Makomando wa TZ wakipambana bila bunduki

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ธ.ค. 2016
  • December 9 2016 zimefanyika sherehe za maadhimisho ya 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Uhuru Dar es salaam, ambapo Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alikuwa mgeni Rasmi.
    Mbele ya Rais Magufuli Makomandoo wa JWTZ walipata nafasi ya kuonyesha uwezo wao ikiwamo pamoja na namna ya kukabiliana na adui.
    VIA AZAM TV.

ความคิดเห็น • 383

  • @muhammadashiru6501
    @muhammadashiru6501 7 ปีที่แล้ว +11

    Oh ALLAH! Grant us the ability to help each other, the wisdom to guide one another, the patience & understanding to deal with each other, the trust to talk to one another.
    Oh ALLAH! Give us the ability to be there for each other, Ya ALLAH, do not abandon us when in need, for YOU are the best to turn to, Guide us towards your path for that is the path of true success, grant us the best of this world and the best of the hereafter. Amin‎
    Jummat mubaaraq.

    • @barakamakoye9367
      @barakamakoye9367 6 ปีที่แล้ว +1

      Muhammad Ashiru mh hawana rorote naoba kinuke niwaone hizo bwebwe

    • @ahmedngereza8148
      @ahmedngereza8148 4 ปีที่แล้ว

      Sisi Tanzania tuko vizuri

  • @sedekialivgistone3438
    @sedekialivgistone3438 7 ปีที่แล้ว +3

    mko vizuri makamada wangu mungu awabariki xana

  • @abdalahmawanga7341
    @abdalahmawanga7341 5 ปีที่แล้ว +34

    kuna watu wana dharau sana wanafkiri nchi yetu kua na amani hvi inalindwa na kuku hawa ndo kla ktu kwetu wakilala sec1 ndo bas tena , god bless you JWTZ.

    • @baaliyanuun416
      @baaliyanuun416 3 ปีที่แล้ว

      Acha kukufur ww MUNGU ndo anatulinda sisi wanaadam pamoja na hao makomando hao si chochote si lolote wanasubir kufa tu kama ss ww ni muislam.usifikie kusema hao ndo kila kitu kwetu ukamsahau muumba wa mbingu na ardhi ambae yy halali wala hasiinziii wala haf ndo kila kitu kwetu na sio hao

    • @user-wk6tf1yg8g
      @user-wk6tf1yg8g 2 วันที่ผ่านมา

      ​@baaliyanuun416 mwambie kk

  • @aryanamartin2743
    @aryanamartin2743 4 ปีที่แล้ว +2

    Vzuri sana mungu ibariki tanzania

  • @emmyjohn2470
    @emmyjohn2470 5 ปีที่แล้ว +6

    naipenda sna hyo kazi jmn

    • @baaliyanuun416
      @baaliyanuun416 3 ปีที่แล้ว

      Nitafute baba angu yupo makao makuu nitamwambia akusaidie
      0657149323

  • @calebngimbudzi4979
    @calebngimbudzi4979 6 ปีที่แล้ว +9

    kwa ulinzi wataifa letu Mungu aliponye jeshi

    • @atanito1327
      @atanito1327 3 ปีที่แล้ว

      kiwango kinalizisha sio mbaya sana

    • @atanito1327
      @atanito1327 3 ปีที่แล้ว

      cha muhimu adui asielewe mbinu

  • @mzeemombasa.3456
    @mzeemombasa.3456 4 ปีที่แล้ว +2

    Tanzanian prooved themselves to be capable when they conquered and chased Idd Amin out of Uganda.

  • @rebeccatushabe
    @rebeccatushabe 5 ปีที่แล้ว +1

    wooooooooow guys mimi siwezi hiyo kazi kabisa nyinyi ni washuja kweri shukurani.

  • @somoendege4677
    @somoendege4677 4 ปีที่แล้ว +4

    Hongeren Sana TZ tunajivia kuwa nanyi

  • @mwandurobert4829
    @mwandurobert4829 7 ปีที่แล้ว +5

    hongeleni sana makomando wetu fanyeni kazi ya taifa

    • @mgerezashabani3898
      @mgerezashabani3898 7 ปีที่แล้ว

      Very good makomando wetu wa tz mpovizuri sana sana hata mm nayatamani nice my brother s

  • @geniusarts3439
    @geniusarts3439 3 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana uzalendo wa Taifa langu...soon Tutakuwa wote

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 4 ปีที่แล้ว +5

    wapi like za wakenya

  • @jsmtv2017
    @jsmtv2017 7 ปีที่แล้ว +17

    hilo jeshi nalipenda sana hatari...

  • @godfreychimbindu8228
    @godfreychimbindu8228 7 ปีที่แล้ว +6

    Tanzania tuko vizuri

  • @kututhumtizo7370
    @kututhumtizo7370 7 ปีที่แล้ว +11

    mh kwel Tanzania tunaweza

  • @preacher1366
    @preacher1366 5 ปีที่แล้ว +2

    Excellent

  • @erickdiocles1187
    @erickdiocles1187 4 ปีที่แล้ว +4

    Mm mwenyewe napenda ukomandooooo nakutetea taifa langu

  • @lilynives3392
    @lilynives3392 7 ปีที่แล้ว +9

    safi san wanajexh hongeleni.

  • @asinathmayemba2054
    @asinathmayemba2054 6 ปีที่แล้ว +9

    Tuko wengi tunaojivunia jeshi imara la Tanzania

  • @josephrobart7648
    @josephrobart7648 5 ปีที่แล้ว +3

    Napenda Sana jeshi

  • @mushisaden6693
    @mushisaden6693 5 ปีที่แล้ว +3

    Tupo vizuri

  • @saudambwilo3666
    @saudambwilo3666 4 ปีที่แล้ว +2

    I love you tz

  • @christianchristopher6241
    @christianchristopher6241 5 ปีที่แล้ว +14

    tusi pende kubeza jamani hakika ndio jeshi letu hatuna budi kupongeza

  • @simonmlisa4311
    @simonmlisa4311 7 ปีที่แล้ว +2

    hatari sana, safi sana wanajeshi wetu

  • @maryantony2961
    @maryantony2961 3 ปีที่แล้ว

    Mungu baliki jeshi letu much love military 💪👊

  • @lizzybby2392
    @lizzybby2392 17 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤

  • @ernestzubery8775
    @ernestzubery8775 7 ปีที่แล้ว

    good sana kwa kazi

  • @hadijaabdallah252
    @hadijaabdallah252 7 ปีที่แล้ว +8

    daaah! hawa makomando wako vizuri sana sio watu wa mchezo mchezo

  • @ramadhanmassoudmachano1443
    @ramadhanmassoudmachano1443 6 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana ccm

  • @ayubujackson191
    @ayubujackson191 6 ปีที่แล้ว +1

    safi sana komando we2

  • @ahmedabdalla1810
    @ahmedabdalla1810 7 ปีที่แล้ว +2

    yes wako vizuri

  • @annajunior6594
    @annajunior6594 6 ปีที่แล้ว +3

    Mambo mazur Sanaa

  • @jeffryasannho2977
    @jeffryasannho2977 7 ปีที่แล้ว +2

    normal excise

  • @rebecamichael5821
    @rebecamichael5821 5 ปีที่แล้ว +1

    mko vizur jaman hongeleni xana tena xana nimeipenda

  • @maridadi8
    @maridadi8 5 ปีที่แล้ว +4

    Nilikua namcheka huyo mwenye kitambi. Kumbe anweza. Yupo vizuri.

  • @ameiryussi9189
    @ameiryussi9189 3 ปีที่แล้ว

    l like oneday l will

  • @charlesjulias2649
    @charlesjulias2649 4 ปีที่แล้ว

    Nice job Jwtz

  • @fatumasaid9847
    @fatumasaid9847 4 ปีที่แล้ว

    Mungu awalinde wanajeshi wote wa tanzania

  • @amossteven9538
    @amossteven9538 5 ปีที่แล้ว +1

    Kuna komando ana kitambi jaman?

  • @sarahnyatiende1510
    @sarahnyatiende1510 2 ปีที่แล้ว

    Dah

  • @mussaprotas2023
    @mussaprotas2023 4 ปีที่แล้ว

    Educational Resources &Entertainment

  • @maikoeriyasi179
    @maikoeriyasi179 3 ปีที่แล้ว

    Yes

  • @abdalahmnute1917
    @abdalahmnute1917 5 ปีที่แล้ว +1

    kweli jeshi letu liko vizuri sana

  • @josephnchunga3019
    @josephnchunga3019 5 ปีที่แล้ว +1

    Mko vizuri sana wanajeshi wetu

  • @titomgimwa6092
    @titomgimwa6092 7 ปีที่แล้ว +2

    nice

  • @deboraabas6925
    @deboraabas6925 3 ปีที่แล้ว +1

    Maisha

  • @benigrace4216
    @benigrace4216 ปีที่แล้ว

    Mazoezi hiyo hatari sana

  • @hagaijohn9597
    @hagaijohn9597 7 ปีที่แล้ว +4

    ndo maana wakikukamata sehemu wanayokataza wanakufanya mpaka ukimwona aliyevaa vaz kama lao unahc kuingia ktk ardhi

  • @simonkimaro6212
    @simonkimaro6212 6 ปีที่แล้ว +1

    safi sana

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 7 ปีที่แล้ว +12

    Rais Magufuli akitimiza yote anayosema katika hotuba zake kwa wamanchi bila shaka Tanzania itakuwa Nchi ya maendeleo na kushinda Nchi zote katika bara la Afrika.

  • @hellenakusekwa2989
    @hellenakusekwa2989 4 ปีที่แล้ว

    komando wetu Tz wako vzuri Big up sana

  • @jumannemtawa4535
    @jumannemtawa4535 4 ปีที่แล้ว +1

    At least lakini kwa wale tuliopitia martial arts kwa level hiyo mkufunzi wa martial arts kwenye martial arts aongeze ufanisi.Ila wako fit kiafya na akili hicho ndicho cha kujivunia

  • @gloxlox4573
    @gloxlox4573 5 ปีที่แล้ว +3

    ao maadui nao utawakuta wamelala au

  • @husenhamis5778
    @husenhamis5778 6 ปีที่แล้ว +1

    Mahakama ya ngulla Kwimba ,Mwanza inachekesha sana viongozi Ngazi za juu hebu fanyeni himaa haki za watu Zinapindishwaa tu

  • @hommie9627
    @hommie9627 7 ปีที่แล้ว +3

    Hili sio jeshi la anga ni la ardhi unaefananisha NA jeshi la marekani katka nyanja ipi ?alafu ni mbinu za kupigana pasina silaha INSHORT WALETE HAO MAKOMANDO WA KIMAREKANI TUWAONE "this is international " course HATA WAO WANAFANYA TENA TUNAWAZIDI

    • @myself4128
      @myself4128 5 ปีที่แล้ว +1

      Walipigwa somalia operation black hawks tena sio na jeshi la serikali bali waasi tu wskiongozwa na mohammad farai didi America ardhini chai tuuu,hawawezi lolote

  • @consolatamedard9039
    @consolatamedard9039 5 ปีที่แล้ว +6

    Mnaosema hawakovizir nenden nyie mkajaribu tuone kama lahis

  • @hassankipingu2228
    @hassankipingu2228 7 ปีที่แล้ว

    goog i like it

  • @centrixcybercomputertraini9363
    @centrixcybercomputertraini9363 6 ปีที่แล้ว +2

    great,no crimes!

  • @mariammadono6555
    @mariammadono6555 4 ปีที่แล้ว

    Napenda sana.napenda mtoto wangu awe kama hawa wanajeshi wakakamavu

  • @kulwamanyama4999
    @kulwamanyama4999 7 ปีที่แล้ว

    hongera sana wanajeshi wetu mmejitahd mmenitamisha nataman kujiunga

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 5 ปีที่แล้ว

    Wanahemaaaa, wanapishanaaa, hadi raha napenda kuona its luvly

  • @hagaijohn9597
    @hagaijohn9597 7 ปีที่แล้ว +3

    awo jamaa cna ham nao walimfanya kitu ndgu yangu mpaka leo akiwaona anahadithia

    • @ramakioo
      @ramakioo 4 ปีที่แล้ว

      Freemason

  • @kulwamanyama4999
    @kulwamanyama4999 7 ปีที่แล้ว

    hongera sana wanajeshi wetu mmejitahd

  • @muddymwakatika8659
    @muddymwakatika8659 7 ปีที่แล้ว +6

    Tunajivunia sana jeshi letu

  • @mrworkfireteachertheboyful9236
    @mrworkfireteachertheboyful9236 3 ปีที่แล้ว

    Noma sana

  • @abubakarramadhan6629
    @abubakarramadhan6629 2 ปีที่แล้ว

    Habar

  • @paulvenance6843
    @paulvenance6843 7 ปีที่แล้ว +1

    Very competent people in Tz

  • @sayosmartboy272
    @sayosmartboy272 7 ปีที่แล้ว +3

    duuhhhhh shikamoooo JESHI

  • @estamelejomah572
    @estamelejomah572 5 ปีที่แล้ว

    tupo vizur tnz oyeeeee hongela jeshi lletu

  • @evankya1661
    @evankya1661 3 ปีที่แล้ว

    Hatari

  • @jafarinunusi6210
    @jafarinunusi6210 3 ปีที่แล้ว

    VERY TRUE KEEP AFRICAN HOPES ALIVE

  • @abdullbawazir6567
    @abdullbawazir6567 7 ปีที่แล้ว +1

    ebana eeeh dah bado sana nawapongeza ila bado sana em kama unabisha andika hapo juu Saudi Arabia Special Forces Uangalie mwenyewe siamini mpk leo bado tunavunjiana na matofali hapo naona Ka gari lamoja kana sukumwa na watu wawili em andika Saudi Arabia special forces tuige kama hvyo maonyeshe yajayo yanoge kidogo

  • @shabanimohamedijafar8142
    @shabanimohamedijafar8142 4 ปีที่แล้ว

    Mm nimetulia. Sana nikimcheki uyo. Mwenye kitambi. Kumbe. Yupo. Fiti. Ako. Wapi. Nimpatie. Zawadi

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 7 ปีที่แล้ว +2

    well done

  • @jangcosmas9836
    @jangcosmas9836 6 ปีที่แล้ว

    Jwtz ni noma sana

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 7 ปีที่แล้ว +8

    AIBU KWA TAIFA!!!

  • @kiluajamal316
    @kiluajamal316 5 ปีที่แล้ว +4

    Nimemkumbuka mzee wa misimamo yote

  • @edgarsngonyani4250
    @edgarsngonyani4250 4 ปีที่แล้ว +1

    ase ni binadam hao kwer

  • @mosalah9832
    @mosalah9832 4 ปีที่แล้ว +2

    Ka mjomba kangu kipp hakinaga was

  • @butarembaga7710
    @butarembaga7710 3 ปีที่แล้ว

    Maonyesho hayo tuu! Hawo wakomamdo wakikabliana na wacchunga ng'ombe kutoka Kagera hawawizi kufuwa dhafu......kutumbwiza uma tuu..

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 ปีที่แล้ว

    Police mnawaona wezenu siyo nyinyi mnanyanyasa laia

  • @obadiaenok6682
    @obadiaenok6682 4 ปีที่แล้ว +1

    Tkklkk

  • @lifestylechannel1322
    @lifestylechannel1322 7 ปีที่แล้ว +3

    😘😘😍😍😘😘😂😂hapn chezea Tz

  • @amanimtei9825
    @amanimtei9825 7 ปีที่แล้ว +1

    Hatariii

  • @emilybebwa9243
    @emilybebwa9243 7 ปีที่แล้ว

    mko juu sana jeshi letu jikaze

  • @annamathias1367
    @annamathias1367 4 ปีที่แล้ว

    Iko powa

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 5 ปีที่แล้ว +1

    Hivi jamani mwadhani kua commando ni mzaha?Nijuavyo mimi,ni kwamba ili uwe commando ambae umepewa cheti cha ukomando,lazma uwe umepitia kozi hiyo Israel miaka 7 then ukamalizie miaka mingine 15 Cuba.Ndo unapewa cheti cha ukomando.Hayo mazoezi wanayo onyesha,katika karate hizo zaitwa kata.Africa si kila nchi ina komando.Tanzania ni yetu,ila kunako ukomando bado kabisa

    • @evelynebwire7684
      @evelynebwire7684 3 ปีที่แล้ว

      Sasa unataka wakuonyeshe kila mbinu wanayotumia??? jiongeze hata kidogo, ukionyesha kila kitu adui, unategemea nini??????

  • @emmanuelmosha4658
    @emmanuelmosha4658 3 ปีที่แล้ว

    Mbao laini sana wangetumia mipini ya jembe

  • @johnmapundamapunda4125
    @johnmapundamapunda4125 3 ปีที่แล้ว

    Mbona mwenyefilimbi anakitambi sielewi

  • @user-xo1he9sr4b
    @user-xo1he9sr4b 5 หลายเดือนก่อน

    Iyo nondo milimiter 6😂

  • @jsmtv2017
    @jsmtv2017 7 ปีที่แล้ว +2

    dah sijui nimalize chuo nikapige up up Mara ya pili tena maana hiyo molari nimeimici sana!!!!

  • @luizaenock9948
    @luizaenock9948 7 ปีที่แล้ว +2

    FFU macho kodo, kazi ya kulala malindon tu, mnaona wenzenu makomandoo

    • @baaliyanuun416
      @baaliyanuun416 3 ปีที่แล้ว

      Sisi tuko vizur kuliko hawa sema hawa ni kikundi maalum na ss tupo wanao lala malindo na kikosi maalum kama hichi pia hawa wapo wanao lala malindon

  • @sammylee1692
    @sammylee1692 7 ปีที่แล้ว +1

    si basi. Sasa ni wakati wa majeshi wa kenya na Uganda kuonyeha ujasiri wao. Hakuna uzembe Afika mashariki

  • @ndewarioakyoo1517
    @ndewarioakyoo1517 4 ปีที่แล้ว

    My on ok

  • @mrgoldfravor4004
    @mrgoldfravor4004 5 ปีที่แล้ว +1

    Daaah kwahali hii akuna cha all shabab bongo

  • @kevynwazzajr4158
    @kevynwazzajr4158 7 ปีที่แล้ว +4

    mmh kama unaona ya kawaida jaribu bsi

    • @saidlunasi552
      @saidlunasi552 5 ปีที่แล้ว

      kevyn Wazza jr .

    • @lucassabida5471
      @lucassabida5471 5 ปีที่แล้ว

      Hayo ni maonyesho tu, mnataka afanye nn ili uone wako vizuri? Makomamndo wetu wako vizuri sana, viva jeshi letu na hao wanao dhihaki mkome kabisaa

  • @nadhilialex6372
    @nadhilialex6372 5 ปีที่แล้ว

    nice sana

  • @lltsunamill6894
    @lltsunamill6894 7 ปีที่แล้ว +3

    like

    • @josephkimaro1801
      @josephkimaro1801 4 ปีที่แล้ว

      ll Tsunami ll mpo vizuri Dani mungu awaongoze

  • @tresorlusolo8916
    @tresorlusolo8916 6 ปีที่แล้ว

    Apo wamekopi kwenye movie ,waombe mechi na china

  • @wasajo
    @wasajo 7 ปีที่แล้ว +2

    hongera sana mafundi wetu