ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

🔴LIVE: MOSHI MJINI MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 26

  • @petroNandrie
    @petroNandrie หลายเดือนก่อน +7

    Mbowe. Fukuza kunguru hao. Yaani watu wanateseka hawana maji halafu kunguru mmoja anatebelea gari ya tsh ml. 500.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq หลายเดือนก่อน +5

    Hawa watanzania wanasiochagua wanatuchelewesha kuwaondo waha maccm maana wametukera kweli kweli

  • @MayalakusekwaNkwabi
    @MayalakusekwaNkwabi หลายเดือนก่อน +4

    Respect !

  • @vitalisnyagali2774
    @vitalisnyagali2774 หลายเดือนก่อน +4

    Ndo maana mbowe awakupendi na cc chadema tunakuitaji mpaka basi

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 หลายเดือนก่อน

    Leteni mafuta na nishati mbadala ndivyo vinasababisha maisha magumu sio katiba. Upendo ndo katiba ya Mwenyezi Mungu

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 หลายเดือนก่อน +5

    Mmeona Kenya jinsi ruto anavyotii maamuzi ya vijana.
    Sasa tutashangaa kama mtaendelea kuongozwa na wazee.
    Ccm ni mzee akapumzike.moshi tunawaamini.moshi ndiyo sura ya mabadiliko

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd หลายเดือนก่อน

      SASA NI NCHI NZIMA SI MOSHI TU CHADEMA IKO JUU NCHI NZIMA MOTO UNAWAKA.

  • @joaneskailembo4485
    @joaneskailembo4485 หลายเดือนก่อน +2

    CCM subirini muda kdg

  • @chaba_boy_tz7287
    @chaba_boy_tz7287 หลายเดือนก่อน +2

    Haya ma ccm yanafosi kuongoza nawakati hatuwapendi.. muda wao umeisha

  • @BorySaronge
    @BorySaronge หลายเดือนก่อน

    Mmeufahamu wimbo unapofikia mwisho na mtajuta.

  • @GasperMboro
    @GasperMboro หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania bila ccm inawezekana.tutokomeze ccm

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wajiandikishe hasa Hawa vijana.
    Vujana amkeni ninyi ndio maGEN Z

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e หลายเดือนก่อน

    Sasa ushindi unakuja🇿🇦🇿🇦

  • @user-hc3ms3gh3o
    @user-hc3ms3gh3o หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja sana

    • @rosekimaro384
      @rosekimaro384 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa kamanda

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

    Wasio mpenda mbowe ni maccm tu

  • @eliahnjavike4827
    @eliahnjavike4827 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndo saccos

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 หลายเดือนก่อน

    Tuliopo sweden 😅😅

  • @OrediYowasi
    @OrediYowasi 29 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli ccm hawana akilin vijana tuwe makin

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

    Nyie Chama cha Vikoba hamuwatishi ccm kamwe kaeni kimya na Saccoss yenu

    • @Globalpeace123
      @Globalpeace123 หลายเดือนก่อน +1

      Pole lazima useme hivyo kwani hujitambui
      Ndiyo maana uko hivyo 😂😂😂😂

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni nyumbu wa ccm unahongwa pombe na tshart za kijani za mia tano mia tano hata aibu huna

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน

      Ccm ndio saccos kwasababu inaogopa kuweka usawa kwenye uchaguzi kwakuogopa kugalagazwa na chadema kwwnye chaguzi eti tume wateue ccm katiba ya ccm halafu mkitangazwa mnakenua meno kwa kutangazwa, yani yanga na simba wako kwenye mechi wanashindana halafu yanga aingie na refa wake na marefa wasaidizi halafu akishinda ashangilie huo unakuwa ni upumbavu huwezi kushangilia ushindi usio halali

    • @frankkimaro1354
      @frankkimaro1354 หลายเดือนก่อน

      Jinga kubwa.kaliwe uko

    • @josephmbeya5973
      @josephmbeya5973 หลายเดือนก่อน

      Uzuzu unakusumbuwa

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq หลายเดือนก่อน +2

    Hawa watanzania wanasiochagua wanatuchelewesha kuwaondo waha maccm maana wametukera kweli kweli