Unaweza kuzimia! Tazama Mkurugenzi wa Secret Service alivyobananishwa Maswali na Wabunge, inatisha!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 314

  • @user-sy4ku4xm7q
    @user-sy4ku4xm7q หลายเดือนก่อน +23

    Duh,ogopa sana kazi ya kuajiriwa,yanu huwa ni nzuri endapo unafanya vizuri

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      Ndio ukweli wenyewe.

  • @matsonmeck7438
    @matsonmeck7438 หลายเดือนก่อน +13

    Political Question and Intellectual answers by Kimberly kitu kimoja nimejifunza wenzetu mpaka uwajibike ni lazima proceedings zifatwe yana hakuna mambo ya kukurupuka. Calmness ya huyu DG ni ya kiwango cha juu sana 🙌🏻🙌🏻

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      wewe unaita political question mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? au unaongelea political question ipi ?

    • @matsonmeck7438
      @matsonmeck7438 หลายเดือนก่อน

      @@PlatnamMogo I'm not interesting to answer anything

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 หลายเดือนก่อน

      😂😂 political questions vs intellectual answers..

    • @ngadupalaamour
      @ngadupalaamour หลายเดือนก่อน

      The majority of this committee members ukifuatilia wanabackground nzuri ya utumishi kwenye majeshi na masuala mbalimbali ya usalama na uchunguzi so lazima ujue wanajua wanachouliza it's not political question ni intellectual question na expertise questions

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      Ni mama ameamua kukomaa wengine huwa wanaachia ngazi

  • @comics3437
    @comics3437 หลายเดือนก่อน +28

    Huyo director wa sekretari service ni very intelligent

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน +2

      @@comics3437 Wewe unasema intelligent how ???? kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwenyewe mgombea kujeruliwa ? au unaongelea "ni very intelligent" ipi ?

    • @willykaovela5485
      @willykaovela5485 หลายเดือนก่อน +1

      Sijakuelewa au umefatilia kingerenza😅

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd หลายเดือนก่อน +1

      Anavyojibu huezi funguka kila kitu

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน +1

      @@AllyMaya-yj3xd kwaiyo kazi aliiweza au hakuiweza hiyo siku boss kujeruliwa na kukoswa kuuliwa na mpiga kura wake kuuliwa unasema hawezi kufunga kila kitu au unamanisha waendelee kumtumia kama kiongozi wa ulinzi huko mbeleni ?

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน +1

      Yupo very intelligent...kuna uwezekano kabisa amekuwa setup.ili ajiuzulu...kuna watu ktk hiyo secret wanaujua huu mchezo

  • @DavidMwamengo
    @DavidMwamengo หลายเดือนก่อน +8

    Thankx for the news, it's really impressive and I think she is just been professional for her job period

    • @jut1161
      @jut1161 หลายเดือนก่อน +2

      Sure
      This is special training of not revealing what was transpired

  • @FabriceJack-i6q
    @FabriceJack-i6q หลายเดือนก่อน +22

    Fredrick, Nchi ya Marekani ilisimama kila mtu alikua na maswali Magumu kutokana na tukio. Kama unavyoona Maswali haya hawajaruhusu Wabunge wa Democratic Party wamuulize Secret Service Director maswali kuhusu tukio. Hili ni hatarishi kwa Taifa la Marekani na Amani kwa ujumla ili wasidhani palikua na mpango mkubwa. Wengi walijiongeza kwamba ni Mpango wa Upande wa Pili kumuua Rais Trump. Kama unavyoona Trump ana bahati nyiingi sana za kuchukua nchi. Return to the Comment: CEO Fredrick Unafanya kazi nzuri sana kutuletea Positive News. You the Best in Tanzania 🇹🇿 #GodBless

    • @InnocentZamkulu
      @InnocentZamkulu หลายเดือนก่อน +3

      Sehemu zote zilimuuliza maswali.

  • @MegaAbby1010
    @MegaAbby1010 หลายเดือนก่อน +1

    She's a very intelligent Lady
    Best suit for her job

  • @fatunam7721
    @fatunam7721 หลายเดือนก่อน +8

    Mmmh! mmmh! That is America for you!! Freedom of speech

  • @EdnahKebson
    @EdnahKebson หลายเดือนก่อน +9

    Kimberly cheatle kama hajapungua kilo 10 ndan ya masaa 5 basi asiachie ngazi

  • @Alkebulan-Afrika
    @Alkebulan-Afrika หลายเดือนก่อน +36

    Makonda akihoji watu namna hii anaambiwa amevunja haki za binadamu.
    Magufuli alipokuwa akifanya live interrogation namna hii aliambiwa dikteta

    • @omarzinga7046
      @omarzinga7046 หลายเดือนก่อน +4

      Tundu lisu aliwahi kumuhojibmagu maswali magumu magumu bungeni alishia risasi kidogo apoteze maisha.nay wa mitego akichana mambo yenye uhalisia anakamatwa roma alitekwa Tanzania Tanzania

    • @mohamedallyrajabu8301
      @mohamedallyrajabu8301 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu amlaze mahali pems JPM

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x หลายเดือนก่อน

      Tunalaana

    • @ivankadaudi8161
      @ivankadaudi8161 หลายเดือนก่อน

      Africa wanapenda sana kubebwa bebwa ndio shida

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio maana tramp alisema Africa inatakiwa kutawaliwa Tena mkaja juu ubaguzi ubaguzi alisema ukweli

  • @lodrickdenis3935
    @lodrickdenis3935 หลายเดือนก่อน +19

    Director Kimberly won. She didn't answer as asked, she answered as she thought won't let herself blocked in an angle. Zero emotion, very rational throughout the interview.
    She never leaked any information. Strong woman

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน +1

      wewe unasema she won how ???? kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? au unaongelea "she won" ipi ?

    • @iam_sami
      @iam_sami หลายเดือนก่อน

      Kaka unajua kingereza ila akil yko kama matko uyu ni mlinzi na kaz yake ilikua kumlinda trump na trump kapigwa risas unasemaje uyu ni mshindi wakt mteja wake nusura auliwe

    • @eduardelias4053
      @eduardelias4053 หลายเดือนก่อน

      You're delusional

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      @@iam_sami ume tumia lugha kali kumuelewesha jamaa ila naamini atakua tayari amesha elewa.

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd หลายเดือนก่อน +1

      ​@@iam_samiuelewa wako ndio mdogo she won yah kama unasikia kinachoongeleewa wanasiasa wanataka kujibiwa wanavyotaka wao bt huyo ni director wa usalama wa Taifa hawezi kuanika kila jambo hapo kuna mengi nyuma yake wanataka kujua

  • @user-gp1ns1fl5z
    @user-gp1ns1fl5z หลายเดือนก่อน +1

    Confidence overload!! Namuomba Mungu anipe hiyo confidence wote anaye uliza na anye jibu wana confedence ya hali ya juu!!

  • @olomweneabongela1717
    @olomweneabongela1717 หลายเดือนก่อน +14

    Huyu mama iko sahii kesi bado ipo chini ya upelelezi hawazi kuongea jambo hapo kulingana na viapo vyake.

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน +1

      Sasa alikubalije kwenda kuhojiwa bungeni kwenye kamati live tena alipewa wito wiki moja kabla ya kujiandaa yeye alikubalije na aliendaje kama hawezi kuweka wazi majibu kulingana na taratibu zao za kazi ?

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 หลายเดือนก่อน +1

      Si suala la kesi liko chini ya upelelezi, maswali anayoulizwa ni ya kiutendaji. Mfano, kwa vipi watu waliyokuwepo wapige kelele la tishio kwa mtu aliyekuwa juu ya paa akiwa na silaha, halafu walinzi wa secret service wasione hilo ni tatizo na kulidhibiti kabla ya kupigwa kwa risasi?

    • @RaymondPaul-bs7su
      @RaymondPaul-bs7su หลายเดือนก่อน

      Aaha hapo hakuna upelelezi mambo yalikua wazi kabsa, kijana anapanda ukuta halafu anajificha na kulala juu ya paa la nyumba na Hatimaye anafyatua risasi ,raia walikua wanamuona na walitoa taarifa kea hao maafisa usalama lakini hawakuchukua hatua yoyotee sasa uchunguzi wa nini hapooo

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      ​@@RaymondPaul-bs7susasa sio kosa la mkuu 😂

  • @matthewm.ntinginya3107
    @matthewm.ntinginya3107 หลายเดือนก่อน +13

    Nancy's questions alimuuliza ajibu No or Yes lakini majibu yameshindikana!!!!! Guys usiombe ukutwe na mvua kama hii ktk uongozi

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 หลายเดือนก่อน +1

      Aisee 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @prospersanga7942
      @prospersanga7942 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😅 UNAFANYA MCHEZO NN, UNAPEWA TRUE OR FALSE na unajibu I DONO😂😂😂😅

  • @michaelmahenge593
    @michaelmahenge593 หลายเดือนก่อน +1

    That lady she is very smart and she know the ethics of her job

  • @damianlyimo1011
    @damianlyimo1011 หลายเดือนก่อน +16

    Vitu viwili tofauti, Maswali ya kisiasa yenye mhemko ndani yake na majibu ya kitaalam yenye Utashi ndani yake.

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      Sasa alikubalije kwenda kuhojiwa bungeni kwenye kamati live tena alipewa wito wiki moja kabla ya kujiandaa yeye alikubalije na aliendaje kama hawezi kuweka wazi majibu kulingana na taratibu zao za kazi ?

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      ​@@PlatnamMogoulitaka asiende?

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      @@ahz6907 huja elewa comment yangu mimi ninacho kimaanisha ni huyo boss anatakiwa kuwajibika.

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      @@ahz6907 sasa alienda kufanya nini kama ana tetemeka hivyo baada ya kupewa drill ya kutosha zaidi ya masaa ma 3.

    • @DannyWiston-xo4hx
      @DannyWiston-xo4hx หลายเดือนก่อน

      Bado hujajibu swali​@@ahz6907

  • @FrancisDonald-go9cs
    @FrancisDonald-go9cs หลายเดือนก่อน +5

    Elimu zao ni ndogo sana zidi ya huyo mkuu wa secret service

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin หลายเดือนก่อน

      Yes. Ndo maana. Inaitwa. Secret. Maana yake ni sili. Sili. Ya nchi hao republican. Wanataka kumtega huyo. Na hyo mama ni smart. Hapo hakuna kulopoka

  • @hamidauhuru813
    @hamidauhuru813 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna muda ili uwe upande salama, ni kukwepa maswali kijanja. Kwangu mimi namuona yuko smart, hakutaka kujiweka ktk complication zaidi maana bado jambo liko katika uchunguzi.

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q หลายเดือนก่อน +12

    Sky mkalimani please 😅

  • @colmanlesulie250
    @colmanlesulie250 หลายเดือนก่อน +1

    Director Kimberly knows well enough to answer

  • @BarnabaBuhoma
    @BarnabaBuhoma หลายเดือนก่อน +13

    Huyu mama amekuwa na siku mbaya sana. Ila kuna kitu cha kujifunza…. Kuna siku mojo Makonda alimwambia mwanamke mmoja aongea vizuri, watu walimjia juu eti hawezi kumdhalilisha mke wa mtu. Huku wengine wakipanga kumuua. Africa bado…

    • @petronilamtei7470
      @petronilamtei7470 หลายเดือนก่อน

      Yule Engineer alifanya nini

    • @user-nn1fw9rq1y
      @user-nn1fw9rq1y หลายเดือนก่อน

      Kwenye ajira mke watu ameingiliwa iyo ni job bongo nyuma siku zote

    • @user-nn1fw9rq1y
      @user-nn1fw9rq1y หลายเดือนก่อน

      Ona America vile Kuna freedom

  • @sunsetstudioz
    @sunsetstudioz หลายเดือนก่อน +1

    Holly fuck, the level of questions and the answering intelligence was at the peak.... aisee its like i was watching a movie ayeee

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 หลายเดือนก่อน +12

    Inawezekana hawezi kuweka wazi kwa taratibu za kazi zao,

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน +2

      Sasa alikubalije kwenda kuhojiwa bungeni kwenye kamati live tena alipewa wito wiki moja kabla ya kujiandaa yeye alikubalije na aliendaje kama hawezi kuweka wazi majibu kulingana na taratibu zao za kazi ?

    • @Thatscene2024
      @Thatscene2024 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona amesema kabisa kwamba utafiti unaendelea na awezi kuuharibu kwa kueleza nini kinachoendelea na amekubali kwenda apo kwa maslahi ya wananchi na secret service wenyewe kama kitendo. And she seem very professional akibanwa anakupigia we are still in process 😂😂

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      @@Thatscene2024 @Thatscene2024 wewe unaita Professional kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? Au unaongelea professional ipi ?

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      ​@@Thatscene2024 @Thatscene2024 wewe unaita Professional kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? Au unaongelea professional ipi ?

    • @PlatnamMogo
      @PlatnamMogo หลายเดือนก่อน

      ​@@Thatscene2024 @Thatscene2024 wewe unaita Professional kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? Au unaongelea professional ipi ?

  • @hamisiprinsi5240
    @hamisiprinsi5240 หลายเดือนก่อน +10

    Dah! Hatari haya ni maswali ya kiumbe kwa kiumbe hali ndio kma hyo vp maswali yatakavykuwa ya Muumba mbingu na Ardhi kwa kiumbe wake??? ,
    Halafu muulizwa maswali alikuwa na subra hyo n mvua ya maswali

    • @LuckyKussah
      @LuckyKussah หลายเดือนก่อน

      Litakua baraa ziiito

    • @faridmnyamike556
      @faridmnyamike556 หลายเดือนก่อน

      Allah ana majibu yote wa tunayotenda na tunayoficha

  • @eve3894
    @eve3894 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana SKY.

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 หลายเดือนก่อน +15

    Stop singing slim shady "It wasn't me!😂😂

  • @kleenheart
    @kleenheart หลายเดือนก่อน +1

    Professional answers...kudos

  • @zachariamwita3926
    @zachariamwita3926 หลายเดือนก่อน +5

    I think it was unfair to ask questions whose answers would compromise the ongoing
    investigation

    • @rubbymusa1971
      @rubbymusa1971 หลายเดือนก่อน +1

      Exactly,

    • @sekundisiri3618
      @sekundisiri3618 หลายเดือนก่อน

      Hapana hii ya jambo liko mahakamani au police ni huku bongo. Sikiliza anaulizwa maswali ya kimfumo ndio maana unaona majibu yake yanakimbilia FBI but wanamkataa FBI wanaajibu wao na yeye anawajibu wako so anagonga kwenye wajibu wake

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 หลายเดือนก่อน +2

    Alloo smaa mchuwano mhumu sana apa sio poa kaka maswali magumu utazani uyu mwana mama ndie alie mtuma showta

  • @breezywhity1462
    @breezywhity1462 หลายเดือนก่อน +4

    Bongo ukiuliza ivo unajikuta KATAVI NATIONAL PARK WANYAMA Toooop

  • @dullahboys6154
    @dullahboys6154 หลายเดือนก่อน +1

    Guys that is not a jokes but remember we need to pick some of the treat and bring it to Africa, you know what leading in African has been very peace of cake
    We should have pain in our hand we can't dare let thoughts and miss the reality, both side are good enough to listen huyo mama yuko sawa pia waulizaji wako na preparation ya kutosha

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe หลายเดือนก่อน +19

    Huyu mama asipo resign basi ni mwamba, Kapigwa maswali kwa masaa matano kwenye full questioning video 😢

    • @SimuliziDhahiri
      @SimuliziDhahiri หลายเดือนก่อน +1

      Duuuu

    • @ProphetDrAivan
      @ProphetDrAivan หลายเดือนก่อน

      Hatari sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      Kama wanamwona hafai si wamfukuze😂.
      Mi nipo upande wa mama tutapambana mpaka mwisho.

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx หลายเดือนก่อน

    God bless America..

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 หลายเดือนก่อน

    I thought she's going to resign.. Imiditely in side court room.. She's very strong woman not easy question's Really... For me l couldn't said she's reall defenders he job... Good job Kimberly

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory7198 หลายเดือนก่อน +9

    SSD amejitahidi sana,Hayo maswali hayakua marahisi kwake.Amejibu kwa code sana

    • @ttss7716
      @ttss7716 หลายเดือนก่อน +2

      We kizaza amejaribu sana kujibu mwingine angeanza kulia😂😂😂😂😂😂

  • @mrapple385
    @mrapple385 หลายเดือนก่อน +4

    Strong woman

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 หลายเดือนก่อน

    Daah kweli chanagazi kabananishwa, questions ziko mingi sana

  • @pendongowi3508
    @pendongowi3508 หลายเดือนก่อน +1

    Halooo, wabunge wa huko wapo straight mpaka raha

  • @TherealJoe_21
    @TherealJoe_21 หลายเดือนก่อน +12

    Mi naelewa media nyingi haziwezi rusha habari kama hizi na hata zikirusha zinatoa taarifa za uongo hata media kubwa za hapa Tanzania ambazo siwez kuzitaja. Hizo media zinakua zipo under the matrix lakin kwa hapa bongo nawakubali sana (SNS) hampo kwenye mfumo wa matrix kwahiyo mnatoa habar kama zilivyo na mnazichambua. Respect sana na msije mkabukubali kuuza your soul to the matrix.
    Na mmefanya la maana sana kuwa na SNS web pamoja na twitter, kwa maana TH-cam wenyew ndo wale wale tu wanao support matrix ndomana watu kama wakina Andrew Tate walifungiwa TH-cam. Kama kuna mtu anaona kuna media nyingine hapa bongo inayotoa taarifa za Trump assassination kwa undani zaid aniambie ni media gani kama sio simulizi na sauti 🤐

    • @RespinaRuben-qi6te
      @RespinaRuben-qi6te หลายเดือนก่อน

      Ni kuwaombea maana wakuu wakiingilia hapo habari hatuzipati

    • @justuswaweru1703
      @justuswaweru1703 หลายเดือนก่อน

      hayatuhusu

    • @ShadowScreamStudio
      @ShadowScreamStudio หลายเดือนก่อน

      Za bongo zotee zinaishia Moshi
      Tunadanganywa zinafika mbaliii😂😂.

    • @TherealJoe_21
      @TherealJoe_21 16 วันที่ผ่านมา

      @@RespinaRuben-qi6te na vitu wanavyo vifanya wakitaka kuingilia afu akakataa, wanafanya vitu vifuatavyo, kwa TH-cam wanakufungia, lakin kama unamiliki platform yako mwenyew, wanakushtaki kwa kosa la kijasusi, thats is how the matrix work

  • @brother_majesty
    @brother_majesty หลายเดือนก่อน +1

    LOOK AT HER AND THE GUYS ON HER RIGHT AND LEFT......KILLER EYES

  • @mamy8220
    @mamy8220 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @enockvicentmathias3341
    @enockvicentmathias3341 หลายเดือนก่อน +11

    Marekani imeoza kabisa katika hili

    • @paulmbonika2459
      @paulmbonika2459 หลายเดือนก่อน

      Kwaio marekani Mungu kaiacha, alaf Tanzania ndo yuko nayo? 😂😂 aiseee... aya.​@@abdallahalwardi588

  • @GSMFAMILY1
    @GSMFAMILY1 หลายเดือนก่อน +7

    bunge la kwetu mtu akitaka kuhuliza vya maana wanamkatisha ulaya raha

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 หลายเดือนก่อน +2

      Tena mbunge anaweza kufungiwa na bungee wenyewe

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      Kama yaliyomkuta mpina 😂
      Huku africa tuna kanuni zetu za kipekee😂
      Uchawa ndio tunaweza

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 หลายเดือนก่อน +1

    All in all uongozi sio jambo la mchezo mchezo....ukiona nchi inaendeshwa na imesimama kuna mambo Mengi sana yanaendelea mengine huwezi hata kuyaona...kuna watu hawalali kwa sababu yako n.k aisee sometimes tunapaswa ku appreciate viongozi wetu....😊

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 หลายเดือนก่อน

      n kweli lkn sio viongozi wa Tanzania

    • @user-cr4th9lr6b
      @user-cr4th9lr6b หลายเดือนก่อน

      Naomba majirani I wa one
      comment yako na wote waliokaa wanauza tomato Kisha wanasema raisi kazi yake kusafiri tu

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 หลายเดือนก่อน +10

    Uku kwetu afrika kama africa ukimuoji mkuu wa usalama wa taifa namna hii kesho huwezi julikana ulipo kwajia yote kwa uchawi au kwa nguvu ya dola maana kwetu uku Afrika utaonekana hauna adabu eti scjuwi hauna hekima utaskia mtangazaji hakutumia busara😅😅 kuna mahali waafrika tunazingua ingawa sie ndio binadamu alisi

    • @mtemiwantobo2967
      @mtemiwantobo2967 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo Ni Kamat ya Bunge ya usalama ...siyo waandishi wahabari

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 หลายเดือนก่อน +1

      Tafauti ya Africa na Uzungu😂

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 หลายเดือนก่อน

      @@mtemiwantobo2967 kivyovyote vile ukukwetu wangeambiwa ooh una namba yake kwanini usinge mpigia umwabie ata waloweka mitandaoni wangechukuliwa hatua kali zakisheria😹 au hujasikiya anavyo bananishwa na hizo questions wakati ni director wa secret service wa marekani ukukwetu afrika watu kesho ungeskia wamepotea hawajulikani walipo😀😀

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅😅😅😅 utabebwa na watu wasiojulikana

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 หลายเดือนก่อน +2

      Makonda alipomuhoji mwanamke tu hivo alijiwa juu kwa kuwahujumu wanawake😂

  • @geofreymuganyizi3167
    @geofreymuganyizi3167 หลายเดือนก่อน +3

    Ifike mahari wawakilishi wetu waweze kuhoji kwenye vitu muhimu katika namna ya kujiamini kama hivi

    • @JohnCage-we6tp
      @JohnCage-we6tp หลายเดือนก่อน +2

      Haiwezekan maaan Bunge letu lote ni la Chama kimmoj t , na ukianza kuhoji t unafungiwa kuto huzuria vikao 15

  • @georgedalali3852
    @georgedalali3852 หลายเดือนก่อน +4

    I don't know why, but I think the Director is one of the best special Agents..

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 หลายเดือนก่อน

      She is very interigent and na vile alivo calm kujib majibu ya watu wenye hasira

    • @ammyabeid9574
      @ammyabeid9574 หลายเดือนก่อน

      You are right. She is perfect. She is the Head of secret service. Mean secret. How come they expect straight answer from the head of secret service.

    • @sadikihamad9770
      @sadikihamad9770 หลายเดือนก่อน

      ​@@ammyabeid9574 Head of secrets 😂😂😂

  • @jembelakijiji
    @jembelakijiji หลายเดือนก่อน +3

    Ilove nancey mace she's so cute question is simple answers yes or no

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 หลายเดือนก่อน +4

    Tunataka katiba na sisi kama hii mfanyakazi wa Umma anatakiwa awajibishwe hivi hivi Kwa nchi yetu.... Tuwe wazi lazma nchi iwajibike haswaaaa sio kuogopana tuuu kwa wakubwa tuuu. Angalia mtu mkubwa kabisa anaadabishwa na bunge....

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd หลายเดือนก่อน

      Huezi jibu maswali ya wanasissa hovyo hovyo sio wataalam

  • @officialgakankara
    @officialgakankara หลายเดือนก่อน +3

    Anavyochambwa hapa ndo nakumbuka kua hata Makonda alikua 100% sahihi kumchana yule mkurugenzi😊

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      Hapana makonda ile nibdharau na mtesi sana yule hajafikia levo ya hawa jamaa.usifananishe tembo na mbuzi.

  • @HukerRama
    @HukerRama 28 วันที่ผ่านมา

    Wanamuonea sana hawana huruma

  • @YusufuAbas
    @YusufuAbas หลายเดือนก่อน

    Ogopa sana mtu kati ilishanikita mimi hiyi boss mzungu halafu anapiga kwenye mshono.

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน +1

    Umejifunza nini kuhusu bunge la marekani? Umejifunza nini wanawake wa kizungu wanapo ongelea jambo la msingi?

  • @ElizabethSamson-qo1pq
    @ElizabethSamson-qo1pq หลายเดือนก่อน

    Mmm ni hatari sanaaa

  • @rashidtwaha7699
    @rashidtwaha7699 หลายเดือนก่อน +1

    Uhuru wa wanahabar upo vizur kwa wenzetu kuwakilisha vizur maswali ya wananchi

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Ajiuzulu

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 หลายเดือนก่อน +5

    Tanzania ingekua imesha iyo ,kikubwa ajapigwa bass😂😂

    • @mamilooutukufu3516
      @mamilooutukufu3516 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂na wee udugu wangu weweeee!!! Ingekua imeisha hiyo mbona ajafa

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 หลายเดือนก่อน

      @@mamilooutukufu3516 😂😂😂mapema mnoo😂😂

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 หลายเดือนก่อน

      @@mamilooutukufu3516 😂😂😂mapema sana

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn6308 หลายเดือนก่อน +4

    Mama yupo siliaz kw maswali

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 หลายเดือนก่อน +1

    Kwel hawa wako mbali sana, mtu kawekwa kati. Ingekuwa bongo muda wote Taafifaaa Taarifaa mh. Spika naomba Msukuma afute maneno yake. 😂😂😂

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 หลายเดือนก่อน +1

    Kama maswali na majibu bungeni yangekuwa hivi tanzania ingekuwa "superpower"

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahaya maswali hadi anafunga viganja vyake kisaikologia inatafsiri kuzidiwa kwa maswali magumu hadi anajiprotect kajikaza sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน

      Hapo alivyomaliza itakuwa alienda kulia sana nyumbani.

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 หลายเดือนก่อน +1

    Duu ,huku Africa kiongozi anapigwa risasi 20 hata kuhoji usalama bungeni ngumuu,hila mambele hatari

  • @Bosskubwah4501
    @Bosskubwah4501 หลายเดือนก่อน

    Makonda hapo ataitwa MVUNJAJI WA HAKI ZA KIBINADAMU sasa cheki hao wasiovunja haki wanavyo mshambulia mama wa watu mpka anashindwa kupumua

  • @khalfannyanje8970
    @khalfannyanje8970 หลายเดือนก่อน

    Yote tisa lakini big up kwa madam kimberly alijikaza na hakuttemeka kuyajbu ni mzoefu wa kazi

    • @PendoNdefisio
      @PendoNdefisio หลายเดือนก่อน

      Alitegemea hayo maswali yote. Anamajibu yote ila sio wakati sahihi wa kujibu.

  • @reyrunyoro7972
    @reyrunyoro7972 หลายเดือนก่อน

    Lisa McClain🙌🏽🙌🏽

  • @togetherwecansolve
    @togetherwecansolve หลายเดือนก่อน

    This is what I love from AMERICAN when it comes to themselves matters, yoooh I watch KIMBERLY CHEATLE in the 🔥🔥🔥 shuuuh!!

  • @ttss7716
    @ttss7716 หลายเดือนก่อน +3

    To me i say Alhamdulillah he's not a muslim because all the wold knows the truth now they do bad things to defend they're self 😊

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mama kweli ni secret service maana anajiamini na ameamua kua mpole ili mambo yaende

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 หลายเดือนก่อน

      Yani ukifata mihemko ya watu wa dodoma umeisha ni kujikànyaga tu ila angalau kaamua kuwa calm

    • @ammyabeid9574
      @ammyabeid9574 หลายเดือนก่อน

      @@FranckDaniel-cc5rg yaani anawazoom moyoni anajisemea hamjui mlitendalo. Ila nimeshawasemehe haya Tuendelee.

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh aisee

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel8782 หลายเดือนก่อน +2

    Ngetaman mpina na bashe wangeulzana hayo maswal hata sukal ingekuw buku bongo,asa angekuf kama wakwe2 hamna hata wakumuuliza

  • @alembemtende9543
    @alembemtende9543 หลายเดือนก่อน

    Tunajifunza mengi Kuhusu Siasa
    Afrika atuna hatua hizi.

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 หลายเดือนก่อน

    Watu kama hawa Walitakiwa waje pindi kile cha majanga ya lisu

  • @Bosskubwah4501
    @Bosskubwah4501 หลายเดือนก่อน

    THE PROBLEM IS ALLOWING EVERY BODY TO HAVE A GUN WITHOUT PRECAUTIONS

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 หลายเดือนก่อน +1

    Inaitwa VICARIOUSLY LIABILITY

  • @mwaminindayishimiye3149
    @mwaminindayishimiye3149 หลายเดือนก่อน

    I fee sorry for her bcs to much questions 😢

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx หลายเดือนก่อน +3

    Braza skay mi mbumbu mmeniacha kabisa leo

    • @kombat_coin
      @kombat_coin หลายเดือนก่อน +1

      nenda shule oh umande 😂😂😂😂

    • @shukurumsebaloli
      @shukurumsebaloli หลายเดือนก่อน

      @@kombat_coinacha ujinga

    • @nickylyanga2139
      @nickylyanga2139 หลายเดือนก่อน

      kwamba hujui hata no au yes?

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 หลายเดือนก่อน +1

      Hivi nyie mbona mnachekesha sana hivyooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 หลายเดือนก่อน

      Ahahaja

  • @MikiGermany210
    @MikiGermany210 หลายเดือนก่อน

    Natamani tanzania tufike huku kwa kuulizana kwa uwazi kama hivi

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 หลายเดือนก่อน

    Nadhani iz kaz n connection. Uwezo wa huyu mama akili zake n za kawaida kama mm tu

    • @olomweneabongela1717
      @olomweneabongela1717 หลายเดือนก่อน

      Hacha hiyo ndugu yangu wanao muliza maswali ni Chama cha Trump na huyu ni kiongozi wa ujasasusi hawezi kuongea juu unamuhuliza maswali kama hayo hadharani .

  • @mdl6463
    @mdl6463 หลายเดือนก่อน

    taarifaa taarifa mh speaker 😂😂😂😂😂😂 sijaona

  • @MwadawaSaidi
    @MwadawaSaidi หลายเดือนก่อน

    Mama ameaibika maskini hadi huruma 😂😂😂😢😢😢😢

  • @Zillionking627
    @Zillionking627 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa kwetu wangesema haki za kijinsia🤔🤔😁😁😁

  • @mcgb5725
    @mcgb5725 หลายเดือนก่อน

    PROFESSIONAL VS POLITICIANS
    SUPER KIMBERLY CHEATLE

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 หลายเดือนก่อน

    USA nimoja ya mataifa mifumo yao ipo mara sana kiasi hata shenanigans hawezi fantastic ushetani

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 หลายเดือนก่อน

      Haiko imara wala haiko salama

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio หลายเดือนก่อน

    Hata kusoma barua aliyoandikiwa na wahojiwa amedanganya😂😂😂😂

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 หลายเดือนก่อน +1

    "FBI have shared the information with you, you don't to share information with us..."! Kibano kilipozidi anyoosha mikono kwa kusema "I think I'm the best person to leave Secret service now...," Hiki ndicho kiti moto, jamaa hawana mzaha! Hapa ndipo kubananishwa, siyo maswali ya akina Kibajaji!

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน

    Wanasiasa siku zote Ni pasua kichwa, hivi unawezaje muhoji mtu wa secret service wakati suala liko kwenye uchunguzi, Hawa jamaa hawaendani na mihemko hata siku moja na hawaogopi kuacha au kuachishwa cheo ili mradi Afanye jambo Kwa Mujibu wa taaluma zao

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin หลายเดือนก่อน +1

      Yes. Bro hakuna watu wapumbavu kama wabunge wanasiasa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    ✌️👍👊.

  • @weahfeint3406
    @weahfeint3406 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndiyo maana ya kuwekwa kikaangoni

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 หลายเดือนก่อน

    Conversation was very tough

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 13 วันที่ผ่านมา

    Je wabunge wa Tanzania wanaweza kumuuliza namna hii lets say Waziri wa Fedha/Ulinzi?

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน

    Shida ni best ake Biden ndio maana wamekosa imani nae

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 หลายเดือนก่อน

    kwa kifupi tu ni watu wajue dunia si rafiki na ukweli ni kuwa the enemy of state ni state wenyewe..huo ni mkakati sanasana anavyojibu maswali ndo mbaya zaidi its a naked truth wala huwezi kuufunika uovu kama huu…watu watembee na Mungu serikali kama haina maslai na wewe ni ngumu kukulinda

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti หลายเดือนก่อน

    kiukweli bado tuna kazi sana kuja kufikia level kama hizo huku kila kitu ni ndio hakuna wa kuhoji kikubwa tumbo linaenda sawa

  • @piussogoye
    @piussogoye หลายเดือนก่อน +1

    wasela kwa nyumka wanacheka tu badala wasaidie kujibu🤣🤣🤣

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha namuonea mpaka huruma amebananishwa haswa, aibu wanajifanyaga wanajilinda hili limewashusha haswa ndio mana wamechaluka Hao.

  • @diamondkaigili1291
    @diamondkaigili1291 หลายเดือนก่อน

    Kaka ilo tangazo lako apo mwishoni tafadhali usitubowe

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 หลายเดือนก่อน

    Sema huyu mama ni mwamba sana lakini 💪

  • @ThomasMagoti-it4ty
    @ThomasMagoti-it4ty หลายเดือนก่อน

    Muuuuuuuuuumhuuuuuuuu

  • @barakalukeha6184
    @barakalukeha6184 หลายเดือนก่อน

    Kwa Tanzania baadhi ya wanawake wange anza kusema huyu mkuu ana nyanyaswa na kudharirishwa kijinsia bila kujali kwamba nafasi ya kazi haina ujinsia .sijui kama baadhi ya viongozi na wasomi wa inchi yetu wanajitambua??maana huwa naona maranyingi hawapendi kuungana na wale wanao onekana kusemea mambo ya haki yanayokiukwa na baadhi wasio wazarendo ktk nafasi zao zakazi,, baraka take wana salitiana na pengine kudhuriana.jamani makonda anakosea wapi mbona kama viongozi na masomo hawamuungi mkono ktk juhudi zake za kuwa shitua watendaji wasio wajibika na mafisadi ?

  • @weahfeint3406
    @weahfeint3406 หลายเดือนก่อน

    Hela mnakula wengi anabanwa mmoja😅

  • @PENTESTING122
    @PENTESTING122 หลายเดือนก่อน

    hii ingekuwa bongo aseee hahahahaha