Move nzuri ila tunashangaa Kwa kumuona majuto 😮ebu tuambie mli act kabla ajafarik ama mana Iko vzr sana na tumeipenda kama na wew unataka kujua kama mm tujuane Kwa ❤❤
Yani vichwa vyote vyashindwa kufikiria mwashindana kuulizana movie ya lini alaaa c muangalie hao watu vyenye wako ndio mjue n y kitambo jamani,lkn kwa yote movie nzuri mzee majuto mungu akurehemu bado tuna furahi kwa kazi zako ❤❤❤❤❤
Nikionaga Mzee majuto naanzaga 🤣🤣🤣🤣kuchela kabla hata ya ku watch yote , so naombeni niwaulize huyu boss jina lake anaitwaga nani ???? Nampendaga huyu baba wallah anachezaga movie poa ♥️♥️♥️
Habari watu wa halisi tv mimi naitwa hakizimana gervais ni raia burundi nawashukuru kwa video hii mubarikiwe sana tena sana
Move nzuri ila tunashangaa Kwa kumuona majuto 😮ebu tuambie mli act kabla ajafarik ama mana Iko vzr sana na tumeipenda kama na wew unataka kujua kama mm tujuane Kwa ❤❤
Ya muda Sana kabl hawajafa yy na recho
Mi nimeiona kabla majuto ajafariki
Niya muda sana ,Recho/majuto hawajakufa
Ya mda mbona
Yakitambo sana wala ata kuumwa ajaanza😢
Koku uko uko sasa haya onekana ww pekeako..😂😂😂😂nakupenda tu bure mamaa❤❤❤
Tangu mwanzo nilipo anza kuangalia hii movie na kumuona Mzee majuto basi nimekua nikicheka hadi nanaliza kuangali yani ofisi imejaa vituko😁😁😁😁
Tunasubili
Yani vichwa vyote vyashindwa kufikiria mwashindana kuulizana movie ya lini alaaa c muangalie hao watu vyenye wako ndio mjue n y kitambo jamani,lkn kwa yote movie nzuri mzee majuto mungu akurehemu bado tuna furahi kwa kazi zako ❤❤❤❤❤
Mnatuchanganya mbona..movie ya masaa matano sasa iko n majuto..dj tufungue macho plz
Watu hamjui bc ata picha hamuoni wanja t unajuwa km niyamda
Huyu mpezn wake lamerk kafanan na zuchu wa diamond 😂😂
Safi sana...muendelezo please na msisaau kutuletea for my child please please please 🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲
Nikionaga Mzee majuto naanzaga 🤣🤣🤣🤣kuchela kabla hata ya ku watch yote , so naombeni niwaulize huyu boss jina lake anaitwaga nani ???? Nampendaga huyu baba wallah anachezaga movie poa ♥️♥️♥️
Mzee masinde
Bosi masinde anapenda kuect bosii saana na anapendezea saana
Movie nzuri lakini sauti ya muziki ni kali sana kuliko saiti za watu
iyi movie nilijuwa muiweke You Tube maana kitambo sana
🎉😂😂😂
Wa kwanza
Maskini recho mzee majuto marehemu wote.mungu awaweke mahala pema
Recho ni yupi aliye fariki
😂😂
@@rashidgona1808huyo mweupe wa macho makubwa
Lakini ni ya mdaa namuona Recho 😢
Ni uyo mdada aliesuka rasta akachanganya rangi mbili nyeusi na brown mbele@@rashidgona1808
Movie nzuri saaana❤ sasa hatujui majuto katokea wapi tena
Boss atawamaliza wafanya kaz wake duh cc wanawake tuna changamoto maofisini 😰😰
Halisi tv iyi movie niya moto kweli, muendelezo usichelewi plz
Yani mapenzi bwana ata ni ushenzi akii unae mmpenda akupendi usie mmpenda ata ayupo
Najiuliza tuu kwanini wasanii wa sasa hawawezi kutengeneza movie kama izi yani? Wanatutolea viepsode mamae wakitoa kimoja muendelezo mpaka mnasahau😠
Twambieni kma yuko kwel hajafriki
Kelele ya kwanza kwa Jenifer kyaka mwendelezo tafadhari❤❤❤❤❤
Next plzz sehemu ya pili
Move nzuri sana hongera Halisi tv
Wapir2🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jmn tamu Sana tunaomba mwendelezo 😢😢
Si nilisikia mzee majuto kafariki jamani siulizi kwa ubaya😢
Hii niyazamani kabla yakifo chake yy nahuyo recho wote wamekufa
Hii ni ya kitambo sana
Kwaiyo umesikia kafufuka au
Recho ni yupi please@@aisharamdan8358
recho ni yupi kwan@@aisharamdan8358
Mbona nusu nusu..ebu tupeni mwendelezo wa Alice
Eti unawai km jogoo wa kijiji 😂😂😂😂 Mungu amrehemu huyu mzee
Jennifer nakupenda sana
Nimependa janami na mm nisome nije kufanya kazi katika office odama umependeza sanaaaaa ❤❤❤❤
Hivi hawa waigizaji wazuri wapogo wapi sikuizi jamani?
Hongeren sana jamani
Very nice movie
Move nzur sn hongera dada jenif kwa kaz nzuri ila zingatia kwenye saut yachin mpk uzidish sn ndio unaskia
Hiyo sauti kweli siyo nzuri
Natoka Kenya. Movie nzuri sana lakini Mzee majuto aliaga muda mrefu uliopita , anapatika aje hapa Tena jamani?
Izo move mbona zamuda Sana atakuna recho mbona alikufa mwaka 2012aliacha mtoto
Izo move mbona zamuda Sana atakuna recho mbona alikufa mwaka 2012aliacha mtoto
Tunaomba cleopatra
Nitumiya jena ya move plzz
Steve mkorofi mnafiki😅😅😅,Hana lake,Michemiche😅
Muv balaa ii uwi😂😂😂😂
Safi san washiriki ❤❤❤❤
Nice movie
Asante dj ❤❤❤
Next tafadhar aiseeeee 😂😂❤❤ majuto 😢
From Burundi 🇧🇮
Sauti imekua tatizo kubwa sana na sugu kwa moovie za kitanzania.
Vinanda vinapewa sauti yajuuu mno kuliko maneno husika
Hii move inaonekana mpya sasa mzee majuto katokea wap mbona hatuelewi
Nimeona watatu humo waliisha tangulia mbele ya Haki.
Hakuna kitu huwa kinaniboa najaribu kila njiankumkataa mwanaume et nitakusubir tu usijali
wame act baada ya majuto kufariki😂😂😂😂😂
watching from kenya,,msanii wa gospel,,,, nimependa movie yenu❤❤❤❤
Majuto karudi tena duniani makubwa
Movie ya mda hiyo
@@AishaMohamed-ee5fy ohoo
Ndugu zako walisha rudi
@@sharifabahar9905 wacha kuelewa mtu vibaya sasa umeongea nini
@@sharifabahar9905 Use your mind and if you read, understand quickly
Majuto jamn tunacheka akiwa kaburini😂😢.
😂😂. Majuto alhwa. Akurehemu🥹
❤❤❤❤❤❤❤❤❤jenifer khaka nakupenda mnooooooo
Next plzz jena ya move 😂
😂😂😂😂😂❤mashaallah 😘🇹🇿💚💚💚
Majuto he is😂😂😂😂 the best comedian
Yani film nzuri lakini yenye vituko😂😂
Tupe jina la mchezo
Hora vivaaa
😢😢😢😢 masikini nimemuona mbaka marehemu recho na majuto
Allah awarehm reach 😢❤ki majuto😢❤
Si mutulete foolish age please
ya siku nyingi sanaa ni move tam sanaa❤
Hii move ilinifanya na mimi nianzishe kampuni
Ofisi ina drama hii😂
Da jenifa Mungu alikupa kipaji unajuwa nakukubali sana dada nakupate mdogo wako unipe hata ushauri
Yamuda
Jamani minajua majuto alikufa vipi Tena alifufuka
Kuna ndugu yako alikufa alafu alifufuka
😂😂😂😂umejib vizur@@sharifabahar9905
Jamani movie yakitambo mungu amrehemu Mzee majuto😢😢
😊😊😊😊😊😮😮😮😮🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
We
Movie nzuri ila mkishuti next time jaribu kuangalia upande wa sauti
❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪
Iyi film ipo tangu 2016
@@MasPromiseacheni uongo mimi nimeanza kuiona 20 14 ikiwa na mwaka momja tu imetika iweje mseme eti ni ya 2016 duu
Najuwa kunwaga mchele ila kuogota siweziiii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Iyi movie ni kali sana kabisa 😂😂😂😂 yani kwa nziya mwanza mupaka mwisho niku cheka to 😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
huyu fadhili ni mimi kabisa yani 😢😂😂Na boss wangu 😂😂😂
Muzee 😂tutakukubuka lala kwaaman❤❤ Odama w
Mze wa mchele😅😅😅😅😅😅😅😅iko anapiga chabo😅😅😅😅😅
Mke wa fadhiri unalia Mimi ninacheka😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
nikakitambo ii kabla majuto bado ajafa jamani
Kelele za hvyo vinanda vinaboa
❤❤❤❤🎉😊
Ehhhh jamani atakama ajasoma usim nyanyase😢😢😢
Nilikuwa naitafuta sana hii nzuri sana
Tena auchoki kuangalia unatamani utazametuuu
Recho mjee majuto mungu awape janna huko muliko allah awasamehe makosa yenu🙏🙏🙏🙏😭❤❤❤❤🎉🎉🎉
Rachel ndo yupi
Majuwa 😅😅😅😅😅😅😅leo kayatimba😅😅😅😅😅😅😅😅😊
Reduce background sounds please 😢😢
Ya zamani nliwahi kuitazama
Muvi ya muda sana
Nyi watt wa 2000 iyo move ya mda sana
Love mzee majuto 😂😂😂❤❤❤
Movie ya kitambo hii
Rp mzee majuto❤
Iko pw sana
😂😂😂😂😂Steve mmbea kwel kwel
Majito,da recho nikitizama huu movie nawakumbuka😭😭
Da racho ndo nani
Majito ndio nani?
Rachel ni yupi?