Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman. Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam. Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.
Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee
ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram
Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi
Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.
HAWANA TOFAUTI NA MASHIA HAWA ALLAH AWAONGOZE YAANI HATUJA KAMILIKA LKN HAWA WAFUASI WABAKWATA MASHAKA MATUPU NENDA MAKKAH AU MADINA PALE UKAPIGE IVO🙄🤔🤣MASHEKH WA BAKWATA WAPOTISHAJI WAPO KIDUNIA NA STAREHE ZIMEWALEVYA MASKINI NA KUPENDA KUKAA KWENYE MA GARI YA KIFAHARI YANAMWISHO WAKE YAANI WATU WA SUNNA WAPO VIZURI KWENYE MISIMAMO YA KIDINI HAWA WANAPENDA MADUFU SIJAPATA KUONA
wewe ndio jahilia kuna shida gani kumsifu mtu Mohammed pia vitu kama ivi waislamu vinatuleta pamjoja vinatuunganisha wewe unaesema huu ni ujahilia umejitafakari vizuri mambo yako unayo fanya sio ya kijahilia usikute kutwa unashinda kwa waganga sasa bora hao waliojikusanya pamoja na kumsifu mtume wetu Mohammed acha unafiki acha kuchukia waislamu wenzako waislamu tupendane bila kujali maswala madogomadogo ya kiimani bado wote ni waislamu na kitu kimoja
Afu sheikh mmoja ananyanyuka anamtusi mzee yusuph kwenye taarab😂,ni kwa sbbu aliona ya kule na haya hayana tofauti,ila angishekimana na watu wa sunnah angeambiwa tenga mda wako uje usome,raha ya ahlu sunnah ipo kwenye kukesha kwenye elimu,sio kukesha kwenye huo upuuzi
magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza
Hii bidaa tunaiyona sisi tu tanzaniya hatari sana Indonesia hakuna bidaa kenya hakuna bidaa na nchi kadhaa zinoimba na kutumiya vyombo hivo.jqmana kuna mambo tumwachiye mola tusihukumiane
madhehebu ya kisufi nimadhehebu ya batiri kijinga kivivu na niupotevu , haukuwa uislam ila nikitabu cha allah nasunnah za mtume wake swallallah alayhi wasallah ukiona waislam wanapida goma na kucheza ujue nimasufi hao
Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah
Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.
BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa
Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo
Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo
Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake@@mwantummakoa4253
Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .
Naomba kuuliza huu siyo music ? Kwa sabubu music umekatazwa kwa sababu ya gitar na kinanda .ingekuwa rika pekee sawa siyo music. Sasa naonaduniya imefikamwisho kwa sababu ya kuganga njaa eti kunamwarabu pale .ndomana wafrica mtabaki kuwa nyuma kidini na kiduniya mkimuonamzungu mnajishushamkimuona mwarabu mnajishusha mtihani .mngejuwa kwamba africa duniya nzima sisi ndo tunafata dini sana ilatumekwenda kinyume na mafundisho ya Allaah .acheni .
Ndugu yangu ktk hii dini yetu kuna vivuli kwahiyo walio wengi hutumia hivi vivuli nasio kila unaemuona kavaa kanzu na kofia ni muumini au kila anae adhini ni muumini aàh a wengine ndio hao wanao tumia hivo vivuli mwenye akili na mazingatio hampigii ngoma mtume wala hamuimbi na mola wake allah atupe khofu yakumjua na kumuogopa amiin
Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah
🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi
Ninetokwa machozi kwa furaha, Allahumma swali Alaa Muhammad S.A.W
Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman.
Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam.
Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.
Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee
@@riiabbas3393 jina la mtume latajwa sana ila sio kwa hili huo sio utaratibu wa kumtaja mtume wetu S.A.W
Hapo kwenye muziki 😢 tu kweri ya allah nijarie nijue dini yetu
Mziki huo😢😢
KAMA UMEPATA HIYO AUDIO NAMI NAOMBA
Tumswifu mtume(s.a.w) alojaa sifa nzuri zakupende,a
Kawaida ya bidaa cku zote huwa inaongezewa utamu ili sheitwaan azidi kuwachezea ndani ya nafsi zao
Mbona mnawafatilia sana kwann upo humu
Kwan Nn co bids sheikh
Apo ndipo waislamu walipo potea, yaan UYAHUDI nyuma ya pazia.
INNA LILAH WAINA ILAYH RAJIUUN
ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram
Wewe unajihisi mtakatifu saana unakwenda peonies ee?km wamepotea unawafatilia yanini?unayapenda haswaa ndy maana unasikiliza na kufatilia.ulilazimishwa kutazama?
Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi
Nyote mnaounga mkono upumbavu huo,nyinyi ni majahil murakab,munaunga mkono uyahudi olewenu,na hilo sheikhe lenu ni jahili kubwa
Uzushi wa mzumari katika dini ni zulma mnawafurahisha viumbe mazaifu mnauza dini yenu
Anayo alamaa
Wataka kusifiwa wewe mjinga myahudi wewe
Mashallah mnanikumbuxha nilipokua nikixom buguruni neemalwaly qadiria chini ya ustadh Hassan Banda m mungu amlinde na hasadi nanyi nyote
MashaAllah
Mungu amrahamu almarhoum sheikh Ismail Muhammad alikua na beti zake nzuri sana kuhusu kaswida hii 😭😭😭
Mashallah kazi mzuri hakuna bidaa hapo ila nitamaduni to mungu awazidishie kwenye uendelezi ya swala y mtumd s.c.w❤❤❤
Hii ni taarabu watu wasije fikiria kuna dalili ya uislam hapo amekosekana hadija kopa tu
ماشاء الله ماشاء الله، اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين 😍😍😍😍
Maashallah tabaaraka llah
Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha 8:58
Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.
BIDAA MBAYA 😢😢❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
Mumebaki kwenda kurikodi na Zuchu sasa...Pumbavu zenu
Hiiii dini munafikiri ni ujinga huo munaofanya watu wa BIDAA... TUTASHUHUDIA mengiii sanaaa
Mnaopenda kuponda ni wachoyo tu Hamna uchamungu wowote
MAASHAALLAH TABAARAKALLAHU,ZITTAAAAAA ZIKUBWAAAAA,swalluuui a'alaa habibi Muhammad (s.a.w)
q
Taarab ,uislam na tarabu wapi na wapi ? Tumcheni allah jaman dunia mapito
HAWANA TOFAUTI NA MASHIA HAWA ALLAH AWAONGOZE YAANI HATUJA KAMILIKA LKN HAWA WAFUASI WABAKWATA MASHAKA MATUPU NENDA MAKKAH AU MADINA PALE UKAPIGE IVO🙄🤔🤣MASHEKH WA BAKWATA WAPOTISHAJI WAPO KIDUNIA NA STAREHE ZIMEWALEVYA MASKINI NA KUPENDA KUKAA KWENYE MA GARI YA KIFAHARI YANAMWISHO WAKE YAANI WATU WA SUNNA WAPO VIZURI KWENYE MISIMAMO YA KIDINI HAWA WANAPENDA MADUFU SIJAPATA KUONA
Wewe omba mwisho mwema usihukumu sio kazi yako
Shiat-Ali and proud❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹
Mbona mmechanyika wanawake na wanaume hayo ndio mafundisho wanawake kuwapiga picha wanaume!?
Kwani hujui kama hiyo ni taarabu
Hahahaaa hapo sawa nilikuwa napata tabu mashindano ya kitabu kitukufu na na hilo zege inakuaje
Makka wanachanganyikana wanaume na wanawake wanasali kabisa unasemaje
Au hujui ibada za umrah zinavo fanyika
Masha Anllah anayo alama kipenzi chetu 😢❤❤اللهم صل وسلم وبارك علي سيدنا محمد
Kwani hayo maulidi,tofautisheni maulid na wapiga vinanda,hem njoon zanzibar muone maulid y mfunguo 6 maisara,hakuna duf walakinanda
Watu wa bidaa ni watu wabaya sn ktk jamii na uchafu wote ktk jamii asilimia kubwa wao ndio waanzilishi
wewe ndio jahilia kuna shida gani kumsifu mtu Mohammed pia vitu kama ivi waislamu vinatuleta pamjoja vinatuunganisha wewe unaesema huu ni ujahilia umejitafakari vizuri mambo yako unayo fanya sio ya kijahilia usikute kutwa unashinda kwa waganga sasa bora hao waliojikusanya pamoja na kumsifu mtume wetu Mohammed acha unafiki acha kuchukia waislamu wenzako waislamu tupendane bila kujali maswala madogomadogo ya kiimani bado wote ni waislamu na kitu kimoja
Afu sheikh mmoja ananyanyuka anamtusi mzee yusuph kwenye taarab😂,ni kwa sbbu aliona ya kule na haya hayana tofauti,ila angishekimana na watu wa sunnah angeambiwa tenga mda wako uje usome,raha ya ahlu sunnah ipo kwenye kukesha kwenye elimu,sio kukesha kwenye huo upuuzi
magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza
Haongera bro
Hiyo ni qasida sio maulidi
Ila hata mimi sikupenda vinanda
Kuna tatizo gani kumsifu Mtume? Hao wanaoipinga Maulid si ajabu hata swala tano hawaswali ila kazi yao kuponda tu.
Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha
Maashallaaah very beautiful
Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki
Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki
TAARAB LIVE
Hii bidaa tunaiyona sisi tu tanzaniya hatari sana Indonesia hakuna bidaa kenya hakuna bidaa na nchi kadhaa zinoimba na kutumiya vyombo hivo.jqmana kuna mambo tumwachiye mola tusihukumiane
Nauliza kwani mtume alitakiwa asifiwe kwa music? hii ni dhambi kubwa sana kumswifu mtume ndani ya music amakweli bilisi ananguvu
Dini imekua kanisa Sasa maana hayo nimambo yakikanisakanisa
Mdomo tu muone vile
madhehebu ya kisufi nimadhehebu ya batiri kijinga kivivu na niupotevu , haukuwa uislam ila nikitabu cha allah nasunnah za mtume wake swallallah alayhi wasallah ukiona waislam wanapida goma na kucheza ujue nimasufi hao
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Khatari wallahi mtihani
Kuna watu wanalaana Mungu awazindue tu,anashangilia mpira kwa gharama hasemi ni bidaa lkini hii furaha anasema ni bidaa
Mashindano y quran alaf mziki nynyi ni masufi mmejiondolea mipaka
Kuna watu majnun humu dunian sasa cfa za mtume zmpangwa kwa nashair ya qaswda hamtak pia nyie kumcfu mtume hamtak c umajnun huo
Teta sura zao zina ghdhabu hwapendi furaha abbadan😮mpaka wanzeeka😂
Hii hatari zaidi sasa . Tumuogope mungu jamani
Mziki ni mchanganyiko wa alarm na mashairi ss unamtaja mtume ndani ya alarm ...mungu tupe hekma ya kujua haki ilipo
Ukiwa hupendi ondoka .we bado umeganda tu tuache sisi wa2 wa bidaaa😂
Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah
Wangeuwa kwa hiyo taarabu na vinanda me nahic wangeta viuno ndo wangeuwa zaidi pumbavu zao
Na mtume alikua akienda kuskiliza kasida na wake zake kwenye zinapigwa kasida
Na kunesa alikuwa ananesa rasulullah.❤
@@hafidhsalum9149😂😂😂😂😂😂
sasa kaswida nzur kabisa unakuta mtu eti tunaharibu dini kivip sasa
Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.
Waacheni na wewe fanya unaloona kwako sahihi usihukumu watu.wala usiwaangalie ukajikera buree
@@bahiyalumelezy3016 nenda mapumbavu wewe mmekalia ujinga ujinga hali ya dini mbaya mnafanya mchezo,
BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa
Kama ni Bidaa why umechukua mda wako kwakusikiliza bidaa Acha mambo yako hujalazimishwa kusikiliza Bidaa wewe unaojiona uko sahihi endelea haijatajwa nguruwe hapo katajwa MTUME MOHAMAD S,A,W.
BIDAA BIDAA Huku unasikiliza
Bidaaniwewe hunamaarifayadini acheni wahmu
Kama uelewi tafuta waalim wakueleweshe sio kukosoa watu ovyo.
Kaswida na magitaa wapi kwa wapi. Vifaa hivyo haraam
Ewe Allah atunusuru hakika sisi ni wakosefu 😢
Nimeipenda Ila hzo magitaa hazifai
Haji manara ww ni muhuni tu tunakujuwa tangia zamani tena ujahili ww
pia wataitolea futuwa wakitetea leo hii hivyo vyombo vya mziki
Allah atupe ufahamu sahihi wa dini. Tunafanya mambo mengi tunadhani tupo ktk dini kumbe tunahaaribu dini. Tusimeni uislamu wetu
We wajua maneno yako ni kiasi ya kuita mtu kafiri ati tunaharibu dini hivi ndivo tunavo mswalia mtume s.a.w kama hupendi usitizame
Silazima utazame, Kila mtu anafahamu zake!!?
Tupokatika haki achadhanapotofu kasomekwanza
😂😂😂😂😂 Anza kusoma kwanza ww alafu ndo ujibiwe
Mbea we we wajua lip tunga lako uwe nalo peke yako we mwenyew muovu
Mashallah Allah akuzidishie tupate kuingia nae mtume peponi inshallah
Innalillahiy wainnailayhi rajeun. Masufi tupu
Wewe mwenyewe ni bidaa Mana umezuka hukuwepo .
Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo
Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo
Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake@@mwantummakoa4253
Unapo sema Wafalme wanenyanyuka kwani ndio kiigizo chema Subhannallah huo ni muzki namuziki niharam nasivngine ushushi na wazushi nimotoni
kwahiyo unathibitisha hao wanaingia motoni
Duh Mambo haya ni uzushi xi mziki huu someni dini jaman
Anayo alamaa
Wewe ulisomea dunia na mbon huwez kuhukum nyamaza tungoj hukum za allah
Kuna watu wao kukosowa tuuu lkn hawafundishi mema nendeni mpirani muusifuuu mwisho mupigane😅
Si ajabu hata swala tano hawaswali ila ni kukosowa tu. Kuna ubaya gani kumsifu mtume?
Masufi ni kama machizi
Anayo alamaa
Sasa hiii na taaaarab hakuna tofauti etiiiiii
Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .
Mashaallah
Daaaaaah innalillahi wainnaaa ilaihirajiuuun rajiuuun
Umesoma quran sasa munapiga tarab pumbavu zenu
Shukran kwa tusi
Toa maoni yako tu matusi ya nn ss hujui ya kwamba kumtusi mtu ni dhima?
Is this instrumental song halal in Islam???
SUBHAANALLAH LEO DUNIA IMEISHA
Acha wivu acha Mtume Muhammad Aswaliwe Sheikh
@@Allyahmed40 kuswaliwa mwenyewe sio hivo sasa
unashangaza unaposema dunia imeisha wakati maulid imeanza kabla hujazaliwa
اللهم صلى وسلم عليه
ما شاء الله يا اخواني
Naomba kuuliza huu siyo music ? Kwa sabubu music umekatazwa kwa sababu ya gitar na kinanda .ingekuwa rika pekee sawa siyo music. Sasa naonaduniya imefikamwisho kwa sababu ya kuganga njaa eti kunamwarabu pale .ndomana wafrica mtabaki kuwa nyuma kidini na kiduniya mkimuonamzungu mnajishushamkimuona mwarabu mnajishusha mtihani .mngejuwa kwamba africa duniya nzima sisi ndo tunafata dini sana ilatumekwenda kinyume na mafundisho ya Allaah .acheni .
Ndugu yangu ktk hii dini yetu kuna vivuli kwahiyo walio wengi hutumia hivi vivuli nasio kila unaemuona kavaa kanzu na kofia ni muumini au kila anae adhini ni muumini aàh a wengine ndio hao wanao tumia hivo vivuli mwenye akili na mazingatio hampigii ngoma mtume wala hamuimbi na mola wake allah atupe khofu yakumjua na kumuogopa amiin
Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah
Mtume wakati anapokelewa madina ilipoimbwa Twala'al badri zilipigwa nini pale maalim, punguzeni ujuaji, shida mnakariri hamtaki kusoma
Dufu zimepigwa kipindi cha mtume sembuse leo bana, jitahidi kusoma maalim, usifate mkumbo
😂😂bado diamond amuimbie mtume
Mashaala allah 🎉🎉🎉🎉
uhuni huu
*Tunakwenda wapi waislamu?Bado Disco tu hapo*
lailahillaah,masufinamashianibabanamtoto
dini gani hii?
Si Milad Bali Arusi... Wamechangayika Waume na Wanawake. Pili, viyakula kwa Sahani ghali !!! Wapoteza wakati wao bureee !
MCHENI MOLA
HIYO NI MIZIKI
HARAAM
Hakuna tofauti na taarab.
Masha Allah
Mashallah
Hii ni nyimbo sio kasida nyie msitubabaishee
Nyamaza Sasa Ina ulazima gani uhoji
Acheni upuuuzzi wenu huo pumbavu wakubwa
Just imagine prophet Muhammad sitting on this congregation on the high table with all those luxurious delicious food!!! And also dancing!!!SUBHANALLAH
Duuuu Allah atunusuru
Maashaala kaswinda nzuri sana
TAARABU ANAYO ALAMA ILIYOWAKOLEZA WASIOJUA KUTAFAUTISHA BAINA YA DINI NA DUNIA
Kazi ipo 🤔🙄😣
Ujinga mkubwa
Huu ni msiba
🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi
Innalillahi wainna ilaihi rajiuun
Inailahi rajiun mwenyewe cc nyoyo zimefurah kutajwa kipenz chetu
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Mnafiki wewe
Allhahu Akbar Allah awazidishie
MASHALLAH JAZAKALLAH VERY VOICES FRM KENYA
m