VUNJA BEI AVUNJA UKIMYA KUHUSU NIFFER KWA MARA YA KWANZA / AFUNGUKA KUMSAMEHE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • VUNJA BEI AVUNJA UKIMYA KUHUSU NIFFER KWA MARA YA KWANZA / AFUNGUKA KUMSAMEHE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 155

  • @dottohami
    @dottohami ปีที่แล้ว +21

    Huyu kaka hata hajisikii kabisa masha Allha 😘🔥

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 ปีที่แล้ว +10

    Kama ni kweli mhe joketi amezalia hapa, salute kwake👮‍♀️.. Jamaa kapoa we muache adange ila Umejua kuchagua🤓🤓

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 ปีที่แล้ว +24

    Uzuri wa jamaa ajisikii kabisa kabisa.yuko kawaida sana.mungu akuongoze mkaka

  • @yumnaaa4057
    @yumnaaa4057 ปีที่แล้ว +10

    Love you vunja bei🥰

  • @khayraa7374
    @khayraa7374 ปีที่แล้ว +14

    Rich and humble 🙏🏽♥️ thats why he keeps growing.

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 ปีที่แล้ว +12

    Yaani huyu vunja bei yuko vizur sana yaani kapoa hana kelele anajibu kutokana na maswali anayoulizwa wala hajimwambafai yupo kama muha wa kigoma!

  • @kysredy6498
    @kysredy6498 ปีที่แล้ว +21

    lla vujabei bhana 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 ana kicheko cha KIBOSS sana 👌👌❤️❤️❤️❤️

    • @neemamkemae2580
      @neemamkemae2580 ปีที่แล้ว

      Ni boss ndio pesa anayo ana xhida gn

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 ปีที่แล้ว

      Saana yaan hatumii nguvu😅😅

    • @kysredy6498
      @kysredy6498 ปีที่แล้ว

      @@salomewandya7257 👌🤣

  • @sistermery4581
    @sistermery4581 ปีที่แล้ว +10

    Kaka uyu ni genius sanaaa i love youuu

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 ปีที่แล้ว +6

    Wema ame ingiya kwenye familiya na ku unganisha watu
    Ndo sifa ya mwanamke 😍😘

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551 ปีที่แล้ว +8

    Huyu jamaa ni genius sana

  • @milleniumkibasa8773
    @milleniumkibasa8773 ปีที่แล้ว +9

    This is so intelligent I appreciate so much

  • @victoriakajembe7716
    @victoriakajembe7716 ปีที่แล้ว +3

    Very gentle nakupataje Fred nipate ushaur wa kibiashara

  • @fatufatu5754
    @fatufatu5754 ปีที่แล้ว +7

    Binafsi namkubali sana Fred , nataman uwe tuu joket uache yote Kwan maisha ndo haya haya tuu kaa bana na DC wetu mm napenda mkiwa pamoja

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 ปีที่แล้ว +4

    Saaafi saana Fred amemkubali Chimama👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🥰😍😍😍

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 ปีที่แล้ว +8

    "Ninatakiwa niwe kwenye kushukuru" we vunjabei😍😍😍

  • @Siti_maroneit
    @Siti_maroneit ปีที่แล้ว +5

    Kajibu kisomi sanaaa.woow

  • @godfreykanelela9139
    @godfreykanelela9139 ปีที่แล้ว +4

    Very intelligent man

  • @gracejoseph9451
    @gracejoseph9451 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sana kibiashara Kaka ww na mond mnajua kupambana

    • @josehpJunio
      @josehpJunio ปีที่แล้ว

      😡😡😡😡😡😡

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 ปีที่แล้ว +8

    Hili jamaa linaonekana lina madigrii kwa sana

  • @nanziamsifuni8090
    @nanziamsifuni8090 ปีที่แล้ว

    Asante kutuletea duka zuri.

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 ปีที่แล้ว +2

    Bos kama bos ...vizur sana

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 ปีที่แล้ว +7

    Angekuwa kaka yangu huyu ningechota sana madini kwake

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 ปีที่แล้ว

      Tunajivunia natunashukuru Mungu kwakweli

    • @peterdavid4230
      @peterdavid4230 ปีที่แล้ว +1

      umazaliwa kupambana na kumcha Mungu na kupata mahalifa acha ushoga

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 ปีที่แล้ว +1

      Tuache unafiki this man ni zaidi ya mo kwa vijana wanaotafuta maisha ana madini kwa entrepreneur

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 ปีที่แล้ว +2

      @@ramamrutu4914 hujakosea kk wenye chuki hawaelew

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 ปีที่แล้ว +7

    Kheee Matunda ashakua yule dada jamani nyie mapenzi haya 😂😂😂🙌🏻

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 ปีที่แล้ว +1

    Msomi ni msomi tu fredy huwa hakwep swali anajibu nicee

  • @sabrakimaso3547
    @sabrakimaso3547 ปีที่แล้ว +4

    Good

  • @pozclever854
    @pozclever854 ปีที่แล้ว +8

    👍👍👍👍

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 ปีที่แล้ว +6

    Mtangazaji sauti kali sana

  • @FatmaAbdala-bu9zl
    @FatmaAbdala-bu9zl 5 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @lightnessmsangi3148
    @lightnessmsangi3148 ปีที่แล้ว +3

    Yaaaani pesa haina kelele
    Jamaa yuko simple sana

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 ปีที่แล้ว +18

    Huyu mwamba ninahamu Sana kuonana naye ili angalau nipate hata Kijiko kimoja cha Madini ya upambanaji hasa kutafuta pesa. VUNJA BEI

    • @mkundukunuks
      @mkundukunuks ปีที่แล้ว

      Ahhh

    • @mkundukunuks
      @mkundukunuks ปีที่แล้ว +1

      Utafirwa wewe

    • @meshakinelisoni1176
      @meshakinelisoni1176 ปีที่แล้ว +3

      Jiamini umezaliwa kushinda ..kumcha Mungu ni chanzo chamahalifa

    • @tayk4745
      @tayk4745 ปีที่แล้ว

      Nenda kidimbwi utamkuta

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 ปีที่แล้ว +3

    Nkajua Mikono ya alliya imeshika mic🤣

  • @margaretlyimo2215
    @margaretlyimo2215 ปีที่แล้ว +1

    I like it

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +6

    Ccm ni Yanga achana nao afu huendani nao ishi na Chadema bro

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 ปีที่แล้ว +4

    Huyu kaka ana akili sanà

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 ปีที่แล้ว +4

    Tyrese

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 ปีที่แล้ว +4

    Nataman siku moja uwe Rais wa Tanzania kaka yaan husikii wala nin 🥰🥰

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +1

    Sawa fred

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 ปีที่แล้ว +36

    Mtangazaji anamikono yakike kweli😁

    • @rukaiya86
      @rukaiya86 ปีที่แล้ว +2

      Wewe nae mchunguzi😂😂😂😂😂

    • @kysredy6498
      @kysredy6498 ปีที่แล้ว

      ​@@rukaiya86 🤣🤣🤣🤣

    • @hatwabiswalehe262
      @hatwabiswalehe262 ปีที่แล้ว

      😀😀😀

    • @khadijeegundumu4651
      @khadijeegundumu4651 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣 kwakwer

    • @zena6203
      @zena6203 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀😀😀

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 ปีที่แล้ว +2

    Vunjabei na niffa Tena situmekubaliana fungal mwaka harmonize na kajala 🤣

  • @fredrickyjames3689
    @fredrickyjames3689 ปีที่แล้ว +1

    kaka njoo kwenye beti kaka kama una bahati ya kushinda maana mikeka huku so poa yan njoo utupe tips

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 ปีที่แล้ว +1

    kusamehe ni jambo zuri

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 ปีที่แล้ว +2

    Hivi na king msukuma nae si ni dokta eee

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 ปีที่แล้ว +4

    Vunja bei ana akili kubwa

  • @salimmdule405
    @salimmdule405 ปีที่แล้ว +8

    As a group😂😂 wamesamehewa

  • @iddymbuma2856
    @iddymbuma2856 ปีที่แล้ว +2

    Sisi tunasapoti had mwisho

  • @saradaniel4579
    @saradaniel4579 ปีที่แล้ว

    Fred 💎💎💎💎

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว +1

    Mbona hajaongea vibaya,,Tunda amemtukana bure huyu kaka

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 ปีที่แล้ว +3

    Uzuri wetu wakinga tunasambaza upendo hatunaga vinyongo

  • @Luscious6826
    @Luscious6826 ปีที่แล้ว

    🤣🤣 as a team wamesamehewa

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

    👏👏👏

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 ปีที่แล้ว

    Sema jamaa yupo sirious iv ayupo kweny chama kweli cha freemason mana mmmmh 😁🙆‍♂️🤭

  • @heriethmichael6138
    @heriethmichael6138 ปีที่แล้ว

    Mashem noma sana

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 ปีที่แล้ว +3

    Sasa kama hapo amejichubuwa huko mwonza alikuwaje

    • @adamally6
      @adamally6 ปีที่แล้ว +1

      😀😀

  • @MaaneML
    @MaaneML ปีที่แล้ว +2

    Whozu ni ndugu wa Fred Vunjabei? Wa kuzaliwa tumbo Moja? Maana Whozu hiyo rangi ya ngozi sijui ndiyo ya mama au Baba.

    • @zuhurafaustine6934
      @zuhurafaustine6934 ปีที่แล้ว

      Hapana ni mdogo wake frank knows

    • @morismontego3241
      @morismontego3241 ปีที่แล้ว

      Whozu n mdg wa rafiki yk vunja Bei apo anaitwa Frank kwons

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 ปีที่แล้ว

      Hawana undugu

    • @teddyndungurusabnu4792
      @teddyndungurusabnu4792 ปีที่แล้ว

      hahaha no whozu anakaka yake nae ni mfanya biashara mkubwa na nimarafiki wakubwa na fred so whozu anamuita fred kaka kupitia kaka yake huyo wa damu

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 ปีที่แล้ว

    nakukubari mwamba

  • @officialthekillertzbaddest8315
    @officialthekillertzbaddest8315 10 หลายเดือนก่อน

    Ok vunjabei

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 ปีที่แล้ว +1

    Mwanaume gani anakuwa na mikono ya kike hivi?

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 ปีที่แล้ว +1

    Vunjabei si mtu wa madrama ila mnamlazimisha kuwa mtu wa madrama kwa kuokota umbea kwake...ila ni mtu anaeweza kuwakabili waandishi wa habari kwa majibu yake ya mkato

  • @tunuwarsam1762
    @tunuwarsam1762 ปีที่แล้ว

    Mashemshem😂😂😂😂🙌

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 ปีที่แล้ว +2

    Nilishawai kumuona muwembe yanga huyu fred na team yake ya to much money wakikwenye gari sema namkubali sana

  • @naymar8823
    @naymar8823 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣 mashem Shem🙌🙌

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 ปีที่แล้ว +2

    najiuliza watu walio toka kimaisha kwanini wanakimbilia Chama cha mapinduzi nasivyama vingine? jibu nimepata nalo ni moja tu (ubinafsi

    • @musason1680
      @musason1680 ปีที่แล้ว +2

      Bado hujapata jibu n kuwa karb na watu wenye nguvu ili kulinda mali zao

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 ปีที่แล้ว

      @@musason1680 jibu ni hilo... watanzania wana ubinafsi sana kwamba kwasababu wao tayari wameshatoka kimaishana, basi wanaona hakuna sababu ya kuwasemea watanzania wengine wenye hari ya chini ambao ni wengi.ndomana kila mtu akitoboa jambo la kwanza ni kulipia kadi ya ccm

    • @shadrackmohamedi8765
      @shadrackmohamedi8765 ปีที่แล้ว +1

      Ubinafsi si Sana. Kikubwa wanajitengenezea ulinzi wa mambo yao. Ukiwa chama pinzani, ni rahisi kupotea ktk kila utachokifanya.

    • @frankrobertkomba2318
      @frankrobertkomba2318 ปีที่แล้ว

      Ramadhan hii watu wanakimbilia kule ndo kwenye usalama wa biashara hadi mali zao maana viongozi na watu wanyazifa za juu ni rahisi kuwasiliana nao endapo mtu utapata changamoto.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    👍🙌📌

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 ปีที่แล้ว +2

    mpambano uendelee🤣🤣🤣🤣

  • @zena6203
    @zena6203 ปีที่แล้ว +1

    Sweety heart Fredi nakupenda sana sauti muonekano wako rangi yako lakini sura mmhhhhhhh no comment huna kabisa ila mengine ilove it

    • @safiyatheonlything7848
      @safiyatheonlything7848 ปีที่แล้ว +2

      Ukitaka sura utakesha sana

    • @zena6203
      @zena6203 ปีที่แล้ว

      @@safiyatheonlything7848 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 ปีที่แล้ว

      Kama sura umba wako

    • @zena6203
      @zena6203 ปีที่แล้ว

      @@jazeerajuma5014oyanimesema sura sijasema mbaya wala nzuri kwani shida ipowapi

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 ปีที่แล้ว

      Kinacholiwa ni chini sio uso mi naona sawa tu jamani au vipi wadau

  • @deusmallya3384
    @deusmallya3384 ปีที่แล้ว +1

    👊👊👊👊👊

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 ปีที่แล้ว

    Mapenzi ya MITANDAONI,NINYAUNGO KABISAAA! Mnawaharibu saana VIJANA WA LEO HIZO zenu ni FILM sio mspenzi 👀

  • @emmanuelmeena6542
    @emmanuelmeena6542 ปีที่แล้ว +1

    🥴🥴

  • @browndebora2195
    @browndebora2195 ปีที่แล้ว +2

    mtu msomi hutamjua tu hata anavyoongea.

    • @ommylee2497
      @ommylee2497 ปีที่แล้ว

      Mwinjaku jeevsio mdomo😂😂😂😂

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 ปีที่แล้ว

      Kwakweli hata anavyoandika tu utamjua huyu sio msomi

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 ปีที่แล้ว +1

    Bonge la interview

  • @salumtanganyika9551
    @salumtanganyika9551 ปีที่แล้ว +1

    😝

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 ปีที่แล้ว +4

    Angalia mikono yake amejichubuwa

    • @kysredy6498
      @kysredy6498 ปีที่แล้ว

      Langi yapesa hiyo 👌😍

    • @theresiabartholomeo5783
      @theresiabartholomeo5783 ปีที่แล้ว

      Duh.... Sasa kajichubua na usoni mweusi😂

    • @sixmundleonard2135
      @sixmundleonard2135 ปีที่แล้ว

      Hujui nyamaza

    • @TravellersTv1
      @TravellersTv1 ปีที่แล้ว

      Kajichubuaje mikono sura asijichubue wabongo bana khaaa

    • @raniakhan5463
      @raniakhan5463 ปีที่แล้ว +1

      Tafuta pesa acha shobo .kujichubua pia ni dalili ya utajiri .bila pesa huwezi

  • @theresasimba7372
    @theresasimba7372 ปีที่แล้ว +3

    Good

  • @angelwilliam3471
    @angelwilliam3471 ปีที่แล้ว +2

    Good