Magoli yote | Simba SC 1-5 Yanga SC | NBC Premier League 05/11/2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 พ.ย. 2023
- Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu... - กีฬา
Kama bado unàangalia magoal Haya 2024 gonga like hapa
Yang nomaaaaaaa
Hiii gomu inanimalizia mb zangu haishi hamu kwa siku naiangalia mara kumi ambao wanaioenda km mm gonga like hapa
Wanaoangalia Leo Jan 20/2024. Gongeni like hapa😅😅
Ikiwapendeza Yanga mnipe like5 za Kenedy Musonda na Pacome,Sawa
Young Africans the Giant King of Football in Tanzania no one another for high quality in this season.Big up Eng.Hersi Said and all Management and also big up all Players.
Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ 5
5
❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅
@@mohamedibakari174😊5
Yanga ndo yanga wengine photocopy
Wangapi bado tunàangalia hii mechi tujuane kwa like
Nani karudia kuangalia 2024😂
Tupo
Naombeni like 5 wale mnaongalia tena mechii kama mimi🖐
👍👍👍👍👍
👍👍👍👍👍
kuna mechi ambazo hata uwangalie mara halfu 10 utam hauwishi ❤kama hii
Niko hapa 29january 24
Tunao angalia tena mwaka 2040 tujuane hapa ✨👉
Yanga ni balaa
16-04-2024 gonga like apo 2juane kablaya tare 20
Nimerudi kuitazama baada ya simba kushika nafasi ya 3😂😂😂😂
Ila ww bhn lkn sikushangai mana me mwenyew nimerud kuangalia😅😅
Hongera sana wachezajiwa yanga imekuwani istoria
Nairudia mara ya 5 kuiangalia Yanga tamu
I love Young Africans ❤
🎉🎉mech tamu sanah
Nkiwa na stress lazima nije uku kujiliwaza 😂😂😂 wake zetu walijua kututegea vzr 😂😂🙌
Siku zote historia hujirudia karne yoyote ilee ndio alichokifanya yanga leo🎉🎉
Tar 21/ 01/2024, nipo hapa❤
Naomben mnilaik ata 5
Mm narudia leo 12-7-24 hii siku ilikua nzuri sana naiona kama inaenda kujiludia kwa makolo
Yan naangalia kila day
😊😊😮
16/7/24❤
Utv mnilipee maana sjui n mara ya ngap naangaliaaa😅😅😅
😂😂😂❤❤❤27 mwezi 1 2024 aziziki huyu jamaa Hana huluma
NAOMBA LIKES ZOTE ZA WANANCHIIII HAPAAAAA TAREHE 25/03/2024🔰💪💪💪🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Hongera sana Young Africa.. Mumetufurahisha mashabiki wenu..
Wow hiki kikosi stakisahau kamwe maan nifulaha tu kuangalia
Leo najikumbusha tulivyowakanda makolo
Safi sana team yangu.... atukuzwe Mungu wetu mkuu
Amen
YANGA SIYO KWA MPIRA HUU🙏🎉
Hii clip nitaiangalia mpaka usiku usiku wa mananeeee
Timu zote mbovu zinapigwaa 5 jmniiiiiii😆😆😆
Yang naipend San 💓❣️❣️❣️🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️
Yanga naipenda mpaka kufaaaaaaaaa from Louis ville Kentucky
Nani yupo hapaa 1/3/2024😅
Leo tar 6 mwezi wa 6 naangalia tena tulivo wakanda makolo may wetu
Alhamdulillah 💚💛💛
ivi timu Ina maprofesor na madoctor unategemea nini
Hatar Sana yanga nakpenda mnoooo
Hii mech mashabiki wa yanga atutaacha kuitazam maan wengi atukutalajia kama magol yangekua mengi hiv 5G
Mbna siskii jamn naomben like kwa mzize
Yani nikiwa na huzuni hii ndo faraja yangu plus ile mechi na beluizdad ❤❤❤ na wamenipa nyongeza ya penalty za FA juzi mana nilijua nnapresure kumbe
Leo tareh 25 April naludia mechi yangu pendwa😂😂😂😂😂
Toka jana naangalia hii highlit nahisi bado ni ndoto My Yanga jaman hivi kweli tumewafunga zote hizi🤣🤣🤣🤣💛💛💛💛💛💛💛
Upo kama mie nikitaka kulala lazima niangalie 😂😂
Mimi Kila siku nacheki haya magoli
Tunaotazama tena 2024 like zenu 👇😂😂😂😂😂
nipo😅😅
Yaani huwezi kuchoka kuangalia hii mechi aisee yangu ni moto wa kuotea mbali
Sitosahau uongoz wa Rais ENG HERS YangA nii hiii 5-1 😅 NEW GENERATION
goal la aziz kuna mtu kalala kama kazimia😂😂
Pacome Ni level ya english premier league
Stumii nguvu kubishana na Wana simba
Yanga tuna viongozi wazuri sana, na hii itawatesa sana simba
Bado naangalia 2024
Hizo ndo 5 sasa zile za 2012 wengi tulikuwa wadogo 😎
Za kwao penati 3
Ilaa pacome🙌🏽🙌🏽🔥🔥
❤love u yanga natamn mechi iwe leo jmn😅😅
9/7/2024🙌🙌🙌
Jamani YANGA ogopeni mungu sasa timu zingine zitakataa kuleta timu uwanjani
Nice
Hawa amino macho yao lakini ime tokea hiyo nikazi ya gamondi bwana hatuja roga in maombi tui😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😂 poleni sana watani
Jmn hii ni mar ya 7 kuiridiaaa😂😂😂😂❤
Oya jamani clement kaupiga mwingi leo sio poaa
Mzizeeeeeee
Mzize on fire
Mzize amenifurahisha Sanaa Leo! Pongezi
Mzize anaenda kuwa mchezaji hatari sana na wa bei ghali sana jamani.... daaaaaaah Yanga raha
Hatari
Simba ni wake zetu
June 2024 still watching 😊
Kibu alitufunga midomo tukamfunga miguu😅😂
Daaah imebidi tuu niangalie tena
BREAKING NEWS:- wachezaji wanne wa yanga mbaloni kwa kosa la kuuwa mnyama pori hadharani, taarifa zaidi zinasema mnyama huyo wa ajabu anaefanana na paka walimshambulia vikali mbele ya wananchi waliokuwa wanasherehekea kilele cha wiki ya mvua november 5
😅😅 dah umetisha wakati unaiunda hii text. Naix ukianza kutabasam SEMA kweri mzee
@@user-id3lp1lg4j kweli
09/07/2024 👀👀
Daah 💚💚💚😁😁💪💪💪🙏
pacome balaaaaa
n five kwakweli five , five kinywa kinaumbaa ... ndymaana tumecheza leo trh five💚💚💛
Mpaka ,leo naenjoy tu
TAREHE 5 NA MAGOLI 5
NIKUMBUKUMBU NZURI, NA MPIRA UMEANZA 5 OCLOCK
Tobaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Sasa achana na hii inayokuja msimu huu 2024/25 ndo tutakuwa tunaiangalia miaka yote yanga ya chama,pacome,Aziz,dube, bareke,max,diarra,bacca,nondo,job,boka,aucho,mzize,muda,na wengineo hii yanga mnyama anakula nyingi sanaaa😂😂😂
Siku nikivurugwa Tu hua naiangaliaga hii kitu
Upo kama mimi😂😂😂😂
Yaan
Ukiwa na Stress 😢 njoo Tazama Hii mechi 😂 Ume Pona😂😂
Yan ni dawa tosha. Nikiboreka tu, mi chap! Kuangalia 5G zangu napata ahueni
Hatimae tukawaingiza kwenye chama cha wala tano akina mwakalobo na ii ndo inayo watesa akina mwakalobo 😂😂😂😂
Simba kapewa internet ya 5G
Rekodi ya magoli katika msimu mmoja was ligi
Yanga noma sana
Pale napokua na uchovu, niangaliapo mechi Mimi moyo wng kwatuuu...😂😂😂😂😂😂😂 Yanga weee
😅😅😅😅😅
Haki tena
Mwendo ni tarehe tano tano kumbukumbu💚💛💚💛💚💛💚🙏
Yanga SC itabaki kuwa team kubwa zaidi, simba SC tudijifananishe na hawa ma Giant
Mungu mkubwa maombi yamepita vizuri kweli yanga juu from louis ville kentucky
Kila siku naangalia jamani makolo wamelamba loloo🤣🤣🤣🤣🤣
Wananchi together tunawakilish
Hii Ngoma haiwezi saulika kamwe
Hongera chama langu la yanga
Kweli yanga wametikisha afrika
Rahaaa!!! Tarehe 5 goli tano
Asante, Mungu wakushukuriwa ni wewe
Hongereni Sana Mamamba yangu hamkumuachia mtu Enjoy your victory
Young Bora kuliko Simba
6
😂😂😂😂😂22 mwezi 1
2024😂😂
Mechi ya Karne haimalizi utamu
Tofauti ya uwezo na maneno imeonekana!
Mm Hadi Leo tar 30/6/2024 nipo naangalia yaani naendelea kupata rahaa