Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤
Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima. Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم
Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena
Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..? Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.
@@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo
Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
بارك الله فيك يا أخي العزيز Maneno mazuri nto جزاكم الله خيرا Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan. Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم
Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa
Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة
Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.
Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....
Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana
SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh
Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja. Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.
@@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah
Kwa hiyo nyie hamuezi kuanzisha mada mpaka bachu aongee ndio mupate mada? Na hamupati usingizi kufikiria vipi mummalize bachu? Basi Allah atamlinda kwa husda na chuki zenu mpaka haqqi ifahamike
Sasa wewe umekuja kuvunja hoja ya shekh au umekuja kutupotezea muda tu na maneno tupu kama waweza Lete hoja nanibara zilizoaomwa Sio maneno tupuu bila hata kunukuu KITABU hata kimoja unasema unathibitusha kitu Gani na huna hatq KITABU wathibitisha Kwa maneno tupu unamuita mtu muongo Kwa maneno tupu
Musimlaumu Sanaa bachu sababu atolewa chambo yeye na Ali abubakar Kisha ikionekana kimya Ndio nayy Ali apate topical in ya Kuongea cku ya ijumaa lkn ikijibiwa ivo mwampa kazi mwezeni
kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye
Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m
Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.
Kwanza bachu akizungumza wallah hana nahau na iliuyafamu maneno ya mtume lazima uwe na nahau kasome nahau weweeeee mbana nahau tu hujui utakuja masialla hayoo wewe
BACHU ALLAH AMHIFADHI
Bacho Allah akuhifafhi
Fukuzwa Hutu zanzibar na sahiv kahamia kwa mashoga zake Mombasa na tanga 😂
Allah amuhifadhi sheikh bachu na azidi kukupa nguvu ya kutuelimisha
Pumba kabisa
Mashallah jazakallah akhy Muhammad bachu ujumbe umefika Wacha waliye haki imefika .
Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤
Buchu Allah akuhifadh ) Hawa wengine hawana elemu sindano zimewaingia Wacha wapige kelele
Kwangu mimi ni ukweli wake niliouwona Alhamdulillah Allah amuhifadhi
Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima.
Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم
Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena
Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..?
Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.
@@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo
Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
Shukran sana ustadh...kinachomueka bachu mjini ni hizo dharau na kejeli...hana lengine na kama analo birii alidhihirishe
Swadakta ndungu yetu Allah atakulipa inshallah kwa hikma zako kwa ilmu unayo soma kwa mafusi,mawahabi hawataki kusoma ndio hawajielewi
Haki ilifika Allah amhifadhi bachu
بارك الله فيك يا أخي العزيز
Maneno mazuri nto
جزاكم الله خيرا
Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan.
Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni
Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم
Maa shallah maelezo mufti
Nyama za maulamaa Zina simu.
Sumu
mungu akuhifadhi sheikh letu
HAMUWEZI TUDANGANYA WATU TUSHAA ELIMIKA NA BACHU ALLAH AMHIFADHI
Wallah mahabi mwabambanya hamna ilimu wallah mana mkizunguza nahau hamzipaty mwapiga nnje
Maadam quran na sunna za mtume tunazo uelewa nahau twawaachia nyie makhurafi
Asalamu aleykum ya allah huyu bachu nimrogo😊😊😊😊😊
الله يحفظك سيخنا محمد با جو
Sheikh Muhammad bachu ametutoa kwenye ujinga
Maoni ya kubalika
Mohd bachu amesingizia sheikh uthaymeen na kufanya uthaymeen ni mtu wa kauli mbili mbili
Mashallah
Sheikh Muhammad bachu yuko vizuri sanaaaaaa.Ameniondoa kwenye wajinga wa kitwariqa na kisufi
Kkkkk bado mwa zama kwa uchinga pole mana chongo ni mfalme kwa vipofu
Ahasanta Habibi Barakallahu fiyk
Mashallaah shukran sana ustadh muhsin....Bachu akajifunze adabu kwanza...na tutamnyorosha...Na msa pia tutamtoa
Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu
Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa
Allah akuhifadhi ost letu,endelea kufanya twakuelewa vzr sna❤
Hayaaaa fuateni ara yenuuuuuuuuuuu mausufi
Bach Bado allh ajampa uwongof ila tumuombe allh san
Mchenni Allah, mitandao mmejaza uislamu-siasa za makundi jameni, barabara ya sawa na malengo ya uwepo wa mwanadamu imesahaulika
masufi mnatabu.
Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة
Hasira nyingi sana
Shekh Muhammad Bachu amewashinda ilimu nyinyi Muna chuki zenu muogopeni Allah Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
Ilimu gani kama si kejeli
Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.
اللهم اهدي الصوفي ضاله
Kutukana mashekh
Wafahamishe ukwell shekhe muhsin huyo mkosefu wa adabu m.s bachu na mungo akuhifadh shekhe muhsin tuzidi kufaidika
Watumwa wa fikra wa bachu Hawana haja ya kusikiliza hoja Bali ni ujuha kwenda mbele
Bachu nikipenzi chetu allah amuhifadhi katutoa kwenye ujinga
Sana Wallah
@@Hamis-ks1syANAKUTIA KWENYE UJINGA SIO KUKUTOA
Eeee bwana hajazarauliwa munatengeneza huruma
Musidanganywe na comments zetu ndio zikawapamoyo wa kutukanana na kukashfiana mitandaoni.
Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....
Wewe bado mjinga ndio mana jitahidi usome
Mawahabi wote wamenyimwa ufahamu,ndio maana wengi wamekuwa magaid
Shida ya buchu hajielewi
Chizi fresh
Masha Allah Habib wetu
Munamtetea
Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana
Umesikiliza ukaelewa lkn au umeziba masikio
Acheni porojo
Mbona hamumsemi al hatimy alipokua akimtukana sheikh ali bahero ama vile ni mwenzanu muogopeni Allah na kueni na uadilifu
Nasoma comments alafu nawafuatilia sana .( huenda wamesahau)
Sh muhammad bachu yuko vizuri sana
NDIO KWA UPUMBAVU HAKUNA KAMA YEYE.
Wewe mtume hakuwahi kumtukana muislam wala hakuna swahaba wala taabi-ina bali mtume amekataza kumtukana muislamu nufaasiq
Sasa kama waongoka kwa ufaasiq Kasome dini yako uijue usitegemee darsa ndo zitakazokutoa kwenye ujinga
naswaha yangu tusivunje udugu wetu kwa jambo la kupita.Eid itakuja na itaondoka ila udugu ukiondoka ni ngumu kuurudisha
Piga ujumbe shekh bachu tunafahamu kwakuwa wazi ktk adila zakujitosheleza undeni yenu arafa
Allah amuhifadhi sheikh Hajji upepo
Yaani masufi bna Akimrekebisha mwasema anamtukana baba ake akikaa kimya nongwa mnatakaje sasa?
Haki imefika ndiomaana mwatapatapa Sasa ndiomaa mwapingana wenyewe. Kwa wenyewe mbona mmemhalifu kadh wenu
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA
Fungueni kitabu
Huyu Bachu hajui kama nyama za wana zuoni zina Sumu. Mtizameni tu mwisho wake.
Kawaida anaesema kweli huchukiwa nyinyi hamutaki ukweli
Nawaona mawahabi wanavyo haha kukoment ila safarihii wasipewe nafasi jino kwa jino hadi waelewe
Kazi mzr mashallah kama wakiachwa wanazidi sifa
Bachu aende akasome
Alifu kwa kijiti😂
Mukiambiwa ukweli wakuumeni ehhhh bachu Atawanyoosha Allah atazidi kumpa Elmu Mumjue makusudio yake kwenu …
Ustadh huyu jamaa lazma aambiwe ,anaumbungufu sana wa elimu
SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh
We mwenyewe ni mrongo kama nihivyo
Sheik kua makini na MAWAHABI watakulipua.
Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu
ww shekh nafkiri ungekaa na kusoma kuliko vijembe bachu anafungua vitabu sio maneno tu
Mfuateni kadhi wenu acha ubishi
Huna hoja kumbee,;
Alikuwa haradiwi ni mtume muhammad sala na Salam ziwe juu yake tuuuu
Bachu kawaida yake hajuwi kuongeya kistaarabu mpaka atiye dharau na kijeli hivo ndivo amezowe
Hivi maana ya matusi unaijua kweli au wajisemea tu,unajua maana ya hojja unaelewa kweli
Matusi zaidi mnayajua nyny sababu ndio kz yenu
Mawahabi hawana inswaf na wapenda kubaranganiza mambo walaghai hawajali kudanganya bora maslahi yao yende
Si nilisema kuwa atajibiwa mm na huyu kijana naona ni kama akili zake ni za kifyetu bachu kashabachuliwa akabachuka
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja.
Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.
Nimikufwatilia kwakweli masufiiiiiiiiiiiiiiiii mnachesha😂😂😂😂😂😂😂😂
Katukanwa wap kwn pamewekwa sawa tu
Masufi mmepoteza wafuasi kupitia kina bachu na kina bahero mungu awalipe
kila mtu anakaburi lake ndugu yangu epukana na upotovu wa mawahabi
@@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah
Juzi aliwatweza kina suyutwi ghazali na sultwaan auliyaa kwa ile klip yke alotoa juzi mpka nkashangaa
Uyo bachu hana adabu, yeye kwnz hana sheikh
Na mtume aliambiwa vivyo hivyo antukana miungu ya makuraish kisa kufafanua haqqi
Kwa hiyo nyie hamuezi kuanzisha mada mpaka bachu aongee ndio mupate mada? Na hamupati usingizi kufikiria vipi mummalize bachu? Basi Allah atamlinda kwa husda na chuki zenu mpaka haqqi ifahamike
ukiongea usiwe na hasira kia mpole ili jamii isijue kua umekasirika
masufi hamna kitu ni mbwe mbwe tu zenu.
Nyinyi hamna elim nibala bala tu
Mwalimu unatuchanganya mbona kila kitu bachu hutufundishi bachu kakosea hapa kateneza hapa
Backu ni mjinga katika dini yake. Hanailim hana heshema.
Sio vivuri kuwatukana masheikh kama humuamn bas sio lazima umufuatilie
Wewe mwenye Elimu ebu mjibu Bachu sasa kwa hoja ya kielimu.
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA NA BAATWIRI
Sasa wewe umekuja kuvunja hoja ya shekh au umekuja kutupotezea muda tu na maneno tupu kama waweza Lete hoja nanibara zilizoaomwa Sio maneno tupuu bila hata kunukuu KITABU hata kimoja unasema unathibitusha kitu Gani na huna hatq KITABU wathibitisha Kwa maneno tupu unamuita mtu muongo Kwa maneno tupu
punguzeni makasiriko. Ama mlete markaz nzima imraddi bachu
Uyo bachu ndio wakuletewa markazi.
Jenga hoja acha porojo
Musimlaumu Sanaa bachu sababu atolewa chambo yeye na Ali abubakar Kisha ikionekana kimya Ndio nayy Ali apate topical in ya Kuongea cku ya ijumaa lkn ikijibiwa ivo mwampa kazi mwezeni
kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye
Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m
@@HemedSerious hasira hasara wala matusi si fani yangu yakurejee mwenyewe mijineno yako mibovu
Elim ndoimefanya tukamjua Bach ispokua mnapoaambiwa ukweli mnaanza zaypuuzi
Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.
Kisha nyinyi munao support bachu kwanini amefukuzwa Zanzibar sababu ya ufedhuli na kukosa adab.
Nipe habari ndungu nikweli amefukuzwa
@@Biziman-pu4kf haruhusiwi kutoa khutba wala muhadhara na shida sio mtu wakusomesha amezowea ufedhuli ndio akaja msa kwenye jaa la taka.
Ukweli lazima udhihirishwe hata kama mtaita dharau...no more misleading of people in 21st century
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli mwache Bachu atufungue macho na hamturudishi tena gizani endeleeni na kukaa gizani!
Hajatukanwa shehe yeyote yule
Lete vitabu acha chuki
Ameweka huyo wenu ndio kuwaonyesha shehe wenu humjui
Na ww wataka ujibiwe na bachu hujawa na kiwango cha kijibizana na bachu
Hapa naona kaja na mipasho haina aya wala Hadisi
Kwanza bachu akizungumza wallah hana nahau na iliuyafamu maneno ya mtume lazima uwe na nahau kasome nahau weweeeee mbana nahau tu hujui utakuja masialla hayoo wewe
Tupe vitabu acha maneno