LEILAH RASHID kuachana na MZEE YUSUPH kwa Amani. FULL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • Exclusive! : LEILA RASHID Hatimae Aachiwa huru. ALHAJ MZEE AFUNGUKA!! : • LEILA RASHID Hatimae A...

ความคิดเห็น • 184

  • @omand1761
    @omand1761 7 ปีที่แล้ว +13

    Mungu hashindwi na jambo,mzee Yusuf amuombe Mungu mwisho Leyla atabadilika mwenyewe.Asiwe na munkari wala jazba,mola ndo mlinzi wa roho safi na zilizopotea.Sababu mimi sijawahi kuona talaka inatoka kwa jambo la kheri la kutubu!!,ndo kwanza itakuwa kwao Mungu awaepushie.Amin

    • @hamisihassani9245
      @hamisihassani9245 7 ปีที่แล้ว

      Ivanhoe Ivanhoe's

    • @nehemiambwilo8657
      @nehemiambwilo8657 6 ปีที่แล้ว

      *****

    • @mariadeus4016
      @mariadeus4016 5 ปีที่แล้ว

      binadam ndowalivyo zoeakusema nakwenye ndunia kusema nikawaida Dada tuliana mumeo mwayadada angu leila

  • @zubedamwinazi413
    @zubedamwinazi413 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu Awadumishe kwenye ndoa yenu mwaka 100 mahsidi tupa kureee

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 7 ปีที่แล้ว +57

    mwanamke wakiislamu baada ya radhi za wazazi akiolewa zina hamia kwa mumewe basi ikiwa mzee yusuf ameamua kuachana na munkar basi hakuna budi lazima mkewe amfuate kwani ndio mas ul kwake hapo hakuna mjadal na ikiwa mkewe atakataa kumfuata mumewae basi atakua amekhalifu amri ya mwenyezi mungu na mtume wake hapo atakua amekosa radhi ya mumewe, swali ukiwa ume khalifu amri ya mwenye mungu namtume wake kisha ukazikosa radhi za mumeo je watarajia nini kesho, duniani tuna pita tu huko ndio kwenyewe haya yoote mapambo ya dunia tutayaacha hapa hisabu ndio amal utaondoka nayo sasa dadangu huu mtihani mdogo mungu kakupa muache mumeo kwaajili ya ngoma taarab mipasho, rusha roho,michambo au umfuate mumeo kwa ajili ya ALLAA, mxee yusuf aliipenda taarab kukushinda mungu akampa tanabai, mungu atuongoze sote waislamu inshaallah.

  • @asyadada9011
    @asyadada9011 7 ปีที่แล้ว +8

    inshaallah mungu akupe mwisho mwema kama mumeo wakti ukifika nafsi ikardhia bila shurti basi acha na umrudie Allah na ss wengine pia Allah atuongoze tupate mwisho mwema

  • @endlessluvali2138
    @endlessluvali2138 7 ปีที่แล้ว +9

    Mola amjalie azinduke na yeye aache muziki.
    Mola humuongoza amtakae

  • @haithamkhamis3744
    @haithamkhamis3744 7 ปีที่แล้ว +3

    tubia ww dada pumz isikuhadae utajutia in sha Allah mola akuongoze uione haq na uifuate

  • @mozaal-riyamy9009
    @mozaal-riyamy9009 7 ปีที่แล้ว +10

    mke wa alhaji kichwa wazi.mzee.yusuph utaulizwa sanaa

    • @salmamustapher8614
      @salmamustapher8614 7 ปีที่แล้ว +3

      kwa kabixa amelaaniwa mwanamke mwenye kuunganisha nyware Na mweny kuunganishwa wote bi laana.

    • @sulaimana8127
      @sulaimana8127 7 ปีที่แล้ว +8

      tubu wewe mama mfwate mumewako anakuita mwende peponi na ibilisi anakuita motoni.

    • @hajimakalans6927
      @hajimakalans6927 7 ปีที่แล้ว +2

      Moza Al-riyamy

    • @abasmahesha7887
      @abasmahesha7887 6 ปีที่แล้ว

      Moza Al-riyamy Yusuph

  • @catherineadam4483
    @catherineadam4483 6 ปีที่แล้ว +1

    nakupenda sana dada Reila mungu akupe miaka mingi

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah we mzur Leyla

  • @sopiaahmad7795
    @sopiaahmad7795 7 ปีที่แล้ว +4

    leila nakupenda unavyoongea,too cool

  • @ramadhanmwinyi5605
    @ramadhanmwinyi5605 7 ปีที่แล้ว +6

    unamtia mumeo motoni coz yy ndio ataenda kulizwa kuhusu ww inshallah mbele ya allah

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 7 ปีที่แล้ว +3

    jamani njia ipi tena aonyeshwe wakati mumewe ashamwonyesha mke wangu tulikua tuko gizani sasa njia ilio na mwangaza hii achana huko twende huku ati ngojea kidogo alive kwambia tutaishi mpaka kesho ninani INA ILEHI WAINA ILEHi RAJ UUN

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว +9

    Masha Allah Leila nakupendaje mie waache waseme

  • @khadijahassan82
    @khadijahassan82 4 ปีที่แล้ว

    Allah akuongoze katika njia ilionyooka inshaallah

  • @malqiaofficial1003
    @malqiaofficial1003 7 ปีที่แล้ว +11

    leylah dadaangu jistiri mwanzo kama mke Wa Alhaji

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 7 ปีที่แล้ว +5

    mashaallah muzindi kuelewana kwani waja midomo wazi wasubiri unafiki

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale 7 ปีที่แล้ว +3

    In shaa Allah Mungu atampa fahamu na ataiona njia iliyo ya kweli..Kwa hakika bado mda anao.

    • @fareesfarees7634
      @fareesfarees7634 7 ปีที่แล้ว +1

      Tee- Bag mda hana...abadilike now...Muombee dua tu abadilike

    • @fareesfarees7634
      @fareesfarees7634 7 ปีที่แล้ว +3

      Tee- Bag akifa kabla hajabdilika itakuaje???

    • @thomaslandwhale
      @thomaslandwhale 7 ปีที่แล้ว +3

      In shaa Allah coz even the king repented recently...l hope and pray she will repent before she died In shaa Allah

  • @likmaniyusuf4182
    @likmaniyusuf4182 7 ปีที่แล้ว +13

    pole Dada angu laila kwa yaliyokupata,mrudie mungu wako bila shaka kila kitu kitaenda sawa kwa uwezo wake

  • @aminakhamis1122
    @aminakhamis1122 6 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda Sana leila

  • @magambosinongo5072
    @magambosinongo5072 7 ปีที่แล้ว +18

    wanawake ni mtihani sanaaaa kwakweli

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha8035 6 ปีที่แล้ว

    Nguvu za sheytwani zina mwisho ila nguvu za mungu hazina mwisho tujitahidi kurudi kwa Allah inshaAllah

  • @hanagirma7761
    @hanagirma7761 5 ปีที่แล้ว

    Msibaa uwoo dadaetu rudi kwamola wakooo dhunia nikupita tu inshaAllah Allah atakuongoza njia ya kheri

  • @winfridapeter4458
    @winfridapeter4458 7 ปีที่แล้ว +3

    nakupenda Leyla wangu

  • @politeman8011
    @politeman8011 6 ปีที่แล้ว +3

    Wanaofanya dhambi huku wanacheka wataingia motoni huku wanalia.
    Hili liwe ni neno la ukumbusho kwa kila mtu.

  • @vanessawilliam3653
    @vanessawilliam3653 6 ปีที่แล้ว

    Duuuuuuu unafanana na amina king kiba nawapenda

  • @leylayusuf435
    @leylayusuf435 7 ปีที่แล้ว

    mashallaha mola awaongoze kwa mapenzi yenu hadi kufa kuzikana waja kawaida Yao kuzungumza somu mtunze mumeo acha na waja

  • @jumamwalimu3536
    @jumamwalimu3536 7 ปีที่แล้ว +6

    Mzee yusuph al hajji una kaz hapo kwa wake zko

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 5 ปีที่แล้ว

    *wakati wake ukifika naye atabadilika so mzee yusuph kumrudia mungu wake hakumfanyi kila mtu amfuate Yeye no hvyo mungu ndo anayepanga HUMUONGOA ANAYETAKA KUONGOKA NAHUPOTEZA ANAYETAKA KUPOTEA Pia mungu anasema alomnyanyuwa Yeye hakuna wakumshusha na Alomshusha Yeye hakuna wakumpandisha*

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      we vipi ?? Hujui kuwa mwanaume ni Mchunga Na Lazima Utaulizwa ulivyo vichunga...

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 7 ปีที่แล้ว +2

    Layla hana budi ila kuachana na munkar amfuate Mzee, shukran bi Aisha.

  • @imanilaurent3043
    @imanilaurent3043 4 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana

  • @disneyland5580
    @disneyland5580 7 ปีที่แล้ว +23

    Apende asipende mziki haramu ndo mumeo kaachana na muziki kilichobaki tukuombe Mola akuoneshe njia ya haki na iliyo nyooka

    • @abdallahmfoi6292
      @abdallahmfoi6292 5 ปีที่แล้ว

      Disney Land inshalwaa alwah awajahlie wepes yanamkuta kila mja inshalwa tuombeane

  • @omand1761
    @omand1761 7 ปีที่แล้ว +4

    Mwanamke wa kiislam anatakiwa amtii mumewe siku mzee akikukataza kuimba,ukienda kuimba umauti ukikukuta umekufa kafiri ingawa hatuombei hivyo.Daraja ya mume kwa mke ni kubwa sana,mtu akibisha shauri yake mwenyewe.Maisha yasituhadae leo tupo kesho hatupo.Mungu atupe mwisho mwema sote

    • @kimmtorobo3870
      @kimmtorobo3870 7 ปีที่แล้ว

      Nimekumbuka ule wimbo wa zamani unaosema, tindi moja tindi mbili tindi tatu kazoea......hivyo kam alimfundisha mwenyewe kuimba, basi atamfundisha taratibu aina njia nyingine ya maisha anayotaka aifate

  • @saisdanabdullah396
    @saisdanabdullah396 7 ปีที่แล้ว +1

    Maasha Allah.... 👏👏👏👏

  • @selemaniabdallah150
    @selemaniabdallah150 7 ปีที่แล้ว +4

    liacheni liseme iro likhadija mpaka apanuke domo mpaka iro lisura lake lizid upan na mnyonyo ufike kweny utosi

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 ปีที่แล้ว

    Ni vyema kumrudia mungu heri inshaallah dadangu

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 5 ปีที่แล้ว +4

    Kuna mwanamama mwengine (pia muimbaji wa taarab) alisemwa juu ya bwana Wa Dubai huku akiwa na mumewe. Akakana! Ameolewa naye bwana huyo baada ya kuwa kichocheo cha kuachana na mume huyo ambaye sasa hayuko tena duniani!

  • @joycesongoloka8412
    @joycesongoloka8412 6 ปีที่แล้ว

    nakupenda sana leie

  • @tiffahtiffah7881
    @tiffahtiffah7881 7 ปีที่แล้ว +2

    bora naww uache2🙏

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 6 ปีที่แล้ว

    Mungu anakuona .sio jambo LA kucheka hilo

  • @jemimapamen6663
    @jemimapamen6663 5 ปีที่แล้ว

    Leila we nakupenda.

  • @tiffahtiffah7881
    @tiffahtiffah7881 7 ปีที่แล้ว +1

    mambo ndoyatakua mazuri 🙏

  • @fafi9092
    @fafi9092 7 ปีที่แล้ว +2

    Mungu anamaana yake kuamrisha uone wanawake wenye din uyu mwanamke ata nusu yadin yake aijuh

  • @tiffahtiffah7881
    @tiffahtiffah7881 7 ปีที่แล้ว +7

    ajakuambiakitu anajua ww nimtumzm 👆 utajiongeza

  • @salmamohamed6347
    @salmamohamed6347 7 ปีที่แล้ว +3

    Seriously mume amerudi kwa Mungu mke asema amechukia😭😭

  • @zarihassan2173
    @zarihassan2173 7 ปีที่แล้ว +2

    Mas,hallah

  • @ameeraaljassim4138
    @ameeraaljassim4138 4 ปีที่แล้ว

    Kweli jamani pole

  • @aminaluttu8339
    @aminaluttu8339 6 ปีที่แล้ว

    yani we sakina nakupenda mpaka basi unavituko vizuri

  • @francoismalenge1373
    @francoismalenge1373 2 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @zainabumohammed8334
    @zainabumohammed8334 5 ปีที่แล้ว

    kichwa Wazi Mke Wa Alhaji Inalilah Wainailah Roujiun

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA 7 ปีที่แล้ว +4

    Mambo vipi Tanzania? karibuni kwenye channel yangu kuna bonge la love story ya kweli kabisa,channel inaitwa Maisha ya Ughaibuni.

  • @sabrinaomary5166
    @sabrinaomary5166 4 ปีที่แล้ว

    Kaaaah inasikitisha eti bila aibu mke wa alhaj

  • @subirabuyout1317
    @subirabuyout1317 6 ปีที่แล้ว

    Soubuhanallah mtto wa kislam

  • @emmatv7264
    @emmatv7264 6 ปีที่แล้ว

    dada nampenda sana huyu

  • @aminakadala1319
    @aminakadala1319 7 ปีที่แล้ว +1

    Leila nakupenda sana na mwanamke mwenye msimamo usiyesikiliza ya waja mpende mumeo visokolokwinyo wapotee mama

  • @musahusein9250
    @musahusein9250 7 ปีที่แล้ว +1

    we leila unashadagan wewe achakuitolea macho dunia wewe nimuislam bwana tambua dunia tunapita lakini akhera nibora nayenyekubaki mulele mumeo hanashida kahangaika sasa karudi kwa allwah muunge mkono

  • @samiahsuleyman6285
    @samiahsuleyman6285 6 ปีที่แล้ว

    Kila mchunga ataulizwa kwa alichokichunga mzee Yusufh hii ni dhima kwako

  • @user-zo3kt3ez8k
    @user-zo3kt3ez8k 7 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 4 ปีที่แล้ว

    Mh Leila atamtudisha mzee yusuph kuleee nyie subirin wanawake tukiwa sema tunakuwa sema haswa na tukiwa waovu hapatoshi

  • @azaqzszs1972
    @azaqzszs1972 7 ปีที่แล้ว

    nic my leila

  • @ashulamusin9811
    @ashulamusin9811 5 ปีที่แล้ว +2

    Ushetani mtupu mwenzio utamfany aingie motoni em acha hvyo badilika

  • @aminasalmu3322
    @aminasalmu3322 7 ปีที่แล้ว

    ni kweli au

  • @paulomgan2064
    @paulomgan2064 6 ปีที่แล้ว

    Leila mzuri anafaa kuwa mke

  • @leticiamapunda3324
    @leticiamapunda3324 2 ปีที่แล้ว

    Leila yaani ukitabasam mimi hoi nafuraishwa sana

  • @iddibakari166
    @iddibakari166 6 ปีที่แล้ว

    mfuate mumeo mjue mungu inatosha kwa uliyoyafanya

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 ปีที่แล้ว

    Sasa hapo munaongelaa nini mbona sielewi.kama watoto.mambo ya saji kila mtu anayo

  • @fahadsaid8657
    @fahadsaid8657 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu si mke ni sheitwan nashangaa mzee yusuf yupo nae ndo Alhaji gan kukaa nywele waz mke wako

    • @accericknashon1443
      @accericknashon1443 5 ปีที่แล้ว +1

      fahad said usimuhukum binaadam mwenzio kumuita sheitwan, mtoa hukum ni Allah pekee, ipo siku ataacha sio kumuita sjeitwan haaaa jmn. ndio din inasema hvy

  • @mariamakungwa9416
    @mariamakungwa9416 5 ปีที่แล้ว

    Kaachwa wa kwanza hata yeye akubali tu

  • @ChaffuziTheDj
    @ChaffuziTheDj 7 ปีที่แล้ว +4

    fanya atakacho mume wako ndio upate jannah

  • @daruweshghalib2725
    @daruweshghalib2725 7 ปีที่แล้ว +4

    mludie mungu wako km mumeo alivyo ludi kwa allah

  • @lovinaakinyi4397
    @lovinaakinyi4397 7 ปีที่แล้ว +2

    mtoto waki Tanzania uliumbwa ukaumbika fanya kazi yako time yako ikifika utawacha to pia mume anaweza akakuwacha na akakuletea mke mwenzio kwa hivyo dada fuata roho yako na raha jipe mwenyewe

  • @jumamahdi7862
    @jumamahdi7862 7 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Yusuph" Pongore nakupa au Chewu.

  • @uthmanzombe2242
    @uthmanzombe2242 4 ปีที่แล้ว

    Wote mtu na mmewe ni wanafiki wakubwa.

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 5 ปีที่แล้ว

    Mzee Yusuph hana lolote kama kamrudia Mungu si kuacha taarabu tuu, hata vitu vyote alivyovipata kupitia taarab angeviacha na kugawia masikini, aanze upya kwa kazi nyingine ambayo ndo kaona inampendeza Mungu wake, vinginevyo ni sawa unaendesha gari ya wizi unaamua kuuza na pesa kutumika kwa shughuli nyingine

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 7 ปีที่แล้ว +4

    INA LILAHI WAINA ILEHI RAJ UUN

  • @joycesjacob2890
    @joycesjacob2890 7 ปีที่แล้ว +4

    imba nyimbo za dini

    • @Hassan_Mengi
      @Hassan_Mengi 7 ปีที่แล้ว +1

      ....japo dini ni kaburi nene

  • @khadijaomarkhadijaomar4822
    @khadijaomarkhadijaomar4822 7 ปีที่แล้ว +3

    mwanamke kujiamini hongera

  • @kassimmohammed4949
    @kassimmohammed4949 5 ปีที่แล้ว +1

    Hivyo alivyo Tuuu Ana machukizo ya Allah

  • @jenephjany7445
    @jenephjany7445 6 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe una mdomo mpana hivyo hadi magego ya mwisho yanaonekana mmh mungu anisameh lkn 😂

  • @politeman8011
    @politeman8011 6 ปีที่แล้ว

    Hahahhaah Joyce dini yetu haina nyimbo.

  • @sheikhajuma2591
    @sheikhajuma2591 6 ปีที่แล้ว

    Haya ya dunia 2 ipange akhera yko

  • @aishajuma6009
    @aishajuma6009 4 ปีที่แล้ว

    Mke was pili was mzee yusuph

  • @farish2899
    @farish2899 7 ปีที่แล้ว

    kuna vita Yemen.

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 7 ปีที่แล้ว +1

    Picha na sauti haziendani inapoteza mvuto.

  • @mabovuhomefurniture
    @mabovuhomefurniture 5 ปีที่แล้ว

    Nywele za bandia

  • @latally8987
    @latally8987 6 ปีที่แล้ว

    mxamaa unakuuxu b khadija

  • @jumamadenga630
    @jumamadenga630 2 ปีที่แล้ว

    Htr

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 7 ปีที่แล้ว +3

    acha kuimba wewe mfate mme wako. unashida gani wewe

  • @politeman8011
    @politeman8011 6 ปีที่แล้ว

    Allah nae atamuongoa.

    • @fikirihalfani3384
      @fikirihalfani3384 5 ปีที่แล้ว

      Usije ukaacha mzik we mama maana nisikia raha sana ukiimba

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Yaan humu kuna mijitu inatumia majina ya kiislam kumbe ni Makafir

  • @ramadhanijuma8874
    @ramadhanijuma8874 7 ปีที่แล้ว +1

    Huwa nashangaa sana kumuona mtu mweusi akijihusisha na uislamu bila kujua kuwa wanafuata mila na taratibu za waarabu ambao ndio wanongoza kwa kuwachukia na kuwadhuru watu weusi......huu ni utumwa kabisa

    • @khamismusa7626
      @khamismusa7626 6 ปีที่แล้ว +1

      Ramadhani Juma uislamu haubaguwi rangi wala kabila

    • @saadajuma5808
      @saadajuma5808 6 ปีที่แล้ว +1

      Ramadhani Juma haujui unasema nini wala haujielewi

    • @aboudmsonde2890
      @aboudmsonde2890 6 ปีที่แล้ว

      Ramadhani Juma aisee sikutegemea kama kuna mtu anaweza kuandika ujumbe kama huu wako umesoma habari za bilal bin rabah alikuwa mtu mweusi tena mwenye asili kinubi lakini mtume alimteua kutoa wito na mtume akaupitisha hadileo ndio wito bora (adhana) vipi ramadhan juma......

    • @yousufharthy6876
      @yousufharthy6876 6 ปีที่แล้ว

      Ramadhani Juma
      Umekosa Elimu na huna busara.
      Hujuwi hata unazunguka nini.
      Kwani Issa ibn Maryamu alikuwa mzungu au Muafrika .
      Nenda waulize wajinga wenzako ikiwa hujuwi.

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      yani humu kuna majitu yanatumia majina ya Kiislam kumbe Ni makafir ikiwemo hili li Ramadhan

  • @zenahkagz8808
    @zenahkagz8808 7 ปีที่แล้ว +2

    mwanamke wamtia mumeo motoni hatakama huachi muziki basi jitande

  • @dodomikleni9299
    @dodomikleni9299 7 ปีที่แล้ว

    shame on u layla,mumeo karudi kwa Mungu unakataa kumuunga mkono,huoni haya mumeo alivyo sasa na wewe umekaa hapo kichwa wazi,mapambo yako anayaona kila mtu,mlaani shayraan urudi kwa Mungu wako kama kweli unampenda sana mumeo.
    mungu akuhidi na sisi asije kutupa mitihan km hiyo.
    jiangalie sana hao unicheka nao watakuacha mkono,unaikejeli hajj ya mumeo kwa kustarehesha watu baki....jiangalie mwanamke .
    tuendapo ni shubiri...

    • @annarichard3691
      @annarichard3691 6 ปีที่แล้ว

      red apple mmmh naww unayajua ya ndan hcho ktu kdog hvo mtu akatae

  • @loveelaadam2517
    @loveelaadam2517 6 ปีที่แล้ว

    Mbona huna stara wafkr sio mke wa alhaj

  • @tumainimaseta9093
    @tumainimaseta9093 6 ปีที่แล้ว

    kuachika ni kawaida has a mwanaume akiamua usife moyo piga. kazi

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba4231 7 ปีที่แล้ว +1

    wacha ukafiri ww

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 4 ปีที่แล้ว

    Sikio la kufa

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 ปีที่แล้ว

    😩😩😩😩

  • @saidaalijuma858
    @saidaalijuma858 6 ปีที่แล้ว

    mung hapend na ww ni muisalmu

  • @joycesongoloka8412
    @joycesongoloka8412 6 ปีที่แล้ว

    usijali leila

  • @kassimmohammed4949
    @kassimmohammed4949 5 ปีที่แล้ว

    Majanga tuuu hamna kitu hapo