ANGALIA WATU WA SIU WAMENILISHA KENGE ( YURU ) / Muhammad Bachu .

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 มิ.ย. 2024
  • เกม

ความคิดเห็น • 147

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt หลายเดือนก่อน +5

    Mashaallah Tabarakallah sheikh muhammad nassor. Vike wewe umekula basi na mimi naweza kujaribu kula.

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 หลายเดือนก่อน +5

    Bachu anapenda sana Maulidi.Naona Leo ametuwekea kaswida Masha Allah!!

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 25 วันที่ผ่านมา

      @@ashachitemo7816 Nasheed wanatumia 😂😂😂

  • @LukmanMohd-kn3iq
    @LukmanMohd-kn3iq หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh dumilla hafidhahullaahu. Sheikh muhammad bachu hafidhahullaahu. Ustaadh shee. Ustaadh luqmaan. Allah awahifadhi wote.

  • @user412
    @user412 หลายเดือนก่อน +2

    Nasheed zikiimbwa na wale wanaozipinga hususan ukiziwekea na ala kama hii inakuwa halali. Ila akiimba mwengine anaambiwa ni "khanith".
    Allah atujaalie wepesi na atupe ufahamu sahihi

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo awali nlikuwa nina mushkeli kula kenge....sante sheikh muahammad bachu....

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b หลายเดือนก่อน +2

    Manshallah inafurahisha kwelikweli

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 หลายเดือนก่อน +2

    Kenge mtamu sana ana nguvu kuliko pweza

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah,watu wamatusi mtaacha lini kutukana hovyo hovyo

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllaah sheikh wetu kanogewa na kenge hali kapewa safuriya yote ya nboga 😂😂😂

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulilah sisi Oman huku tunakula sana na maarufu kwa Jina la dhabb

  • @allyhamad9665
    @allyhamad9665 หลายเดือนก่อน

    Subuhanallah sheikh umeweka bidaa.
    Naona umeweka nashid

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 หลายเดือนก่อน +4

    Yuru siyo kenge. Huyo anaitwa yuru nitofauti na kenge

    • @rajabhamis8272
      @rajabhamis8272 หลายเดือนก่อน

      @@abuujibriltv5233 Kwan YURU na KENGE sini species za jamii moja !??????????????? au tofaut ikoje hapo !??

  • @user-kg6ex5mb3q
    @user-kg6ex5mb3q หลายเดือนก่อน

    Subhanallaah kwetu twamuita sakata ukilikaribia makofi ya mkia utayavagaa kumbe mawahabi mnakula nyienae mmh achen uchuu

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 หลายเดือนก่อน

      Afu nyie waisilamu mna tia Aibu mawahabi mawahabi kwani nyie mpoje jmn yani mwisilamu lkn una mfanya kama so mwisilamu acheni upuuzi hii Dini ya Mungu so yenu

  • @HassanKofa
    @HassanKofa หลายเดือนก่อน +2

    Mbona umeunganisha channel yako na nasheed wakati umewahi kusema kuwa wanaosoma anaashidi wanalegeza sauti mwisho ukawaita makhanithi na mashoga

  • @haidarimfinanga9755
    @haidarimfinanga9755 หลายเดือนก่อน

    Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    KUMRADH SHEIKH MUHAMMAD, NIMEMUONA SHEIKH MMJOJA KATIKA VIDEO CLIP AKISEMA DARSA ALILOKUWA AKILIENDESHA ALMARUHUM SHEIKH NASORO BACHU LIMEPUNGUKIWA SANA NA WANAFUNZI. KAMA NI KWELI, HII SIO PICHA NZURI AIDHA SIO AFYA KWA MAENDELEO YA AKHLUL SUNNA WAL JAMAA.
    KAMA NI KWELI LABDA KUNA SABABU YA MSINGI, KAMA LA, BASI LIONE HILO.
    WABILAH TAWFIQ

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic หลายเดือนก่อน +1

    Bismillah

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot หลายเดือนก่อน +1

    Maashaa Allaah

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 หลายเดือนก่อน

    Aaamin Yaarabbal A'lamin 😊

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 หลายเดือนก่อน

    MASHAA ALLAH tabarakalla mmmmmmm kumbe kenga analiwa sijawaikula

  • @ukweli19
    @ukweli19 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @NaadiriTV
    @NaadiriTV หลายเดือนก่อน

    Poleni sana mashekh

  • @MuhammadSabuni
    @MuhammadSabuni หลายเดือนก่อน

    Maasha Allah

  • @amirmape6474
    @amirmape6474 หลายเดือนก่อน +5

    Asalam alaykum shekhe vp tena maana ulisema nasheed ni ubalazuri sasa vipi nawewe umeshakuwa balazuri au vp?

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 หลายเดือนก่อน

      Ameteleza

    • @mahmudmugarura2175
      @mahmudmugarura2175 หลายเดือนก่อน

      @Amirmape6474
      Kua na Adabu

    • @abdulkarimjuma78
      @abdulkarimjuma78 หลายเดือนก่อน

      @@mahmudmugarura2175 mimi?

    • @abrahmanhamad3253
      @abrahmanhamad3253 หลายเดือนก่อน

      Kwan yy kaimba anashed au TV ndio imeweka anashed

    • @abrahmanhamad3253
      @abrahmanhamad3253 หลายเดือนก่อน

      Kuwa na akili TV ndio imeweka anashed sio Mohd bachu kaimba

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah, editor wahii kazi ametuwekeya mziki editor wacheni khiyana shekh Muhammad mwenyew anapigavita nasheed za namna hii editor achananeni na mziki mziki siyo dini na hauna dalili yakukubalika ktk dini

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 หลายเดือนก่อน

      @@abuuabdirrahmaan4132 kama ukomakini chanel ya Muhammad bachu iliungana na Alhajar tv sasa editor wao ndo tunamtupiya lawama kwahili na siyo shekh

  • @Khalid-mf3iu
    @Khalid-mf3iu หลายเดือนก่อน +2

    Bachu ameikalia sufuria ya yuru hataki kuiwata

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

    Haahaaa 😂😂 muhammad.

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU หลายเดือนก่อน +4

    BACHU WEWE SIO WA KUWEKA MZIKI KWENYE CHANNEL YAKO! ......Ushaanza kutupa wasiwasi juu ya msimamo wako asee!

    • @ABUUBAAZNYUNGU
      @ABUUBAAZNYUNGU หลายเดือนก่อน

      Hata kama ndo umecopy hyo video.....ila as long as ni haram haukutakiw kuicopy kweny channel yako

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj หลายเดือนก่อน

      Hata ww ukiwa na ilimu utajua nashid haina neno

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 หลายเดือนก่อน

      Kila binadamu huteleza ndugu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj หลายเดือนก่อน

      @@mohagurey2214 sio kuteleza kila akipija hatua na ilimu atapata nashid atakubali insha Allah na maulid atasoma ngojea uwone

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 หลายเดือนก่อน

      @@saba-gv3mj Wewe muislamu kweli? Ama wewe ni shia mwenye niyah ya kupotosha ummah ya kiislamu? Hebu nipe ayah ama Hadith zinahalalisha anasheed? Don't mislead the ummah ya ahlul bid'a

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n หลายเดือนก่อน

    Naona Kaswida kwa mbali leo😅 Mashallah

  • @AliIbrahim-lv5cq
    @AliIbrahim-lv5cq หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 Sheikh mm siwezi yakh

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh bachu watu wa bidaa wanavyo kuchukia watakuonyesha kwenye radd zao nahilo sufuriatu Allah awaongoze

    • @HemedSerious
      @HemedSerious หลายเดือนก่อน

      Unashobokea kidume mwenzio

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@HemedSeriousvp na ww ni Mtu wa Bidaa maana na ww umeshoboka na comment ya Watu isiyo kuhusu

  • @ibnuomar1770
    @ibnuomar1770 หลายเดือนก่อน

    Mnapinga Nasheed.. lakin katka vipindi vyenu munaeka??
    أتأمرون الناس بالبر وتنسون أنفسكم وأنتم تتلون الكتباب أفلا تعقلون؟؟؟

  • @aziza9093
    @aziza9093 หลายเดือนก่อน

    Mm siwezi😂😂😂

  • @mirajimsigiti7317
    @mirajimsigiti7317 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh bachu VIPI TENA HIZO NASHEED??

    • @allybobsaith
      @allybobsaith หลายเดือนก่อน

      hio ni nasheed isiokua na ala za mziki😊

  • @aziza9093
    @aziza9093 หลายเดือนก่อน

    Mm inabiti nilenisikuwa

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud หลายเดือนก่อน +2

    Assalaamu aleikum

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td หลายเดือนก่อน +2

    naona sheikh wa Sunna unakula uku umesimama

    • @sultaniiyytv3718
      @sultaniiyytv3718 หลายเดือนก่อน

      Sio shambi ila haipendezi wallah aalam

    • @alisaadmohammed
      @alisaadmohammed หลายเดือนก่อน

      Mtume asemausinywe maji kama umesimama sio chakula

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 25 วันที่ผ่านมา

      Kuna katzo kwani kula huku umesimama?

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 หลายเดือนก่อน

    Ukuweza kula kenge na Mjusi unaweza kula

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 หลายเดือนก่อน

    Fisi pia halali yeye husimamatu

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 หลายเดือนก่อน

    Wee bachu acha njaa

    • @ayoubrashid8392
      @ayoubrashid8392 หลายเดือนก่อน

      Popote pale kama wamfuata mtume watakiwa uwe mstaarab hivo ndo Mtume alivokula........waporoja tu.......half wasmama kifua mbele kupinga maulid

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 25 วันที่ผ่านมา

      Punguza chuki

  • @HusseinSalimu-cm3vs
    @HusseinSalimu-cm3vs หลายเดือนก่อน

    Kaeni Bc Ndio Muwe Mnakula

  • @CubeedCali
    @CubeedCali หลายเดือนก่อน

    Nyinyi mawahabi hatafisi mulihalalisha

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu หลายเดือนก่อน

    Eu não consigo comer esse tipo de animal 😮😮😮😮

  • @suleimanmkanga
    @suleimanmkanga หลายเดือนก่อน

    Nilipo ifungua hii video nilisikia mashairi bin bachu waimba mashairi ni nani vile

  • @MusafirBaba-wy8kh
    @MusafirBaba-wy8kh หลายเดือนก่อน

    Achen kuweka vinanda

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed หลายเดือนก่อน

    Ujehuku znz tukulishe guruguru mana kitu kimoja hao

  • @IMRANITV1
    @IMRANITV1 หลายเดือนก่อน

    Mtume hakula kenge bali alikula mburu ni kiumbe anaezaa hatagi mayai,lakini kenge anataga someni musifuate tuu jazba

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab หลายเดือนก่อน

    SHEHE UMEOMBA KIPANDE CHA NYAMA ,UMEPEWA TU UMEKIWEKA KINYWANI BILA YA HATA BISMILLAHI ILA MARA YA PILI ALHAMDULILLAH UMESEMA 😂😂😂

    • @hamidaawadh9024
      @hamidaawadh9024 หลายเดือนก่อน

      Kwani lazima aseme bismiLlaah kwa sauti?

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab หลายเดือนก่อน

      @@hamidaawadh9024 Sio lazima ila irudie tena kuiangalia hiyo video yaani kupewa,kupokea na kuingiza kinywani sidhani kama amewahi kusoma hata hiyo moyoni, labda amesoma akiwa bado hajapokea Allah anajua zaidi

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 25 วันที่ผ่านมา

      Kusahau ipo kwa mwanaadamu

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 25 วันที่ผ่านมา

      @@hamidaawadh9024 Sio lazima ila hata kwa moyoni hajasema maana ni muda mchache baada ya kupokea na kuweka kinywani

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 25 วันที่ผ่านมา

      @@user-rb8ir9co9k Yes inawezekana pia

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula5415 หลายเดือนก่อน

    Ilikua nauliza suala moja je huyo kenge huwa achinjwa baada yakumshika ama hata asipochinjwa yaruhusiws kuliwa

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona kama Bismillah hakuna! Alafu ni nyoka!😅

    • @fatmasalim7132
      @fatmasalim7132 หลายเดือนก่อน

      Amesema Bismillah rahmaan rahiim,rudia tena umsikie

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 หลายเดือนก่อน

      @@fatmasalim7132 ndio ila waangalie hao wengine

  • @Albanabdullah1232
    @Albanabdullah1232 หลายเดือนก่อน +5

    Yuri ndio analiwa kenge haliwi acheni ujinga,halaf nyie ndio mwajitia watu wasunna mbona mnakula haliyakuwa mmesimamah

    • @FatmaAbdulhalim
      @FatmaAbdulhalim หลายเดือนก่อน +2

      Asiekasoro hakuna

    • @abubakarismail6365
      @abubakarismail6365 หลายเดือนก่อน

      Kweli lakini wao watu wa suna bwana wangefanya wenziwao ingekuwa TH-cam kama zote

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 หลายเดือนก่อน

      ​@@abubakarismail6365Hawana sunna wala nn ni vibaraka wa esrail na marekani.

    • @rajabhamis8272
      @rajabhamis8272 หลายเดือนก่อน

      Sorry, @Albanabdullah1232, YURI ndo viumbe wa jamii gani !??????
      Nataka kujua

    • @user-rs7nd1ob5u
      @user-rs7nd1ob5u หลายเดือนก่อน

      فالنهي عن ذالك للكراهة فافهم يا جاهل مركب "فمن أكل واقفا فلا حرج يا غبي

  • @rashidikibuna8575
    @rashidikibuna8575 หลายเดือนก่อน

    Kenge aliyetajwa navitabu siyo huyo

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 หลายเดือนก่อน

    Siwez kula kenge hata iweje, yan naachaje kuku

  • @CubeedCali
    @CubeedCali หลายเดือนก่อน

    Wewe bachu hunahaya

  • @hajijuma1761
    @hajijuma1761 หลายเดือนก่อน

    Vipi kuhusu popo ni halal pia

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 หลายเดือนก่อน +1

    Chakula cha mila. Lakini reptile kumla mushkeli.

    • @abduljecha7779
      @abduljecha7779 หลายเดือนก่อน

      Mtume alimkataa ki desturi lakini chinguzeni vitu anavyokula ndio utajua hafai

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj หลายเดือนก่อน

      Yuwaliwa hakuna mushkil

  • @Naw89
    @Naw89 หลายเดือนก่อน

    Aisee mie siwezi kula hiyo hata kwa dawa

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 หลายเดือนก่อน

    Anaekula akiwa amesimama huyo ni..........

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 หลายเดือนก่อน

    shekh Muhammad hahahahahah

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 หลายเดือนก่อน

    Yuri ndio kitu gani jmani bachu unakulaa usichokijuwas

  • @rajabhamis8272
    @rajabhamis8272 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuh,,, hivi kwel Kenge analiwa !????

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu หลายเดือนก่อน

      Tena vizuri sana....ila kwa wanawake sio nzuri

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 หลายเดือนก่อน

      Sasa kama kenge analiwa na punda karibuni tutaambiwa analiwa. Tutaona mengi kwa vile dini ishakuwa ni ushindani sasa.

    • @dawud6065
      @dawud6065 หลายเดือนก่อน

      ​@@awadhsalim2680
      وَعَنْ اِبْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {أَكُلَّ اَلضَّبِّ عَلَى مَائِدَةِ رَسُولُ اَللَّهِ صلى الله عليه وسلم} مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ
      Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا) amesema: “Kenge aliliwa katika meza ya Rasuli wa Allaah (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ). [Al-Bukhaariy, Muslim]

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui หลายเดือนก่อน

    MAWAHABI MWASHINDANA KULA KENGE😂 WAKATI MTUME ALIKATAA KULA KENGE

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me หลายเดือนก่อน

    Angalia usijelishwa nguruwe akhy

  • @universitylink
    @universitylink หลายเดือนก่อน

    Ukila yuru utaota unashika ma euro ya pesa

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim หลายเดือนก่อน

    Mimi simli

  • @momsaa08plumbingandelectri7
    @momsaa08plumbingandelectri7 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo kenge halali kula???

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 หลายเดือนก่อน

    Hyo kitu n tam san aloo nimeimis mno since 2000

  • @mudvan2410
    @mudvan2410 หลายเดือนก่อน

    chochote kinacho zuria au kushambulia kupitia kucha ni haramu Kula hebu twambie ushahidi wa Kula kenge bwana radi ili na sie tupate faida

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

      Vip kuku wenye kushambulia kwa kucha na wao ni haramu na kuna ndege wengi tu wanashambulia kutumia kucha.. Hi faqh yako umesoma wapi?

    • @mudvan2410
      @mudvan2410 หลายเดือนก่อน

      @@YahyaYahya-vp2pp kaka usiwe mjinga kuku hashambulii Kwa kucha wala hakamatii kucha nimesoma na wala sikusomeahwa na malaika wa radi na wanasiasa wa chama cha salafi nitafute nikusomeshe na lazima ujuwe kwamba kuna tofaut baina ya kuzuria kucha na kukamatia kucha kwaiyo kunguru na kipanga halaal kuliwa mana kuku yeye hupekura kupitia kucha illa kuzuria huzuria mdomo

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

      @@mudvan2410 kama hukusomeshwa umejisomea mwenye ndio ujinga wako ilipoanzia.. Saw umesoma kitabu gani hayo uliyo yasema eliimu haina mwish niambie kitabu huenda nikafaidika nacho

  • @jabirothman7133
    @jabirothman7133 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @abdulbandari1551
    @abdulbandari1551 หลายเดือนก่อน

    Je ,mamba pia halal?

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b หลายเดือนก่อน

    Warohotu nyie

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj หลายเดือนก่อน

    😢sijasikia km kenge analiwa haya km si haram kuleni

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k 25 วันที่ผ่านมา

      Fanya na ww umuonje siku Moja

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 25 วันที่ผ่านมา

      @@user-rb8ir9co9k mhh kitu km hicho mara unadhurika mm siwez Kula kenge

  • @aslamswalah7852
    @aslamswalah7852 หลายเดือนก่อน +1

    😂😅asantaa.ustadhi eeeh,nauliza fisi jee halali kumla?manake nliskia mawaidha ya manhaj salafi kuwa muislam anafaa kumlaa.

  • @ibrahimkhatib2899
    @ibrahimkhatib2899 หลายเดือนก่อน

    Unakula GURUGURU weweee😂😂😂😂

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 หลายเดือนก่อน

    Shekh Muhammad uko Kenya utakula mpaka panya 😂😂

  • @aliathman7609
    @aliathman7609 หลายเดือนก่อน

    mimi hata kwa bomu simli😂😂😂

  • @CubeedCali
    @CubeedCali หลายเดือนก่อน

    Mchafu wewe hoyuru aliliwa khaybara kwa sababu ya dhiki

  • @maalimahmad5726
    @maalimahmad5726 หลายเดือนก่อน

    we jahili mtoto wa bachu daah leo umeumbuka kwanza ulianza kusema nashid ni sawa na ukhanithi mbili hao mawahabi wenzio mnakula kibudu kenge kwa sababu enzi za mtume alikula mburu kenge na sio kenge yuru tatu waislam mnakula mmesimama kiujumla tunawaita makafiri hakuna sehem mtume alikula kasimama kenge nyie kama nyama hiyo

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe หลายเดือนก่อน

      kaka acha kuita waislamu makafiri

    • @saidabdallah5448
      @saidabdallah5448 หลายเดือนก่อน

      Genge ni halali.
      Kula kwa kusimama haina shida imeruhusiwa
      Masufi hamtaki kusoma

    • @maalimahmad5726
      @maalimahmad5726 หลายเดือนก่อน

      hao ni makafiri mtume hakufundisha hivyo kama wewe unaona wako sahihi wafuate yeye ni bingwa kwa kukosoa wenzake jahil huyo​@@khamisswalehe

    • @maalimahmad5726
      @maalimahmad5726 หลายเดือนก่อน

      ​@@saidabdallah5448wewe ni kibaraka wake nakujua vyema hunipi tabu genge la kikatoliki mnakula vibudu

    • @sumaisabu9816
      @sumaisabu9816 หลายเดือนก่อน

      ​@@maalimahmad5726wanaosoma maulid wao ndo waislam ee