🔞MZEE MBEMBE AWAFUNDA WANANDOA, NGUVU ZA KIUME KUWA TATIZO | KATIKATI YA KOKO...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 35

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalah kipindi kizuri hata mimi sipendi kupika nimesimama bas ndo huko kuiga tu

  • @khamissalim9276
    @khamissalim9276 ปีที่แล้ว +1

    Mama jj mm kwenye chano chetu hicho jiwe la kusagia, kata na mtungiwe samahani lkn mtufafanulie tupate faida zaidi Allah awazidishie inshallah

  • @FatimahAl-f1d
    @FatimahAl-f1d 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah kipindi kitamu 😊 sn

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 ปีที่แล้ว

    Unanikumbusha lupyanacomedy live bila chenga

  • @djgabbychitanda1434
    @djgabbychitanda1434 ปีที่แล้ว +1

    Kipindi kitamu sana hiki, hongera sana mama jj

  • @khamissalim9276
    @khamissalim9276 ปีที่แล้ว

    Mama jj hichi kipindi umegonga ndipo hizi mila zetu tumeziacha kwa kweli Allah akujalie ili hii jamii irudie asili yetu

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 ปีที่แล้ว

    Jamani nimechelewa kukiona kipindi changu pwenda mungu awabariki

  • @faridamohamed3561
    @faridamohamed3561 ปีที่แล้ว +1

    sheikh kaongea point mke sio house girl

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 ปีที่แล้ว

    Habari za leo panaaa!! 🤭🤭🤭🤭Uwe ghali kuupata uafadhali Allahu Aqbarrrr😂😂😂😂😂mna mambo nyiee ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @yusufabdalla5526
    @yusufabdalla5526 ปีที่แล้ว +1

    Hapo mwisho amenifanya mzee nicheke zaidi...
    Ati jamaa anacheeeeka kweli hahaha

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh arudi tena tafadhali

  • @salmasulleysh7101
    @salmasulleysh7101 11 หลายเดือนก่อน

    Ala kuuumbee kwaiyo nazi ukiivunja maji nusu wanywa nusu wakunia nazi asante babu apo nimejifunza kitu

  • @rahmakassim8852
    @rahmakassim8852 ปีที่แล้ว

    Jaman mzee weweee waniacha hoi

  • @lailahassan879
    @lailahassan879 ปีที่แล้ว

    Mama JJ ujue mie wanichanganya kipindi kilichopita mlisema mke zake kazi leo mzee mbembe anasema mke pambo umuwekee hata mfanya kazi hapo wasemaje

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 ปีที่แล้ว +1

    Mnatufanya tufurahi nyie 😅😅😅😅mashaallah!!!

  • @graecmasha3206
    @graecmasha3206 ปีที่แล้ว +1

    Hamjambo Niko Kenya napenda kipindi sana.

  • @hosnakamees5454
    @hosnakamees5454 ปีที่แล้ว

    Maashallah ❤❤❤❤

  • @mwanasiti3109
    @mwanasiti3109 11 หลายเดือนก่อน

    naomba namba mimi

  • @khadijaomary1677
    @khadijaomary1677 ปีที่แล้ว

    Mzee akifrahi mim hoi mbav zang 😂😂😂, arudiwe jmn

  • @jumaiddy-jm5wo
    @jumaiddy-jm5wo 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndiio mambo ya koko?

  • @ArusiJumamaashallaatuekeeshehe
    @ArusiJumamaashallaatuekeeshehe ปีที่แล้ว

    Mmi mumewangu apendi.anasema etiniuchawi

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 ปีที่แล้ว

    Mzee Mbembe umeongea mke sio wa kwenda sokoni wala kufua, mke kazi yake moja tu! Lkn leo wanawake wamejitwisha mambo sio yao!

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 ปีที่แล้ว

    Yapo hata saivi hsa zanzibar mana ndo utamaduni wetu lazma vifanywe

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 ปีที่แล้ว

      Wanajitahd kidg lkn c km waNa ndo maana unaambiwa watu pwani yaani wazaramo watu wa tanga wamakonde na wandengereko maana huwez kuta mtu anatoka pemba anajua mambo. Usiombe dada ukaibiwa mume na mndengereko au mmakonde sie wanaume tunajua

  • @SamidahNamas
    @SamidahNamas 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️nawapenda. Munatufunzamengi

  • @suleimanhamissmidini806
    @suleimanhamissmidini806 ปีที่แล้ว

    Kipindi kizuri jamani itabidi mutoe maana tupate tuelewe vizuri japo waswahili wasema asiye juwa maama usimpe maana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Mambo mazito 😍🔥

  • @frorenceetoile3016
    @frorenceetoile3016 ปีที่แล้ว

    Mutwambie maana yake sasa ya izo shanga jmn

  • @ekrammay8471
    @ekrammay8471 ปีที่แล้ว +1

    Katika ukunaji nazi kinamama wanaojielewa lazima wakikalie upande sheikh m bembe hukumalizi maana yake km utakikalia km umepanda farasi wakati wa mkuno kuna vabrate inatoka kwenye kile kinoleo kwahiyo umpa hamasa mkunaji kutokana na maumbile walioumbwa nayo na kumfanya mkunaji kuanza kusinzia kwa raha azipatazo

    • @Swaumdodoma
      @Swaumdodoma ปีที่แล้ว

      Weeeee usinambie😅😅😅😅😅

  • @nailaty
    @nailaty ปีที่แล้ว +1

    We mzee kiboko🤣🤣🤣

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 ปีที่แล้ว

    Majirani huku 🤣🤣🤣🤣

  • @rahmakassim8852
    @rahmakassim8852 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣