Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2015
  • Ingekuwa shule ya msingi, ungemuita Toto Tundu, kwa jinsi mwalimu anavyopata shida kukubaliana nae, ila katika hali aliyopo sasa, si tofauti sana....Namzungumzia Mhe. Tundu Lissu. Mmoja kati ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alie mahiri kwa kusema bila woga, na mwenye sifa ya kusumbua kiti kwa hoja zake makini ila mara nyingi zenye kuchokoza na kuhamsha mijadala motomoto.
    Mtaalamu wa Sheria, na mmoja wa Mawakili wenye ruhusa ya kitaaluma kutetea katika mahakama zetu, Mhe Lissu amekuwa mmoja kati ya wabunge walioweza kuweka bayana utata wa kisheria unaoibuka katika hoja mbali mbali ndani ya Bunge, na pia amekuwa mstari wa mbele katika harakati mbalimbali za kisiasa na kijamii hasa pale msaada wa kisheria unapohitajika.
    Wanamkasi wameamua kumuita kikaangoni, tuweze kushiriki nanyi yale machache aliyonayo, kadri muda unavyoruhusu.
    Salama, Mubah na John ana kwa ana na Mhe Lissu kwenye Mkasi
    Yote kwa hisani ya Coca Cola, Tusker Tanzania na Airtel Tanzania.
    Follow MkasiTV on
    Facebook : / mkasitv
    Twitter : @MkasiTV
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 457

  • @philipkato6517
    @philipkato6517 3 ปีที่แล้ว +181

    Kama unaangalia hii mwaka 2020 tujuane kwa like🤣😀

    • @philimonchindole8697
      @philimonchindole8697 3 ปีที่แล้ว +3

      🔥🔥🔥

    • @angelombedule8378
      @angelombedule8378 3 ปีที่แล้ว

      @@philimonchindole8697 o

    • @angelombedule8378
      @angelombedule8378 3 ปีที่แล้ว

      , , , , z\S#Z#zzzZZzzz#************\\zzzzzzzzzzzzwZ******************\zzzzz

    • @shawnmichaels1893
      @shawnmichaels1893 3 ปีที่แล้ว +1

      Ni msomi makini...

    • @saidjuma7880
      @saidjuma7880 3 ปีที่แล้ว +2

      @@shawnmichaels1893 lisu ni kichwa sana mungu ampe afya njema

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 4 ปีที่แล้ว +263

    Nani anaendelea kuangalia hii in 2020. Ebu gusa like

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha1503 4 ปีที่แล้ว +14

    Mzee una akili Sana Watu Gonga like apa

  • @yovitakayombo9724
    @yovitakayombo9724 3 ปีที่แล้ว +14

    Ama kweli wewe ni Genius. Mungu azidi kukulinda na kukubariki

  • @semanamitv898
    @semanamitv898 4 ปีที่แล้ว +35

    Nimependa sana kwa the way anavyo jaribu kujibu kisomi zaidi. Exactly your the best and God may help you for the rest👏

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 ปีที่แล้ว +1

    Tar 6/2/2023 nimeirudia hii interview ya mwamba, dah! Mungu azidi kukubariki.🙏🙏

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 3 ปีที่แล้ว +28

    Lissu ni mpinzani wa kweli kuwai kutokea Tanzania.

    • @arnoldbaijukya6011
      @arnoldbaijukya6011 3 ปีที่แล้ว

      Umesema kweli

    • @seifnass3129
      @seifnass3129 3 ปีที่แล้ว +1

      True ✌

    • @amanafi1288
      @amanafi1288 3 ปีที่แล้ว +2

      Hawezi kuwa mpinzani wa kweli hii Nchi kwa Sera yake ya kuunga mkono Ushoga!!

    • @lichilasalumu7983
      @lichilasalumu7983 3 ปีที่แล้ว +1

      @@amanafi1288 nawewe si shoga vile vile

    • @amanafi1288
      @amanafi1288 3 ปีที่แล้ว +1

      @@lichilasalumu7983 Ningeukubali Ushoga c ningekuwa huo upande wenu

  • @franaelmbise6594
    @franaelmbise6594 3 ปีที่แล้ว +4

    Mh.Rais Mtarajiwa waoo very bright man foreal, Ni MTU kwenye akili nyingi Sanaa hakikaaa duuh I can't imagine
    Jaman wapendwa wenzangu Tumshukuru Mungu kwa kutupa zawadi hii ya mh.TunduALissu tuwalaani na kuwakanya vikali walijaribu kumuua wanataka kuzima taa ya Tanzania yaaan daaah jamb tafurahi Sana kuona tabasamu la FARAJA kutoka kwa #TunduALissu

  • @fanaismmsianaf9352
    @fanaismmsianaf9352 3 ปีที่แล้ว +6

    Lissu for President! Mwaka huu ni mwaka wa madiliko

  • @samo5315
    @samo5315 3 ปีที่แล้ว +16

    I love to listen when he talk. Hababaiki ni msomi mkubwa. Maneno safi hayana utata. You're the best Lissu. Allah blessings to you. Inshallah you will be our president.

  • @samiramdachi7101
    @samiramdachi7101 4 ปีที่แล้ว +29

    Nakupenda sana kaka yangu lisu unaongea point🙏🙏🙏

  • @mzuvendi
    @mzuvendi 3 ปีที่แล้ว +16

    Tunai angalia leo 1/9/2020! Hawa wenye kipindi cha mkasi bakhili hata mgeni hakupewa glasi ya maji!

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 9 ปีที่แล้ว +21

    Muheshimiwa lisu big up wewe ni mtetezi wawazanzibari

  • @topotachilemba9196
    @topotachilemba9196 3 ปีที่แล้ว +50

    LISSU NI BINADAMU WA KIPEE. HAJAWAHI KUFELI

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani520 5 ปีที่แล้ว +40

    Huyu mtu anatisha (anaakili nyingi Sana)

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna mtu ninaemwamini Kama huyu mwamba amekuwa msaada kwa watu miaka mingi, na amekuwa kimbilio katika kipindi kilefu yupo kutetea haki za watanzania huyu mtu anatufaa kutuongoza, ataongoza kwa haki mm naimani nae kwa kiasi kikubwa sana! Nimemfuatiria sana huyu atatutengenezea Katiba mpya na ndio msingi wa kizazi hiki na Cha kesho, tuache fitina za CCM, na tusipo itoa CCM mwaka huu, kamwe watu hawatapata haki tena, huyu Lissu tumchague atutengenezee mfumo mzima wa utawara, nchi hii itapigwa hatua na Wana nchi tutaona mafanikio makubwa, MUNGU akulinde tuvuke kwenye uchaguzi huu.

  • @danfordkitwana6759
    @danfordkitwana6759 3 ปีที่แล้ว +6

    ni miaka mitano imepita toka rais mtarajiwa afanyiwe interview hii. mwaka huu 2020 imekuwa dhahiri sana. TL is genious.

  • @romansuzana46
    @romansuzana46 9 ปีที่แล้ว +52

    Mhe Lissu tunaona harakati zako na chama chako and we real appreciate,Mungu azidi kukulinda.

    • @deogrtiasmassawe2646
      @deogrtiasmassawe2646 5 ปีที่แล้ว +1

      Suzana Roman kbs

    • @shukranrwesa7691
      @shukranrwesa7691 4 ปีที่แล้ว +3

      Kama kuna mtu ninae mpenda wanasiasa bc ni tundu lisu

    • @kyambarungwematv6828
      @kyambarungwematv6828 4 ปีที่แล้ว

      Msenge Sana wew ndiyo wale wale mabeberu

    • @romansuzana46
      @romansuzana46 4 ปีที่แล้ว

      @Kyambarungwe ma TV Kuma la mamayako wewe,kwani umelazimishwa kukubaliana na Mimi.au ndio usenge uliousema maana ni wasenge tu ndio hawajui kuacha jambo liwapite.choko wewe

    • @gastordominic410
      @gastordominic410 4 ปีที่แล้ว +2

      Mungu anamlinda kweli

  • @deodathkizito9637
    @deodathkizito9637 4 ปีที่แล้ว +10

    TUNDU LISSU akili kubwa Sana karibu kwa nyumbani Tz.

  • @dareenali6086
    @dareenali6086 4 ปีที่แล้ว +14

    Kura yangu unaichukuwa 2020

  • @enockheche5917
    @enockheche5917 6 ปีที่แล้ว +49

    Nimeamini watu wana laana kama mtu anaweza kujaribu kuua mtu wa aina hii ambae ni hazina kwa taifa hili, hii ni laana kabisa

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 7 ปีที่แล้ว +67

    Lissu ni Akili kubwa..✌

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimerudi tena 2024 kuangalia hii kitu. Haichujiiiiii MIAKA TISA SASA!

  • @godfreymarandu304
    @godfreymarandu304 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa kweli ni kichwa sana

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed3577 3 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah maashaallah maashaallah tundu lissu allah akulinde

  • @salehsaleh548
    @salehsaleh548 4 ปีที่แล้ว +5

    Lissu ni more than president 🙌🙌

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 ปีที่แล้ว +33

    Hapo kwenye Elimu umenigusa sana

  • @gadyjohn3815
    @gadyjohn3815 3 ปีที่แล้ว +2

    Hichi kichwa binafsi nakikubali saaana....sijui mambo mengine ila namkubali

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 3 ปีที่แล้ว +24

    This is the best interview I ever watched,best interview all the time till this time 2020 ✌️✌️✌️✌️Go lissu this is your time 🥇

  • @jacksondaud4957
    @jacksondaud4957 3 ปีที่แล้ว +2

    Mdogo wangu lissu mwenyezi mungu akujalie maisha malefu

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 4 ปีที่แล้ว +9

    Like Za Tundu Lissu 2020

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 9 ปีที่แล้ว +22

    Thank you Lissu..wanataka kumfanya Nyerere alikuwa kimungu mtu, Big NO
    You are the best Lissu....Kumbe Tanzania kuna watu kama hawa Aisee

  • @Evod-dd3kw
    @Evod-dd3kw 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mungu yupo kwa wale ambao hawaamini kua hayupo wa mwangalie kupitia Antipasi Lisu.watamuona Mungu baba aliye umba mbingu na dunia

  • @denischacha9104
    @denischacha9104 6 ปีที่แล้ว +25

    Tundu noma

  • @sheikhshekuehamzamzonge1658
    @sheikhshekuehamzamzonge1658 8 ปีที่แล้ว +24

    Allah tupe mwisho mwema

    • @omarmbega702
      @omarmbega702 3 ปีที่แล้ว

      Mzonge wawapiwewe tanga

  • @japharytwaha8552
    @japharytwaha8552 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli Tundu Lisu ni mtu wa pekee sana Tanzania utakuta mtoto wa Shule hizo hajui hata maana ya well done pia hajui inasikitisha sana

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 3 ปีที่แล้ว +36

    Saa6 uck tarh 19-9-2020 Naangalia Mh. Rais Mtalajiwa Nani Kama Mimi

  • @jivavaherode6191
    @jivavaherode6191 6 ปีที่แล้ว +40

    Anafaa kuwa Raisi wa nchi ya wanyonge wanao onewa

    • @shawnmichaels1893
      @shawnmichaels1893 3 ปีที่แล้ว

      Ulikuwa unamaono aisee

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 3 ปีที่แล้ว

      @@shawnmichaels1893 huyu jamaa ni jembe sana basi tu watu wanajiondoa ufaham et katumwa lakini alianza zamani sana kutetea wanyonge

  • @freemasonkingdom2847
    @freemasonkingdom2847 6 ปีที่แล้ว +19

    Iissu unajua siasa zidi kupakua madudu

  • @nestrysondegod3499
    @nestrysondegod3499 4 ปีที่แล้ว +8

    Kam unaangalia hii video 2020 gonga like tujuane

  • @matheomatheo9286
    @matheomatheo9286 9 ปีที่แล้ว +6

    siasa za kutenganisha watu walioungana ni hatari kwa raia kwa sababu watanzania wanapenda Amani kuliko kituchochote duniani mimi ningependa chama cha upinzani kishinde ili uwajibikaji uongezeke kivyama

  • @alexteophil.c9293
    @alexteophil.c9293 5 ปีที่แล้ว +21

    Huyu mtu ni maktaba yangu ya maarifa asee ..... i do appreciate the way he play his part in his right position.... Your one of the best aducated person in Tanzania with average level of education. We miss your presence in our lovely country... your wellcome back Tundu Lissu

    • @benjaminmtambo4868
      @benjaminmtambo4868 3 ปีที่แล้ว

      Sugu mby

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 3 ปีที่แล้ว

      Masters degree in Law is not average: he is highly educated.

  • @barackmwakilema920
    @barackmwakilema920 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu anaona mbali sana dah tungempoteza huyu mtu tungepoteza kitu cha thaman sana

  • @elibarikilaizar5423
    @elibarikilaizar5423 4 ปีที่แล้ว +1

    Tundu tunda la Tanzania Mungu akubariki Sana

  • @caindunke8526
    @caindunke8526 3 ปีที่แล้ว +7

    October 2020 inakaribia ✌🏽

  • @stevenhaule87
    @stevenhaule87 3 ปีที่แล้ว +27

    Unaisikiliza interview ya 2015 mwaka 2020 na still unamuona mwamba mwenye misimamo ileile. Yaani interview kama ya mwaka huu

  • @suysoni
    @suysoni 9 ปีที่แล้ว +20

    hahaha Lisu namkubali sanaaa 1:03:26, anakwambia anapenda sana kuchimba usiku ili kesho yake akawabane bungeni hehe

  • @oscarmmari5061
    @oscarmmari5061 8 ปีที่แล้ว +22

    Tundu Lissu is a brilliant politician and we are missing out not having him running the government.

  • @salehmadawa7035
    @salehmadawa7035 4 ปีที่แล้ว +5

    Sjapata kuona msomi wa aina hii nimsomi wa hali hali ya juu

  • @philemonphillip3842
    @philemonphillip3842 8 ปีที่แล้ว +21

    The great Tundu Lissu.. Genius . Keep up the same spirit ..my nmbr one Role model. Cheers champ.. Ur bttr than those low lives who milk money frm there own gvt and feel proud to be called rich while inthere heads there is nthng.. Continue leavng a legacy

  • @nancyisaiha5912
    @nancyisaiha5912 3 ปีที่แล้ว +18

    Thank you Mr Lissu for elaborating a little about politics

  • @salimbwaya8243
    @salimbwaya8243 3 ปีที่แล้ว +1

    Salama rudisha kipindi cha mkasi ni ktk ubunifu Bora kabisa uliowahi kuufanya maishani mwako

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 7 ปีที่แล้ว +30

    Lisu,your awesome men!! keep going.

    • @simbabbq4427
      @simbabbq4427 3 ปีที่แล้ว

      Lisuu raisiwetu sisihatutaki mabarabara tupemaisha tule natuwehuru barabaravakajenge chato

  • @englengaipaul6000
    @englengaipaul6000 5 ปีที่แล้ว +4

    wewe ni taifa kubwa mh lisu mungu akulinde sana

    • @elisantennko7811
      @elisantennko7811 3 ปีที่แล้ว

      Uko vizuri tindo letu na rais ajae tundu lisu ustishwe na wachache wanao rubuniwa na saani ya ubwabwa wa sku moja kesho walale njaa

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 4 ปีที่แล้ว +3

    Hichi ni kichwa aiseee

  • @Raysam-ki1rc
    @Raysam-ki1rc 3 ปีที่แล้ว +5

    👇Tujuane hapa 2020

  • @patrickmwakisyala4877
    @patrickmwakisyala4877 3 ปีที่แล้ว

    Lissu your always the best miaka hyo ya uwazi imepotea Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu kuu ya kuendelea kupambana naiman ipo siku utaweza rudi na kuishi tena kwa aman tz

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 3 ปีที่แล้ว

    Naskia Kikwete alisema ni bora Dr. Slaa awe rais kuliko Lissu kuwa mbunge. The guy is talented. #NiYeye2020

    • @professamuddy5407
      @professamuddy5407 3 ปีที่แล้ว

      Alisema hivyo kwakuwa anajua Lissu hua ana msimamo. Huyumbishwi kwahio wanamuogopa anawapa ukweliii!.

  • @setielmashok6087
    @setielmashok6087 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa sana

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki9914 9 ปีที่แล้ว +8

    Shukran Salama kwa kutualikia lissu tunakuomba na Jussa umlete. Muba hakuna lisiloshindikana mungu akijaaliya muungano wa serikali 2 hauna muda mrefu kaka yangu kama Nyerere,Hitler,Mobutu,Saddam,Gaddafi, Makaburu,Ussr. basi na hili lina mwisho kijana Ccm si lolote mbele ya mungu hawawezi kuishi miaka 500 kama yafirauni hizo ni akili za kikafiri kukipa kitu umri wa dumu daima

    • @obeidmpombwe9951
      @obeidmpombwe9951 4 ปีที่แล้ว

      Mungu kweli alikupa kitu ndani yako uliongea Miaka kadhaa iliyopita kuwa tunakwenda kubaya kweli tumekuwa kubaya zaidi.

    • @selinaalbert8993
      @selinaalbert8993 3 ปีที่แล้ว

      Waliona kizuri kisidumu wakasahau kuwa yupo mtetezi Yesu

  • @annefridakisesa4910
    @annefridakisesa4910 9 ปีที่แล้ว +12

    I am absolutely impressed by Mheshimiwa Tundu Lissu's arguments, particularly on the issues of education and "special schools". Frankly speaking, compared to other countries which got independence at the same time as Tanzania, we have completely messed up on education. This will continue jeopardizing chances for national development by our future generations. If we didn't educate them properly, and give them much needed skills, what is the chance of this country being at par with other nations?? Can you believe that that this wonderful peaceful country has to be a recipient of WB grant for "Big Results Now in Education Program (BRNEd) Project", aiming to improve education quality in Tanzanian primary and secondary schools? This is after more than 50 years of independence? We really have to think seriously on electing right people, principled people with good governance.

    • @marccruz5765
      @marccruz5765 2 ปีที่แล้ว

      I dont mean to be off topic but does someone know a trick to log back into an instagram account..?
      I was stupid lost my account password. I would love any tips you can offer me.

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 4 ปีที่แล้ว +8

    Kiongonzi wetu mpya

    • @merlisapeter2522
      @merlisapeter2522 3 ปีที่แล้ว

      Ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

    • @merlisapeter2522
      @merlisapeter2522 3 ปีที่แล้ว

      Ppppppppppppppppppppppplpppplppppppplppppppppppplpppplpppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppplpplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppoppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppopppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppplppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

  • @selemansombe4177
    @selemansombe4177 4 ปีที่แล้ว +6

    And I watch today...still the best politician.

  • @davidommassy2002
    @davidommassy2002 6 ปีที่แล้ว +2

    Mubba na mwenzio in vilaza rudini shuleni, shule in muhimu sana, huenda mulisoma shule za kata

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 7 ปีที่แล้ว +6

    Shule siyo jengo ni uwepo wa walimu. Vitabu. Maabara. Na vitendea kazi

  • @elishuakivuyo140
    @elishuakivuyo140 4 ปีที่แล้ว +4

    2020 Bado nimekusikiliza nakukumbuka pia

  • @gottaboy4178
    @gottaboy4178 6 ปีที่แล้ว +13

    mamae!!! yaani huyo muba alikua anazingua kwenye kipindi, sijui mlitumia kigezo gani kumuweka, bora mngeniita hata mimi

  • @ayubusikagonamo3875
    @ayubusikagonamo3875 4 ปีที่แล้ว +3

    Mh. Rais kipenzi cha watanzania hakika wewe umebeba maono Mungu akulinde...

  • @jodsonmbezi838
    @jodsonmbezi838 3 ปีที่แล้ว +10

    Wewe upendi watu wafe na wewe aufi miaka yote nakupenda mweshimiwa Rais

  • @agerpityswai1555
    @agerpityswai1555 6 ปีที่แล้ว +6

    Zanzibar ni koloni la tanganyika💃💃

  • @GANG3MONEY
    @GANG3MONEY 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimeipenda hyooo

  • @stephenshayo734
    @stephenshayo734 8 ปีที่แล้ว +13

    Mh Tundu Lissu aalikwe tena kwenye kipindi hiki cha Mkasi na kipindi kitangazwe vizuri kuwa kitakuwa lini ili wengi tusikikose

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว

      Stephen Shayo hatumpendi msalit mkubwa

  • @gentlemantesha4184
    @gentlemantesha4184 3 ปีที่แล้ว +1

    Naukalibisha mwezi oktoba kwa kusikiliza madini kutoka kwa Mheshimiwa Rais 🇹🇿

  • @jacobmoses2175
    @jacobmoses2175 3 ปีที่แล้ว +1

    Naiangalia 2020 but ni kama mpya

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 2 หลายเดือนก่อน

    Hizi speeches zinaishi milele

  • @thedonmassawe
    @thedonmassawe 9 ปีที่แล้ว +40

    I've been watching this show from day one. By far this is the best guest you've ever had on here. Politics aside this guy is brilliant. Note how forthright and upfront he was about politics. Take for example admitting the fact that opportunism is part and parcel of the game, but then he goes on to explain why it's not such a terrible thing. It's not about having a popular or an unpopular stance on issues it's how you defend that stance. Talk about kujenga hoja, huyu jamaa anajua! Of all the politicians you've had on here this guy is streets ahead of them, they all could learn a thing or two from him. You also get the impression he is in politics for the right reasons and not just to cater to his own ego. Mind you there is always a bit of an ego thing involved with people in such positions, but with him you at least get the sense that his ego and people's perception of him is not his main concern, and I don't think you can say that for any of his contemporaries that you've had on your program.
    I'm sure it's not the first time you've heard it before but dude! John and Muba you need to learn to let the conversation flow on its own, give the guests time to speak and don't rush them. It's not a race to see who gets in the most questions, it's a "conversation" which means "listening" to the other person before responding accordingly. So many cases, not only in this particular episode either, you sense a conversation is heading in a really interesting direction only for the guest to be asked a completely out of topic question that just kills the topic. Unajua saa nyingine mtu akinogewa anaweza kuongea (kuropoka) vitu ambavyo hajapanga ambapo ndo uhondo wenyewe wa interview ulipo, but if you interrupt the person talking atanogewa saa ngapi? But good work though, it would be unfair to not mention that you guys have gotten a lot better from the earlier days, so props for trying to improve.

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 ปีที่แล้ว +2

      Your right tunaongea mambo ya afya ambayo i was very interested on hajamaliza wamerukia katiba there has to be a flow kama unavyosema and a transition. Inaboa sana. Nimependa aliyosema Lissu isipokua mambo ya muungano.

    • @kaizafulgence5415
      @kaizafulgence5415 7 ปีที่แล้ว

      thank you for saying this. I am less polite when it comes to Muba and his friend's interruptions and I think Salama should always try to bring the speaker back from her fellows' misquestioning.

    • @keshenigabagambi9384
      @keshenigabagambi9384 7 ปีที่แล้ว

      Donath Massawe.....

    • @officialadon1056
      @officialadon1056 6 ปีที่แล้ว

      ,

    • @alutemughwai2185
      @alutemughwai2185 4 ปีที่แล้ว

      Donath Massawe

  • @erickrichard4516
    @erickrichard4516 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe maisha marefu lisu. hakika tunamsomi tanzania.

  • @ilejedistrict6136
    @ilejedistrict6136 3 ปีที่แล้ว

    Sure this is a real deal indeed !! HAKIKA MUNGU NDANI YA TANZANIA NA AMETUPA MTU

  • @lingsonmasoud2946
    @lingsonmasoud2946 6 ปีที่แล้ว +13

    Salama hahahaa huyo baba ako unamuhoj km mshkaj bn ila nmependa ilkua amaizng

    • @edwardvelidiana1864
      @edwardvelidiana1864 4 ปีที่แล้ว

      Jamani!!!!!!

    • @primuskiiza6403
      @primuskiiza6403 3 ปีที่แล้ว

      Nimegundua sana unapendwa. na Wasomi/ na wasio wasomi lakini wanajitambua. Congratulations. to you. Tundu. Lisu

  • @blessedgombezi
    @blessedgombezi 3 ปีที่แล้ว +1

    Leo yupo hapa kama mgombea urais

  • @husseningurukuru730
    @husseningurukuru730 3 ปีที่แล้ว +2

    Hasante lisuu uko sahii

  • @mweshimiwaraisshikiliahapo8405
    @mweshimiwaraisshikiliahapo8405 3 ปีที่แล้ว +1

    We Tundulisu kweli we ni shoga kwa sababu gani unavaa hereni

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 3 ปีที่แล้ว

      Wapi kavaa hereni,una uoni hafifu au ni mhemko wa kipumbavu

    • @jastonelazaro5944
      @jastonelazaro5944 3 ปีที่แล้ว

      Unaweza kumtusi hata mzazi maana unamhemko kama uko ovulation period

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 ปีที่แล้ว +1

    Duh...hii clip Naikumbuke Sana....

  • @jonathanabsolom453
    @jonathanabsolom453 9 ปีที่แล้ว +34

    Salama umejitahid sana kuuliza maswal mzurr
    Next time ukiita mtu kama lisu jaribu kutafuta kampan ya watu wenye akili kdgo ili interview iwe interested kdgo coz kina muba hao walizidiwa maji apo

    • @joycedaniel6127
      @joycedaniel6127 4 ปีที่แล้ว +1

      Jonathan Absolom kweli kabisa

    • @hamdaniyasinimunguibarikit6734
      @hamdaniyasinimunguibarikit6734 4 ปีที่แล้ว

      Kweli usimwachemtu kuongeapumba then humuliziswali hatamoja haowenginekama wametumwa wasimulizeswali

    • @sammushi112
      @sammushi112 3 ปีที่แล้ว

      @@hamdaniyasinimunguibarikit6734 9

    • @jumaomary9087
      @jumaomary9087 3 ปีที่แล้ว

      Mina ukoo vizuritu Sanaa kikazi

  • @allyjuma1707
    @allyjuma1707 3 ปีที่แล้ว

    Safiii saana lisu yaani huwa sichoki kukusikiliza kwenye mazungumzo yako, huwa najifunza vitu vingi saana kutoka kwako nataman siku moja uwe Rais wa hii nchi

  • @jonasjohn1384
    @jonasjohn1384 3 ปีที่แล้ว

    Tundu bovu ,,yaani apa na mzungu mzia tundulisu,,,,yupo vizuli ktk uwongeaji,,,na herim ya kufikilia. Jambo zuri anyo, lakini ana uwezo wa kuongoza nchi

  • @mansurnguja7306
    @mansurnguja7306 3 ปีที่แล้ว +3

    Salama na wenzako hamna uwezo wa kumhoj Mh tndu Lissu mnaulza chenga2, ulizen Mambo ya maana kama Dada Farhiya Middle.

  • @zwwasost
    @zwwasost 9 ปีที่แล้ว +11

    Great interview. Asilimia 50 ya wabunge wetu wangekuwa na akili kama huyu mtu. Nchi ingekuwa mbali sana.

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 7 ปีที่แล้ว

      Kumbe hujui tundulisu niadui nambamoja anajitahid kuzuia maendeleo lakin hataweza.

    • @primuskiiza6403
      @primuskiiza6403 3 ปีที่แล้ว

      @Meshack Mliwa unapenda kutukana. Sana. Basi. Inafikirika kuwa. Unatoka. Katika Nyumba. Za. Udongo/matope !!!!!!!?

    • @primuskiiza6403
      @primuskiiza6403 3 ปีที่แล้ว

      Big. Up. Toooo

  • @hmwame44
    @hmwame44 8 ปีที่แล้ว +7

    Kitale upo juu

  • @fabiangabrielkidumya7284
    @fabiangabrielkidumya7284 9 ปีที่แล้ว +3

    inatubidi tuwe na uwezo wa kufikiri na kutenda vema ili tutimize wajibu wetu katika siasa na uchumi wa nchi yetu.KUA MWANGALIFU ACHA KULA RUSHWA

    • @numbeshocknumber6258
      @numbeshocknumber6258 3 ปีที่แล้ว

      Bona hojazako nizakurenganusga tu .watanzania?nikusema ina ahadi yoyote kwa wanaimchi?

  • @philipkato6517
    @philipkato6517 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa ni kichwa sana huyu lissu daah..

  • @amoslameckshapagala2332
    @amoslameckshapagala2332 4 ปีที่แล้ว +3

    Lisu 4rever

  • @Khezeir
    @Khezeir 9 ปีที่แล้ว +5

    Salama sio qoran inayosema alama za mnafiq ni tatu ni hadith. Ambayo ulokusudia kusema mtu mwenye kusema uongo. Ila unatisha kinoma.

  • @selemanikisanga4424
    @selemanikisanga4424 4 ปีที่แล้ว +5

    Tumpe kura huyu ndiye rais Bora Sana na amekusudiwa namungu

    • @topotachilemba9196
      @topotachilemba9196 3 ปีที่แล้ว

      NI KAMA ULITABIRI KABISA LEO ANAGOMBEA TUMPATIE KURA

  • @twaibukihimbi1148
    @twaibukihimbi1148 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole mkuu

  • @tizzomushi4072
    @tizzomushi4072 3 ปีที่แล้ว +12

    Yaani kitu kizuri huwa kinafichwa aisee kwann walitaka kumuuwa mjomba lissu mbona ndo mtu mzuri?????

  • @lengaymaida434
    @lengaymaida434 6 ปีที่แล้ว +8

    Get like this soon mh.

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 3 ปีที่แล้ว +2

    Lissu akili nyingi,25/09/2020

  • @martinanappa9627
    @martinanappa9627 3 ปีที่แล้ว

    We Tindu lisu ni mbwaa.
    Uchaguzi ukiisha unaolewa tarehee 30.10.20

  • @MrLemunge
    @MrLemunge 9 ปีที่แล้ว +3

    yeah jamaa katisha !! kamanda lisu