Oh ALLAH! Grant us the ability to help each other, the wisdom to guide one another, the patience & understanding to deal with each other, the trust to talk to one another. Oh ALLAH! Give us the ability to be there for each other, Ya ALLAH, do not abandon us when in need, for YOU are the best to turn to, Guide us towards your path for that is the path of true success, grant us the best of this world and the best of the hereafter. Amin Jummat mubaaraq.
kuna watu wana dharau sana wanafkiri nchi yetu kua na amani hvi inalindwa na kuku hawa ndo kla ktu kwetu wakilala sec1 ndo bas tena , god bless you JWTZ.
Acha kukufur ww MUNGU ndo anatulinda sisi wanaadam pamoja na hao makomando hao si chochote si lolote wanasubir kufa tu kama ss ww ni muislam.usifikie kusema hao ndo kila kitu kwetu ukamsahau muumba wa mbingu na ardhi ambae yy halali wala hasiinziii wala haf ndo kila kitu kwetu na sio hao
Rais Magufuli akitimiza yote anayosema katika hotuba zake kwa wamanchi bila shaka Tanzania itakuwa Nchi ya maendeleo na kushinda Nchi zote katika bara la Afrika.
At least lakini kwa wale tuliopitia martial arts kwa level hiyo mkufunzi wa martial arts kwenye martial arts aongeze ufanisi.Ila wako fit kiafya na akili hicho ndicho cha kujivunia
Hili sio jeshi la anga ni la ardhi unaefananisha NA jeshi la marekani katka nyanja ipi ?alafu ni mbinu za kupigana pasina silaha INSHORT WALETE HAO MAKOMANDO WA KIMAREKANI TUWAONE "this is international " course HATA WAO WANAFANYA TENA TUNAWAZIDI
Walipigwa somalia operation black hawks tena sio na jeshi la serikali bali waasi tu wskiongozwa na mohammad farai didi America ardhini chai tuuu,hawawezi lolote
Nod hivo bahati mbaya watanzania walivo wengi wanapenda kuongelea vitu ambavyo hata hawana utaalam navyo. Yani wako less informed kunako mada wanazochangia. Mtu anakwambia eti anavoona makomando as Tanzania sijui na wa nchi gani ni tofauti. Ukimuuliza mpak mtu aitwe komando internationally anatakiwa apate kozi gani na labda apatie wapi kozi hiyo hajui.
hongera amiri jeshi mkuu na mkuu wa majeshi kwa kuwapika vijana wetu nakuwa katika hali hiyo ya hatari kwa ajiri ya ulinzi wa nchi yetu hongeleni pia makomando wote wa tz
ebana eeeh dah bado sana nawapongeza ila bado sana em kama unabisha andika hapo juu Saudi Arabia Special Forces Uangalie mwenyewe siamini mpk leo bado tunavunjiana na matofali hapo naona Ka gari lamoja kana sukumwa na watu wawili em andika Saudi Arabia special forces tuige kama hvyo maonyeshe yajayo yanoge kidogo
Hivi jamani mwadhani kua commando ni mzaha?Nijuavyo mimi,ni kwamba ili uwe commando ambae umepewa cheti cha ukomando,lazma uwe umepitia kozi hiyo Israel miaka 7 then ukamalizie miaka mingine 15 Cuba.Ndo unapewa cheti cha ukomando.Hayo mazoezi wanayo onyesha,katika karate hizo zaitwa kata.Africa si kila nchi ina komando.Tanzania ni yetu,ila kunako ukomando bado kabisa
Oh ALLAH! Grant us the ability to help each other, the wisdom to guide one another, the patience & understanding to deal with each other, the trust to talk to one another.
Oh ALLAH! Give us the ability to be there for each other, Ya ALLAH, do not abandon us when in need, for YOU are the best to turn to, Guide us towards your path for that is the path of true success, grant us the best of this world and the best of the hereafter. Amin
Jummat mubaaraq.
Muhammad Ashiru mh hawana rorote naoba kinuke niwaone hizo bwebwe
Sisi Tanzania tuko vizuri
mko vizuri makamada wangu mungu awabariki xana
kuna watu wana dharau sana wanafkiri nchi yetu kua na amani hvi inalindwa na kuku hawa ndo kla ktu kwetu wakilala sec1 ndo bas tena , god bless you JWTZ.
Acha kukufur ww MUNGU ndo anatulinda sisi wanaadam pamoja na hao makomando hao si chochote si lolote wanasubir kufa tu kama ss ww ni muislam.usifikie kusema hao ndo kila kitu kwetu ukamsahau muumba wa mbingu na ardhi ambae yy halali wala hasiinziii wala haf ndo kila kitu kwetu na sio hao
@baaliyanuun416 mwambie kk
Vzuri sana mungu ibariki tanzania
Napenda sana uzalendo wa Taifa langu...soon Tutakuwa wote
wooooooooow guys mimi siwezi hiyo kazi kabisa nyinyi ni washuja kweri shukurani.
naipenda sna hyo kazi jmn
Nitafute baba angu yupo makao makuu nitamwambia akusaidie
0657149323
Hongeren Sana TZ tunajivia kuwa nanyi
Mungu baliki jeshi letu much love military 💪👊
Napenda Sana jeshi
Tanzanian prooved themselves to be capable when they conquered and chased Idd Amin out of Uganda.
hongeleni sana makomando wetu fanyeni kazi ya taifa
Very good makomando wetu wa tz mpovizuri sana sana hata mm nayatamani nice my brother s
I love you tz
Tupo vizuri
kwa ulinzi wataifa letu Mungu aliponye jeshi
kiwango kinalizisha sio mbaya sana
cha muhimu adui asielewe mbinu
Excellent
Educational Resources &Entertainment
Nice job Jwtz
Tanzania tuko vizuri
hatari sana, safi sana wanajeshi wetu
Hongereni sana ccm
Mm mwenyewe napenda ukomandooooo nakutetea taifa langu
Mungu awalinde wanajeshi wote wa tanzania
safi san wanajexh hongeleni.
yes wako vizuri
Mambo mazur Sanaa
mko vizur jaman hongeleni xana tena xana nimeipenda
hilo jeshi nalipenda sana hatari...
Tanzania tunaweza
kweli jeshi letu liko vizuri sana
Wanahemaaaa, wanapishanaaa, hadi raha napenda kuona its luvly
hongera sana wanajeshi wetu mmejitahd mmenitamisha nataman kujiunga
makomando
good sana kwa kazi
mh kwel Tanzania tunaweza
Mko vizuri sana wanajeshi wetu
VERY TRUE KEEP AFRICAN HOPES ALIVE
safi sana komando we2
komando wetu Tz wako vzuri Big up sana
😘😘😍😍😘😘😂😂hapn chezea Tz
Very competent people in Tz
It can be
daaah! hawa makomando wako vizuri sana sio watu wa mchezo mchezo
hadija abdallah ext
tusi pende kubeza jamani hakika ndio jeshi letu hatuna budi kupongeza
wapi like za wakenya
Tuko wengi tunaojivunia jeshi imara la Tanzania
Mung ibalik tz mung balik jwtz
Napenda sana.napenda mtoto wangu awe kama hawa wanajeshi wakakamavu
hongera sana wanajeshi wetu mmejitahd
tupo vizur tnz oyeeeee hongela jeshi lletu
Estamele Jomah mmmmm
Rais Magufuli akitimiza yote anayosema katika hotuba zake kwa wamanchi bila shaka Tanzania itakuwa Nchi ya maendeleo na kushinda Nchi zote katika bara la Afrika.
wapi nani kakuambia
Susana Nyasani
Raisi
Mm nimetulia. Sana nikimcheki uyo. Mwenye kitambi. Kumbe. Yupo. Fiti. Ako. Wapi. Nimpatie. Zawadi
Mazoezi hiyo hatari sana
safi sana
Kuna komando ana kitambi jaman?
duuhhhhh shikamoooo JESHI
Nilikua namcheka huyo mwenye kitambi. Kumbe anweza. Yupo vizuri.
Jwtz ni noma sana
normal excise
Mahakama ya ngulla Kwimba ,Mwanza inachekesha sana viongozi Ngazi za juu hebu fanyeni himaa haki za watu Zinapindishwaa tu
At least lakini kwa wale tuliopitia martial arts kwa level hiyo mkufunzi wa martial arts kwenye martial arts aongeze ufanisi.Ila wako fit kiafya na akili hicho ndicho cha kujivunia
Hili sio jeshi la anga ni la ardhi unaefananisha NA jeshi la marekani katka nyanja ipi ?alafu ni mbinu za kupigana pasina silaha INSHORT WALETE HAO MAKOMANDO WA KIMAREKANI TUWAONE "this is international " course HATA WAO WANAFANYA TENA TUNAWAZIDI
Walipigwa somalia operation black hawks tena sio na jeshi la serikali bali waasi tu wskiongozwa na mohammad farai didi America ardhini chai tuuu,hawawezi lolote
Iko powa
aisee ni nooma sana
nice
goog i like it
Yes
AIBU KWA TAIFA!!!
Akili finyu
Kwanini
well done
mko juu sana jeshi letu jikaze
great,no crimes!
Maisha
Nod hivo bahati mbaya watanzania walivo wengi wanapenda kuongelea vitu ambavyo hata hawana utaalam navyo. Yani wako less informed kunako mada wanazochangia. Mtu anakwambia eti anavoona makomando as Tanzania sijui na wa nchi gani ni tofauti. Ukimuuliza mpak mtu aitwe komando internationally anatakiwa apate kozi gani na labda apatie wapi kozi hiyo hajui.
Abdul Sadala Yunus
Makomando wanatofautiana daraja .Hauwezi kusema komando wa tanzania yupo sawa na komando wa china au america
Kaka
saf sana wanajeshi wetu mko vizur
hongera amiri jeshi mkuu na mkuu wa majeshi kwa kuwapika vijana wetu nakuwa katika hali hiyo ya hatari kwa ajiri ya ulinzi wa nchi yetu hongeleni pia makomando wote wa tz
Daud Mabula Mashenene
Bob maler
Dorice Joseph
ubungo kids
Dah
Hatari
ao maadui nao utawakuta wamelala au
ebana eeeh dah bado sana nawapongeza ila bado sana em kama unabisha andika hapo juu Saudi Arabia Special Forces Uangalie mwenyewe siamini mpk leo bado tunavunjiana na matofali hapo naona Ka gari lamoja kana sukumwa na watu wawili em andika Saudi Arabia special forces tuige kama hvyo maonyeshe yajayo yanoge kidogo
❤❤❤
l like oneday l will
Noma sana
ndo maana wakikukamata sehemu wanayokataza wanakufanya mpaka ukimwona aliyevaa vaz kama lao unahc kuingia ktk ardhi
bro unafanya kazi nzuri sana
wapo gud sana
Safi hongereni sana komando
Hatariii
dah sijui nimalize chuo nikapige up up Mara ya pili tena maana hiyo molari nimeimici sana!!!!
JUMA J. MALELEMBA sana
JUMA J. MALELEMBA p
Tunajivunia sana jeshi letu
Mohamed Mwakatika unanjivunia nn kwan jesh LA baba ako
Kama makomandoo nihawa basi hatuna kitu tucjidanganye mlinz wetu ni mungu tu
hongera sana mafundi wetu
Wasajo saimon pmp0
awo jamaa cna ham nao walimfanya kitu ndgu yangu mpaka leo akiwaona anahadithia
Freemason
FFU macho kodo, kazi ya kulala malindon tu, mnaona wenzenu makomandoo
Sisi tuko vizur kuliko hawa sema hawa ni kikundi maalum na ss tupo wanao lala malindo na kikosi maalum kama hichi pia hawa wapo wanao lala malindon
Hivi jamani mwadhani kua commando ni mzaha?Nijuavyo mimi,ni kwamba ili uwe commando ambae umepewa cheti cha ukomando,lazma uwe umepitia kozi hiyo Israel miaka 7 then ukamalizie miaka mingine 15 Cuba.Ndo unapewa cheti cha ukomando.Hayo mazoezi wanayo onyesha,katika karate hizo zaitwa kata.Africa si kila nchi ina komando.Tanzania ni yetu,ila kunako ukomando bado kabisa
Sasa unataka wakuonyeshe kila mbinu wanayotumia??? jiongeze hata kidogo, ukionyesha kila kitu adui, unategemea nini??????
si basi. Sasa ni wakati wa majeshi wa kenya na Uganda kuonyeha ujasiri wao. Hakuna uzembe Afika mashariki
Ka mjomba kangu kipp hakinaga was
Mnaosema hawakovizir nenden nyie mkajaribu tuone kama lahis
nice sana
Nimeipenda sana
Hongereni wanajeshi wetu mungu awabariki
Kudharau jeshi LA wananchi ni ujinga ,jwtz ni jeshi LA ukombozi wa Zimbabwe,msumbiji,south Africa,Uganda,Congo ,lebanoni,nk k
Hongela Sana makomando wetu hii ndoinchi yetu hakika mazoezi yafanyike kwajili ya ulinzi wa taifa letu sartu kwa makomando 🙋
we ni mwanzo na mwisho raid wetu hongera sana.
wako vizr,hiyo ni siri ya Taifa,hawawezi kuonesha kila kitu(Kuwapumbaza maadui)
ase ni binadam hao kwer
Daaah kwahali hii akuna cha all shabab bongo
na wajaribu
Maonyesho hayo tuu! Hawo wakomamdo wakikabliana na wacchunga ng'ombe kutoka Kagera hawawizi kufuwa dhafu......kutumbwiza uma tuu..
napenda sana hii fani
aliyeunda kauli mbiu ya miaka 55 ya uhuru sio sahihi kwa mtazamo wangu
kweli nimetamani jeshi
Diamond
Marsha Ya kisasa