Subuhallah sheikh wangu mm mafuatilia saana mawaidha yako ni mazuri na unaelimisha jamii yote nzima kwa ujuma Allah akuhifadhi Allah akulipe thawabu Allah akujaze kila la kheri InshaAllah
Sheikh wangu ust wangu ndugu yangu mm nataka natamani nikutane na ww hawa masheikh wanaoudharilisha uislamu waache kwa ajili ya Allah Mungu Allah atuongoze waislamu waumini ukweli inaumiza ww endelea kuisoma haki usiwaogope hao wasiokiwa waislamu manaswara makafiri makuffaru na mayahudi fanya kazi sheikh wangu kwa kadiri uwezavyo InshaAllah
mungu wenu ni shetani kwa Nini munamdalau tena alifundisha utamaduni wadini? Huyu muhamadi aliwapoteza, kwanza aliwambia mashetani ni wenzenu kama mashetani ni wenzenu munataka viende vipi ? Dumuni.
Aslm alaykum, enyi ndugu zangu katka Iman,mtu usimuangalie mwanzo wa kitu, bali huwa anaangaliwa mwisho wake bimana huwa twamuomba Allah atupe mwisho mwema, Dkt sule, mhadhiri mwaipopo wote wanaeneza dini ya Allah awazidishie kwa Hilo, ila wenyewe waweze tu kuhishimiana coz, watu wa mmungu wanawaangalia sana kama kioo Cha jamii wasitukanane kwenye majukwaa, hiyo siunngwana
Mimi kuna kipindi nilipata mtihani wallah nilipitia magumu mpaka watu wangu wakaribu wakawa wananishauri nende kawaangamize nikawaambia siwezi ingilia kazi isiyo kuwa yangu kwa sababu allah anayashuhudia haya ndo nana imu wakibwakata huwa sitafuti fatha kwake
Tumieni hizi ruqya ninazozituma hapa, ama tafuta (Ruqya in london, wallahi hizi zimenisaidia mimi na jinni ashiq (mahaba)that wudhu, eleven qibla omba dua ya shifaa kwanza anza kumsifu Allaah yaani Laa-ilahaillallahu wahadahu laa sharika la lahulmulku walaulhamd wahuwwa-alaakullih shaiy-an qadeer,,kisha swalia mtume mara zisizogawanyika yaani3,au 5 au kuendelea,,kisha sema sifa zake na kumtegemea yeye tuu, allahuma yaa haiyu ya qayyum, ya qawiyyu yaa azia, allahuma ya kahaar, yaa jabbar ya muntaqeem,,allahuma ya maalik-al mulki, itakavyo alafu malizia tasleem, WEKA AUDIO ZAKO NA EAPHONE, ANZA NA AYA TUL KURSI, ALAFU SALA YA MTUME, ALAFU AUDIO NO 3 AMBAYO NI YA HASSAD YA AYN JICHO, ALAFU, AUDI NUMBER 9 YA JINI MZINIFU, ALAFU RUQYA YA KUWACHOMA MAJINI, KUNA PIA YA KUWAFUKUZA NA NYINGINE YA KAMA NIWASHINDANI UNAWAPA KUCHANGANYIKIWA NA KUWAUWA, HIO NI AUDIO NUMBER 12, AUDIOBYA KUWACHOMA NI NUMBER 7
Laaaa! Asante YESU KRISTO Kwa kuniokoa na dini zenye Shiriki!! Mimi nilishashitukia hiyo dini muda mrefu kuwa Ina Ushirikina mwingi wa majini!! Kisha eti Kila ukiswali lazima usujudia kuelekea Makka kwenye Qibra Kaaba🕋 yenye Jiwe jeusi Al hajar Al aswad hapana!!! Hapana Uislamu kaa mbali na Mimi!!
Yesu ni mungu au ni mtoto wa mungu ? Ushirikina uko kanisani mjinga sana wewe . Mungu watatu lakini ni mmoja. Baba mwana na roho mtakatifu . Wote ni moja. Ushirikina ndio huo kama hujui.
@@ExcitedChefHat-ef5jt Leo umesujudia jiwe jeusi lililoko Makka kwenye Kaaba 🕋? Wewe unamiliki majini wangapi? MIMI namwabudu MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI anayesikia pande zote Lakini Allah wa Makka mpaka uelekee Qibra Makka ndiyo anasikia network yake kwenye Kaabaaaa ukigeukia tu upande mwingine network inakata hasikii😂😂😂 Sasa huyo Mungu gani?
Uislam ni dini Bora kwakuwa tunaamrishana Mema na kukatazana Mabaya, yaweza kuwa sahihi katika njia isiyo Sahihi, Unauwezo wa kuwafuata na kuwalingania kuliko kuja Mtandaoni, Hapo nani Anaudhalilisha Uislam.Mjitafakari sana katika ufikishaji kwa sisi Maamuma
Asalamalaykum sheikh Sayd Mwaipopo. Sheikh wangu tangaza ukweli tu hadi kieleweke hatakama ni muislam au kiongozi waambie Qur'an na Hadith waache mazoea
Yeye km yeye bibafsi yake. Haisababishi kuwa doctor sule kufanya hivyo ndio dini y kiisialmu kuwa ya kichawi au ushirikina. Uisilamu umekataza uchawi au ushirikina. Ukiona muisilamu ni mchawi au mshirikina badi ni tamaa zke tu, Na hiyo anamkosea Allah
Samahanini sana lakini ila wenzetu huko Bara, naona mpo mnasema sana hadi saivi naona mnaanza kuudhalilisha uislamu....hebu punguzeni hizi media na kupenda sana dunia (pesa)..mmeanza kugombana wenyewe kwa wenyewe masheikh, saivi mnaanza kuhusisha ushirikina katika uislamu..na hao wakristo hawana elimu wao kila kitu ushirikina isipokuwa kumuabudu yesu ambae ni mtu.
Mwaipopo Uneonaa!! Umeonaaa Mashallaah SIRI ZINATOKA ndiyo maana Sule anajiamini kusema mambo !! SIRI ZINATOKA 😂😂 yaani Sheikh mziwanda anatabasamu tu😅 Sheikh Walid kumbe naye anapiga vyuma vya kijini Laa! Hii Dini msiba!! Hata siitamani!!
ww elewa uslam haufundishi hayo,na ni dhambi kubwa, hao wanajifnyia wenyew tu kwa ujinga wao na wapata dhambi, ( ushirikna ni dhambi kubwa katika uslam) . km hujui uliza usiropoke
@@hafidhkhamis Wewe ni Maamuma Huna Ilimu huoni hapo masheikh wanavyo ambiana tena msikitini!! Du! Kusoma hujui hata picha huoni? Dini ya Uislamu na uchawi na majini Damdam
We we mwenyewe mwaipopo no mganga eti tiba za kisuna uongotu jitafakali ukatubu mrudiye mungu,kama hayomaneno yanatoka moyoni mwako bila unafiki sawa ila kama na we we ni moja wao tubu
kutegemea majini qur'an inakataza. Usiuhukumu uislamu kwa matendo ya waislamu, pia siwezi kuuhukumu ukristo kwa matendo ya wakristo, hukumu dini kwa kitabu chao. Al Quran: As-Saffat/37:158 --- وَجَعَلُوا بَيْنَهُ وَبَيْنَ الْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ الْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ Translations: --- Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa. -- Ali Muhsin Al-Barwani ---Al Quran: As-Saffat/37:159 --- سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ Translations: --- Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia. -- Ali Muhsin Al-Barwani
@@khloevibe7569 sio uyo Shoga mwenzenu anaukashifu uislam kwa shekhe ambae ata Balaza la waislam hawamjui sie ndio baazi washirikina Sawa lakin nyiny kiongoz wenu mkuu shogaaaa anataka mfirane Bora SS icho kishee kinasapot uchaw lakin marina yetu yapo salama
Hapo umedanganya soma tena shekhe majini ni viumbe wako watiifu na waovu hivyo tafakar na kam ni biashara hiyo ulipaswa utangaze biashara yako maan naon kundi ni moja tuu
Sasa wew mwaipopo we umeacha ukristo Kwa tamaa zako Kwa sababu Leo hii unawasema masheh wengine Kwa ubaya na kufanya kama wewe hujui chochote akati nawe sasa ni mmoja wao nmekushuhudia mara nyingi ukitangaza dawa zenye jamii hy iyo huo ni ukweli Acha kutupaka matope na kitambaa cheupe huo ndy uhalisia wa dini yako umeruka mkojo umeyavagaaaa
Unyeseu naona unaporoja tu tangu lini mafuta ya zaituni ikawa ushirikina? Unaongea pumba zakijinga tu inamana ukienda Hospital ukapewa vidonge navo pia Ni ushirikina? Wacha ujinga wa kishoga uwo
@@badruseif1318 sasa wewe ndy unaongea ushoga we ulisikia lini mzaituni ni dawa kama sio ushirikina au mungu wako wa mchongo humuamin mpaka utumie mzaituni au umefundishwa Aya gani usimwamin mungu uamini mzaituni na toka lini ikawa dawa Kwa andiko lipi lete andiko kama na wew sio mshirikina na dini yenu ya mchongo
@@unyeseupdatestv unapokwenda hospital inakua humuamini Mungu? Kumbe ndio mana kule shakahola mkafungishwa mpk mkafa Kwa mafungu Kwa imani za kijinga,na wewe andiko kwenye bibilia linalosema ule Panadol ukiumwa, wacha ujinga uwo babu
Sasa shehe Mwaipopo, unaona ulivyoiacha ile Njia? Unaona? Uko uliko siko! Kwani tangu mwanzo hujui uchawi na ushirikina na chanda na pete na uislamu? Unajua sana! Wakristo tuliookoka tunatumia Jina la Bwana Yesu kwa mambo yetu yoote; waislamu mnategemea Majini (mapepo/mashetani). Mwaipopo mdogo wangu mrudie tena Bwana Yesu kristo, anakupenda na anakuhitaji sana uje kumtumikia. Ni hayo tu.
Wewe hiyo fitina unayoitengeneza juu ya huyo shehe itakugalimu wewe umesilimu imeikuta umeingia cha kikke ng'oo🎉🎉 Rudi kwa Yesu ewee mwana mpotevu😢😢😢😢😢mwanzo ulianza na Sule sasa na huyu tena,
mtume muhammad saw alishasema kuwa hiii dini imekuja ngeni na itarudi kuwa ngeni.....mkweli ataonekana mwongo na waongo wataonekana kuwa wakweli kabla kiama kusimama sheikh wangu umesema kweli kabisa...wewe ni mgeni ktk uislamu lakini unaujua uislamu vizuri sana kuliko wengi walio katika uislamu hawa masheikh uchwara nawachukia sana maana ndio wanaoweka road block kwa makafri wasiupende uislamu
Mwaipopo wewe ulijichanganya kwa sababu ulijua kava la kitabu hukujua yaliyomo ndani yakee,ndivyo ulivyo uisilamu.Ukweli zipo aya katika Qur'an zenye dua za kuharibu watu,mfano albadlu akisomewa mtu lazima afee.uyakubali yote maana wanazuoni walikubaliana kwamba aya zote zatoka kwa Mungu.hayo ndiyo yaliyomo.rudi kwa Yesu atakuremu
@@khalidmainala2570 kisomo cha albadri kimo kwenye kitabu chenu.vyote wanazuoni walikaa wakasema wakubaliane ku wa vyote vyatoka kwa Allah maana kipindi muhamadi amerogwa hakujua ni aya zipi zilitoka kwa Mungu na zipi zilitoka kwa shetani,msichanganyikiwe jamani huyo ndo Allah aliyeapa kwa aliyeumba kike na kiume
@@khalidabdalla6836 hivyo ndivyo mlivyo na mtaendelea kubaki na ujinga wenu,maana mtu akiwaeleza iliyo kweli mnasema hana elimu,ila pole kwa kuwa hujui unayeongea naye,lakini je hayajaandikwa kwenye kitabu chenu.kabla sulle hajasema mambo ya uchawi mlimsifia anavyojua na alivo na elimu,sasa mwenye elimu kaanza kuwaeelezea mnavyoshikamana na uchawi nyinyi mnasema tena hana ilimu ya dini kweli nyinyi ni wabishi
Mwipulumusi(popo) Acha njaa wewe,hakuna uisilamu bila Amjad(uchawi wa Quran) Ili uwe sheikh lazima usome Ilimu Akher na Ilimu Dunia. Ilimu Dunia ndiyo Ina Amjad(sihir). Hakuna sheikh asiye mchawi acha kujikosha.
@@badruseif1318 Huo ni uzushi na chuki binafsi ya Imani. Toa Aya au Andiko linalothibitisha kauli yako,maelfu wapate kuelimika na kusalimika Msingi wa Ukristo ni huu hapa;juu ya liwati(dubri) 👇 Walawi 20:13 Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume kama alalavyo na mtu mke:wote wawili wamefanya machukizo,hakika watauawa:na DAMU yao itakuwa juu yao. Au hamjuwi kuwa wadhalimu,hawataurithi UFALME wa Mungu?Msidanganyike,waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu,Wala waabudu sanamu,Wala wazinzi,Wala WAFIRAJI,Wala WALAWITI.👉 1Korintho 6:9. Toa Aya inayoonyesha Ukristo unaruhusu ushoga.
Kuna Aya zenu zinasema malaika walishuka kufundisha uchawi tunaona pengine ni kweli ukienda mbagala na sehemu mbalimbali kuna maduka yanauza vitu vya shirki na ni waumini wa kiislam niliwauliza siku moja je nilifungua hapa duka la nyama y nguruwe mtafurai wakasema tutakufukuza siku za mwisho vitu vyote vilivyofichwa vitakuwa dhahiri
muda sio mrefu ukweli upo tu ingawa unachelewa tu mashekhe umma mnaupeleka wapi ? YESU KRISTO ni jibu na ninjia ya kweli wanao silimu hawana misingi maskini kuna namna inayowanya wanakosa namna aisee
Sasa wewe sheikh tukueleweje wakati Quran inasema waislamu wanaeda kuzuru makaburini na wanatia ushirikina pia..alafu swala la uislam kumfukuza shetani ni uongo huyu ni dunguyenu alisilimu pia kwa mujibu Qurani 72,1,14😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mwaipopoooooo!! Bado hujasema Uislamu ni kama Sumu ya panya iliyopakwa Sukari kwa juu!! Uliona kava la kitabu lina ng'aa ukakumbatia!! umeanza kusoma yaliyoko ndani unalalama!! Hiyo dini haukuhusu wewe hiyo ni dini ya Waarabu Maqureishi wa Makka
Shida mwaipopo huujui uislamu, wewe uliambiwa machache mengine ukafichwa, hayo unayo yaona ndio uislamu wenyewe, uislamu na majini huwezi kuvitenganisha, ndio maana huwa nasema waislam wakiweza kusoma wenyewe quran na hadith wataritad wote ila kwa sababu wanasubiri kuelezewa na walimu wao basi watafichwa mengi sana, na mengine ndio hayo wanajisahau na kuanza kuweka hadharani, Juzi tu sule ametuonesha msikiti uliojengwa na majini na watu wanaswali, sasa akiyatumia majini hayohayo kupata pesa mnamsema, sasa mnataka nini na vitabu vyenu vimeelezea kabisa kuwa wapo majini waislamu? (walislimu) Na ni ndugu zenu ktk imani. Narudia tena mkiisoma dini ya uislamu wenyewe kwa kina mkaielewa mnaritad, mmebaki kuwa waislamu sababu hamuujui uislam mnasubiri msomewe.
Ukienda iringa %99 Ni wakristo lkn kila penye mti mkubwa kuna kijibanda na bendera nyekundu, vinakua vya Kazi gani kama sio ushirikina, ukienda sumbawanga ndio kunaongoza Kwa uchawi na wakati %90 ya watu WA sumbawanga Ni wakristo, nyamazeni tu musifikiri hatujui manyago yenu, wakristo wote Wana matambiko Yao kila mwaka lazima wakatambike vijijini kwao
@@badruseif1318 Yani nyie hamna hoja ndio maana huwa nasema nyie mnadili na watu sio Biblia, ila sisi tunadili na vitabu vyenu ndivyo vimewaelekeza mfanye hivyo lakini hayo yote yanayofanywa iringa mara sumbawanga ni wapi yameandikwa kwenye Biblia? Swala la majini kuslimu na kuwa waislam lipo kwenye quran, swala la kwenda kuabudu jiwe jeusi ili msamehewe dhambi lipo kwenye vitabu vyenu, kusomea watu albadlu sijui vipo kwenye vitabu vyenu pia na upuuzi mwingi kibao ila bado hamshituki, so sisi hatudili na vitu vya kubuni na watu tunadili na maandiko yenu, chekecha kichwa ndugu. Kwa kifupi hayo yanayofanywa na masheikh wenu wanayatoa kwenye vitabu vyenu vya dini ila hivyo wanavyofanya wakristo havipo kwenye Biblia wanatunga tu fanya research.
Mwenyezi mungu atujaalie kuwa miongoni mwa watu wema,
Shukran ustadh kwa mawaidha mazuri Allah atuongoze waja wake yaarab🤲
Allah akuhifadhi na akujaalie mwisho mwema sheikh.
Subuhallah sheikh wangu mm mafuatilia saana mawaidha yako ni mazuri na unaelimisha jamii yote nzima kwa ujuma Allah akuhifadhi Allah akulipe thawabu Allah akujaze kila la kheri InshaAllah
Allah s.w. azidi kukujaalia Sheikh Mwaipopo.
Dr kajenga jina na heshima kubwa sana miaka mingi kaja kuivunja siku moja tu
Allah akitaka kumdhihisha mtu anayoyaficha, dakika nyingi huyadhihirisha mambo yake hata km ameshakufa
Sio siku moja alikua anafanya chini chini saaa kaona atangaze wazi na sio yeye tu wengi wanafanya
Na uyo mkrito anae sema kuwa yeye alijua toka mda mreefu ushilikina huwa ila ukristo umemuokoa ktk watu walio potea yeye ni miongoni mwao
Shekhe allah akurinde nami nakusapoti katika hilo dini ni kuacha makatazo na kufuata maamrisho
Asante kwa kutuelimisha. Allah barik
Shukran sana Sheikh Mwaipopo, Dr Sule anaichafua Dini yetu
Subhanallah yasikitisha sana.. Allah atujalie khudaa.. jamaa hawa maseikh wa maulidi wangalieni sana
Sheikh wangu ust wangu ndugu yangu mm nataka natamani nikutane na ww hawa masheikh wanaoudharilisha uislamu waache kwa ajili ya Allah Mungu Allah atuongoze waislamu waumini ukweli inaumiza ww endelea kuisoma haki usiwaogope hao wasiokiwa waislamu manaswara makafiri makuffaru na mayahudi fanya kazi sheikh wangu kwa kadiri uwezavyo InshaAllah
mungu wenu ni shetani kwa Nini munamdalau tena alifundisha utamaduni wadini? Huyu muhamadi aliwapoteza, kwanza aliwambia mashetani ni wenzenu kama mashetani ni wenzenu munataka viende vipi ? Dumuni.
Sheikh mwaipopo Allah Akulipie
Ndio Imani inavyotaka kukemea maovu, MUNGU akubariki mwaipopo
Mwamposa na wachungaji wengine wanatumia ulaghai na mafuta ya kichawi.
@@kuluthumuzalariunaelewa unachoandika au umekurupuka?
masheikh mmekuwa washirikina sana sana muogopeni ALLAH
Mafundisho mazur sana kwa din zote hongera mtumish wa mungu
Sikuwahi kujua sheikh mwaipopo ana Imani na mapenzi makubwa na waislam na Uislam
Ongera sana sheikh unaipeleka injili huko huko walipo wahubilie hao
Injili inahubiriwa Kwa njia nyingi
Silimu kaka
Wewe unafuata biblia, Mungu katahiriwa
Msikilize shekhe mwaipopo vizuri, anautetea uislamu, washirikina wasiuharibu uislamu,
Mungu akuzidishie kwa Naswih yako nikwil tukiyachilia haya kesho yatakuw kama nikwil
Ma sha Allah sheikh Allah akutuhifadhie kwakweli aumeongea hkaki kabisa
Mwaipopo watakuelewa tu watu mie nilikua sikyelewi lkn now days nakukubali sana kwa juhudi hizi unazozifanya Allah akusaidie
Ukiwa na imani thabiti juu ya uislam wako hakuna atakae kuyumbisha.bahati mbaya sana has wenye dhamana juu ya dini hii wako kimyaa
Allah akujaalie taufiq yake uzidi kusema kweli .kwani leo hii wengi wana mafundisho ya ajab
Uko sawa sheikh Mwaipopo
Mashallah
Shekhe mwaipopo upo sahihi, hao jamaa ni washirikina,
duh kweli mtihani sana ndugu yangu mwaipopo hao mashekh dah hatari kweli mbaya kabisa
Shehe Allah azidi kukusimami
Hapa Sijakuunga Mkono ,Hubiri neno la Mungu achana na Hao.Wasoma Dua ya kuua Watu,Watakutana Na Yesu Mwenyewe,period
MashaAllah Allah ukulinde
Subhanallah AllahuAkbar
ALLAH akulipe Kheri Shekh Mwaipopo ukweli weka bayana usihofie mtu bali mtizame Allah atakulipa nini kwa moyo wako ulio jitolea kuibainisha haki🙏🙏🙏
Aslm alaykum, enyi ndugu zangu katka Iman,mtu usimuangalie mwanzo wa kitu, bali huwa anaangaliwa mwisho wake bimana huwa twamuomba Allah atupe mwisho mwema, Dkt sule, mhadhiri mwaipopo wote wanaeneza dini ya Allah awazidishie kwa Hilo, ila wenyewe waweze tu kuhishimiana coz, watu wa mmungu wanawaangalia sana kama kioo Cha jamii wasitukanane kwenye majukwaa, hiyo siunngwana
Mimi kuna kipindi nilipata mtihani wallah nilipitia magumu mpaka watu wangu wakaribu wakawa wananishauri nende kawaangamize nikawaambia siwezi ingilia kazi isiyo kuwa yangu kwa sababu allah anayashuhudia haya ndo nana imu wakibwakata huwa sitafuti fatha kwake
Kisasi ni haqi, lakini kwa njia ambazo Allah sw karuhusu! Kufanyiwa ubaya na kunyamaza haifai. Muombe Allah sw akuondoshee na amka usiku
Mimi, nikuwa nasumbuliwa na uchawi na mashetani, wallahi wa billahi watallahi, najifanyia ruqya mwenyewe, nitumia qur'an, nafanya adhkar asubuhi na jioni,
RUQYA | TREATMENT AUDIO | BLACK MAGIC | 4 / Abu Nadeer
th-cam.com/video/0gEDXBx7vDk/w-d-xo.html
Tumieni hizi ruqya ninazozituma hapa, ama tafuta (Ruqya in london, wallahi hizi zimenisaidia mimi na jinni ashiq (mahaba)that wudhu, eleven qibla omba dua ya shifaa kwanza anza kumsifu Allaah yaani Laa-ilahaillallahu wahadahu laa sharika la lahulmulku walaulhamd wahuwwa-alaakullih shaiy-an qadeer,,kisha swalia mtume mara zisizogawanyika yaani3,au 5 au kuendelea,,kisha sema sifa zake na kumtegemea yeye tuu, allahuma yaa haiyu ya qayyum, ya qawiyyu yaa azia, allahuma ya kahaar, yaa jabbar ya muntaqeem,,allahuma ya maalik-al mulki, itakavyo alafu malizia tasleem, WEKA AUDIO ZAKO NA EAPHONE, ANZA NA AYA TUL KURSI, ALAFU SALA YA MTUME, ALAFU AUDIO NO 3 AMBAYO NI YA HASSAD YA AYN JICHO, ALAFU, AUDI NUMBER 9 YA JINI MZINIFU, ALAFU RUQYA YA KUWACHOMA MAJINI, KUNA PIA YA KUWAFUKUZA NA NYINGINE YA KAMA NIWASHINDANI UNAWAPA KUCHANGANYIKIWA NA KUWAUWA, HIO NI AUDIO NUMBER 12, AUDIOBYA KUWACHOMA NI NUMBER 7
RUQYA | TREATMENT AUDIO | EVIL EYE & ENVY | 3 / Abu Nadeer
th-cam.com/video/4hpl0lXFaZ4/w-d-xo.html
MaashaAllah wanyooshe
Wewe ndugu yang pole sana!Rudi nyumbani uripotea!wislam huwezi kuutenga na ushirikina na kama uliingia kichwakichwa waulize waislam waliotangulia!
Tofautisha dua na uchawi acha kupotosha sheikh Mwaipopo.
Hakuna dua iliyokua n uadui.
Na hakuna muisilamu amuonbee mtu duwa eti awd anaona nyoka, tuache apo
Dua ya mayai viza tunainua hiyooo
Una masikio lakini hayasikii.
Nakuelewa sana mwaipopo
Asante mwaipopo
Laaaa! Asante YESU KRISTO Kwa kuniokoa na dini zenye Shiriki!! Mimi nilishashitukia hiyo dini muda mrefu kuwa Ina Ushirikina mwingi wa majini!! Kisha eti Kila ukiswali lazima usujudia kuelekea Makka kwenye Qibra Kaaba🕋 yenye Jiwe jeusi Al hajar Al aswad hapana!!! Hapana Uislamu kaa mbali na Mimi!!
Yesu ni mungu au ni mtoto wa mungu ? Ushirikina uko kanisani mjinga sana wewe . Mungu watatu lakini ni mmoja. Baba mwana na roho mtakatifu . Wote ni moja. Ushirikina ndio huo kama hujui.
Kinyago cha Maria na yesu si ndio mnacho kipigia magoti kanisani. 😂😂😂😂
@@ExcitedChefHat-ef5jt Leo umesujudia jiwe jeusi lililoko Makka kwenye Kaaba 🕋? Wewe unamiliki majini wangapi? MIMI namwabudu MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI anayesikia pande zote Lakini Allah wa Makka mpaka uelekee Qibra Makka ndiyo anasikia network yake kwenye Kaabaaaa ukigeukia tu upande mwingine network inakata hasikii😂😂😂 Sasa huyo Mungu gani?
@@paulmushi2428wewe ni mjinga wa mwisho. Hujui hata shirki ni nini? Pole sana Alhamdulillah I'm a Muslim ☝️🕌♥️♥️♥️
@@HassanJaphari-rx7jy I LOVE JESUS, ❤❤❤THANK GOD I'M Christian 🛐🛐
MASHEIKH pigeni vita ushirikina
Taratibu Tu mtawaelewa mawahabi.
Ana msimamo mkali sana kukemea maovu
Kwanza Allah tuna RB yako kwa kutudanganya sisi waislamu😂😂
😅😂🤣
Hakika uislam siyo kiarabu sheikh Mwaipopo
YESU NDIYE NJIA KWELI NA UZIMA MTU HAWEZI ENDA KWA BABA BILA YEYR❤
Msiba, inna lillah wainna ilayhi raj'un
mnasheikh wanaumaliza uislamu
Uislam ni dini Bora kwakuwa tunaamrishana Mema na kukatazana Mabaya, yaweza kuwa sahihi katika njia isiyo Sahihi, Unauwezo wa kuwafuata na kuwalingania kuliko kuja Mtandaoni, Hapo nani Anaudhalilisha Uislam.Mjitafakari sana katika ufikishaji kwa sisi Maamuma
Na vp upande wa pili ambao washaamni uislam ni majini wataelewa wap acha mwaipopo aendelee kutetea haq
@@omariaman7818dini ya ushirikina na kichawi ikiongozwa na Muhammad na shetani
Wao wenyewe si wameachia mtandaoni, Sheikh Mwaipopo s.w. Allah s.w. atakubariki.
Asalamalaykum sheikh Sayd Mwaipopo.
Sheikh wangu tangaza ukweli tu hadi kieleweke hatakama ni muislam au kiongozi waambie Qur'an na Hadith waache mazoea
Dr Sule Ameuongea Hadharani na anatumia pete kuchuma mali hapo mnasemaje.
Yeye km yeye bibafsi yake.
Haisababishi kuwa doctor sule kufanya hivyo ndio dini y kiisialmu kuwa ya kichawi au ushirikina.
Uisilamu umekataza uchawi au ushirikina.
Ukiona muisilamu ni mchawi au mshirikina badi ni tamaa zke tu,
Na hiyo anamkosea Allah
@@zulekhaa6817 ingekuwa hivo basi mngekuwa mnaelewa na Baadhi ya watu wa kikristo wakiongea kinyume unapaswa kujua ni yeye na sio Dini
Dr. hakosei ndugu yangu?
Mwaipopo,sule arekebishe kauli ya kuletewa Mali na majini,tofauti na hapo hamtaaminika mashekh wote
Kweli maana,hiyo kauli ni ushirikina
Samahanini sana lakini ila wenzetu huko Bara, naona mpo mnasema sana hadi saivi naona mnaanza kuudhalilisha uislamu....hebu punguzeni hizi media na kupenda sana dunia (pesa)..mmeanza kugombana wenyewe kwa wenyewe masheikh, saivi mnaanza kuhusisha ushirikina katika uislamu..na hao wakristo hawana elimu wao kila kitu ushirikina isipokuwa kumuabudu yesu ambae ni mtu.
Yesu ni ni mtu..!? Muulize sheikh wako maana ya RUHU nini..ujiue basi ndo Yeus
@@gaitamaemmanuel sio lazima sheikh, Ruh ni roho ...Mungu ni Roho kwa biblia ina maana roho haionekani...je yesu alionekana au hajaonekana..
Nyie wakristo mnashida mnacomment kumkatisha tamaa ili aludi kwenye ushirikina mkubwa wa yesu ni mungu sahauniiiiii
Mwaipopo uko sahihi kuwakosoa waisramu wenzio wanaotumia uchawi kwa jina la Allah
Yohana mtakatifu 3:16 , marko 16:15_19 , ushauri okoka yesu ndiye mwanzo na mwisho
Mwaipopo Uneonaa!! Umeonaaa Mashallaah SIRI ZINATOKA ndiyo maana Sule anajiamini kusema mambo !! SIRI ZINATOKA 😂😂 yaani Sheikh mziwanda anatabasamu tu😅 Sheikh Walid kumbe naye anapiga vyuma vya kijini Laa! Hii Dini msiba!! Hata siitamani!!
Dini haijaamrisha bali ni uchawi wa mtu binafsi.
ww elewa uslam haufundishi hayo,na ni dhambi kubwa, hao wanajifnyia wenyew tu kwa ujinga wao na wapata dhambi, ( ushirikna ni dhambi kubwa katika uslam) . km hujui uliza usiropoke
@@sadikiissa7756 wewe ni Maamuma Huna Ilimu huoni hapo masheikh wamekusanyana wanatoa Siri wanazozifanya Misikitini? Hujui kusoma hata picha huoni?
@@hafidhkhamis Wewe ni Maamuma Huna Ilimu huoni hapo masheikh wanavyo ambiana tena msikitini!! Du! Kusoma hujui hata picha huoni? Dini ya Uislamu na uchawi na majini Damdam
🤣🤣🤣
Kumbe dini zinatamaniwa?
Lahaula walakuuwata ilah bilaah
we ndio umejua ulijichanganya eeh ,!? 😂😂😂😂😂😂 unaingia dini za watu kichwa kichwa?
😂😂😂😂😂😂😂 Ataelewa tu kuwa ameingia Cha kike
We we mwenyewe mwaipopo no mganga eti tiba za kisuna uongotu jitafakali ukatubu mrudiye mungu,kama hayomaneno yanatoka moyoni mwako bila unafiki sawa ila kama na we we ni moja wao tubu
Mungu akuongoze
Mwaipopo hata mtume alisema uislamu Karne hii utatetewa na waliosilimu waambie ukweli wao
Mimi nampenda yesu milele,na peponi nitaenda
We nae acha bangi, Kinacho ongelewa hpo ni kuwepo utofauti kati ya Muislamu na waislamu. Wako wanaotumia dini kwamaslahi yao binafsi
pepo hiyo labda ya babu yako
Utaenda motoni milele
Pepo hiyo rabda ya shetani ambayo ni moto jahannama
Hivi kumbe kuna watu wanadhani kinachompeleka peponi mtu ni dini😂😂
Masheik mnatukoroga.
kutegemea majini qur'an inakataza. Usiuhukumu uislamu kwa matendo ya waislamu, pia siwezi kuuhukumu ukristo kwa matendo ya wakristo, hukumu dini kwa kitabu chao.
Al Quran: As-Saffat/37:158
---
وَجَعَلُوا بَيْنَهُ وَبَيْنَ الْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ الْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Translations:
---
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.
-- Ali Muhsin Al-Barwani
---Al Quran: As-Saffat/37:159
---
سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ
Translations:
---
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
-- Ali Muhsin Al-Barwani
Kwaio papa avolusu ushogaa maana bublia na wakristo wote mwapenda ushogaaa uyo shekhe ni wao sio uislam
sasa ukristo umeingiaje hapo ndugu mbn akili yako ndogo sana
@@khloevibe7569 sio uyo Shoga mwenzenu anaukashifu uislam kwa shekhe ambae ata Balaza la waislam hawamjui sie ndio baazi washirikina Sawa lakin nyiny kiongoz wenu mkuu shogaaaa anataka mfirane Bora SS icho kishee kinasapot uchaw lakin marina yetu yapo salama
UIslam hawezi kudhalilika hata siku moja atazalilika anejidhalilisha hii dini yupo mweyewe anaelinda anaona anasikia halali hasizia
Hapo umedanganya soma tena shekhe majini ni viumbe wako watiifu na waovu hivyo tafakar na kam ni biashara hiyo ulipaswa utangaze biashara yako maan naon kundi ni moja tuu
Sasa wew mwaipopo we umeacha ukristo Kwa tamaa zako Kwa sababu Leo hii unawasema masheh wengine Kwa ubaya na kufanya kama wewe hujui chochote akati nawe sasa ni mmoja wao nmekushuhudia mara nyingi ukitangaza dawa zenye jamii hy iyo huo ni ukweli Acha kutupaka matope na kitambaa cheupe huo ndy uhalisia wa dini yako umeruka mkojo umeyavagaaaa
Unyeseu naona unaporoja tu tangu lini mafuta ya zaituni ikawa ushirikina? Unaongea pumba zakijinga tu inamana ukienda Hospital ukapewa vidonge navo pia Ni ushirikina? Wacha ujinga wa kishoga uwo
@@badruseif1318 sasa wewe ndy unaongea ushoga we ulisikia lini mzaituni ni dawa kama sio ushirikina au mungu wako wa mchongo humuamin mpaka utumie mzaituni au umefundishwa Aya gani usimwamin mungu uamini mzaituni na toka lini ikawa dawa Kwa andiko lipi lete andiko kama na wew sio mshirikina na dini yenu ya mchongo
@@unyeseupdatestv unapokwenda hospital inakua humuamini Mungu? Kumbe ndio mana kule shakahola mkafungishwa mpk mkafa Kwa mafungu Kwa imani za kijinga,na wewe andiko kwenye bibilia linalosema ule Panadol ukiumwa, wacha ujinga uwo babu
Uislam unapotoshwa na Waislam wenyewe
Sasa shehe Mwaipopo, unaona ulivyoiacha ile Njia? Unaona?
Uko uliko siko!
Kwani tangu mwanzo hujui uchawi na ushirikina na chanda na pete na uislamu? Unajua sana!
Wakristo tuliookoka tunatumia Jina la Bwana Yesu kwa mambo yetu yoote; waislamu mnategemea Majini (mapepo/mashetani).
Mwaipopo mdogo wangu mrudie tena Bwana Yesu kristo, anakupenda na anakuhitaji sana uje kumtumikia. Ni hayo tu.
Wewe hiyo fitina unayoitengeneza juu ya huyo shehe itakugalimu wewe umesilimu imeikuta umeingia cha kikke ng'oo🎉🎉 Rudi kwa Yesu ewee mwana mpotevu😢😢😢😢😢mwanzo ulianza na Sule sasa na huyu tena,
mtume muhammad saw alishasema kuwa hiii dini imekuja ngeni na itarudi kuwa ngeni.....mkweli ataonekana mwongo na waongo wataonekana kuwa wakweli kabla kiama kusimama
sheikh wangu umesema kweli kabisa...wewe ni mgeni ktk uislamu lakini unaujua uislamu vizuri sana kuliko wengi walio katika uislamu
hawa masheikh uchwara nawachukia sana maana ndio wanaoweka road block kwa makafri wasiupende uislamu
Mwaipopo wewe ulijichanganya kwa sababu ulijua kava la kitabu hukujua yaliyomo ndani yakee,ndivyo ulivyo uisilamu.Ukweli zipo aya katika Qur'an zenye dua za kuharibu watu,mfano albadlu akisomewa mtu lazima afee.uyakubali yote maana wanazuoni walikubaliana kwamba aya zote zatoka kwa Mungu.hayo ndiyo yaliyomo.rudi kwa Yesu atakuremu
Sorry Albadiri sio Qur'an ndugu
@@khalidmainala2570 kisomo cha albadri kimo kwenye kitabu chenu.vyote wanazuoni walikaa wakasema wakubaliane ku wa vyote vyatoka kwa Allah maana kipindi muhamadi amerogwa hakujua ni aya zipi zilitoka kwa Mungu na zipi zilitoka kwa shetani,msichanganyikiwe jamani huyo ndo Allah aliyeapa kwa aliyeumba kike na kiume
Albadri sioquran na niushirikina,wewe ndiwe umejichanganya
Huna elimu kabisa..albadiri si Quran ..ni kitu kimetungwa,uislamu wabaki vilevile msafi...dini huangalii mafunzo ya mtu binafsi soma vitabu.
@@khalidabdalla6836 hivyo ndivyo mlivyo na mtaendelea kubaki na ujinga wenu,maana mtu akiwaeleza iliyo kweli mnasema hana elimu,ila pole kwa kuwa hujui unayeongea naye,lakini je hayajaandikwa kwenye kitabu chenu.kabla sulle hajasema mambo ya uchawi mlimsifia anavyojua na alivo na elimu,sasa mwenye elimu kaanza kuwaeelezea mnavyoshikamana na uchawi nyinyi mnasema tena hana ilimu ya dini kweli nyinyi ni wabishi
Mafuta ya Upako mpaka kwa Mashehe?? Au hayo ni mengine??
Mwaipopo ingia kaone sheikh mwenzio alivozungumza kwenye ARKAS ONLINE TV sheik kaelezea malaika waliotumwa kufundisha uchawi utajua Uko na watu gani😅
Ni ukweli but KAA CHINI USOME KWANZA ndio ufundishe dini
Wacha Mungu aitwe Mungu Sema yoteeee,Yaani utasema yote,Kwa kuchambana nakuaminia wewe mdandia dini kwa mbele, umewakuta wa2 wanainama inuka nawe inama inuka elekea kuleee,Baadae ndo utakujaga kujua Yesu ni Bwana,utajutia utoro wako nakuapia.
kale kimba
Ulitaka aendelee kuamini kitu kisichoingia akilini kua eti Yesu Mungu!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaan kwel hapo ndo umefikia mwisho wakufikir
Yakunda hata Mimi pia Ni bwana, kama wewe Bibi kaa na ubibi wako
Hapo bwana Hamisi Chang’waru refalii wetu amebugi japo haya mambo yapo lakini asingeongea hadharani au mbele ya camera.
Yani hasa hivi ukiumwa mambo ya kimajini sijui uwende wapi maana msiba huu 😢😢
TAWHEED NDIO DINI
AHSANTA SAAANA SHEIKH
Ni kumpwekesha Allah (S.W) .
Majini Ni majini tu 😮 hakuna jema
Sauti Hakuna
Mwipulumusi(popo)
Acha njaa wewe,hakuna uisilamu bila Amjad(uchawi wa Quran)
Ili uwe sheikh lazima usome Ilimu Akher na Ilimu Dunia.
Ilimu Dunia ndiyo Ina Amjad(sihir).
Hakuna sheikh asiye mchawi acha kujikosha.
Maher kama ilivokua hakuna ukristo Bila ushoga
@@badruseif1318
Huo ni uzushi na chuki binafsi ya Imani.
Toa Aya au Andiko linalothibitisha kauli yako,maelfu wapate kuelimika na kusalimika
Msingi wa Ukristo ni huu hapa;juu ya liwati(dubri)
👇
Walawi 20:13 Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume kama alalavyo na mtu mke:wote wawili wamefanya machukizo,hakika watauawa:na DAMU yao itakuwa juu yao.
Au hamjuwi kuwa wadhalimu,hawataurithi UFALME wa Mungu?Msidanganyike,waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu,Wala waabudu sanamu,Wala wazinzi,Wala WAFIRAJI,Wala WALAWITI.👉 1Korintho 6:9.
Toa Aya inayoonyesha Ukristo unaruhusu ushoga.
Si mnasema kuna majini mazuri yanawafaa kuwaletea fedha yakiiba pesa za watu 😅😅
Kuna Aya zenu zinasema malaika walishuka kufundisha uchawi tunaona pengine ni kweli ukienda mbagala na sehemu mbalimbali kuna maduka yanauza vitu vya shirki na ni waumini wa kiislam niliwauliza siku moja je nilifungua hapa duka la nyama y nguruwe mtafurai wakasema tutakufukuza siku za mwisho vitu vyote vilivyofichwa vitakuwa dhahiri
dini ya kishetani mtaendelea kujiumbua wenyewe na video mnazo record wenyewe
Washirikina wote niwale wanaopiga madufu nawenye kukimbiza moto,na wote walioko ccm,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilisubiri hapo tuuuu kumbe hata wew ni mfanyabiashara na hiyo ilikuwa ni mbinu ya kutangaza biashara
Mpumbavu wewe
@@jabirkasunzu6841 Ndo njia ya kunieleza hiyo kumb bhas vyema
Wewe nimklisto huoko umepotea hayo unayajua leo kaka
Uwo ndo usufi bwana hhh akismama bachu kukemea bidaa nyinyi mnakuja juu sasa kikowapi na bado apo kuna wengine wanai halalisha albadili😅😅😅
Sura yake tu unagundua ni mchawi wa wachawi aibu hii😢kheri sisi tunamuabudu Mungu kwa imani kuliko hawa wachawi wasiy0 na aibu
😂😂😂😂😂😂😂
MANENO MENGI MWAIPOPO KUMBE NA WEWE MFANYABIASHARA TU....
Mpumbavu wewe
Na ule mckiti ulotangsxwa na Sulle kwamba umejengwa na majini? Sulle alisema anitaga majini,🏃♂️🏃♂️🏃♂️
muda sio mrefu ukweli upo tu ingawa unachelewa tu mashekhe umma mnaupeleka wapi ? YESU KRISTO ni jibu na ninjia ya kweli wanao silimu hawana misingi maskini kuna namna inayowanya wanakosa namna aisee
Hatali dini ya haki lakini inafanyiwa ushirikina
Hizo nidua alizosema hajasema uchawi vp mwaipopo wasingizia
Hakuna dua yenye uadui ndani yake.
Na mifano aliotoa huyo inaonesha dhahiri mambo y kishirikina hayo
Allah hapokei dua km hizo.
@@zulekhaa6817 utasemaje hakuna Dua zakumuombea adui anaekufanyia ubaya soma kwanza usikurupuke
Uislamu.by by nimehakikisha leo niuchawi😂😂
Wewe mwaipopo waislamu Kama majini akuna waislamu akuna
Sasa wewe sheikh tukueleweje wakati Quran inasema waislamu wanaeda kuzuru makaburini na wanatia ushirikina pia..alafu swala la uislam kumfukuza shetani ni uongo huyu ni dunguyenu alisilimu pia kwa mujibu Qurani 72,1,14😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mwaipopoooooo!! Bado hujasema Uislamu ni kama Sumu ya panya iliyopakwa Sukari kwa juu!! Uliona kava la kitabu lina ng'aa ukakumbatia!! umeanza kusoma yaliyoko ndani unalalama!! Hiyo dini haukuhusu wewe hiyo ni dini ya Waarabu Maqureishi wa Makka
Tuingie wapi weye? Sule ashasema ukweli wote,km mmemshindwa Harmo,Sule mtamuwexea wapi? Muache.Tajiri Sule Sule unawacheki kwa mbaali 7:22 7:25
Shida mwaipopo huujui uislamu, wewe uliambiwa machache mengine ukafichwa, hayo unayo yaona ndio uislamu wenyewe, uislamu na majini huwezi kuvitenganisha, ndio maana huwa nasema waislam wakiweza kusoma wenyewe quran na hadith wataritad wote ila kwa sababu wanasubiri kuelezewa na walimu wao basi watafichwa mengi sana, na mengine ndio hayo wanajisahau na kuanza kuweka hadharani,
Juzi tu sule ametuonesha msikiti uliojengwa na majini na watu wanaswali, sasa akiyatumia majini hayohayo kupata pesa mnamsema, sasa mnataka nini na vitabu vyenu vimeelezea kabisa kuwa wapo majini waislamu? (walislimu) Na ni ndugu zenu ktk imani.
Narudia tena mkiisoma dini ya uislamu wenyewe kwa kina mkaielewa mnaritad, mmebaki kuwa waislamu sababu hamuujui uislam mnasubiri msomewe.
Ukienda iringa %99 Ni wakristo lkn kila penye mti mkubwa kuna kijibanda na bendera nyekundu, vinakua vya Kazi gani kama sio ushirikina, ukienda sumbawanga ndio kunaongoza Kwa uchawi na wakati %90 ya watu WA sumbawanga Ni wakristo, nyamazeni tu musifikiri hatujui manyago yenu, wakristo wote Wana matambiko Yao kila mwaka lazima wakatambike vijijini kwao
@@badruseif1318 Yani nyie hamna hoja ndio maana huwa nasema nyie mnadili na watu sio Biblia, ila sisi tunadili na vitabu vyenu ndivyo vimewaelekeza mfanye hivyo lakini hayo yote yanayofanywa iringa mara sumbawanga ni wapi yameandikwa kwenye Biblia?
Swala la majini kuslimu na kuwa waislam lipo kwenye quran, swala la kwenda kuabudu jiwe jeusi ili msamehewe dhambi lipo kwenye vitabu vyenu, kusomea watu albadlu sijui vipo kwenye vitabu vyenu pia na upuuzi mwingi kibao ila bado hamshituki, so sisi hatudili na vitu vya kubuni na watu tunadili na maandiko yenu, chekecha kichwa ndugu. Kwa kifupi hayo yanayofanywa na masheikh wenu wanayatoa kwenye vitabu vyenu vya dini ila hivyo wanavyofanya wakristo havipo kwenye Biblia wanatunga tu fanya research.