Hongera sana Mh Bonifas Mwambukusi kwa ushindi wa kishindo ,hunijui bila shaka nimi sikujui ila nakujua katika harakati nimependa sana theway ulivyo pambania haki yako na hatimae Mungu akasimama upande wako na kuweza kushinda,naitwa Mr Richard Ogara kutoka Mwanza.
Hongereni sana watu wa Mungu mlioweza kufanya maamuzi sahihi kutupa hawa watu wawili. Mwabukusi na Tundulisu. Naona mwanga unaanza kuiangaz ia Tanzania yetu Tusisahau kuwaombea ulinzi wa Mungu kila siku. Pia hawa watu wanahitaji kuwekewa ulinzi mkubwa kabisa maana kuna wale wasiojulikana na hawajulikani mpaka leo. MUNGU UWATUMIE MALAIKA WAKO WA ULINZI WA WALINDE VIONGOZI HAWA KWA WIVU MKUBWA. Atakayejaribu kuwagusa kwa hila Mungu ajuwe anacheza na mboni za jicho lako . Mungu waongoze katika haki yako AMIIINAAAA,
Utukufu na heshima zina wewe bwana hongera shujaa ukumbuke na vijijini watu wananyanyasika hawana Hela hawana wa kutetea barikiwa mungu akupe afya njema
Hongera sana sana ndg yangu na rafiki yangu Adv Bonifasi Kajunjumele Mwabukusi, kwa ushindi wa kishindo. Wewe ni Jasiri sana TLS imepata mtu sahihi sana.
Hongera sana.jembe mungu akulinde roho mtakatifu akuongoze katika majukumu yalioko mbele yako. Naamini sasa malaika wa vita wamekaa upande wetu viva Mwabukusi!!
Hongera sana Kamanda wangu, Mungu ndiyo muweza wa yote Nimejifunza kitu, kwamba wanasheria wetu wanajua wanachokifanya. Ila huwa wanaogopa kuongea ukweli. Ndiyo maana leo wameamua kumpitisha wakuwasemea kwa niaba Wamemuona anafaa, anaweza na ni jasiri asiyeogopa kuikosoa serikali.
Hii nchi kuna viumbe wa achabu sana watu kama nyinyi ndio mnao sababisha ccm isitoke madarakani,kachaguliwa mwingine wewe unasema ndoto yako imetimia kweli uko sawa au ndio majibu ya utafiti kati ya watu wanne kichaa mmoja😂😂
Kama Mawakili wamechagua wenyewe mtu wao na wanampenda na wanashangilia kupata Kiongozi wao kwanini wasiohusika wanaumia na majaribio ya kuweka mizengwe. Hii nchi ina watu wa hovyo sana
Unajua watanzania tunapenda viongozi bora sio bora viongozi sema tu kunamijitu inajifanya mijiwe ya FATUMA.....ndio hao inayofanya tanzania kilasiku kichwa cga wenda wazim shenz kabixa......
@@Sheba4651 namaanisha lengo lake yy kudai serikal ya tanganyika simaanishi kama yy ndio anaipenda zanzibar wakikinukisha tanganyika kwetu zanzibar mambo safi
Hakuna unafki kama huu wa Ayo tv, mbona alivyokuwa kwenye harakati za kupambania mkataba wa bandari mlikuwa hamtaki hata kwenda kuchukua habari zake zozote leo hii nyie nyie ndio kimbele mbele 😂daaah kweli (TUNAISHI NYUMA YA UKWELI)
HIVI JAMANI NINYI MLIOSHUGHULIKIA KUKATA JINA LA MWABUKUSI KWA HAYA MAAMUZI MNAJISIKIAJE? JE MLIKUWA WATUMISHI WA MASHETANI? MUNGU TUNAOMBA UTUPE VIONGOZI WA KILA SEKTA WALIO WEMA SYO WAOVU.
Mipango ya Mungu aipangapo hakuna mwanadamu yeyote awezaye kuipangua. Hongera sana Mawakili wote kwa kuchagua vema kwa maslahi ya TLS na nchi yetu Tanzania. Hongera sana Adv. Boniface Mwabukusi kwa ushindi mnono. Uongozi wako ulete TLS mpya inayosimamia haki, wajibu na mabadiliko chanya yatakayo ondoa sheria kandamizi.
ASANTE sana Waheshimiwa Mawakili Sala zetu zimewafanya kusikiliza Sauti zetu Hakika Ushindi wa Mhe Mwabukuzi ni Ushindi wa TLS na ni ushindi wa walio wengi Ni jasiri,shujaa,Mzalendo,mpenda haki,na mtu ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya kutetea haki Tunamwombea Mungu amjalie afya NJEMA atekeleze majukumu yaliyo mbele yake
Asante mungu kwakusikuliza ombi la watuwengi hatimae umetuji sawsw natulivyo omba. Mungu umlinde mwabukusi na umpebusala ktk uwongozi wake🙏🙏♥️
Nimefurahi sana kwa uchaguzi huu, Tanzania kwasasa tunahitaji kupata viongozi wenye mihemuko namisimamo ,huyu mwambusi yuko vizuri.
Hongera sana Mh Bonifas Mwambukusi kwa ushindi wa kishindo ,hunijui bila shaka nimi sikujui ila nakujua katika harakati nimependa sana theway ulivyo pambania haki yako na hatimae Mungu akasimama upande wako na kuweza kushinda,naitwa Mr Richard Ogara kutoka Mwanza.
Hongereni sana watu wa Mungu mlioweza kufanya maamuzi sahihi kutupa hawa watu wawili. Mwabukusi na Tundulisu. Naona mwanga unaanza kuiangaz ia Tanzania yetu Tusisahau kuwaombea ulinzi wa Mungu kila siku. Pia hawa watu wanahitaji kuwekewa ulinzi mkubwa kabisa maana kuna wale wasiojulikana na hawajulikani mpaka leo. MUNGU UWATUMIE MALAIKA WAKO WA ULINZI WA WALINDE VIONGOZI HAWA KWA WIVU MKUBWA. Atakayejaribu kuwagusa kwa hila Mungu ajuwe anacheza na mboni za jicho lako . Mungu waongoze katika haki yako AMIIINAAAA,
Na ulinzi binafsi pia
Leo nimefurahi mno, viva mwabukusi Baba, tuvushe watanganyika
Huyu jamaa ni mtanganyika halisi
Nimefurahia sana na mungu amtangulie aje akomboe Tanganyika yetu
Mungu amesimama na atasimams kwenye haki na kweli .hongera mwabukusi mdogo
hongera saana mtu.....mwabukusi...God be with u all the way...ushauri wangu..ishi maneno yako mdogo wangu
Safi.Hongera wakili msomi,jasiri na mzalendo
Mungu akusimamie Mwabukusi, hata walipo taka kukuondoa Mungu alisimama na wewe kuhakikisha unarudia, Onyesha ulicho nacho na Mungu akubariki
Hongera sana Mwabukusi, Mwenyezi Mungu akujaalie Kila lenye kheri.
Hongera sana Mwabukusi kwa ushindi.
Utukufu na heshima zina wewe bwana hongera shujaa ukumbuke na vijijini watu wananyanyasika hawana Hela hawana wa kutetea barikiwa mungu akupe afya njema
Hongera sana kaka Mwabukusi
Nimefurahi sanaaaaaaaaaaaaaaaa!
Nakuombea Kwa mungu akulinde
Kwa sababu wewe ni mhimu mno katika taifa hili.
Kaka ongela sana mungu akutangurie kaka. nilitamani ushinde mungu awe pamoja nawe
Yaan mwabukus nlikua namuombea sana hatimae mungu amejibu maombi yang
Nimefurahi sana Mungu amejibu maombi yangu
Hongera sana sana ndg yangu na rafiki yangu Adv Bonifasi Kajunjumele Mwabukusi, kwa ushindi wa kishindo. Wewe ni Jasiri sana TLS imepata mtu sahihi sana.
Mungu akutangulie Mwabu. Tunakupenda sana
Kazi nzuri brooooo.
Hongera Boniphance
Uyu mirad ayo mnafiki imekuaje Leo hii kupost Jambo letu siku zote upo wap mnafiki wewe acha habar zetu
Habari zenu nanani?
Umeongea ukweli yani anajifanya hamuoni yani kuna midea zingene zinatumika na watawala nizakuja kuzifuta tuu
Nasisi..." yamkubwa sii ya mtoto" @@benitorichard1520
Tena mnafki aliyekubuhu,mim skuiz simfatilii maana ni media ya watawala sisi habari zetu tushazoea kuzipata Chanzo Tv na kwingneko
@@benitorichard1520akikujibu nijulishe
Hii nzuri sana hongereni sanaa
Mwabukusi mbele daima MUNGU AKUJALIE HEKIMA!!
Alishinda tangu alipozuiwa kupigiwa kula..💪
Hongera sana mheshimiwa Mwabukusi.Mungu na azidi kukubariki na kukulinda.
Hongera sana.jembe mungu akulinde roho mtakatifu akuongoze katika majukumu yalioko mbele yako. Naamini sasa malaika wa vita wamekaa upande wetu viva Mwabukusi!!
Hogera sana naamini utasimamia haki kwa wanyonge
Asantee munguuu
Congrats Mwabukusi
Hongera mh mwabukusi kazi ianzieehapo katika ukombozi ya nchi.
Mungu mlinde mwabukusi
Hongera sana ndugu kiongozi mwabukyus
Hongera sana kiongoz hakika we mfano wa kuigwa
Hongera sana kaka mkubwa tunakusubili mbeya kukupa mauwa yako kwa kupita katika Kula nyingi kuliko watangulizi wako
Mwabukusi vs tundu lisu ni chuma kwa chuma safi sana
Congratulation brother
Hongera sana 🎉🎉🎉🎉❤❤
Makini sana
HAKI IMESHINDA🎉🎉🎉🎉
Hongera sana Kamanda wangu, Mungu ndiyo muweza wa yote
Nimejifunza kitu, kwamba wanasheria wetu wanajua wanachokifanya. Ila huwa wanaogopa kuongea ukweli. Ndiyo maana leo wameamua kumpitisha wakuwasemea kwa niaba Wamemuona anafaa, anaweza na ni jasiri asiyeogopa kuikosoa serikali.
Kweli kabisa wanaogopaga ndugu Sasa jembe limetangulia
🇹🇿🇨🇩 pamoja ongera mwabukusi kwa ushindi
Hongera sana Mwabukusi Mungu akuongoze🎉
Tundu nakupendaga sana
Hongera sana mtu wa mbeya mwenzangu mwabukusi
Hakika mungu amejibu
Maombi yetu.🎉🎉🙏🙏🙏
jaman jamani nmefrahi ndoto zangu zimekamilika hongera saana kaka mwabukusi mungu akujalie ktk majukumu yako
Ndoto yako kwani wewe ndie mshindi?
@@fatmafatu1128acha makasriko ,,au ni chawa wa CCM nini!
@@uwezontalengwa1827🎉😂
Hii nchi kuna viumbe wa achabu sana watu kama nyinyi ndio mnao sababisha ccm isitoke madarakani,kachaguliwa mwingine wewe unasema ndoto yako imetimia kweli uko sawa au ndio majibu ya utafiti kati ya watu wanne kichaa mmoja😂😂
Kumbe inawezekana ,, hongera bonifas mwabukusi
Sina Cha zaid nasema Asante mungu kwa kupokea Dua zangu mwabukusi rais TLS safi sana
Kila la heli kaka mungu akulinde akutunze mwanambea nenda kawatumikie watanzania
TLS hongereni Kwa uchaguzi huru na WA haki, tume ya uchaguzi inalo la kujifunza
Nimefurai nilivyo waza ndo umekua hongera mwambuks
Kila laher mwabukusi,
Haki iendelee❤
Hongera Ndugu Mwakabusu wewe ni mtu wa haki sanaaa.
Mwakabusu ni nani tena🤣
MUNGU AKUJALIE MWABUKUSI WEWE NI JEMBE YOU ARE A REAL LEADER
Sasa mwambukusi naomba kazi yako yakwanza Dai Tanganyika yenu ili tuwe na serikali 3
Nitakula jogoo wangu kwa furaha ya Mwabukusi kushinda. Tunaiona Nuru mbele.
😊😊😊
Utualike na sisi jaman
+MUNGU+ azidi KUKUBARIKI na kukutunza zaidi hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏🙌🙌
Usiye mpenda kaja😂😂😂
Asntee Mungu kwa uchaguzi huu, Umupe hekima kuongoza. Anafaa kuwa kiongozi nchi
GLORY to good +GOD+💯🙌🙌🙌🙌🙏
Kama Mawakili wamechagua wenyewe mtu wao na wanampenda na wanashangilia kupata Kiongozi wao kwanini wasiohusika wanaumia na majaribio ya kuweka mizengwe. Hii nchi ina watu wa hovyo sana
🎉🎉
Haki zote zifuatwe ila sio mtuletee haki ya mashoga Tanzania...
Asante MUNGU kwa ushindi wa mwabukusi
Congratulations 🎉to him
Hata ichi Anaweza sana nimefurai sana
Nkuba hakubali,!!!
Wenye akili nyingi sana..hongera Mwabukusi asimamie haki ndani ya Tanganyika... Achana na wale Mazuzu wanasema wanaharakati!!!!
Ni +MUNGU+ tu amefanya kwa ajili ya kutimiza kusudi lake 1 WAKORINTO 1:9🙌🙌
Unajua watanzania tunapenda viongozi bora sio bora viongozi sema tu kunamijitu inajifanya mijiwe ya FATUMA.....ndio hao inayofanya tanzania kilasiku kichwa cga wenda wazim shenz kabixa......
Milad hayo jitathimini watanzania wanapoteza imani namtandao wako simama nahaki utafika mbali acha uchawa
Millardayo ni mwana habari, ni Moja ya kazi ake kuufahamisha umma ktk habari mbali mbali. Je hii habari imekaa ki uchawa?
Mabadiliko ya nchi huanza kama hivi, 🙏
Mjua sheria huyo 2:22
HAKIKA ANASTAHILI KUWA KIONGOZI KASABABU SIKU ZOTE ANAPIGANIA HAKI NA HAKI IKITAWALA WANANCHI WOOTE HUFURAHI..
Mungu ni mwema amesikiliza kilio chetu
Mwabukusi ndo mwarobaini wa ujinga. Naomba awe rais wa TZ one day
anatosha Mwambukusi
Longer a mabukuzi ngaraaaaa
Ni kweli Mungu katenda
Safi sana
Nimekuwa na imani nanyi sasa
🎉
Mungu ni Mwema
𝐀𝐌𝐈𝐍𝐀
Mnyonge kupata ni mwenye nguvu kupenda
🎉🎉🎉🎉
MIMI KAMA MZANZIBAR NIMEFRAH HUYU MTU KUPATA IYO NAFASI ATIE TAFRAN ZANZIBAR IWE SABABU YAKUPATA MAMLAKA KAMILI
Kumbee
@@Sheba4651 namaanisha lengo lake yy kudai serikal ya tanganyika simaanishi kama yy ndio anaipenda zanzibar wakikinukisha tanganyika kwetu zanzibar mambo safi
Mwabukusi safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ila Tundulisu anajua kujibu maswali jaman
Baada ya hapo tunatembea na Peter Kibatala
Demokrasia ya Tanzania imeanza kukua♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu mwem
Haogopi,anathubutu,hatetereki, anasema kweli na anajiamini turudishie bandar mwabukusi
Jamn Tls sio chama cha siasa ko haimaanishi kwmba atagombea 2025
Kama leo Ayo tv kupost habari za Mh.Tundu Lissu.Nishazoea kuzipata kweny media nyingne zisizo maarufu kama Chanzo Tv
MUNGU AMEMTETEA NA KUMPIGANIA MH. MWABUKUSI, CCM NA SERIKALI YAO WALITAKA KUMUENGUA
Mwambukusi kujari kutetea na misimamo hasa pale uliposimamia swala la bandari
Mawakil> mmejiheshimisha mmeitendea haki nchi yet asanteni sana kutuletea Mwabukusi
Safi Sana nimefurahi mnooo
Hakuna unafki kama huu wa Ayo tv, mbona alivyokuwa kwenye harakati za kupambania mkataba wa bandari mlikuwa hamtaki hata kwenda kuchukua habari zake zozote leo hii nyie nyie ndio kimbele mbele 😂daaah kweli (TUNAISHI NYUMA YA UKWELI)
Walikatazwa kwa malipo ,Kazi kwanza Tanzania kwisha Tumiss mwalimu Nyerere.
Safiii
HIVI JAMANI NINYI MLIOSHUGHULIKIA KUKATA JINA LA MWABUKUSI KWA HAYA MAAMUZI MNAJISIKIAJE? JE MLIKUWA WATUMISHI WA MASHETANI? MUNGU TUNAOMBA UTUPE VIONGOZI WA KILA SEKTA WALIO WEMA SYO WAOVU.
Kabisa kabisa kabisa!
Maswali mazuri majibu mazuri safi sana
Mipango ya Mungu aipangapo hakuna mwanadamu yeyote awezaye kuipangua. Hongera sana Mawakili wote kwa kuchagua vema kwa maslahi ya TLS na nchi yetu Tanzania. Hongera sana Adv. Boniface Mwabukusi kwa ushindi mnono. Uongozi wako ulete TLS mpya inayosimamia haki, wajibu na mabadiliko chanya yatakayo ondoa sheria kandamizi.
ASANTE sana Waheshimiwa Mawakili Sala zetu zimewafanya kusikiliza Sauti zetu Hakika Ushindi wa Mhe Mwabukuzi ni Ushindi wa TLS na ni ushindi wa walio wengi Ni jasiri,shujaa,Mzalendo,mpenda haki,na mtu ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya kutetea haki Tunamwombea Mungu amjalie afya NJEMA atekeleze majukumu yaliyo mbele yake
Dunia na maajabu yake. Unaweza kuona huyo ni mkweli kumbe pandikizi. Siasa na ujasusi wa nchi hii ni hatari tupu.