MTANZANIA ALIYETUPWA BAHARINI SIKU TATU BILA MSAADA NA WAGIRIKI/WALIANZA KUNIPENDA/WALIKUFA WOTE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ค. 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Nomaa sana hii emb tulioipenda hii story tujuane apa kwa like 👍
mshamba tu huyu, hata kiingereza cha kuunga unga, habadiriki na kujiongeza. sasa anataka sisi tufanyeje kama alitoswa??
We
Duh
Balaa kubwa
@@lazamwa1 😃😂unavituko
Manunguniko sio mazuri hongera sana. Kwa kushuka, na ukajuwa jaribu, lako ukamtanguliza MUNGU. Hongera MUNGU akusaidie kwa kila jambo
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Mungu wangu kweli Mungu amekupenda usimusaau miracle wow.Amen
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Allahu akbaru. Huyu jmaaa ni fundi san katik kucmulia kwanz ana speed nlkin n fasaha mno. Kisa ch kuelezwa miez mi 3 mfululizi yy amkielez n kwadakik kadhaaa Masha Allah. N pole san brother. Muabudu Allah popote ulipo
Yaan hapo kwenye kuadisia ametisha sana yupo spidi na akosei,hachoshi kumsikiliza
Waa wastahili Kumtumikia Mungu .aliyekuokoa.. Yaani watu wabaya wapo na Wema wako... shetan yuko na Mungu yupo.. shetan aliingia meli ya kwanza shetan aliitumia ila Meli ya pili Mungu Baba akawaingia na wakakuokoa... Mungu mbele, Uvumilivu na bidii plus nia...pole sana Brother
Nimejifunza kumtanguluza mungu,kujaribu ndiyo kujua mengi kama Kaka yangu na uvumilivu kwa kila jambo na ubunifu ktk kila likukutapo jambo. Mfano alipokwa baharini na mapipa yake mm3 alibuni kjifunga pua na mdomo na kichwa kukabiliana na baridi. Hongera sana kaka
Asante sana kwa kupenda koment yangu
Ni kweli aise mungu ni kila kitu
Hii ndo maana halisi ya maisha ni kujitoa muhanga
Big up man you inspired me 🤝
Mimi niko marekani kwa Meli nduguzagu
.wa Tanzania life good 👍
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Wataliano ni watu wenye imani sanaa juu ya ukrito wao nawasifu sana viva italia
Pole sana broo
Usiache kumtumikia Mungu kwa maisha yako yaliyobakia
Mungu ni mwema kaulinda uhai wako ili wasiojua kama Mungu yupo wajue ila wanaume kutoboa maisha mwapamban kwakuuza roho ila mkifanikiwa mwasahauu jinsi mulivyopatatab
Pole Sana Kaka yangu.Mungu Ana kupenda sana.Umshukuru siku zote
Amina
Subhana Allah kweli kl mtu hufa na siku zake Allah akuzidishie umri na maisha marefu
This story have seriously moved me, I have shed tears and also prayers for Victor and his family. The lovely two daughters. I have also prayers for the captain of the sheep that saved him, may God remember the good they did to save such a life. God may remember their families and cause good things to come their way, if any is in danger may they be freed from the same because their ancestors saved life that is touching a lot of lives today. There’s a lot to learn from this story. Thank Mchaga OG God bless you and the rest of wasafi media
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Self determination, confidence and believe in power of Allah, today I have learned
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Hawa ndiyo wanajeshi bila ya kozi
Mkasa wakokari baba shukuru mungu, nakuombea maisha marefe,
Daah ! Huyo mwenzenu wa Tanga anaitwa nani ninamjomba wang niliskia pia alitoswa lakini hatuna uhakika huu na yakaribia miaka kumi nakitu hatuna hata salamu zake
Tukutuku mazee redio ya mbao Mbili sabasaba big up one love BC 90s TZ panga panga vichaa Atari lakini salama about life.
Story nzuri pole sana, Mwenyezi Mungu amekunusuru, unaweza kuandika kitabu. Never give up
Hongera sana mjomba. Umeipata historia ya maiaha yako. Sasa mche na kumtukuza sana Mungu aliyekunusuru.Achana kabisa na mambo ya dunia.
Pole sana na hongera kwakua na imani yakumtegemea Mungu, pia kujishusha kwako kwakujishirikusha kuwasaidia kazi, wewe ni jembe
Mungu ni mwema.wacha niseme east or west,home is always the best.tuache kukimbilia nchi za mbali mbila kibali,au njoa nzuri.yatakayo kupata mbele huwezi yajua.tujivunie nchi zetu.pia katika nchi zetu tukitia bidii tunaweza kuwa matajiri with full freedom.
Mwaka 1997 nikiwa form 1 Makongo Secondary Mwandishi wa ITV alitoa Machozi akimsikiliza niliumia Sana Machozi yalinitoka naomba ITV waludie kipindi
Upate kulia tena😂😂
Anaongea vizuri na haraka safi sana
Stori ya kitambo Sana, namsifu kwa kumtanguliza mungu ktk kila jambo
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Siku tatu baharini, sifa zote zirudi kwa Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu?
Amen
Na ndio maana yeye akutamka mungu mwana wala mungu mama yeye kataja Mungu tu angetegemea hao mungu watu akuna dua ingekubaliwa
Ameen
I advise this Bro to make a movie out of his real story and make millions
i think that is the best way compared to make music
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Namkumbuka Shomari kwa mara ya kwanza ilirushwa habari yake ITV ...Nakumbuka baada ya kupata huu mtihani alirudi na kusaidiwa na Marehemu mzee Mengi alikuaga biashara yake posta mpya,Sikumbuki alikua akiuza nn lkn tupo wanafunzi tukipita tunaenda kumsalimia ni mcheshi sana alikuaga🤣🤣🤣
Pole sana bro,kwa kupitia magumu Mungu ni mwemaa🙏🙏
Acheni Mungu aitwe Mungu
Yaah uyu jamaa namfahamu vizuri tuu!! Abaitwa SHOMARI ALMALUFU SHOMARI PIMBI
Huyu wanamwita baharia namfaham vyema
MWANANGU ULIKUWA NA IMANI SANA NA MUNGU NA MUNGU NDIYO ANATAKA HIVYO , UTAMKE KWA IMANI MBELE ZAKE
wahuni huwa wanaimani ya kweli mambo yakiwaendea tofauti😅😅😅
Umenikumbusha marehemu mtoto wangu Joe Kibira, alizamia na kiasi ya kukamatwa ilikuwa ngumu sana, mungu akubariki
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Sasa huyu ndie baharia hawo wengine niwa uwongo 🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😀😀
Bahalia mume wa angali nakusalimia sna sasa Huwa unaniadithia ninajua n uongo kumbe ni kweli pole sna nimewamss sna ❤🇹🇿
Pole Kaka usimwache Mungu anakupenda Sana binadamu tunapitia mengi
Umepona kwa kumuamini Mungu
Nimempenda sana huyu jamaa, safi sana, nimezitafuta meli zote ni kweli kabisa kama anavyosema, hii sio story ya uongo
Sijafaham kaka umesema ni kweli hlf umesema story ya uongo kivipi?
@@nooor1120 amesema hii sio story ya uongo.
Tazama Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Mungu ni mungu tu, , heri umtegemee kwa yote
The interviewer did not interrupt,he simply let the story flow
Hes good
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Pole Sanaa brother japo ulipitia pagumu ila mungu hukumsahau bigup kwa ujasili iliokuwa nao baharin
Kama umeliza sana nimekupenda mkweli sana mpka umekunywa mkojo mguu tusaidie wanao pale tunapoonyesh nguv mbel yako
Mi namshukuru na kumtukuza Mungu kwa yote yaliyompata nasema Mungu ni mkuu.
Mungu Akuwepesie Brother
What an experience of life.....sound like a movie😳
X CX
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
He believed in God, his faith saved him🙏
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9Mq/w-d-xo.html
Story safi Sana MTU wangu. I'm waiting from Paris 🇫🇷🇧🇮🇹🇿
Waiting or watching?
Kaka pole Sana kwa mkasa uliokufika yote ndio safari ktk maisha pia ni funzo kwa kizazi chetu
Nimesikiliza kwa makini mungu ni mwema
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Dduh mshkr mungu sana maana mm nayaogopa sana maji yani apo mm ningeshafariki kabla ata ya kutupwa kwny hayo maji
Hongera sana bro mshkuru mungu sanaa waombee dua haowaliokuokoa god bless you
Kwa hakika ametakasika Allah m'bora wa mipango yote.
Tazama Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Mungu mwingi warehema 💖
Pole sana ndugu yangu.mungu alikuokoa.ulipitia hali ngumu ngumu ngumu.mimi ni mkenya ilhali mimi nafaya kazi nchini Qatar.pokea salamu zangu brother.Stowaway ni hatari sana
dah Mungu alikutaka uendelee kuishi
Discovery wamtafute huyu jamaa kapitia mengi sana. Kwanza kwa aliyopitia yamekuwa positive in terms na muonekano wake, anaonekana bado kijana sana angali ni dhahiri ni mtu mzima, hii ni dalili ya afya njema, pili anatukumbusha vijana wa sasa kuwa maisha sio rahisi, ukisikia mtu yuko nje na nini sio rahisi, tupambane tujenge nchi yetu, tatu kanifundisha sana ustahimilivu, kwa aliyopitia ingekuwa ni mimi sidhani kama ningekuwa hapa, the fact ya kuweka wazo kuwa kuna watu wanasurvive na boti za mbao bagamoyo na yeye akafanya hivyo pacific ambapo kuna baridi kali bila shati, hakika angekuwa mzungua au mtu mwenye exposure story yake ingekuwa dunia nzima. Nne pia kanifundisha katika wabaya pia kuna wazuri hilo tusiwe tunalisahau na kuona eti kila mzungu au mtu wa aina flani ni mbaya kwasababu, kwanza alitoswa na wagiriki ambao ni wazungu lakini waitaliano ambao pia niwazungu wakamuokoa na wakatoa taarifa wagiriki wale wakamatwe, ili haki ipatikane... Mwisho kabisa munisamehe, ametukumbusha kuwa sisi wenyewe hatupendani bali tunapenda maslahi yetu tokea enzi hizo, hivi inakuwaje afisa usalama unaletewa ndugu yako ambaye ni kama amefufuka kwa hali aliyopitia ila wewe badala ya kumkaribisha nyumbani unatengeneza mazingira ya kupata hela na kuwapa hali ngumu waliomuokoa. I WONDER BAADA YA HAPA KAMA WALIMUOKOA MTU MWINGINE. Maana ukiangalia ile meli ilitengenezwa 1992 so wakati jamaa anaokolewa ilikuwa in mwaka mmoja so inawezekana ndo ilikuwa mara yao ya kwanza kuokoa, je swali ni kwamba kama figisu walizokutana nazo baada ya kuokoa vile je waliokoa watu wengine tena wakikutana nao au waliwachukulia ni mzigo????
All in all nimeguswa sana na hili and I hope WASAFI mtaanzisha hizi series na kama ikiweziekana kuwe na window ya kuwasaidia wababa zetu hawa waliyoyapitia haya katika kutupambania.
Asante,
Kelvin
Nilimaanisha afisa uhamihaji kama alivyosema na sio usalama... CORECTION
Naunga mkono hojazako
bahari waliyotoswa itakuwa atlantic sio pacific!
Ujumbe mzuri sana @kelvin masika umeandika kwa hisia..safi sana inasikitisha afisa uhamiaji alichofanya baada ya jamaa kupitia ktk balaa kubwa sana kwa mwanadamu yeyote yule
True story kabisa tunachukulia poa xn vijana wa kisasaiv hatupo Sirias ila ukichek km hawa mabro kk wametesek xn alf ss asaiv tunatak mtelemko ndomana tunaingia kweny stareh za kishoga mm asaiv nipo south frica mwak wa sita nnamatambala yngu ila nikiadisia wa2 nilowakuta au nikichek km iv uyo bro mm najiona mchumba kwake mana kanizid aya mambo aloyapitia yy lkn tisa kumi tuwe na subr na tumuombe mungu kwa kila jmbo nasio2 utake vitu kwa pupa mwishowe uwe shoga 🙏🙏
Duh,jaman polee saana,,Mungu Awarehemu wenzako walotangulia mbele za Haki.
Pole San ndug kwel mungu nimkubwa aimidiwe milele
Damn,,uyu jamaa Mungu ndo kamuokowa
Chaly Hawa wa bongo wanabonga speedy sana next time raiya Kama usiwape naFasi ya kwenda speedy kihivyo
Tunampata sana pole ndugu
Akiongea pole pole atamaliza mb’huyu
Jifunze kiswahili huweze kusikiliza vizur
TANZANIANS speak faster you can't grasp damn word KENYAN 🤣
@@daslamonline4665 🤣🤣🤣🤣
Hiki kisa kinanikumbusha kitabu kimoja kinaitwa SAFARI YA CHINGA
Mungu mkubwa mwamba yupo hai
I was beach too at Durban in 93 I never meet him.but the guy lost one of him is called Yahaya aka Tony,.stowaway is dangerous life ever.
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Wasafi Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
Wagiriki Wana roho mbaya sana hao wapuuzi
Pole thana real sailor #IN GOD WE TRUST FATHER
He is not a sailor He was a stowaway (Stillwater) on board stowaway it’s a ENEMY due to pirates problems that why as per Shipping Merchants Kabla meli haijaondokq lqzma USEARCH KUWATAFUTA STOLOWAY
Damn Nice story to inspire ❤️May Almighty Help All the Hustlers
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Duh anaongea haraka ucpokuwa makin unaachwa njian unabaki kushangaa tyu
🤣🤣🤣 sio njiani... porini 😜
😆😆😆😆
Bado anawenge la Meri🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Pole Sana ndugu.utafanikiwa ktk maisha
Hii story nakumbuka miaka ile ya 1997 au 98 ITV inaonyeshwa live pale mnazi mmoja linafungwa likitambaa yaani zile TV za sinema ndipo nilipoiyona hii story ya huyu jamaa nilikuwa mdogo kama miaka 7 hivi
Tazama hii kali Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Kweli ukiamin Mungu akuachi ata kidogo nimelia kwa furaha alivyomuamin Mungu na Mungu akumuacha
Umemuonea mwanao kumpa jina la meli katili iliyokutosa 😂😂
Kaka pole sana ,tengeneza senema ya historia ya kweli reality utapata pesa
Allaah akupe umri mrefu wenye kheri ndani yake
Bonge la movie ila kama nilishakusikia mahali,, Huwa napenda sana kusikiliza testimonials za watanzania waliozamia meli au nchi za nje zinanipa mafunzo mengi sana, nina ndugu zangu pia waliozamia ulaya ila ni kujitoa muhanga kichizi bora wanaozamia South Africa
Wajina😨
Tazama hii kali Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
May god bless Victor for this pain, amen
Dah nzuri hiii storiiiiii, nineipenda sanaaa hiiii
Haisahauliki kutoka kwenye mdomo wa chewa Allah akulinde
We ulipona coz ulikuwa unjituma kazi mungu aliona hiyo
Kweli kaka jasiri na Imani yako imekusaidia umetembea na mungu
WASAFI ITENI HII SERIES "I SHOULDINT BE ALIVE"
hii stor ni marudio tu ukiitaka kwa uzuri search bondeni episode 28 mpaka 31 utamsikia huyu shom boy kwa uzuri kabisa na wengine utawaona
Pole sana ndugu mungu ni mwema
Ninakuomba umuimbie Mungu maana alikuokoa Ili ufanye kazi yake nimejikuta nikilia
Tulio kuja hapa baada ya kutoka Instagram tujuane🤗
Mi nimo bhana
Mie nimo
Wajiita nani huko IG
Inauma sana.
Ndo maana namchukia mtu mweupe hadi kufa.
Awe Muzungu, mwarabu au mchina sio rafiki tena na mwafrica.
Kwanza maadui wakubwa wa Africa.
Wewe unadhani angekuwa mtu mweupe mwenzao wangemtoza!
Allah ndo kila ki2 salut xn bro kwa story yko na upambanaji wako nipo south frica ulipona sio ukasepa zako daaa nikija tz itabid nikutafut bro big up xn kw upambanaj wko tumepitia meng ila ili lako limenigusa xn bro hp ndo namini pesa inahitaj mshikamano wa kias cha juu ili tutimize ndoto ze2 uvumilivu tuache sanaa ya kupat fast tupg kz vijana
Jamaa ana Mungu ataishi maisha marefu.
Very impressive story
stori nzuri sana yenye kusisimua sana. Maisha ya kutafuta fedha yana mitihani mingi sana.
story amazing sana...mungu yupo bana...watching from KENYA🙏
Tazama hii kali Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Mungu ni Mungu tuu na Atabak kuwa Mungu kwake yote yanawezekan
Duuuuuh jamani Dunia hii kuna watu wanapitia magumuu
Pole Sana. Naamini kama msingekubali kujitosa basi hata hii story tusingesikia. mgiriki ange shoot
MUNGU ni mwema sana 🙏
God is good
Tazama hii kali Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
R I p kwa mabaharia wote waliotoswa na meli adi kufariki dunia
WooooW What a story very interested and informative .
Filmu ya stora away hii hapa tazama th-cam.com/video/iNKzRH7iM9M/w-d-xo.html
Msc God bless
Pole saaana kaka , maisha ni vita .
God is able 🙌🙌🙌🙌🙌
Du jamaa namjua vizuri ni mtu wa kupambana Sana Ila tulipotezana tangu miaka ya 1997
Mungu ni Mwema
Pole sana
Ndugu yangu Ulimuona Mungu kwaukweli,usiwahi kusahau matendo yake juu ya uhai wako kamwe🤔🙏