Kipindi ni kizuri and i have bn gud fan wenu sana ila presenters hawajui kuuliza maswali yanayoshibisha watazamaji. Na nahisi hilo linatokana na kuwa na presenters wasiokuwa na ujuzi zaidi ama interest ya magari. hata yule binti pia naonaga anauliza shallow questions ambazo zinakua za kufikirika kwa mtazamaji. ukiwa kama mtangazaji unapaswa kuuliza maswali ambayo mtazamaji atakata kiu ya kuangalia kipindi chako. Kwa ushauri zaid tunaweza kucheckiana na kushauriana zaidi. Thank you.
Wabongo jeuri sana, mtu unaangalis kipindi mpaka mwisho tena hamu kubwa ila mwisho wa siku unaishia kumtukana mtangazaji badala ya kuachia ushauri wako.
UDHIBITI WA MWENDO KASI WA MAGARI :KIFUNGU NA.51 CHA 30 (1973) NA MABADILIKO NA. 12 YA 16 (1996):Ni wajibu kwa madereva kuendesha gari katika mwendo ambao anaweza kulimudu gari lake hata kama kukitokea jambo lolote la dharura. Ukisoma kiundani zaidi utajua vizuri sana gari haina mazoea
Mtt wa kike akijua kiingereza na kuwa kweny level flan ya maisha yani ACTUALLY zinakuwa nyingi,kwann hii huwa inaniboa sana kwann usibonge kiswahili tu safii?
Hahahaaaa kwaiyo unamaansha mi siijui maana yake sio? Acha uree chalii but why every part of words she mention ACTUALLY? This is a bad requirement of using words in the sentences,FUCK in you guys
Valves zinasaidia kutoa gases kwenye cylinder heads, gari huwa ina valve 2. Inlet valve na exhaust maniford valve Binti huyu ana inlet valve zinazopoza cylinder heads. :) tupo petrol heads wengi tz
Dump valve husaidia kupunguza excess boost or compression to the engine. Na hufanya hivyo uki release gas pedal ambapo throttle valve inakuwa closed. Katika magari ya diesel inaitwa wastegate.
I dont understand a thing...but I'm so happy to see you doing auto vids.
Kipindi ni kizuri and i have bn gud fan wenu sana ila presenters hawajui kuuliza maswali yanayoshibisha watazamaji. Na nahisi hilo linatokana na kuwa na presenters wasiokuwa na ujuzi zaidi ama interest ya magari.
hata yule binti pia naonaga anauliza shallow questions ambazo zinakua za kufikirika kwa mtazamaji. ukiwa kama mtangazaji unapaswa kuuliza maswali ambayo mtazamaji atakata kiu ya kuangalia kipindi chako.
Kwa ushauri zaid tunaweza kucheckiana na kushauriana zaidi.
Thank you.
Tuning watu hawaelewi lkn powerful... Wanaelewa , bongo bana!!!!!
Mpo vizuri sana 5gear, napia napenda sana kipindi chenu, maana na me napenda sana magar
Hongera jitaid uende huko nje ukatangaze nchi yetu. Unge tuonyesha resi uliyonayo misijaona
Nice taste in cars
Wabongo jeuri sana, mtu unaangalis kipindi mpaka mwisho tena hamu kubwa ila mwisho wa siku unaishia kumtukana mtangazaji badala ya kuachia ushauri wako.
Mtangazaji ndio wakwaza kumuona mtazamaji mjinga ndio maana wanaandaka taalifa nyingine na wanaonyesha vingine
Sio jeuri ujinga umejaa vichwani mwao.huwezi kuwa kila kitu wewe niwa matusi tuuu.inamaana huna jema wala zuri ktk maisha
Amejaribu... come to kenya see magic
Hivi hivi tuned cars zinaweza kusafiri umbali mrefu bila kuleta hitilafu?
Mwanachama Wangu Respect sanaaa
Huyo petrol head mwenyew hajui lolote😂😂
Did well in Kenya st Masinga TT
jerry umetisha na hii tbt
Nice
the problem is language but just that you are talking subaru i will watch
Jamaa hata hajui dragrace ni nn😂😂
Hatare sana Neema, nilishapanda hyo gar akatuendesha yupo vizur sanaaaaaa.. anajiamin mpk bas
Nimependa anavyo shika vizuri gari subaru 🇧🇮
UDHIBITI WA MWENDO KASI WA MAGARI :KIFUNGU NA.51 CHA 30 (1973) NA MABADILIKO NA. 12 YA 16 (1996):Ni wajibu kwa madereva kuendesha gari katika mwendo ambao anaweza kulimudu gari lake hata kama kukitokea jambo lolote la dharura. Ukisoma kiundani zaidi utajua vizuri sana gari haina mazoea
Mwache apije race na chombo yangu toyota supra 2jh engine turbo hp 1600
🔥🔥🔥💥👌
Hongera mdada
Subaru habali ya Town
Yupo! Vizuli
Mim sijawaelew naona kama kunakit mbon wanajichekesha chekeshatu
Kuja kenya nikupe challenge dada
Hajui gari huyo.
Mtt wa kike akijua kiingereza na kuwa kweny level flan ya maisha yani ACTUALLY zinakuwa nyingi,kwann hii huwa inaniboa sana kwann usibonge kiswahili tu safii?
Actually 😀. Kuna watu wanapenda kuwasikia hivyo, ndo maana bado unaendelea kuwaona.
Yani MTU anaamini kujua kingereza ndo kuwa tajiri,msomi na mjanja kumbe ni lugha kama kisambaa
Nende shule kijana
Nende shule kijana uijue Actually no need of complain
Hahahaaaa kwaiyo unamaansha mi siijui maana yake sio? Acha uree chalii but why every part of words she mention ACTUALLY? This is a bad requirement of using words in the sentences,FUCK in you guys
Valves zinasaidia kutoa gases kwenye cylinder heads, gari huwa ina valve 2. Inlet valve na exhaust maniford valve
Binti huyu ana inlet valve zinazopoza cylinder heads. :) tupo petrol heads wengi tz
Dump valve husaidia kupunguza excess boost or compression to the engine. Na hufanya hivyo uki release gas pedal ambapo throttle valve inakuwa closed. Katika magari ya diesel inaitwa wastegate.
Gari Ina valve 4 buda,kuna zingine zina tano...
Haya onesheni uwezo wenu
Yeah
Noma sana
Ssa mbona kuchekeana chekeana2 badala ya kufanya kipindi?
Qwel nakubali mama lao
Neema
Chuganian girl #subgirl
Q CHIEF - #MALAIKA | link 👇👇 Twende| *TH-cam* |tusupport Mziki Mzuri|
th-cam.com/video/XhF4NRzutaQ/w-d-xo.html
Htr
Iringa liniiii
3:15 kafuta dash
wish...
Wachuga awaojiwi kivoy
Maswahili ya upuzi.
Neema kisanga na nusu
NILICHOGUNDUA DADA ANAENDESHA TU...MENGINE HAJUI.
HATA BLOW OUT HAJUI /.
Andamana Dingi mpaka wakuelewe
Ni kweli kabisa
Moshi lin
Link kwa Neema arusha noma
fuc****off presenter jifunze kuuliza maswali ya maana ...MNA haribu 5gear yetu...
Swali:
Wapi wanafanya tuning Dar au Arusha?
Mtangazaji hujuwi kuhoji
GTP in Dar es salaam and J-Spec in Arusha
@@dicksonmsuya249 ... GTP Dar wapo sehemu gani Kaka? Kama una namba zao naombe tupia humu.
@@MakusaroTesha GTP tz... namba zao 0713446333
Nataka mechi nae mm natumia altteza qualitant
Ina engine gani na umepiga mod gani usijempotezea muda
Ina engine gani na umepiga mod gani usijempotezea muda
@@ericklyatuu1301 mm engine yyte napija mm sio race mm ni drift
Ww tuma namba nikutumie video hao drift zao kwenye vumbi mm nacheza na barabara
Na akitaka race iwe ni kwenye lami cz Gari sisi tunashusha Chini sana
Penda sana gar dada
Huyu neeema ni mambo bwaaaaad . . . .ali nyorosha wanaume masinga TT, ata mimi mwenyewe siwezi thubutu ku challenge yeye
Nouma sana🤣
Formula one
insta ana2mia jina gani...
Badala ya kuwahoji madereva wa Mashindano mnawa hoji hawa watoto wa matajiri wanaofanya fujo barabarani.
Harsh Harsh Wewe kama ni masikini ni wewe
Tajiri alitafuta akapata so wacha watoto wake wachezee magari ww km huna kaa kimya😡
Huyu hafanyi fujo barabarani anafanya fujo kwenye fumbi
Nice
nauza Toyota opa 0627432384
Nice
Noma sana