Kaka nimejikuta ninacheka sana maana hao watu wawili WA mwanzoni katika maisha yangu ninao na wamekuwa wakiniwazisha sana bro kuanzia leo naachili aisey daah . Asante sana brother
Asant sana broe kwa elimu nimegundua na ndo inavyo nitokea mm kwa watu wangu wakalibu sana mwalimu vitu gani nizingatie il na mimi nifanikiwe hizi changamoto ilizo sema zote ndo zinazo nitokea mimi
Kaka Joel hii mimi imenikuta sana, tayari nimejifunza namna ya kukabiliana nao., wengine ni ndugu kabisa. Asante sana kwa life wisdom... Mungu akubariki sana.🙏
Yaani hapo umenigusa mie kabisa ,yalinikuta hayo na siku hizi nimeachana nao kabisa kwasababu walinitumilia mimi kwa miaka mingi na sasa nimewaepuka, tena huwa wanakuwaga hawana shukrani wala fadhila kabisa, wao kutwa ni kutowa lawama tu na shida zisizoisha.
Asante sana kwa somo nzuri sana, hawa watu huwachukulia wenzao kama fursa vile, bila kujali kuwa kuna kujinyima mpaka yanaonekana anayoyaona kwako. Nimekutana na wengi ila huyu wa hivi karibuni amezidi ana sifa nyingi tajwa, kwangu naona ni bora kumkwepa au kumwambia siko vizuri tu.
From south Africa Durban ili tumuunge mkono kwa nguvu zote mwalimu wetu usi skip tangazo linalo pita liache liishe nadhani hii itampa faida sana na uta Kua umechangia kwa nguvu kubwa please 🙏 wanafunzi wenzangu❤❤
From here Capetown Hii changamoto imekuwa kubwa mno kiasi kuanzia kwa ndugu mpaka wazee wangu kiasi mpata sijui nn chakufanya yaan mtu anajimaliza kiasi kwa bila mm no way out tena after that Yoh so sad 😢 man
Yaani kaka mm nishakutana nao sana wanachosha sana wanataka kusaidiwa wao tuu ila wew ukipata shida kama hawakuoni alafu wakizipata Sasa wanakula bata na watu wengine zikiisha ndio wanakuja tena kwakooo Aloooo kiufupi mm ngoja niwapoteze tuuu siwataki hata bureee popote walipo najua wanajijua wapite kuleeee
Jifunze kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kamekumbuka kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
Nimejifuz kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kajikumbusha kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
Dah iyo mimi nilikutana nayo kwa boss wangu baada ya kunipeleka ofisini kwake na nikaanza kufanya kazi ikawa kama nafanya kazi bure, hata usipolipwa mshahara ukiuliza tu anaamua akulipe au asikulipe au anakufanyia chochote anachoamua na ukiuliza utaumia.. kiukweli watu wa aina hii ni wengi sana ni bora hata kukosa kazi lakini ubaki na amani vinginevyo utaumizwa sana na watu wa aina hii.. unatengenezewa hata skendo ili tu wawaonyeshe watu kuwa wewe ni mkosaji
Huyo ni mwanaume wangu tabia zote anazo na kujitilisha huruma yan wewe ndio kila siku umsaidie na umpe moyo yan anaona ni wajibu wako kbs na hata watu wakimuazima harudishi wakichukua hatua anaona kaonewa nimeamua kumuacha aende zake yani nikipata shida imekuwa ni ngumu kusaidika kwa sabab ya kuambatana na yeye wanadhani nina tabia kama zake yan simtaki kabisa kwenye maisha yangu ATOKE
Niafadhali wengne niwaume zao lakin cc wengne niwenza wetu natumeshazaa watoto inabidi nishida tu yaani cfa hizo zte mumewng anazo yey tutafanyeje unafkiri nandio nipo nae kwenye ndoa
Uko sahihi mno mimi nina ndugu zangu wenye tabia ya kukufanya kwa makusudi kabisa kitega uchumi ya fedha zao ni vigumu kujua kama wanayo lakini za zinahitajika wakati wote.
Mimi ni ndugu zng kabisa wa damu ndio wenye kunididimiza na mpaka sasa kaka yng tena mdogo Ana mke na watoto wawili amenifanya km baba yake baada ya mm kuchoka na kumwambia simama km baba wa familia yako imekuwa Kosa kisa ni mm nipo nje ya nchi wanadhani muda wote ninanyo pesa
Brother umegusa uhalisia wa Maisha ninayoyapitia Watu wa aina hiyo ninao sana Wafamilia na baadhi ya Marafiki,ningepata hili Somo kabla ningekua mbali sana,nashukuru leo kulipata nitahakikisha napata Vitabu vyako kujifunza zaidi,ni Changamoto kubwa nilionayo.
😭😭😭Kaka Joel huyu nini kabisa unaemuongelea nipo gulf huu mwezi wasita Sasa tangu nifike mishahara niliopokea ni mitano hadi Sasa, lakini sina hata akiba nilionayo, familia baada ya kuskia nipo uku wote wamejazana kwa mama hawafanyi kazi wote wananiangalia mimi, na hapo na mimi nina watoto wangu 3, najitahidi kubalanc pesa kila mwisho wa mwezi lakini hawakosi kunibebesha matatizo yao, asante sana leo nimeongeza kitu
We dada wewe tuma hela inayotosha watoto wako tu aisee utarudi kwenu huna chochote pole sana anza kuwa na roho ngumu usipofanya hivyo Kaz yako utaiona chungu
Tena hawa kwa kununa kama ile pesa yao Dah nimecheka sana kuskia hii mana wee acha tu Na anataka umpe hapo hapo anachokitaka kama utamwambia subiri anaweza kukupigia cm kila baada ya saa moja
Kama kuna namna watu wa namna hii hawatakiwi kukujua sana ili kama inawezekana wasijue kipato chako otherwise kazi ipo mi ndio nilimalizana nao hivyo ctaki kujuana sana
Wapooooh 😂,nlikutana naye mmoja huyo,Ila Yule dada hafai 😂,,,anatumia hela ovyo huku anapost status,jioni ikifika tu atakupigia simu, mara nimeibiwa pochi 😂,,so sina nauli,yani umpe pesa 😂,,,mara nimetumia hadi nauli 😂 whoiiii 😂👋
Kaka nimejikuta ninacheka sana maana hao watu wawili WA mwanzoni katika maisha yangu ninao na wamekuwa wakiniwazisha sana bro kuanzia leo naachili aisey daah . Asante sana brother
Ni kweli tupu...watu hao kwa sasa wataisoma namba maana kwa sasa itabidi nibadiri mwelekeo Bora peke yangu.
This is very true. Yaani kuna mtu haamini hata nikimwambia sina hela
Asant sana broe kwa elimu nimegundua na ndo inavyo nitokea mm kwa watu wangu wakalibu sana mwalimu vitu gani nizingatie il na mimi nifanikiwe hizi changamoto ilizo sema zote ndo zinazo nitokea mimi
Kaka #joelnanauka barikiwa mnoo najifunza mengi sn kupitia ww🙌
Nimeipenda iyooo
Kaka Joel hii mimi imenikuta sana, tayari nimejifunza namna ya kukabiliana nao., wengine ni ndugu kabisa. Asante sana kwa life wisdom... Mungu akubariki sana.🙏
Asante kwa mafundisho yako tangia nianze kukufatilia nimebadilisha maisha yangu hakika mungu akubarik kaka joel
Ndiyo Kuna mtu nikimpa mara nyingi harudishi na nikimwambia Sina anakasirika,Kwa sasa nimeamua nikimpa sitarajii kurudishiwa.
Wako wengi mkuu
Yaani hapo umenigusa mie kabisa ,yalinikuta hayo na siku hizi nimeachana nao kabisa kwasababu walinitumilia mimi kwa miaka mingi na sasa nimewaepuka, tena huwa wanakuwaga hawana shukrani wala fadhila kabisa, wao kutwa ni kutowa lawama tu na shida zisizoisha.
Wazee wetu pia wako hivo hatuna jema zaidi ya kuapizwa km huna hela za kuwapa
Asante sana kwa somo nzuri sana, hawa watu huwachukulia wenzao kama fursa vile, bila kujali kuwa kuna kujinyima mpaka yanaonekana anayoyaona kwako. Nimekutana na wengi ila huyu wa hivi karibuni amezidi ana sifa nyingi tajwa, kwangu naona ni bora kumkwepa au kumwambia siko vizuri tu.
Umenigusa kwa kiasi kikubwa sana, barikiwa sana mtumishi.
Nimekutana nao sana kwa kweli wanaumiza sana halafu wanakatisha tamaa
From south Africa Durban ili tumuunge mkono kwa nguvu zote mwalimu wetu usi skip tangazo linalo pita liache liishe nadhani hii itampa faida sana na uta Kua umechangia kwa nguvu kubwa please 🙏 wanafunzi wenzangu❤❤
Okay 🎉
0
Alaaah kumbe sijawai jua ii mm ni mhanga mkubwa wa ili 😢😢😢
Nitafanya hivyo kwakweli maana ❤❤❤
inasaidia nn
Habari , mm naona ndio walio nizunguka katika maisha yangu 😢 dah Asante sanaa
From here Capetown
Hii changamoto imekuwa kubwa mno kiasi kuanzia kwa ndugu mpaka wazee wangu kiasi mpata sijui nn chakufanya yaan mtu anajimaliza kiasi kwa bila mm no way out tena after that
Yoh so sad 😢 man
Imenitokea sana marafiki hta kw ndugu....lakin kw hili somo nashukur nimejifunza kitu Joel asante sana
Duuh wapo wengi,Asante
Thank you so much ❤❤❤❤❤
ASANTEE SANA MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL MASTER
Ahsante sana kwa somo nzuri nimezungukwa na watu wengi wenye tabia hii
Yaani kaka mm nishakutana nao sana wanachosha sana wanataka kusaidiwa wao tuu ila wew ukipata shida kama hawakuoni alafu wakizipata Sasa wanakula bata na watu wengine zikiisha ndio wanakuja tena kwakooo Aloooo kiufupi mm ngoja niwapoteze tuuu siwataki hata bureee popote walipo najua wanajijua wapite kuleeee
Watuu kamaa haooo wapooo wengi hasaa katikaa familiaaa zetu
Kaka hawa watu binafsi ninao marafiki zangu na ndugu pia , asante san umenifundisha somo kubwa mno 🙏🙏
Asant kaka hawawatu wapo atamm niponae lkn nimejifunza kwa somohili
Thanks man❤
Kiukweli watu hao wanaumiza sana. Ubarikiwe mwalimu.
Ni sahihi kabisa Barikiwa kwa mafundisho mazuri nimejifunza mengi na umenisadia sana
Nimejifunza ...mpaka saiz nimekutana nao na wanasema mm mchoyo
Daaah Asante sana kaka,wapo mtaani Kwangu hadi unajuta kuwafahamu yaani
Hongera sana, maana hiyo ndiyo familia yangu yaani umepita mlemle
Mpaka waseme😂😂😂 Asante broo Joel ulikonitoa nimbali mnoooo❤❤❤
Mimi nilisha kubali lawama kuliko fedheha, Tena bila kupepesa macho
Kama mimi 😂
Safi sanaa
Naanza kuwaepuka nana ninao wawili awajal ninao itaj msada wao
Jifunze kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kamekumbuka kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
Nimejifuz kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kajikumbusha kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
Asante
Ihii imenitokea Sana daah binahadamu
Kiukweli ni Ndugu zangu.
Ameen Asante sana kwa mafundisho mazuri
hawa watu tupo nao Sana wengne tumesoma nao chuon pia wengne ni rafik zetu kabisaa kiukweli wanakera sans
Wapo sanaa wametuzunguka katika Maisha yetu
Kuna mmoja ni best wang friend sijui nimu avoid kwa njia ip
Hawa nimekutana nao wengi sana
Wapo sana kuna mmoja alinikopa laki 5 mwisho wa siku nilirudishiwa laki 1 mpaka leo ikabidi nisamehe maana ukimdai anaona kama unamsumbua
Hawa ni ccm na raia wake
Wapo wengi sana na wanatuzungukA kaka😢😢
Dah iyo mimi nilikutana nayo kwa boss wangu baada ya kunipeleka ofisini kwake na nikaanza kufanya kazi ikawa kama nafanya kazi bure, hata usipolipwa mshahara ukiuliza tu anaamua akulipe au asikulipe au anakufanyia chochote anachoamua na ukiuliza utaumia.. kiukweli watu wa aina hii ni wengi sana ni bora hata kukosa kazi lakini ubaki na amani vinginevyo utaumizwa sana na watu wa aina hii.. unatengenezewa hata skendo ili tu wawaonyeshe watu kuwa wewe ni mkosaji
Yani umesema ukweli kabisa bro, hayo mambo mi nayaona sana kwenye maisha yangu🤔🤔🤔
Yupo hapa pemben yangu ,kila ulicho kisema anacho natayar nimesha mtoa ktk system yangu ,mshenz sana.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂wanakera sanaaa😂😂
Kabisa yani nikama unanizungumzia mimi changamoto hii nimeipitia
Wapo wengi mm wananisumbua sana
Imenikuta hii Ni kwel kabisa kaka
Be blessed brother 🙏🏽🪜
❤
💯
Hii imenikuta kwenye familia yangu ,yani kuna ndugu yangu akikuomba pesa ukimwambia huna anakasirika,naukimkopesha kurudisha lawama
Yan mm dadaangu amenikasilikia hd leo nikimpigia cm hapokei kisa ss hv akiniomb hela namwambia cn
Ahsante mentor Joel nanauka you made me a winner,, watu wanamna hii niko nao kwenye cycle nitatumia mbinu hizi kujinasua
BRO LEO UMENIGUSA MNOOO YAAN AINA HII YA RAFIKI NILIKUA NAE.
Huyo ni mwanaume wangu tabia zote anazo na kujitilisha huruma yan wewe ndio kila siku umsaidie na umpe moyo yan anaona ni wajibu wako kbs na hata watu wakimuazima harudishi wakichukua hatua anaona kaonewa nimeamua kumuacha aende zake yani nikipata shida imekuwa ni ngumu kusaidika kwa sabab ya kuambatana na yeye wanadhani nina tabia kama zake yan simtaki kabisa kwenye maisha yangu ATOKE
Kimbia hapo Huna mtu ni mzigo huo🙌
Asante sana 🎉 KAKA
Asante sana,, ubarikiwe kwa kazi nzuri 🙏
Yaani huyo ni mam yangu nimechoka
Nimekutana nao saà
Hawa ninao hata nina rafiki yangu hapa yeye akiwa na shida ndo ananitafuta ila akiwa hana shida hawezi kujitafutia.
Ukweli mtupu
Niafadhali wengne niwaume zao lakin cc wengne niwenza wetu natumeshazaa watoto inabidi nishida tu yaani cfa hizo zte mumewng anazo yey tutafanyeje unafkiri nandio nipo nae kwenye ndoa
Uko sahihi mno mimi nina ndugu zangu wenye tabia ya kukufanya kwa makusudi kabisa kitega uchumi ya fedha zao ni vigumu kujua kama wanayo lakini za zinahitajika wakati wote.
Kweli, nashukuru
Usiombee uyo mtu awe mwenza wako😢
Ubalikiwe na Bwana
Asante Sana.
Hakika yameshawahi kunikuta na najitahidi nirudie makosa na wana tabia ya kurudia kukopa hata kama hakulipa lililopita, ukiazima vyakwao wanadai balaa
Mimi ni ndugu zng kabisa wa damu ndio wenye kunididimiza na mpaka sasa kaka yng tena mdogo Ana mke na watoto wawili amenifanya km baba yake baada ya mm kuchoka na kumwambia simama km baba wa familia yako imekuwa Kosa kisa ni mm nipo nje ya nchi wanadhani muda wote ninanyo pesa
ni rafiki yangu kabisa Yani yupo hivyo kaka.
Brother umegusa uhalisia wa Maisha ninayoyapitia Watu wa aina hiyo ninao sana Wafamilia na baadhi ya Marafiki,ningepata hili Somo kabla ningekua mbali sana,nashukuru leo kulipata nitahakikisha napata Vitabu vyako kujifunza zaidi,ni Changamoto kubwa nilionayo.
Yan kuna watyu wengine ukiwapa pesa sema tu nimetoa sadaka
Wengi saaana
😭😭😭Kaka Joel huyu nini kabisa unaemuongelea nipo gulf huu mwezi wasita Sasa tangu nifike mishahara niliopokea ni mitano hadi Sasa, lakini sina hata akiba nilionayo, familia baada ya kuskia nipo uku wote wamejazana kwa mama hawafanyi kazi wote wananiangalia mimi, na hapo na mimi nina watoto wangu 3, najitahidi kubalanc pesa kila mwisho wa mwezi lakini hawakosi kunibebesha matatizo yao, asante sana leo nimeongeza kitu
We dada wewe tuma hela inayotosha watoto wako tu aisee utarudi kwenu huna chochote pole sana anza kuwa na roho ngumu usipofanya hivyo Kaz yako utaiona chungu
Asante
MM nimekutana nawo kwa sasa wanasema ninaringa
Tena hawa kwa kununa kama ile pesa yao
Dah nimecheka sana kuskia hii mana wee acha tu
Na anataka umpe hapo hapo anachokitaka kama utamwambia subiri anaweza kukupigia cm kila baada ya saa moja
Hawa Hua ni chamgamoto kwa wale watu wanao fanya biashara kwa Mali Kauli
Asant
Hii kitu inasumbua Sana unaweza pata stress
Kaka Joel what if huyu mtu ni mtoto au mume?utamkwepa Vp??
Dadaangu 😅😅 hadi namwogopa akiomba kitu hata kama sina haamini ni kulalamikat,.
😅😂😂😂😂Ila 😂😂Joel 😂😂mpaka. Jasho limenitoka😊😂😂
Mungu akubariki sana kaka @Joel ❤
"amenisema mpaka jasho limenitoka"😂😂👋,,,"amenisema mpaka nimezimia"😂😂😂😂😂😂
Kama kuna namna watu wa namna hii hawatakiwi kukujua sana ili kama inawezekana wasijue kipato chako otherwise kazi ipo mi ndio nilimalizana nao hivyo ctaki kujuana sana
Me ndio nina hiyo tabia kwa baadhi ya marafiki zangu
Kuwa ww ni yule rafiki entitled 😂 au? Mnyonyajii
%Usiache Kutabasamu%
Wapooooh 😂,nlikutana naye mmoja huyo,Ila Yule dada hafai 😂,,,anatumia hela ovyo huku anapost status,jioni ikifika tu atakupigia simu, mara nimeibiwa pochi 😂,,so sina nauli,yani umpe pesa 😂,,,mara nimetumia hadi nauli 😂 whoiiii 😂👋
😂😂😂😂😂😂
Umeongea ukweli mtupu lakini mambo mengine inabidi tusamehe kwa sasa ili tuendelee kupambana zaidi watu wa hivi au marafiki ya hivi ni wengi sana