Rais Magufuli Azindua Uwanja wa Ndege wa Kagera
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ย. 2017
- Subscribe / uwazi1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, yupo ziarani mkoani Kagera ambapo mbai na mambo mengine, atazindua uwanja wa ndege wa Kagera.
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .
Mungu akuzidishie hekima na maarifa utimize yote yaliyo mema kam adhima yako.Nakuombea.
big up sana mh. magu cc tuko pamoja sana na wewe. nakukubali sana mkuu chapa kazi mpaka kieleweke watu waligeuza tz shamba la bibi
hongera sana jpm
Mungu akubariki saana
mungu akulinde rais wetu
amen
Mungu akupe neema
Mungu awe nawe akuzidishie hekima busara ili uendelee kutuongoza vizuri kama ulivyo sasa.
Nice
kwa Kweli leo huyu Mzee kanifurahisha Sana, Tatizo liko kwa watendaji wa chini lakini kwa kauli yake ya kuhitimisha WATAKWAMA WAO. Big up My President
God bossa u.
tunashukulu muheshimiwa kwa kutambua uwepo wa wana kagela, lakin muheshimiwaa hivo viwanda hata vilivopo sasaivii mshaala bado ni mdogo saana ukilinganisha na maisha tulonayo kwa sasa, mtu anaingia kazn kwa siku analipwa elfu mbili miatano adi elfu tatu na unakuta mtu yuko na familia ya watoto watatu au wawili na mke, ukizingatia na maisha ya sasa kila kitu ni kununua kiukweli haitoshi kabisaa muheshimiwa tuangalie katika hili watu wa kagela. mungu akutangulie ktk kaz zako.
Tutazidi kukuombea kiongozi wetu
Mtangazaji unachelewa kutangaza Túlio
safi rais tunakukubali.tunaomba na morogoro.mgeta bado tunalipa kodi japo mkungu mmoja.pita na
kaza but I tupo pamoja
asisahau barabara zake zimebomoka na mvua wara miak 3 bado
seme nn magu umebana sana
bado uku dodoma wilaya ya CHAMWINO geti la Nzari kuna shida
Tino Mafanya hongera mzee wetu