KILICHONIKUTA SIKU YA KWANZA KUJUA MTOTO WANGU MDOGO NI MCHAWI ALIANZA KU.. . . . . . . . . . #KILICHONIKUTA #SIKUYAKWANZA #MTOTOMCHAWI #ALIANZAKU #INATISHA #UCHAWI
Maskin Mtoto mtoto aliebakwa pole Mdog wangu😭😭😭😭😭😭😭Inshaallah Kwa rehma zake Allah utarejea kwenye hali yako ya kawaida Mama angu eeh Hasbiyallah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Me ndo mana nawaambiaga watu usimuamini mtu ukamuachia mtoto wako huwezi kujua huyo mtu ni nani ndo mambo kama haya Sasa mtoto anaambiwa akuuwe ww mama tuwe makini jaman wamama tulinde watoto wetu na tuwaombee sana dunia sio nzuri kabisa hii jaman
Acha kuwa na akili hiyo wewe unamjuaje mtu mchawi na hauna experience yeyote haufahamu kuwa wachawi wanaweza wakamuingiza mtoto wako uchawini angali mama yako na baba yako si wachawi, acha kuwa na akili ya ovyo wewe
Subhanallah mtihani wallahi , pole sana mpendwa kwa majanga ya watoto wako Jengine hakuna ndoa inavunjika pasipo kuachika kwa kutamkiwa ama kwakuandikiwa talaka hata ukae miaka kumi ishirini mia mpk huyo bwana akuache, tusomeni jamani ndugu zangu ktk iyman ili tuiyelewe dini yetu, Wewe ni muislamu uwende ukafanyiwe dua na masheikh na sio kwenda kanisani, tuishi kama mtume wetu alivyotufunisha.
Hivi nyie mnaosema kwenda kanisani kosa mnamatatizo gani wakati mungu ni mmoja kwa hiyo heri aende kwa waganga kuliko kwenda kanisani kama anapata msaada,hebu tuacheni hayo Mambo ya kujifanya tunazijua sana hizo dini na dini zote tuliletewa hata mababu zetu walilazimishwa tu kuzipokea 🏃🏃🏃
Mwanangu mm nilimpeleka kwa bibi yake napenda kumuona nikawa simuelewi kabisa mtoto usiku tukilala anaamka anaanza kupiga kelele anasema bibi niache tangu hapo nilimchukua na mpaka leo sitaki akae na bibi ake kabisa
pole dada.Nakuomba rudi kwa maombi mlilie Mungu afute hilo jina la uchawi juu ya mwanao na uombe kibali juu ya mwanao naamini kabisa mwanao atakubalika asome.
pole sana dadaangu, ila katika simlizi hii nimejifunza kua maombi yana nguvu sana, na kingine, ni kwamba makonda alikua ni mtu poa sana hasa kwa maskini, hongera sana Poul makonda MUNGU akulinde huko uliko, kwa kosa kama hilo la kumbaka mtoto wa miaka 6 kosa kama hilo hata likifanywa na mtoto wangu wa kumzaa afungwe na afie jela
Humjui shetani wewe, hiyo ni roho tu chafu ili kuharibu maisha ya huyo mtoto. Huyo mtu anakuwa na roho zinazomtumikisha, hata yeye haelewi, mmh! Dunia hii bila Yesu matatizo matupu!!!
Kidini ikipita miezi 3 mwanamme bila kukupigia cmu kukuhudumia hiyo ni talaka tosha ata asipokwambia ckutaki hiyo pia nitalaka tosha waruhusiwa kuoleka kwengine
Mbona hadi naogopa sasa na nyumbani Niko mwenyewe ntalala kweli😳😳😳🙊🙊
Assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu wapendwa karibuni TK tv na like zangu munipe Kwa wingi wakwanza
Me nisha kupa yangu tayari🙈🙈
Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu all the best
😀
@@dariamushi9356 shukran my
😂😂umekuja na mbwembwe 😂😂
Tuchunge sana watoto wetu aisee mbona nahisi hadi mwili unanisismka aiseee🙌🙌🙌
Wa pili naombeni like zangu jamani💃
Uuuuuuuuuuwwwwwwiiiii MUNGU BABA tusamehe na tulindie watoto wetu😭😭😭😭😭😭
Weka Imani yako kwa YESU dada yangu
YESU ni mkombozi wa wanadamu wote
Polesana kwamitihani 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
MIMI Namkubal Kelvin shayo anauliza maswali vizur Sana
Hunishindi mm nampenda kwelii💕💕💕
23:30 kwanini uyo nurse aseme hivo?? Na kwanini si nurse wa kike?? Ukimuacha mtoto achekiwe na mtu wa kiume iyo pia ni hatari.
Yani mtoto mchawi lakini najikuta mapaka namuonea Tena huruma😞😞😞
Dada mlinzi ni mungu ndoaliekulinda nasi watu wako wakichawani
Maskin Mtoto mtoto aliebakwa pole Mdog wangu😭😭😭😭😭😭😭Inshaallah Kwa rehma zake Allah utarejea kwenye hali yako ya kawaida Mama angu eeh Hasbiyallah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😳😳😳😳😳😳
YESU Kristo ni njia ya uzima wa milele. Hakuna atakayeingia ufalme wa mbinguni bila kumuamini kwa roho na kweli…
Wachawi shikamooni
POLE SANA MADAM HUYO BABU YAKE MKATILI SANA MIAKA 30 JELA SAIZI YAKE NAMBA YAKO YA M.PESA MADAM ?🇹🇿🇬🇷
ALLAH TULINDIE WATOTO WETU
Amin binadamu wamekua kma wanyama mthn
Subhanallah 🙄Hasbunallah waniimalwakil Waxhaw jaman hawana huruma Allah tustir waja wako😭🤲🤲
ila hii dunia inamambo jaamni 🙌🙌
Kabla ya kusikilizwa imenistua
Kama mmm
Me ndo mana nawaambiaga watu usimuamini mtu ukamuachia mtoto wako huwezi kujua huyo mtu ni nani ndo mambo kama haya Sasa mtoto anaambiwa akuuwe ww mama tuwe makini jaman wamama tulinde watoto wetu na tuwaombee sana dunia sio nzuri kabisa hii jaman
Asante tiki tv kwa story tamu Yani hapa nilikua boadi nimefurahi sana 👏👏👏
Jiji naliogopa sana hilo,yaani hata ukioa! Mke kutulia awe na khofu ya Mungu vinginevyo mtihani
😃😃😂
Hii story hatari 🔥🔥🔥🔥
Hawa mabibi tuwe nao makini sana tulee watoto wetu wenyewe mabibi wengi hua sio wazuri wanafundisha watoto uchawi wauwe ma'am zao
Sasa utawajuaje kama mchawi
@@mohammadumarzavallah9719 hapo Sasa ndo pagumu🤔🤔
Acha kuwa na akili hiyo wewe unamjuaje mtu mchawi na hauna experience yeyote haufahamu kuwa wachawi wanaweza wakamuingiza mtoto wako uchawini angali mama yako na baba yako si wachawi, acha kuwa na akili ya ovyo wewe
Tiki tv 🔥🌱
Congole kwonaises👏👏👏👏🔥🔥
Aisee pole sana ant endelea kumuomba M/Mungu ataendelea kukusaidia
Mwanaume halei mimba mimba umelea mwenyewe mwanamme analeta huduma tu
Pole dada Yani mtoto wa kwanza kaingizwa uchawi wapili kabakwa miaka sita 😳😳unamoyo sna me sijui ningefanya nn nahisi ningeshakua mirembe
Uyo toka mama yao kafa maisha yao yamekua magumu sanaa nawajua jirani zangu hatriiii
Subhanallah mtihani wallahi , pole sana mpendwa kwa majanga ya watoto wako
Jengine hakuna ndoa inavunjika pasipo kuachika kwa kutamkiwa ama kwakuandikiwa talaka hata ukae miaka kumi ishirini mia mpk huyo bwana akuache, tusomeni jamani ndugu zangu ktk iyman ili tuiyelewe dini yetu,
Wewe ni muislamu uwende ukafanyiwe dua na masheikh na sio kwenda kanisani, tuishi kama mtume wetu alivyotufunisha.
Hivi nyie mnaosema kwenda kanisani kosa mnamatatizo gani wakati mungu ni mmoja kwa hiyo heri aende kwa waganga kuliko kwenda kanisani kama anapata msaada,hebu tuacheni hayo Mambo ya kujifanya tunazijua sana hizo dini na dini zote tuliletewa hata mababu zetu walilazimishwa tu kuzipokea 🏃🏃🏃
@@abdallahrashid169 nimekushangaa sana comment yako na jila lako nivitu vili tofauti subhanallah, haina haja yakubishana na asiejielewa.pole sana
@@abdallahrashid169 ww Abduli upo sawa lakini kutokana nailijinalako inavyoonyesha ww nimuuslam ila mbona unaongea pumba?? Allah akusaidie
Huyo kajipachika tu jina majinuna wahade
Pole sana dada usijali mungu ni mwema sana dada
Dah mthn inaskitisha
Haya nayo mazito 😳😳😳
Pole kwa mapito mdogo wangu
Unasema we no muislamu. Inakuaje uende kanisani? Huoni umejiletea balaa. Au uislamu jina
Sasa bila kwenda kanisani angejuaje kama mtoto wake mchawi? Sasa huko alipo sindiko kwenye magwiji uchawi wakupitiliza,.
Uislam haukumsaidia ,ndo maana akakimbilia kwa Yesu kwaiyo yuko sahihi kabisaa
Duuuuh😳😳😳😳😳😳
Mungu bado anakupenda angeshakuua huyo mwanao🙌😳😳😳
Kabisa
Nakuambia wachawi hawana huruma
Dada weye kiboko, kuxaa kila mtoto na babake,ni aibu utaonekana wewe malaya
Kwanza ameaza umaraya mdogo sanaa namjua
Hadi naogopa
Mtoto mdogo lakini anamazito khaaah 😳😳😳😳😳😳😳😳
Yani mtiani mabibi wengine
Subhana llah. Daaahhhhh niliwahi kuona kuwa USEMBE ni kinga nzuri sana kwa wachawi unaumwaga ndani kwenye pembe nne mchawi ananasa hapohapo
Mpeleke shule za dini
Akakutane na magwiji wenzake sio
Mwanangu mm nilimpeleka kwa bibi yake napenda kumuona nikawa simuelewi kabisa mtoto usiku tukilala anaamka anaanza kupiga kelele anasema bibi niache tangu hapo nilimchukua na mpaka leo sitaki akae na bibi ake kabisa
Afadhali Hawa mabibi hawafai kwa kweli
Kwa hio hawa wabibi wanamavitu ya zamanie wanawapa wajukuu
Mpaka nasisimka hapa
Ahsante bro Kelvin
Ndoa ya kiislam bado mke wa mtu
Mungu wetu moto ulao naponya
pole dada.Nakuomba rudi kwa maombi mlilie Mungu afute hilo jina la uchawi juu ya mwanao na uombe kibali juu ya mwanao naamini kabisa mwanao atakubalika asome.
Dunia simama nishuke 😱😱😞
pole sana dadaangu, ila katika simlizi hii nimejifunza kua maombi yana nguvu sana,
na kingine, ni kwamba makonda alikua ni mtu poa sana hasa kwa maskini, hongera sana Poul makonda MUNGU akulinde huko uliko,
kwa kosa kama hilo la kumbaka mtoto wa miaka 6 kosa kama hilo hata likifanywa na mtoto wangu wa kumzaa afungwe na afie jela
Jamani jaman 😱😱😱😱
Huyu Dada waligomba kwaajili ya kajala
Hakuna kitu kinaniumaga kusikia mtu mzima anaenda kumbaka mtoto mdogo hivi watu wazima wenzie wanakua wameisha au nn hua nasikiaga hasira sna
Anaogopa kuhonga
Humjui shetani wewe, hiyo ni roho tu chafu ili kuharibu maisha ya huyo mtoto. Huyo mtu anakuwa na roho zinazomtumikisha, hata yeye haelewi, mmh! Dunia hii bila Yesu matatizo matupu!!!
Kidini ikipita miezi 3 mwanamme bila kukupigia cmu kukuhudumia hiyo ni talaka tosha ata asipokwambia ckutaki hiyo pia nitalaka tosha waruhusiwa kuoleka kwengine
Kwadini gani,uislam hapana hausemihivo
Mmmhh siyo kweli
Stop zooming it disturbs ⛔️
Utaendaje kanisani? Wewe si muislamu!!!
Mi namuelewa ni katika kuhangaika
Kwa hiyo Bora angeenda kwa waganga wakienyeji,msiwe hivyo nyie Waislam na mungu wetu sote nimmoja kama kanisani unaweza saidika kwa nn usiende?
Ulitaka aende kwa waganga
He makubwa, kwani ww sehem za tiba unazozijua ni kanisa na waganga tuuu?
Umeona wp muislamu na kanisa
Duuu!! Pole sana
😳😳😳😳😳🤔🤔🤔
Huyo dada naweza pata namba zake za cm???? Please.....
Yesu anakuhitaji wewe, okoka......!!!
Hata mm nikiambiwa mwanangu mchawi siwezi kuamini aisee kunavitu ukiambiwa haviingii kabisa akilini
Tamsana
Subhanna Allah innalilah wainnalilah rajiun
Pole mwaya