DR MWAKA NI BALAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 มี.ค. 2016

ความคิดเห็น • 71

  • @eventelias278
    @eventelias278 8 ปีที่แล้ว +3

    such a good msg bro you inspire me.

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 2 ปีที่แล้ว

    Huyu Dada sijui anauliza maswali gani mengine kaanza vzr

  • @hamisiharuna3099
    @hamisiharuna3099 4 ปีที่แล้ว +9

    Hiki kipindi kinaitwa five gear kwahiyo mnaomlaumu kuhusu kumuuliiza maswali yahusuyo gari mnakosea ndiyo content ya kipindi, hapo hawezi kuuliza mambo ya tiba wakati siyo content ya kipindi

  • @kipsjr3664
    @kipsjr3664 7 ปีที่แล้ว +4

    hehe eti gari zangu nyingi namba zake sizijui. 😂😂😂

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 4 ปีที่แล้ว +2

    Ni udhaifu daktari kama mtu muhimu lazima ujuwe gari yako msaada wa kwanza kwa gari. Jaribu sana kujuwa gari yako .

  • @aztechenterprises1079
    @aztechenterprises1079 6 ปีที่แล้ว +2

    I LIKE THIS GUY,UMENIONGEZA MORALE WITH YOUR WORDS...CHEERZ

  • @hendrikamakauki8807
    @hendrikamakauki8807 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa Ana damu ya nguo

  • @shafiimilonge6582
    @shafiimilonge6582 7 ปีที่แล้ว +2

    hii gar bei gan

  • @Zahra_Media255
    @Zahra_Media255 4 ปีที่แล้ว +4

    Mtangazaji Sasa kutuvalia shati la jinsi tu ndo nn kuweni na haya bc kumbukeni hii dunia Ina starehe Fupi hivi hujiulizi ukirejea kwa muumba wako uko hivyo utaenda jibu nn
    Inna lillah wainna ilayhi rrajiuuni

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 ปีที่แล้ว

    Mtaolewa sana kwaajili ya pesa nasio mapenzi

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 ปีที่แล้ว +12

    Umejitia uzungu mtangazaji ila ungevaa tu nguo nyingine maana upo km mbuni

  • @dukedebwoy8036
    @dukedebwoy8036 8 ปีที่แล้ว +3

    Inspiratoonal figure

  • @edwardtrigga5701
    @edwardtrigga5701 8 ปีที่แล้ว +8

    Dokta mbona unacheka kipesa hivyo nimependa kicheko chako nimependa sana maongezi yako unatuInspire sana

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 7 ปีที่แล้ว

      he he he he he he he he he he,,,, jamaa kanimaliza mno na kicheko cha pesa!

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 4 ปีที่แล้ว +1

    Daktari bingwa umeitolea wapi wewe mtangazaji

  • @ephesongailo8564
    @ephesongailo8564 3 ปีที่แล้ว

    Mwambie huyo dada avae vizuri.

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 4 ปีที่แล้ว

    Dr Mwaka kijiti na macho ncha ina hohoo tahadhari na macho ya watu hii ni dunia dumee.

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 ปีที่แล้ว

    Wewe dada um evaa shati la kulalia ukaamka nalo

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 ปีที่แล้ว +4

    Uyu Dada mpuzi, ukipata mtu kama doctor mwaka umuulize maswali ya maana na muhimu kwa jamii ili watu wafaidike, sio una uliza magari.

    • @hamisiharuna3099
      @hamisiharuna3099 4 ปีที่แล้ว

      Soma content ya kipindi ndiyo utajua kwanini anamuuliza maswali yahusuyo magari, kipindi kinaitwa 5gear

    • @kitomarydavid9403
      @kitomarydavid9403 4 ปีที่แล้ว

      Hahaa jamani kazura ka makole

    • @mizlatymjaka888
      @mizlatymjaka888 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 ปีที่แล้ว +1

    Watu na maisha Yao hpo lzm wake zake wamuheshimu

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 5 ปีที่แล้ว +1

    weeee dada bola uwe unavaaa gauni au sket ndefu asee maake mmmh sio kwa mironjoo iyo nyama akuna kabisa yaani unaweza kifungwa mzigo ukawekwa kwa buti ya basi

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 4 ปีที่แล้ว +2

    Content nzuri ila naona km kipnd knapwaya

  • @allyabdallahally4854
    @allyabdallahally4854 4 ปีที่แล้ว

    magari nayo pia ni dawa ya kina dada?

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 4 ปีที่แล้ว +2

    akaaahh huyu dada hana jirani au wakaguzi au kiyooo mbona sijafahamu mm kavaaaje kwakweli au kasikia doctor mwaka anatafuta wa nne ndio kajipanga na yeye

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 ปีที่แล้ว +1

    Watu wana pesa aisee

  • @magrethpeter1918
    @magrethpeter1918 4 ปีที่แล้ว +3

    Mtangazaji uko Kama mbuni hijapendeza uko uchi miguu kamafito

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣jmn achen kunivunja mbav

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 5 ปีที่แล้ว +1

    Mamae walah watu wanaishi jmn duh!

  • @jenngenes2364
    @jenngenes2364 4 ปีที่แล้ว +1

    Yani mtangazaji unakutana na Doctor badala ya kumuuliza maawala ya Afya zetu ili itusaidie unamuulizia magari yake ili iweje. Samahani kama ndio Nazi uliopanga kuifanya

    • @willyclassic9263
      @willyclassic9263 4 ปีที่แล้ว

      Kipindi kinaitwa five gear maswala ya afya yanaingiliana vip na wew hicho kinahusu magal tu

  • @sabrinaislam4200
    @sabrinaislam4200 4 ปีที่แล้ว +1

    Punguža kwenda uchi wala hujapendeža

  • @solomonmpuluma282
    @solomonmpuluma282 4 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji hiyo ni nguo gani jmn mama?

  • @sabrinaislam4200
    @sabrinaislam4200 4 ปีที่แล้ว +1

    Ižo fito žako ža miguu vip

    • @Zahra_Media255
      @Zahra_Media255 4 ปีที่แล้ว

      Ha ha ha ha ha uko omani sehem gani ndugu

  • @damareshilary612
    @damareshilary612 4 ปีที่แล้ว +4

    Mimi nasoma coment tu hahaaaaaa

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 6 ปีที่แล้ว +2

    Silenced in fraud activities

  • @salehsaleh548
    @salehsaleh548 4 ปีที่แล้ว

    Mbona Huyu mtangazaji kuhamia kwenye gari au anataka Dr amhonge gari moja??? 😯🤔🤔🤔

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 4 ปีที่แล้ว +1

      Kipindi kinaitwa five gear jitahidi ujue kipindi kinahusiana na nn

  • @zephaniamwailugula9513
    @zephaniamwailugula9513 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli huyu demu amekaa kama mbuni

  • @hajimpemba6231
    @hajimpemba6231 3 ปีที่แล้ว

    mtangazaj ni fala kinoma

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 4 ปีที่แล้ว +2

    We mdada na hyo mironjo hta usingevaa hicho kinguo

  • @norbertkashindi7069
    @norbertkashindi7069 4 ปีที่แล้ว

    Uko poa

  • @beatusjosephat6594
    @beatusjosephat6594 4 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji umevaa nn

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 ปีที่แล้ว

    Mwandishi sasa maswala ya kumiliki magari una uliza nayo ni tiba kwa akina dada 🙄

  • @abdulkarimpeter2348
    @abdulkarimpeter2348 4 ปีที่แล้ว +1

    Dada umevaa gaun au shat