili na mazingatio hampigii ngoma mtume wala hamuimbi na mola wake allah atupe khofu yakumjua na kumuogopa amiin

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 10 หลายเดือนก่อน +1

    Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 5 หลายเดือนก่อน

      Mtume wakati anapokelewa madina ilipoimbwa Twala'al badri zilipigwa nini pale maalim, punguzeni ujuaji, shida mnakariri hamtaki kusoma

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 5 หลายเดือนก่อน

      Dufu zimepigwa kipindi cha mtume sembuse leo bana, jitahidi kusoma maalim, usifate mkumbo

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂bado diamond amuimbie mtume

  • @SaraBashiru
    @SaraBashiru 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaala allah 🎉🎉🎉🎉

  • @ShaameMBakar
    @ShaameMBakar 2 ปีที่แล้ว +2

    uhuni huu

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 2 ปีที่แล้ว +3

    *Tunakwenda wapi waislamu?Bado Disco tu hapo*

  • @jumajafar8710
    @jumajafar8710 2 ปีที่แล้ว +2

    lailahillaah,masufinamashianibabanamtoto

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 ปีที่แล้ว +1

    dini gani hii?

  • @AbdallahMohammed-s5w
    @AbdallahMohammed-s5w 10 หลายเดือนก่อน

    Si Milad Bali Arusi... Wamechangayika Waume na Wanawake. Pili, viyakula kwa Sahani ghali !!! Wapoteza wakati wao bureee !

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 ปีที่แล้ว +3

    MCHENI MOLA
    HIYO NI MIZIKI
    HARAAM

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 2 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna tofauti na taarab.

  • @KherriOmariDhahabu
    @KherriOmariDhahabu 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @SalmajozifashionSalma
    @SalmajozifashionSalma 14 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @husseinlali2137
    @husseinlali2137 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii ni nyimbo sio kasida nyie msitubabaishee

    • @mariamomary3537
      @mariamomary3537 ปีที่แล้ว

      Nyamaza Sasa Ina ulazima gani uhoji

  • @hafidhsalum9149
    @hafidhsalum9149 2 ปีที่แล้ว +1

    Acheni upuuuzzi wenu huo pumbavu wakubwa

  • @tazzat3383
    @tazzat3383 2 หลายเดือนก่อน

    Just imagine prophet Muhammad sitting on this congregation on the high table with all those luxurious delicious food!!! And also dancing!!!SUBHANALLAH

  • @RamadhaniSalehe-o8t
    @RamadhaniSalehe-o8t 5 หลายเดือนก่อน

    Duuuu Allah atunusuru

  • @ZuleaOmari
    @ZuleaOmari ปีที่แล้ว +2

    Maashaala kaswinda nzuri sana

  • @asyaameir8703
    @asyaameir8703 2 ปีที่แล้ว +5

    TAARABU ANAYO ALAMA ILIYOWAKOLEZA WASIOJUA KUTAFAUTISHA BAINA YA DINI NA DUNIA

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi ipo 🤔🙄😣

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 ปีที่แล้ว

    Ujinga mkubwa

  • @kisuwamwabaka333
    @kisuwamwabaka333 ปีที่แล้ว

    Huu ni msiba

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 5 หลายเดือนก่อน

    🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri 2 ปีที่แล้ว +8

    Innalillahi wainna ilaihi rajiuun

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 ปีที่แล้ว

      Inailahi rajiun mwenyewe cc nyoyo zimefurah kutajwa kipenz chetu

  • @hajjialy2413
    @hajjialy2413 2 ปีที่แล้ว +2

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @AbdulraheemSalimu
    @AbdulraheemSalimu 11 หลายเดือนก่อน +1

    Allhahu Akbar Allah awazidishie

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 2 ปีที่แล้ว +5

    MASHALLAH JAZAKALLAH VERY VOICES FRM KENYA