🔞 ''HAKUNA MWANAUME WA PEKE YAKO, SABABU ya NDOA KUVUNJIKA'' - KATIKATI YA KOKO...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 64

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @hanamuson891
    @hanamuson891 หลายเดือนก่อน

    Hongera kwa wanao hakikisha tunapata kipindi hki tunajifunza mengi.

  • @zayanaalmarjibi4254
    @zayanaalmarjibi4254 ปีที่แล้ว +3

    Nampenda huyu sheikh kijana
    Mawaidha yake yote anatia vichekesho, na vinatufurahisha

  • @rehemaahmed-dy3nm
    @rehemaahmed-dy3nm ปีที่แล้ว

    Mama JJ Mimi naitwa rehema kutoka tanga natk kujua ikitokea msichana akaolewa Hana bikra Ina maana hajafunzwa au ni vp Asante

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว +8

    Mtihani mkubwa huo talaka kupewa unacheza mtihani huo mungu anisuru ishaalah nikiolewa nisiachike ishaalah mungu atuwezeshe ishaalah🙏🙏🙏

    • @aminanjayo9503
      @aminanjayo9503 ปีที่แล้ว

      Inshallah 🙏

    • @SayyedMusungu
      @SayyedMusungu 8 หลายเดือนก่อน

      Kipindi kinaelimisha sana. Hongera.Ombi tafadhali Kuna tabia hii ya kuanika chupi waziwazi bafuni au nche uani

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +12

    Wowow pambana 👌🏽👌🏽ila mimi mume wangu wa pekeangu Yupo

    • @mauldabdalah2168
      @mauldabdalah2168 ปีที่แล้ว +3

      Unajidanganya

    • @hasnaally1713
      @hasnaally1713 ปีที่แล้ว +1

      Pingine una mwinzi ila wewe hujui tu

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 ปีที่แล้ว +3

      Nakuunga mkono, waume wanaoishi na mke mmoja wapo sana maisha yanasonga na hawana shida!

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 ปีที่แล้ว

      @@mauldabdalah2168 mwenyewe anajua nini anakifanya mpaka mume hawezi kumsaliti, wengi mukishaolewa mnasahau jukumu dogo dogo la ndoa, kuvujika kwa ndoa sio mume akufumanie lahasha zile vitu kama usafi, mapezi ,kupiga chakula tamu, kumumbembeleza mume sio kuvujika moyo eti aaaah hata umubembeleze atatoka tu hapana sio hiyo bembeleza mumeo unosha mahaba kuwa mubunifu wa mapezi, kuna sehemu nyinyi wanawake munasahau mwanaume anapenda sana sexe hapo ndo ukorofi unaaza akitaka wewe oooooh leo sijiskii vizuri sababu usio na maana ooooh nimechoka hapo umemutuma aende akatafute

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 ปีที่แล้ว

      sehemu umeshikilia ongeza ujuzi zaidi iliazidi kupagawa hakuna dawa kwenye ndoa, usafi, ubunifu wa mapezi, kujua kupiga chakula kitamu, usimnyime mume sexe bila sababu.

  • @JoyceMalombo-b3w
    @JoyceMalombo-b3w 9 หลายเดือนก่อน

    swadakta sheikh,mama jj umegonga ndipo

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 ปีที่แล้ว +3

    Ntafatilia hiki kipindi nimekipenda

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 10 หลายเดือนก่อน

    Nikweli sheheee wangu ongea ukweli wanawake wako tofauti sana uyoo anasema mwanaume wake akili ndogo sana mm mkirisitu watatuuu mwanamke Moja hudumaza akili waachee upuuzii taipu nyingi sana

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah mwenyezi mungu azidi kuwapa afya njema ili tupate kujifunza kwa hayo munayo tueleza

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 ปีที่แล้ว

    Yaaaaaan huo ufagio nitanunua tu soon mume wangu jiandae wallah

  • @echolude
    @echolude ปีที่แล้ว

    Love this Sheikh. Watching all the way from the states and extracting plenty of wisdom from your guests! Asante Mama!

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi8355 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana 😂❤❤❤

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah shukrani nimejifunza kitu.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 ปีที่แล้ว +2

    Kwangu Mkristo haipo hiyo

  • @fatimahasan6689
    @fatimahasan6689 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalla

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 ปีที่แล้ว

    Ma Shaa allaha

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 ปีที่แล้ว

    Ma shaa Allah 👌👌

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 ปีที่แล้ว

    Masha Allah darasa zuri sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Alooooooooooo 👌🏽👌🏽Ahsante ni samehee🙌

  • @frorenceetoile3016
    @frorenceetoile3016 ปีที่แล้ว

    Shekh nimekupenda bure huna ubaguzi wa dini

  • @abubakarmwasumilwe7070
    @abubakarmwasumilwe7070 ปีที่แล้ว

    Subhanallah..

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 ปีที่แล้ว

    MASHAA LLASH

  • @morandikaroli2774
    @morandikaroli2774 ปีที่แล้ว

    Parfect!!!

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 ปีที่แล้ว +3

    Shehe kumkamata mkono mwanamke apo nimakosa umekosea ww ni shehe dini hairuhusu

    • @khadijambarouk2983
      @khadijambarouk2983 ปีที่แล้ว +1

      Sio kila alovaa kanzu ni shehe ndungu yngu hilo ni vazi tu km mavazi mengine

  • @salhaomary2040
    @salhaomary2040 ปีที่แล้ว

    Samahani mama naweza kupata namba zako

  • @aishadakio7237
    @aishadakio7237 ปีที่แล้ว +3

    Waoe lkn wasifanye kuoa mke wa pili ndo fimbo ya kumchapia mke mkubwa maana wengi husema kumwambia bibimkubwa dawa yako iko jikoni

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 ปีที่แล้ว +1

    Haaaaaaaa 😄😀 ukweli mchungu Ila unaponya

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwenye kufurahia talaka wala sio shida ukizingatia unakuwa umetoka kwenye kifungo cha manyanyaso lazima sherehe ifanyike! Mtu hunawahi ona furaha yoyote ndoani, Leo umepata talaka kwann usifurahie aaah!

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 ปีที่แล้ว

      😄🤣😂😆😄🤣

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Mambo mazito 😍

  • @hadijasharifu1463
    @hadijasharifu1463 ปีที่แล้ว +1

    We dada malupataje

  • @linahmaxmillian333
    @linahmaxmillian333 ปีที่แล้ว

    Mkufunzi bora

  • @salhaomary2040
    @salhaomary2040 ปีที่แล้ว

    Ama kama una group popote mama maana najifunza Kila leo

  • @jacklinegwala525
    @jacklinegwala525 ปีที่แล้ว

    Hivi. Hakuna kungwi mkiristo eee

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 ปีที่แล้ว +1

    👌

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว +4

    Astakhafirulah
    Astakhafirulah
    Astakhafirulah
    Haram is Haram
    Haram is Haram
    Haram is Haram
    Shekh hata kukaa hivyo na huyo Dada Haraaam I'm sure not yr wife how come akae hivyoo bila mtandio wakufunika shingo na vichekoo hivyooo Astakhafirulah Astakhafirulah Astakhafirulah.

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว

      Umeonahiyo. Mtihani mtupu

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 ปีที่แล้ว

      Umesoma skuli ya wanawake tu au chuo cha jinsia moja tu sasa haramu gani hapo wacha kujifanya unajua dini sana

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว +1

      @@eyabdimaha3698 acha kutetea upuuzi ww uharam uwoni upo wazi wazi we vipi lntakillah kabla mauti

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky ปีที่แล้ว

      @@eyabdimaha3698 Aihusiani Na Sheri za Dini ya KIISLAAM wangelikuwa siyo waiislaam hapo sawa tu Nduguuu

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂

  • @SamidahNamas
    @SamidahNamas 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rahmakassim8852
    @rahmakassim8852 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rehemaahmed-dy3nm
    @rehemaahmed-dy3nm ปีที่แล้ว

    Mama JJ Mimi naitwa rehema kutoka tanga natk kujua ikitokea msichana akaolewa Hana bikra Ina maana hajafunzwa au ni vp Asante

  • @hidayasingano7771
    @hidayasingano7771 ปีที่แล้ว

    Mashalah

  • @fora2009
    @fora2009 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂