Dada wa Kazi Aliyezaa na Baba Mwenye Nyumba Ajilipua, Sikutaka Kutoa Siri Hii Ila Imenibidi Z...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Dada wa Kazi Aliyezaa na Baba Mwenye Nyumba Ajilipua, Sikutaka Kutoa Siri Hii Ila Imenibidi Z..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#dadawakazi #aliyezaanababamwenyenyumba #ajilipua #sikutakakutoasirihiiilaimenibidi #dadawakaziafunguka #baadayakuzaana #babamwenyenyumba #mamamwenyenyumba #dadawakazi #zuu #tikitvkiakilizaidi #diamondplatnumz #alikiba #naywamitegoamkeni #marioo #zuchu #honey #zuchuhoney
Huu ni Vita ita enda kwa vizazi hadi vizazi
Sasa hivi pengine ni faraja ila uzao Wako ndio utakavyo Vuna huu ulicho kipanda
Ndoa haujengwi kwa hushirikina Bali ni Mungu Ndio nguzo
Jamani musimlaanj mtoto wawatu tatizo lilianzia kwawanandoa wenyewe nasio yeye imetokea ndoishatokea tena kueni makini nandoa zenu munapokua nawadada wakazi
Hawana akili wote wanaomlaumu kwann wacmlaumu ally ?
Mbona nchi za kiarabu kazi zoooote ni kwa dada wakazi lkn mtu hawezi chukua mume wa madamu wake ???ni umaraya tu😢😢😢
@@hamisathadeo4870mchukue kama hujarushwa kutoka juu ya gorofa ufe!!!! hawanaga discussion kama hizo!!!
@@hamisathadeo4870 usifananishe arabun na Africa amina kakutwa bikra huo umalaya kautoa wapi ?
@@hamisathadeo4870kumbuka kamuharibia us Chana wake huyu sio malaika ushawishi ulikua mkubwa na shaytwan Ana nguvu tumuombee kher tu madhali kamuharibu na kataka kumuoa zuu angekubali tu rzk mungu ndio anaetoa bint 20yrs soo wakumsimanga sote wazaz😢
Naombeni like kablasijashusha gazeti langu 😅
Nimekupa tayari
Muone midomo mikavu kama chura kwani utakaa nauyo mme bac
Ungekufa tu maana ww mama yako niwashezi
Atakufa kwa ahad yake 😮
Duh
Maumivu ya Zuu sijui yapoje kwa sasa masikin dah,,hii Dunia😢😢😢😢
Dunia duara
Amina umekumbuka watoto wa mwenzio je wataishi bila baba acha ubinafsi
Ushirikina unakuaga na mwisho na huwezi toboa kishirikina. Huyu anajiamini kwakua mama yake ashaa mwaminisha kuhusu uchawi. Mama atamaliza waganga.
Sii huyu ndiye ,alifanyiwa ushirikina,unageuza kipindi nawe,tupumzishe
Akuna cha ushilikina apa amuwoe tu Waleed MTT Uyo bwana amjengee nyumba Ile Ni ya make wake mkubwa
Sasa yy na zuu nani mshirikina ? Wqlimroga bint wa watu kumpiga na fimbo za tumbo walitegemea atakufa ila mungu yupo na amina
@@ruqaiamohammed345 una uhakika ni Zuu alimroga?? Watu wanaposema Amina na mama yake washirikina ni kwa sababu wamethibitisha wao wenyewe kufanya ushirikisha. Amina kasema hata kwenda kujifungua kaenda kwanza kwa mtalaam kupata go ahead kwenda kujifungua. Mama Amina kasema mwanawe lazima ataolewa hata kwa kishirikina. Dhana mbaya sana unaweza kujiingiza kwenye dhambi bila kujijua.
@@aminasittusaid3830 kwa mtu ambae hn akili km ww basi huwez jua kuwa vile fimbo / kulala ndn uck asubh ukajikuta yuko nje na alikuwa anamuota bibi yake zuu huwez jua km ni kina zuu ndio waliokuwa wanamchezea kwa kuwa huna akili na lzm aende kuangaliwa kwanza kabla hajaenda hospital maana km una akili utajua kwann alienda kwa mganga ila huna akili ndio mana hujui hilo
Angekua wewe ungecmama? Huwenda na huyo mamako ni malaya ndo maana alikimbiwa na babako
Baba Ndio aliruhusu ndoa lakini mama aligoma ndoa
Usikimbilie heshima ya muda Mana huwa inaleta furaha ya muda pia jali Sana zuu anachokipitia Sasa ili wewe usikipitie badae kwa staili nyingine
WA kulaumiwa ni mwanaume si huyu binti wala da zuu
Mung atamlinda watazikana na mumewe Allahuma Amin🤲🏼
🇰🇪 Leo kwa mwenzako kesho kwako,dunia ni mzunguko😮
Nashindwa cha kucomment nimemchukia hiyu bint na mamaake mungu atanisamehe😂😂
Huw sipend kukoment lkn ww dada umenifanya niandke ulicho kifanya mungu atakulipa tena tunakuombe kwenye hyo ndoa yke usidum kbs ten ww utaachwa kam mkimbiz kbs ht nguo utashindwa kuchukuw mume mwenyew yule anaropok nishda njaa yko na mam yko itawapelek pabay
We mpumbavu unabahati uko mbali kelvin kama inawezekana naomba nipeleke anapoishi huyu kiumbe nimfunze adabu kidogo maana akiachwa atawapa kichwa na wengine wafanye ushenzi kama wake haki namchukia huyu Binti mm puuuh huna haya ww kahaba mdogo wote na mama yako Malaya wakubwa nyie mmbwa kabisa 😬😬😬😬
Wewe nae ndugu yake zuu au tabia zenu zinaendana?
Chefuuuu
🤣😂😂watu tuna makasiriko.
Mmmh
😆😆😆😀😀😀😅😅😅
Nina amini zuu mungu atamlipa kama huyo kaka angefata taratibu za ndoa ingekua Haina shida lakn namuapia kwa Allah alie simamisha mbingu bila nguzo ataijua dunia muache ajinadi TU laana ya mungu ndio inayo mfanya aropokwe Alisha msikia zuu akiongea kitu laana itakutafuna kwanza jiangalie ushaanza kuzeeka
Kweli uzuri wote umekwisha
HasbiaAllah waneemal wakil Amina Allah akushinde wewe na ushirikina wako ww na mama yko kuvunja ndoa ya zuu kumbuka kama ulivo ivunja ndoa ya mwenzako na ww pia utavunjiwa malaya mkubwa ww na mama yko mahasidi wakubwa uchungu gani mlikuwa na furaha ya kuvunja ndo ila kumbuka malipo dunian akhera hisab ipo siku utalia kuliko alio lia zuu roho ya myama khofu gani we mshirikina mkubwa loh
Ungelikufa tu wee unajuwa vp mume anavo uma ila huyo alie kuparamia mpaka kukutia mimba huyo huyo ndie atakae kukukomowa ujutie
Namchukia mtu kuvunja ndoa malaya we kama ulivo vunja ndoa ya mwenzio na ww subiri ipo siku yko hayawani usha muumiza mwenzie bado unataka kumwambia nn shenz we
Daa Zuu 😮😮
Huyu kuna kitu anajivunia siyo bure.
Umeona ee
Jamani acheni kabisa kutoa hii habari ni aibu kwenye jamii...house girl inabidi apate fundisho alitembea na boss akijua kabisa anakose alijipanga kuharibu ndoa na alitumwa na mama yake...huu ni uchafu jamii haiko tayari kusikiliza upuuzi huu...tafuteni stori zingine mnaudhi sasa
Nikweli kabisa
Kabisa
@@rosembwambo6079sasa hivi wa mama wanawatuma binti zao😢 kwamba wakipata mwanya wasiuache nani anataka maisha ya shida, ila na sisi wamama ukiona msichana anaanza kubadirika muondoe mapema😢😢
Wewe dada punguza ukaii wa maneno amka usiku muonbe Mungu na usithubutu kufanya ushirikina ili uolewe na kama utafanya ushirikina alivyoondoka Zuu wewe itakuwa mara mbili yake pesa ,nyumba na hilo gari lake ni vya kupita na ni mapambo ya Dunia
Zuu wawatu jmn hili toto ulilisaidia lanini😭😭😭
WA kulaumiwa ni mwanaume si huyu binti wala da zuu
Jamani beatrice😂😂😂😂
Cheki midomo zake yanakibri haya
Huyu house girl alikuwa akimtega huyu bwana ndio maana yakatokea, inawezekana kafundishwa na mama yake mzazi amtegeshee, zuu hata sijui aliochukua la nini hili.wema waponza.
@@mariamfritsi4943nikweli mama yake hanajangiya 😮😮
Natamani nikuzabe makofi shenzi mmoja wewe. Msheeeww..
😂😂
Na ndo huwez na huta weza 😂
Atapigwa na mungu, Na karma za Zulfa, Zulfa hajachelewa na mungu atamuhifadhi na watoto wake inshaallah. Amin
Atalipwa tu wakati ukifika
Abdul sio jina la halali jina ni Abdullahi
MiMi naona endeleza Familia mpate watotot wengi na maendeleo don't worry too much usifanye makosa kama aliyofanya Zuu hongereni
Kama Mungu kakusimamia umejifungua salama naamini kila kitu kitakuwa sawa kukosea kwa binadamu kupo Mwombe Mungu atakusimamia tu kwa yote .inshaallah.
wewe Amina akili huna unakuwa na confidence kwa ajili ya uchawi bila kumtegemea Mungu. Haya yapo api sasa???? uchawi hoyeeee
Huna hata kimeme umesahau kama ulienda pale kwa shida zako, but think twice Karma is a bitch.
ningemfukuza tangu mimba ina wiki moja akakae kwao azae kwao
kwangu ni kama kituo cha polis asingerudi huyu mbwa kwelii
Dada hujawajua wanaume ipo sikuutajuta huyo mmeo atakugeuka
😢😢😢😢😢😢😢nyie dunia duara 😮😢 naamini leo zuuuh sijui yuko wapi anasikia hii 😢
😮😮😮
kama ulikua hutaki mtoto apitie hayo kwa nini usisubiri kuolewa kwa halali ukazini zuzu
Yeye ndo. Amekuwa wakwanza kuzini?
Acha kumwita zuzu hakuna mkamilifu
Aiseee navaaa viatu vya zuu havinitoshiiiiiiiiiiii uwiii Hakuna undugu kwa mume
Vikubwa sanaa
SAWA UMEZAA NAYE KWANINI MUSIMUACHE DA ZUU ARUDI KWENYE NYUMBA YAKE,HUYU MWANAUME AKAPANGIE NYUMBA NYINGINE.
Mjinga huna akili unajiona.umefanikiwa.kumharibia.mwenzio.subili.fimnbo.ya.mungu.utakuja.juta😂😂
HOUSE GIRL WANGU LEO NAMLIPA MSHAHARA WAKE SITAKI TENA HOUSE GIRL 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤😅
😂😂😂 Siyo wote wali Ivo
🤣🤣🤣🤣🤣
Amna sio wote mama
😂😂😂😂😂
Wewe.binti.bila.kulogwa.acha.mume.wamwenxio.Mungu.atakulani.sana.huwezi.kuwa.naamani.namuse.wamwrnzio.babandoned.mzazi.anaakili.sana
Jmn mwambie zuu akusameh jmn ww duh mmh zuu wangu wema wako umekoponza
Majitu kama haya ndo yanayosababisha hata watu wengine wasisaidiwe
Mmmh Wala Amina aibu hana
@@dariamushi9356 mmmh
Dada wacha nikuambiye usione dada zu ameondoka malipo ni hapa hapa duniani,
Wewe nawe mambo mengine ficha
Uweke hakiba ya maneno. Ulichomfanyia mwenzako na ww utakuja kufanyiwa. Na pia waeza ukaachika ukaachwa kweupe .Wanaume ni vinyonga wanabadirika badirika . Ht uolewe kwa ndoa waeza ukaachwa na talaka 3 double .usijishauwe bure chunga maneno yako. Eti nitakaa kwenye nyumba ya da.zuu . Akija mimi ndo mke mwenye nyumba .Hee chunga kauli zako .
Chapekeako kaburi hata mm natafuta mme wa mtu
Wewe dada unaroho ngumu kama jiwe na ulikuaudia kumuaribia nguo
Kama umezaa nahuyo Kaka sibasi kwani lazima ukaolewe nae jamani
Nahisi alipanga mapema
Mpuuzi mkubwa ww unajimaliza tu umezamilia Ila malipo hapa hapa dunian yatakukuta tu uwezi kupata amani shetani ww
Na ndoa unaitana unaisi utakuwa na amani ila watoto wa dada zuu ndio wakae mbali na baba yao ww dada ww mwana kulitaka ww jimalize tu
Ushauri wangu usirudi kwenye ile nyumba anzisha misingi yako
Hana hata aibu
Alichokifanya kwa zuuh atakufanyia na ww tu tupo dunia hiii mtandao huuuu mtatujuza tumekaa palee
Mpumbavu tamaa zako sio mipango ya mungu ww nashetani ni njia moja laana ya zuu itakutesa sana
Mbona unamsemasema sana daa zuu? Hujatosha ulivomchukulia mume? We kaolewe lakn kaa ukijua kipya hakinyemi
Eti da zuu akileta watoto wake ntawalea kwani da zuu ndio anataka watoto wake wasilelewe na baba na mama.kama unajua hayo basi na wakwako muachie da zuu akulelee uwachane na mume wake uwendelee kuwa housgarl wa nyumba za watu.mjinga mmoja shetan fedhuli mshirikina usiekuwa na haya.natamani nikushike koo niichomoe malaya wahedi.
Hovyoo linataka Mtoto wake apate malezi ya baba na mama lakini limemharibia mwenzake na watt wake. Roho mbaya tu na mwisho wake mbaya
Ksbisa atakujs kunuta huyu
Yaani ww dada ulichokifanya kwa mwenzako laana ya mungu ikuangukie mmbwa ww hufai kabisa nalazima mungu akudhalilishe mpumbavu ww kiuhalisia siwezi kukucoment ww hata chembe ujinga
Huyuuu amina mjinga ajeeee jamani, duuuu achunge Sana maana dinia hiiii 🤔malipoa hapa hapa
Malipo duniani hatukatai Lakin atakuwa si mwar mjane atapambana na Maisha yake atakuwa kashajielewa
Mpeni mda wakuenjoy tuu, lakini kilio na maumivu vinakuja,huyu binti & mama yake watavuna walichopanda
Kufanya kosa si kosa Ila kosa ni kurudia kosa,,USIOLEWE WANAUME HAWATABIRIKI DADA,leo mtoto,omba rehema kwa boss na kwa Mungu,,anza upya Ila si kuolewa pale ulipokosea
Yani uko tayar kulea watto wa zuu lakin wako apate malez bora kwan hao wa zuu hawatak malez bora ama hawakuzaliwa na baba na mama,...amina, Amina ,Amina narudia tena Amina what goes around comes around, dunia itakufunza be careful My friend alaf mbna umechakaa tayar na mambo bado mwanzo 🙆
Asa unaomba msamha na unazidi kumuumiza mwenzio
Hivi unajua uchungu wa mume mbwa kijibwa koko wewe?
Anaujua mamake mzazi😅😅😅
Utakufaaaaa
We nimalaya ulifatakaz au kuliw mshez ww
Kwendaaa.usimuumize.mwenzio.upangiwe.nyumba.acha.nyumba.yamwenzio
Nmesoma comments karibia zote, ila watu wanajua kuandika, lkn hy mdada anajiamini eeeh ila mwanamke unatakiwa ujiamini bhn, eti zuu akiamua kurudia na arudi ila yy ndo mke kwn na zuu na yy c mke mkubwa atakuwa au vp
Jamani watu tunapo saidiwa na watu tuwe na heshima na mabosi zetu Kama Mimi nimefanya kazi za NDANI zaidi ya miaka kumi Ila bosi wangu wakike nilimchukulia Kama mama yangu mzazi na baba nilimuheshimu Kama baba yangu mzazi,nilithamini Sana upendo wao kwangu na mpaka,Sasa ninafamiliya yangu naishi kwa amani uaminifu ni kitu kizuri Sana mbele za muuba wetu
Nimewahi jaman naombeni like zangu
Amajweli we mnyama tenambea mwitu kafili shaetani nikubwa nyangau muaji lol sherwani mola atinusutu nauumbwa wa duniahii sutaki hata kukuona polezuu tends wema uende zako
Kaolewe dada weeeee!!! Utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchambua yaani naitamani hiyo ndoa na huo uchawi wenu c umeona huyo mchawi mwenzenu alisema kila kitu kiko sawa? Daa zuu anasubria malipo kwa mola
Kila lakheri Amina hakuna mkamilifu nawaambia nyie lopokwenu mwisho wa siku Mungu ndo anaejua huyu msichana kajinyenyekeza sana kwa Zuu ila hakutaka kumsehe Mungu yupo pamoja na ww mdogo wangu ❤❤❤
Kwaiyo mpka kitandani ulikua watandika wewe cha zuu
Mwambie
Ukweli,naelewa kile huyu dada anasema @@ScovierKefa
Dunia ni mambo, île fimbo ulimuchapa ule dada, naweye utachapiwa île île fimbo😢
Mama tamaa mtt tamaa ,mie ndo nitakuwa ndo mmiliki wa pale ovyooo
Hawa niwashirikina live bika chenga 😮 lnnalilih lillah wainnaillayhi rajiuun subhanallah 😢
Kwn ww c team yk hy mbn unawasema hvy leo
Jimalize tu lakin utambue huyo muhuni mwenzio alimpenda zuu akiwa na biashara zake na usitegemee aman kwenye hiyo ndoa eti utalea watt wa zuu huna akili wewe nyumba ajenge wenzio wewe ukakae subiri jua litakuwakia sana tu na huyo muhuni ipo ck atarudi kwa zuu analia kama mtt
Zuu huyu Amina ata akiolewa hatakuhesh
Yani Amina anasema zuu apeleke watt akawalee inamana hatak zuu arud kwake duh Amina ww mmmh yamungu nimengi ya kuku mayai
Kweli yuko kshari huyu msichana haya tuone yaendelee
@@AshaMakame-zg9xi adabu hana
Hivi mmemsikia amina alivojibu kuhusu zuu kurudi kasema yeye ndo atakuwa mke
@@maryamtanzania9743 mmmh jmn Yani hajui zuu anaumia
Eti Shemeji eti Baba wa watoto wangu usiongee ukamaliza wa na huyo mema yako mtajua karma ni real
Mdg wangu zuuh nakuomba huyo mwanaume achana nayo ata asikuumize kichwa ,, mshukulu mungu tengeneza maisha yako yaende,, Mimi nimepitia mengi sana juu ya wanaume
Huna akili ukitenda mabaya utalipwa mabaya nenda kwenye Ndoa utajuta kam huja fundwa na Mama utafundwa na ulimwengu.
haha 🤣🤣🤣njaa mbaya jamani eti ntakua mmiliki
Jamani hili liwe somo kwetu tuziombee sana ndoa zetu tuombee familia zetu Dua iwe chakula chetu duniani uchafu ni mwingi
Mola atakulipa apa duniya..
Zuu. Atafunguliwa kheri... Apa duniya yeye ana akili ya. Kazi. Wewe mhuni kwa akili.
Ata naomba data zuu uspeleke watoto wako kama alfaulu kumuchukua mume wako je watoto atwafnyaje
Kwa hiyo watoto wa mwenzio ndo walelewe bila baba. Utalipa gharama za maumivu ya mwenzio.kwanza wewe na mama yako pesa ulizokua unatuma zilikua zinaenda kwa mganga kuweza kumvuta huyo baba. Siku hizo mnakuja na mission kamili.
Mwizi wa wa bwana za watu alfu ngunakimbilia Ndoa nenda ukaolew utaona.
Yaani hapo umeongea kitu
Ulitaka watu wakupongeze sh...yako nikaandaliwa supu😂
Kwakwel mm uy dada nimemchukia tok myon kachaw ak
Atahitikiaje wa kati umemwibia mme wake? Kwani ulichokifanya nikivuri.ungetafuta wa kwako dada yangu.
Huna baba wajina mung yupo pamoja na wewe kwa uwezo wa Allah atasimama na wewe na malaika wako .pia baba abdl awe na maisha marefu kwa msimamo mzuri inshallah
Amina thumma amina km majina yenu 🤲🤲🤲inshallah
umeona my ,nilichogundua humu wengine wanawivu ,sijui wagumba mwenzao kapata mtoto wanachonga sana ,sas kama ushirikina na wao si wakafanye labla hawa wanaokomenti ushirikina ndiyo wao wanawafanyia mabwana zao hallo 👌👌
Hasadi zawasumbua na roho mbaya 😃
@@ruqaiamohammed345 kbisa my wanaboa kweli sasa hivi kuchukuliana mabwana ndiyo kawaida hakuna wa peke yako, uwe haugeli au mtu wakaida
MSHENZIIIII KABISA BADO UNAMUITA SHEMEGI NA MUSHAZIMA TAA 💡💡💡🕯️🕯️🕯️
Mimi niko dd zuusiwezi hata kukusameh wala kukus3mesha sababu ulimficha nando alikuwa dd yako kakutowa kwenye shida zakwenu vp umkatae baba yako mjinga wewe
Aibu uliyoifanya kwan ulishindwa kumkatalia shemeji yako wacha uteseke sasa
Kwanini yote hayo wewe Usingeyafanya nyuma wakati Unalètewa zawadi Unapokea Ulikua Umepanga yote kupindua nyumba kwa sababu ya Umasikini na kutoka kijijini mwisho sio mzuri hii story ✊🇹🇿🇬🇷⛴⚓
Mdogo wangu usimalize maneno 😢😢😢😢😢
Yaaan aweke akina kichwa embe huyu
Uzazi umekupenda umekua mweupe
Hela za bos had mama ake kang'aa
Huyo mganga wenu atawadanganya bule lakini mungu hayuko rikizo
Pole Sana my hakika story yako imenitoa machozi pole Sana
Malipo hapa hapa Dunian
We dada kulia kupokezana aya mwanaume kiumbe zaifu yatakufika tu nauje utuambie
Shauku gani? Kwani hakuwa na watoto?.Subiri uje yakurudi.Wachawi wakubwa nyie,misichana ya kaxi inakuwaga & uchawi.Hilo mume likipata ajali hawexi,Mwulixe dada aliyeachwa,mumewe alipata ajali na hilo hawara,hawara likafa.Ukalale kitanda kipi?njaa uko wapi??wapi tamaa??
Ulizaliwa nje ya ndoa,hyo ndyo shida, hvyo hiyo roho itakufuatili mp kizazi Cha nne,usipoamua kufanya maamuzi sahihi.Jiandae tu
Huyu dada ana roho ngumu sana jamani ananizidi hadi mimi
😂😂😂😂pole😂😂😂
Na ni wajina wako sasa ni mgumuu kinomaa
😂😂😂😂😂😂😂
Roho ya paka kabisa
@@OpMagu duh baba Abdul 😂
Mmmmh nyie wakwanza mie leo 😂🎉nipen maua yangu
Kweli umekuw wakwanza hongera zake nshakupa like yako best
Kweli umekuw wakwanza hongera zake nshakupa like yako best
Hongera Rukia
Amina mwanangu mbona leo uko juu kuishi kwenye nyumba ya zuu usijalibu ata kidogo nenda kapange tu
Acha udaku nanwebziiiio anajua machungu yanmume wakembaya we haku hub nafadhilambayaaaasitaki nnikkuonelooo
Malipo nihapa hapa Dunian.
Mmmmm hata niwe na mtoto mchanga bosi nisamehe ntakuja nae ofisini dada wakaz sitaki ujivunie kuitwa mama kwamme wangu!!😢😢😢
Wewe ukapangiwe nyumbani moja vita naumevuruga ndoa yawatu
Nakulaumu Mange kimambe kwanini mpaka Sasa ujaleta suluisho?
Mtaalam hana utaalam wowote. Mungu pekee ndio mtaalaam wa kila kitu. Hawa wote waache kufanyiana uchawi wa wache kumshirikisha mungu kama wanajiita waslam basi wamtegemee mwenyezi mungu pekee yeye ndio mtatuaji wa matatizo yote. Kumshirikisha mungu ni dhambi kubwa sana lakini watu wengi wanachukulia kama kitu kidogo. Warudi kwa mola wamuombe msamaha na wamuabudu yeye pekee sio kufata waganga na ushirikina
Zuu rudi nyumbani kwako deesr. Ili uweke stop
Wewe ongea tuu kwa kujiamini ,kuvunja ndoa ya mtu,chozi la zuu halitakuweka salama,dunia nzima inakulaumu ,kumbuka wewe ni mwanamke ukimuosha mwenzio na wewe pia utaoshwa pia, Mungu halali .
Ana Makosa Ckuzote Unaambiwa Abiria Chungu Mzigo Wako Ukikosa Kuuchungu Utachungiwa 2 Zuu Akae Kwa Kutulia Alisusa Mwenzie Anakula Ongera Sana Daa Amina Na Mungu Akutanguli Kwa Mema Insha Allah
Dunia nzima inamlaumu labda dunia yako ww na ndg zako usiunganishe wote tuliza komwe bi shosti tuliza komwe hilo 👌👌👌
@@ruqaiamohammed345 wewe ndio wale watu wasiojitambua wa ulimwengu uko nyuma yao, house girl kavunja ndoa ya mtu mwenye familia, alafu unamshabikia, 😟 hapo mambo yatakapobadilika ndio mtakapo cheza mdumange. Zuu sijui ila ni mwanamke aliekamilika wala hana shida, walioshindwa maisha ndio hao wezi wa mabwana za watu 😂😂
@@mariamfritsi4943 hatutacheza mdumange wale kimbungu mbungu hakuna ndoa iliyo vunjika zuu hajaachwa na hp dunia amina ndio wa kwanza kutembea na boss wake ?
@@mariamfritsi4943 na bwana haibiwi bali anakuja mwenyewe mpumbavu ww huna akili
Kumbuka haki ya mtu haipotei ,katafute wa kwako unajuaje hiyo nyumba wameijengaje ? Make umedandia feli katikati ya ziwa angalia utazama
Hahahah 😂😂ety mm ndo ntakuwa mmilikiii 😅😅 Nip plaee nimekaaa kipo unakitakaa Calvin uletee mrejesh mpkaa mwish Aiseh mbn patamu
We dada mbwa Sana msenge ww inaonekana unaziki kwenu mbwa ww eti mi ndonitakua mke kumamako ungelakana na mume wangu naapa tungegawana majengo msenge ww
We mjinga kweri make mwenzio anaweza kukuachiya nyumba nenda ujipanga
Hv unahudumiwa kwel,mbona huoendez