AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"
RAIS Dkt John Magufuli, leo Januari 19, amezindua kiwanda cha maziwa kilichopo wilayani Karagwe mkoani Kagera...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
7/7/2024 bado tunamfatilia raisi wa watu raisi wa wanyonge,raisi anaejitambua mwenyez mungu amjaalie pumziko la milele amina❤
Currently addicted to watching Magufuli's clips..
RIP Magufuli
Najikuta nishakumishii shujaa wangu kama umeondoka mwaka mmoja nyuma Kumbe ndo kwanza leo ulikuwa umetembelea uwanja wa uhuru kwa mara ya mwisho .ndomana napitia hotuba zako pengine zitanifariji Aki 😭😭😭 wa TZ tumeumia mioyo yetu imepasuka 💔💔👋👋
Yaan acha tuu jmn.. mwenyew napitia hotuba zake kujifariji kama bado yupo maana akil na moyo vimekataa kabisa kukubali kama Maguful ndio katuacha hivyoo jmn Moyo unaniuma saana kila nikiona picha yake ikiwa namaandish R.I.P 😭😭😭
Waafrika mpaka fimbo ndipo kieleweke tu jamani
WASIO KUPENDA JPM WAFE TU MKUU
Haha Wakafie mbele huko
Mzee mda mwingine nakuhurumia Sana, kazi za kawaida wanasubiri mpaka Rais aseme, duuhhh!
Sijui Nani atasema tena!!😭😭.
katiba sio msahafu,ibadilishwe na utawale milele
Mnhuuuuu!!!!! Akili ni nywele hata ndevu ni nywele pia
@@bukheribukheri798 najua mafisadi watachukia tu.Watanzania tunataka Rais wa wanyonge magufuli atawale muda mrefu
@@abuyunusmohamed6961 kweli kabisa mafisadi majizi na mivivu ndio hawataki kabisa kusikia hizi habari na watanyooka tu
umevuta bangi leo?
@@abuyunusmohamed6961 Kweli mafisadi, wezi, wazembe na wavivu ndo wanaomchukia magu maana yuko kinyume na wao
Mzee uwe unatembea na fimbo
Mkuu wanyooshe hao lazma itifaki izingatiwe,wasikuletee vichwa kama GN 😂
Magufuli your the best president in our generation. Mungu akubariki
Mungu aendelee kukutumia raisi wetu kwa Taifa letu la Tanzania mpaka tutaelewana tu
Mh MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unajitahidi sana ,lkn hakuna anayefanana na wewe watendaji wako sio wazuri wanakuangusha wananchi tuna shida sana hatupati msaada tutaishi kwa kuvizia misafara yako mpk lini? Du rais wetu MUNGU akutunze unapambana sana
Nimecheka sana Jaman, kichwa kama GN😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Mungu akuweke kwa amani mzee ❤️
JPM, come vie in Kenya. We'll elect you
Hawa wazilankende wanajuia GN????
Kichwa kama GN,sijui ni kichwa gani hiki...
Hapo ndo kazi itafanyika
i feel great to have this mindset, focused, committed, jah bless Tanzania
Rastafarai
🤣🤣🤣🤣kichwa kama GN
🤣🤣🤣kichwa kama GN
🤣🤣🤣🤣
Afu unamkuta MTU ety Magu afai
DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
🔟 Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248
Tutakumic sana jpm watanzani wenye mapenzi mema na inchi yetu
Daaaah mung katuondolea shujaa sana yan daah
Hii ina uma sana, alimwambia mkandarasi mpaka tarehe 1.6.2021. Na sasa ni tarehe 7.6.2021 simsikii tena Magufuli wangu, heart break 😭
So painful..let his soul rest in peace
Tanzania imeondokewa NA kiongoz
Hahahaha watakuelewa tu mzee kazi njemaaaa
Reginal managers wote wa barabara wanatoka chato mzee
Anachoka mpaka akili huyu mzee kwa kweli..... good job JPM
Mungu akulinde Rais wetu 🇹🇿 🙏🏽
"Sema kweli japo ni uchungu" Amesadikisha Rasuulullah SAW
Qul_haQ wain kaana muraaa )swahihi
Punda bila mijeredi haendi
Baba yetu magufuli uendeleee mpaka miaka 25 Sisi waelewa na vijana wazarendo wa Tanzania tuko nyuma yako,asante
HOTUBA ZAKE ZOTE ndiyo husikiliza zanipa Moyo kwa kweli ...MAGUFULI JEMBE 💔🇹🇿😭
JEMBE nakumiss mnoo daah kichwa kama GN Nani kama Wewe??? Hakunaaaaa kama wewe...Moyo wangu upo kwako Hata kama wamekutanguliza bado unanipa nguvu kwa hotuba ZAKO ✍️💔🇹🇿😭
Magufuli mitano tena baada ya 2025 kuisha
Hahaaa jamani nimecheka kweli kweli kichwa kama GN, Baba Askofu nimefanya dhambi kweli hahaaaaa hii ni kali kabisa
Yaani mwenyewe nimecheka peke yangu.
🤭😹😹😹😹
😢dar ,nnchi yetu ingekuwa nnzur sna Yan sio Kama SS iv magu ninoma ,kimsaau ,inakuwa ngumi ,Yan
Wacha niendelee kufuatilia hotuba ya mheshimiwa
Gud presdaaa
Magufuli Rais wawanyonge Ila tunaomba uje huku wilaya ya kilindi kuna matatizo mengi sana ila hatujui tuseme kwa nani tunakuomba uje kilindi nako ,wanakilindi wanakupenda sana
Ukweku Tanzania mmepotesa kiongozi wakazi ,poleni ,na mungu atube kiongozi kama bombe hapa Kenya nayo ni Ruto .
Mheshimiwa tutembelee hata kyerwa tunakuhitaji
Yaan
Viongozi huko chini mna shida gani nyie
Hadi bakola au ndo mmezoea kukuna vitambi ofisini
Swali utamaliza lini? Siyo ndani ya mwaka huu.
Tz haijawahi kutoa Rais kama huyu
Jmaaa kapone kwenye tundu la sindano
woishe mwezi wa sita hukuuona baba
naanza kukumbuka maneno yako ( ipo siku mtanikumbuka ) yes we do Mr President 😢😢😭😭😭😭
Tulikupenda magufuli ulikua mkweli mpenda maendeleo
Daraja fupi kama hilo miaka mitatu some people are not serious
🤣🤣🤣🤣 mzee wewe et ushambss
Nataka kuamini kuwa hawa watendajibwengi wanajuwa kuiba tu utendaji wa kaxi 000Tu wanafanya makusudi yote hiyo aonekane jpm hafanyi kazi ya harali piga chini mkuuuu
Baba yangu R.I.P 😭😭😭😭😭😭
Mbingu inakuhusu tu Mzee wewe.
Kabisa Baba kiboko kiwe Karibu yako ili utendakazi ufanyike Vyema nakwahaki,
Dah jembe letu jamani
Magufuli baba tumekukumbuka😢
Dah ila mjambo
Raisi unapiga kazi na hongera. Lakini jaribu kuongea na watu wazima kama watu wazima punguza kuwadhalilisha . Kauli Mali.
Wafanye kazi bhana mambo mengine wanajizalilisha wao sio lawama kwa raisi
Kufanya kazi kupo pale pale ndugu ila kuna namna ya kuongea na watu wazima wenzake. Kumwambia mtu kichwa kama GP si fresh ktk lugha ya kiutu uzima na si mara ya Kwanza . Kusema kwamba raisi ni mchapa kazi na anataka watu wawe wachapakazi na wakweli hilo halina mjadala linaonekana na ni vizuri ktk kuleta maendeleo lakini sio tiketi ya kuwadhalilisha watu.
Mimi sijaona kibaya hapo kama yeye angekuwa ametenda majukum yake ipasavyo wala Rais asingekasilishwa nakupelekea kuongea hayo maneno aliyoongea maana tunapewa logic za kishamba kweli yani daraja 25 mita then three years, and you still defending the offender siwezi support this stupidities, for real acha Rais awafokee tu cause it seems his supporters are nothing at all, yani Rais anapambana but these guys are letting him down, so let him imbalance them, maybe they will change and back on the track
KICHWA kama GN 😊😂😂😂😂😂😂😂? R.I.p fatHer
Eet kichwa kama Gn
Na huku mwasanga mbeya jiji tangu mwaka juzi mwezi wa kumi tumekuwa kisiwani japo mbunge mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya mkurugenzi wote wapoo!!wanasubiri turushe kwenye mitandao uone bila hivyo hawaendi hujakosea kichwa kama GN kweli tuone na mwasanga na huku yawezekana tatizo GN,,
Huyu rais atawale mpaka achoke mwenyewe
🗣 Mr President John Joseph Magufuli najuta kukupinga baadhi ya mambo, ni kwasababu wewe ni binadam sio malaika lakin..... watanzania tunakiri kua TUMEANZA KUKUKUMBUKA 😢😢😢 ( haya endelea kuongoza malaika huko uliko chuma )
Mkojani
Mungu azidi kukutia nguvu Rais wetu
Kuna daraja pia huku kwetu mkuu lipo wilaya ya Ludewa,daraja la mto Ruhuhu linaenda mwaka wa nne Sasa
Yani sasaivi ukiniuzi kichwa kama gn
Da akuna km magu hakuna nimeshasema
Tanzanian, stil watching all over the event involved by JPM. We will miss you so much.
RIP magufuli
Kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu!!Rais wetu mpendwa pumzika kwa Amani
😀😀😀
Acha nicheke tu
Mheshimiwa JPM hoyeeeee🔥🔥🔥🔥
kichwa kam GN
Addicted with this clips, rest in peace Pan Africanist.
kwakweli barabara ya kyerwa ni mbovuuuu
Moyo wangu huwa waniuma mnooo nakutoa machozi nikiona hiki chombo ya kazi....hivi ni kweli baba umetuacha kweli???💔🇹🇿😭
Mwaka 2024 still watching Magufuli🥺
Hotuba za Raisi yaani akili tupu ivi mtu akifa na akili zake amezikwanazo jamanii!!
Rais wetu Mungu akulinde,
kama Raisi Magufuli amumpendi mtupeni Burundi tutampokea
Nakupenda saaaaaaaaana
No one will replace your party in Tanzania
Mama Samia suluhu mzee kashatangulia fatilia na mwezi wa sita daraja likamilikee
Nataka kuamini kuwa hawa watendajibwengi wanajuwa kuiba tu utendaji wa kaxi 000Tu wanafanya makusudi yote hiyo aonekane jpm hafanyi kazi ya harali piga chini mkuuuu
Endeleza Mapambano mzee.
Engineer anafeliiii
Kichwa kama GN😂
Tutakumiss baba ehee! Mungu umetupiga kiboko kwakwelii
Kuwa raisi tz ni kazi ngumu Sana nashangaa wanaopigania kuwa raisi. Wanaomkwamisha magufuri ni viongozi kwenye sector mbalimbali na nafasi mbalimbali ambazo wamepewa ela zinapigwa kwenda mbele haingii akilini fedha za mradi zipo lakini kazi haifanyiki na hiyo ni nchi nzima. Kwanza ona anavyobabaika. Wazee Kama hawa ukiwakuta kwenye cheo chake Hana muda wa kukusikiliza na miwani yake.
Nilikuwa namkubari Sana mtemi we2 Wa nchi
Hatma ya mpambanaji tutamkumbuka daima
Baba asante nakuelewa sana
Hiyo Cheka inaniachaga howi adi nakuwa na furaha kupitiliza
Hshahaha.
Nalia na magufuri 🇹🇿 😭 😭🇹🇿🇹🇿
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
Hiiiiiiiiiiiiiiiii🤣
Askofu sema kweli uone?
Rip magufuli😢
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
😢