“Unaweza kutana na mtu kumbe ni universe ina-conspire akamilishe kitu flani kwako”🔥🔥🔥
Sio wote wanacheat watu wamewe wazo Na desturi ya kusema wanaume wanacheat Sio wako waaminifu sana
That very true, brain is everything kwa marriage
Hi Mada ilinipita lakini this is very true People come to you life for purpose some people mean to be seasonal and some people is there to stay permanently. Sasa hatuchukui muda kungamua hili.
jamani i loved the conversation sanaaaaa👍🏾 ukweli mwingi umesemwa
I appreciate for the good advice atamim Niko kwahilo Swala la kutafuta MKE Bora kimaendeleo na jitihada zote za kimsingi
One of the best shows 👌 🙌
Duuuuh aseeeh 🙌 I love this session
chefkile the genious
Shukran kwa wote.
Ndio wapo wasiochepuka. Feki gold ni nyingi mno lakini original gold zipo tena nyingi mbona. Maoni yangu hayo
Shukrani
Na angalia sana mapishi yake .. kumbe ni mtaalamu wa mambo haya big up sana..
Dah tnx broh nimetoka na kitu apa ubarikiwe sanaa🙏
Nimeyafurahia maongezi yenu kwani yana madini mengi ndani yake.
Aise hiki kipindi nimekipenda sanaaaaaaaa
Hilo la kuchiti sio kweli mimi ni moja ya wanaume wasio chiti na nimesema ni mmoja wao kwasababu kama mimi sichiti naamini wapo na wengine mimi mke wangu hata tukosane vip hata atokee mzuri zaidi yake uwezo wa kuchiti sina kabisa kwahio asiseme ni wote mimi ni shahidi 🙌🙌🙌🙌
Kweli bro niliwahi kuwa nampenzi wangu karibu miaka mitano nasikuwahi kumcheat,ilitokea tu tukaachana sasahivi ninamchumba karibu nitamuoa kiukweli sitegemei kuja kumcheat hiyo kitu mimi huwanashindwa kabisa,hata nikimuona mwanamke mwingine mzuri huwa naona wakwangu nilienae nimzuri zaidi.
@@mumbiseverino4146 yaani ni ukweli mtupu wanaume waaminifu tupo sema kama ulivyo sema uliachana na huyo iko wazi wanawake wengi wakipendwa upendo wa kweli huwa wanajisahau kabisa hata wangu nilie naye migogoro haishi ila naendelea kumpenda achoke mwenyewe siwezi kumsaliti kamweee 🙌🙌
I like it 💪💪
GREAT STUFF
Br uko smart sanaaa nakubal!!!!!!❤
Mwanaume asiyechiti wapo ila wanajijua wenyewe kisa nini ila haipo sababu ya msingi ya kutokuchiti corse haina ubaya wowote ... tatizo lipo kwenye kutokuwa makini ... ukimpata wa mpka mwisho haipo sawa....
Tumemulew Asante sana
Nice fact
Thx y’all for the honest interview 🤝!!
Mr kile ✅☑️❤️
Point Tupu Mbarikiwe
Japo nimeona Ila nimejifunza kitu,, jamaa noma sana
❤❤❤nimependa somo laleo😊
Nimependa sana maongezi aya
RARE WISDOM
Ngoja nikupe ushauri kidogo: Mara nyingine alika watu kama mimi (Dating Coaches) tukupe ukweli ambao - huwezi kuusikia kila siku au kwa wageni wako (ambao sina shida nao binafsi bali kinadharia/hoja)., Wageni wako wengi wana "pander" katika upande mmoja kwa vile hawaki kuumia hisia za wasikilizaji na wanafamilia.
Umetisha kaka
Napendekeza ule muziki wa background ungetolewa ili tusikilize vizuri. . Otherwise interview ni nzuri.
Kabisa
🔥🔥🔥👌
Kabisa ❤❤❤❤
Waoo kipindi kizur kaka ameongea vzur mno na wsh kumuona nimpe lunch 🤪😂😂
" tunataka mama"
Tunataka mama wa zamani=100%.
Hatutaki mama wa kisasa.
Nitajitahid ila nashindwa nakaa myezi angalau 2 ila baado nashindwa
🥰♨️♨️♨️
🙏
SNS MMETULETEYA KIPIND POA SANAA.
Duuuuuuh, xina neno
Ya leo ilikuwa fimbo ya ukweli na uwazi
Restaurant yake iko wap plz
Samahani dada huyu naona si mjuzi sana kwa hii mada kama kaka deo sukambi ni moto sana
Ni kweli
jamaa ana unyama
Arudiwe plz
😢😢
Madini mengi san karbu tena
Ndio wa dada tujue sio kila kizuri nikitamu… bora ukose sura uwe na tabia ndio maana wanaodumu kwenye ndoa wengi wao sura kawaida ila wanajielewa.
Huyu ameenda ndani Sana yaani ameongea yaliyomatatizo makubwa Kwa jamii japo yamejificha nyuma ya vitu ko hayaonekani kirahisi huku nje
Dah!😲
Kaka umenena
Nimekuelewa kaka kile
Ila kile unachoma
Sukambi mlete nayeye aongee hii hii mada please hii mada ni moto ila inataka mjuzi zaidi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
from today on ward tuwe marafiki hii huwa inaboa
Mm mwanaume wang hachepuki ila wanawake wao ndo wanamtongoza na anawambia ninamwanamke wang so sihitaji,,,,,,,,So wanaume wasiochepuka wapo lakn ni kumi kwa mmoja.
Anachepuka huku mzaa ana mama na baba yake umekutana naye mkubwa mwenzio
Umlete tena huyu mwamba.
Bro umewapa ukweli halis
Mimi hapo kwenye brain amenikosha.huwa mwanamke akiwa na brain basi kauteka moyo wangu kwa zaidi ya 90%
Sana..Ndiyo maana utatukuta wanaume tuna wake zetu ni wa kawaida tu ila mchepuko bonge la pisi🤣🤣🤣🤣
Kuna faida gani na Hasara gani kuoa/ kuolewa na mtu asiejua kusoma?
kwa tafsiri mtu yeyote asiejua kusoma ni mjinga au kwa lugha nyingine ni illiterate,ukimuoa au kuolewa nae hakikisha anasoma.
Sisi bado hatujabadirika
mm chapa ilale, doze doze
Hiki kipindi nakielewa
Ni mbwa kweli walimaanisha😂😂😂
Shukran kwa wote.
Hawa ndio watu wakuwaleta kwenye kipind kama hichi msituletee watu na visasi vyao vya kimapenz mkawahoji
nime penda sana mazungumzo ya Leo asante sana 🙏