NASAHA FUPI ZA SHEKH MUHAMMAD BACHU AKIWA KATIKATI YA BAHARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • #alhaajartvkenya #mombasa #live
    #alhaajartvkenya #mombasa #live
    SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
    Instagram: Alhaajartvkenya
    Twitter: Alhaajartvkenya
    Facebook: Alhaajartvkenya
    TH-cam: Alhaajartvkenya
    © Al Haajar TV Kenya 2024
    Al Haajar TV Kenya

ความคิดเห็น • 51

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu 2 หลายเดือนก่อน +6

    Allah awahifadhi masheikh wetu

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 2 หลายเดือนก่อน +3

    Maa shaa Allah,sema daah waliomo humo ndani nahis walkiua wanaomba dua sana wafike salama maana hayo mawaidha ukiangalia upo ndani ya chombo roho inadunda sio poa

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 2 หลายเดือนก่อน +3

    MAASHAA ALLAH ALLAH awahifadhi vipenzivya umma

  • @najmandetei
    @najmandetei 2 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah,Tabaaraka Allah

  • @JamalAli-tz6pj
    @JamalAli-tz6pj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen ustadh bachu siwaona ukiwa waongea kama hivi mm mwenyewe nahisi raha sasa lamuhim kukusihi ndugu yangu na mm pia najisihi tusiwe wenye kukejeli waislamu wenzetu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani kuna mtu kakejeliwa tatizo watu waleo hamtaki kuambiwa ukweli ukiambiwa kweli wasema natukanwa

    • @user-kc4fv6cf8l
      @user-kc4fv6cf8l 2 หลายเดือนก่อน

      Hili bachu ni toto chokozi halina elimu yoyote . Nakukejeli watu ndio sifa halisi ya maruwaibidhwa . Na hoja yakuwambia watu kweli hakufanyi usitumie hekma na maneno pole na kuepuka fitna

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-kc4fv6cf8l we fanya maisha yako achana na kumfatilia mtu ndugu ukiona unamfatilia xana mtu huenda unamkubali au hukumbali kwa vile kunavitu anavigusa we ni mshiliki wa hivyo vitu tafuta maixha acha kuwasema sema watu

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh
    Allah akuhifadhi
    Shukran sheikh kwa nasaha

  • @athmandaba1420
    @athmandaba1420 2 หลายเดือนก่อน

    Maa sha ALLAH..salmia ustaadh yusuf wa mambrui..

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 2 หลายเดือนก่อน +1

    Allaah awahifadhi nyote ktk safari yenu

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 2 หลายเดือนก่อน +1

    MASHEIKH WENGINE WANAOGOPA KUSAFIRI KWA BOTI KWA KUIPENDA DUNIA WANAHOFIA MAUTI MWENYEZI MUNGU AKULIPE

  • @JamalAli-tz6pj
    @JamalAli-tz6pj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kisha pia ukitaka raha na radhi basi furahisha waislamu na uwe mwenye kuwa na heshma katika kukhtalifiana shukran sanaa pole kama nimekosea mie mwanadamu nakutakia safar njema

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน

      Hakki itabainishwa batwil ikae mbali na hakki hatuwezi nyamazia uzushi ukasema ni ikhitilafu mtume akuogopa kuongea hakki kisa kuna watu watanizania vibaya laa hiyo haipo

  • @user-hv4um1rc5e
    @user-hv4um1rc5e 2 หลายเดือนก่อน +1

    MASHA ALLAH

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waalekum Salam Waramatullah Wabarakatu haya safari njema

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u 2 หลายเดือนก่อน

    Si sawa kumutukana mtu kumuita ngombe una ustarabu una elimu mwenyenzi Mungu awaifadhi maustadhi wetu wote

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dawaa imefika vizuri

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 2 หลายเดือนก่อน +2

    TUKO PAMOJA SHEIKH NA TUNAKUELEWA NA WASIO KUELEWA WASIKUREJESHE NYUMA HAO WANA MARADHI NYOYONI MWAO
    ,MUNGU AWAONGOZE

  • @AshaSaid-gy2tg
    @AshaSaid-gy2tg 2 หลายเดือนก่อน

    Aifai kumtukana shakhe kumuita gombe nimakosa makubwa

  • @AlIrshaad-j
    @AlIrshaad-j 2 หลายเดือนก่อน +1

    حفظكم الله

  • @user-ze8rk9ye6r
    @user-ze8rk9ye6r 2 หลายเดือนก่อน +1

    makhurafi hawana chochote zaidi ya inadi tu na chuki,kwa mfano sasa huyo sheikh kwa lipi amelisema vibaya,tunaona comed,mwengine eti anasema huyo ng,ombe huyo kadhaa ebu tazama makhurafi walivyo na chuki,huyu sheikh yupo sahihi kabisa ,na akiingia kwa munakasha basi makhurafi uchachiwa sana na wanalijua hilo huyu sheikh yupo vizuri sana wala huwa hana wasi wasi wala kupigwa na roho,wao waingee wanavyo ungea ikifika munakasha watakazane kwenye mambo ambayo hayana msingi kama munajasha ulofanyika mombasa,sasa sheikh ata anawasikiliza lakini anajua porojo tu za makhurafi na si huyu tu bali watu wasunna wote wako vizuri sana na wanatembea kwa hoja,rena za kimsingi za kiusomo,huko utasikia cjui kakosea nahau kakosea balagha kajosea manthwiki kakosea swarafa,vitu kama hivyo lakini ukweli makhurafi hawaba hoja za msingi.

    • @user-kc4fv6cf8l
      @user-kc4fv6cf8l 2 หลายเดือนก่อน

      Hili bachu ni toto chokozi halina elimu ni ruwaibidhwa

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile9327 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nashangaaa mawahbaii wanmsifu huyu ngombe vichwa vitano ndio huzidii kupoteza umah

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 2 หลายเดือนก่อน +2

      Pole kwa maradhi ulio nayo ila namuomba Allah akuondolee kabla ya kifo chako

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 2 หลายเดือนก่อน

      Pole kwa maradhi ulio nayo ila namuomba Allah akuondolee kabla ya kifo chako

    • @shamsushaffikassim-fe4ul
      @shamsushaffikassim-fe4ul 2 หลายเดือนก่อน +1

      Na wewe ni nguruwe Osman,!! Unajua kwann nimekuita nguruwe??

    • @shamsushaffikassim-fe4ul
      @shamsushaffikassim-fe4ul 2 หลายเดือนก่อน +1

      قال ابن القيم في مدارج السالكين: ومن الناس من طبعه طبع خنزير يمر على الطيبات فلا يلوى عليها....

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp 2 หลายเดือนก่อน

      Kuna maneno ni bora kuliko kutukana mtu sawa allaha akuongoze kijana

  • @khalidmainala2570
    @khalidmainala2570 2 หลายเดือนก่อน

    Kama ww hapo saii kibri kimeisha lakini ukiteremka tu watu hawatosalimika na ulimi wako

    • @ramadhanomar8093
      @ramadhanomar8093 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga wako wewe

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 2 หลายเดือนก่อน

      Wataka kusema hapo Bachu roho ilikua juu juu? 😂 Bachu si mgeni wa Bahari hata Unguja kwao wanayo

    • @khalidmainala2570
      @khalidmainala2570 2 หลายเดือนก่อน

      @@Khalid-mf3iu bahari haina mwenyeji

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน

      Lijitu limoja hapo juu linacomemt ujinga acha chuki ww kama ayakuhussu so uache adi ucommen

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน +1

      Arafu watu wa bidaah wanatafuta Nini kwenye hizi comment mkakoment kwa mashekhe wenu wanaotetea bidaah huku hakuwahusu izudini yupo mkakoment huko

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 2 หลายเดือนก่อน

    SHEIKH IZUDIN AKUSUBIRI AU UNAOGOPA MUNAQASHAA

    • @osmanmanbile9327
      @osmanmanbile9327 2 หลายเดือนก่อน

      Hawezi niaqassh huyu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน +1

      Izudini khurafi yule jitu la bidaa litaweza Nini kwa bachu

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile9327 2 หลายเดือนก่อน

    Tunamshukuru allah katuepusha fitana ya wahabiii mawahabiii hawatii haqq elimu pia hakuna ni porojo 😂😂😂😂😂😂

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน

      Ww unachekesha kweli untufosi tufate bidaah zako kufa nazo mwenyewe 😂😂😂et wahabi amtki hkki haki gani mlokua nayo huko zaidi ya uzushi yani unatuitia maulidi au kuabudu makaburi ya masharifu ww jamaa wa wapi ww kama umeshindwa kuacha bidaa zako kufa nazo mwwenyew wongofu gani mlokuwa nao masufi

    • @osmanmanbile9327
      @osmanmanbile9327 2 หลายเดือนก่อน

      Soma dini ndugu yangu ungejua ubaya ya mawahabii munadanganywa atii nyinyi ni ahlu sunaah 😂😂😂. Mawahabii hawajui elimu wala.hawako.katika haqq bali wanepotea Allah awaongoze

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน

      @@osmanmanbile9327 awaongoe ninyi wazushi mnaozusha katika dinni ya Allah kusoma hamsomi kazi yenu kukata mauono sikitini na mdufu na dhikri za kunguruma kama wendawazimu Fulani hivi ilmu hamna uwezi kuta madrasa za masufi za somesha wattoto wakamtambua vzr Allah na tawwed zaidi mntowa waganga wa kienyeji tuu kama kina yusufu diwani wfuga majini ushirikina kuabudia makabuli yte hayo masufi mijitu ya bidaa na dwalala ndomana imamu shafii alisema kuingia katika usufi mchana fika asubuhy utakuwa mpumbavu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 หลายเดือนก่อน

      Jitu la upotevu huko bidaa unazifanya unaona mukeongoka kumbe ibilisi anawachezea akili urongo tuu tupu umewajaa kina doctor sule wale masufi wenzenu kufuga majini namxhukuru mungu kuniongoza katika sunnah Mana kufa ningekufa katika bidah Ni hatari xana

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 หลายเดือนก่อน

      nyinyi hadi hadithi maudhui mnatumia au ushasahau

  • @allyabdallah4679
    @allyabdallah4679 2 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 2 หลายเดือนก่อน

    TUKO PAMOJA SHEIKH NA TUNAKUELEWA NA WASIO KUELEWA WASIKUREJESHE NYUMA HAO WANA MARADHI NYOYONI MWAO
    ,MUNGU AWAONGOZE