USIKAE OFISINI KAIFANYE KARIAKOO IWE MASAA 24 "RAIS SAMIA AMPA MAKAVU WAZIRI JAFO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 28

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 3 หลายเดือนก่อน +5

    Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah

    • @JosephKangungu
      @JosephKangungu 3 หลายเดือนก่อน

      Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿

  • @herryochola2650
    @herryochola2650 2 หลายเดือนก่อน

    KAZI NZURI SANA MHESHIMIWA RAIS,MIMI NINA IMANI KUBWA NA WEWE.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 3 หลายเดือนก่อน +1

    JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

  • @imamwaki2566
    @imamwaki2566 3 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka

  • @princeisaac2202
    @princeisaac2202 3 หลายเดือนก่อน

    Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.

  • @imallya6513
    @imallya6513 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant1827 3 หลายเดือนก่อน

    Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 3 หลายเดือนก่อน

    Mama iko mzuri Sana

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld 3 หลายเดือนก่อน

    Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa

  • @azizimohamed9171
    @azizimohamed9171 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli mama kaamua

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo

  • @MaulidHimidi
    @MaulidHimidi 3 หลายเดือนก่อน

    Tupo pamoja mama unaupiga mwingi

  • @melitajeremia
    @melitajeremia 3 หลายเดือนก่อน

    Perfect kabisa

  • @shabanjuma4253
    @shabanjuma4253 3 หลายเดือนก่อน

    Mkuu jafo hongera sana kaka

  • @DeusJackson
    @DeusJackson 3 หลายเดือนก่อน

    Mama mitano Tena unajua kazi mama

  • @MikaJoseph-h4p
    @MikaJoseph-h4p 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 3 หลายเดือนก่อน

    Jaffo yuko vzr saaaaaana

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa Mama kaupiga mwingi

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro

  • @JacksonChokola-u2i
    @JacksonChokola-u2i 3 หลายเดือนก่อน

    Yote Yako saw tuuu

  • @allymkamba1054
    @allymkamba1054 3 หลายเดือนก่อน

    Kama ni Jafo yule yule basi natumai makubwa.

    • @Henricovicent
      @Henricovicent 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 3 หลายเดือนก่อน

    Milori ni kero mitaani

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna jipyaa