AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"
    RAIS Dkt John Magufuli, leo Januari 19, amezindua kiwanda cha maziwa kilichopo wilayani Karagwe mkoani Kagera...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 175

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 2 หลายเดือนก่อน +3

    7/7/2024 bado tunamfatilia raisi wa watu raisi wa wanyonge,raisi anaejitambua mwenyez mungu amjaalie pumziko la milele amina❤

  • @rodgersodhiambo1892
    @rodgersodhiambo1892 3 ปีที่แล้ว +18

    Currently addicted to watching Magufuli's clips..
    RIP Magufuli

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred4059 3 ปีที่แล้ว +17

    Najikuta nishakumishii shujaa wangu kama umeondoka mwaka mmoja nyuma Kumbe ndo kwanza leo ulikuwa umetembelea uwanja wa uhuru kwa mara ya mwisho .ndomana napitia hotuba zako pengine zitanifariji Aki 😭😭😭 wa TZ tumeumia mioyo yetu imepasuka 💔💔👋👋

    • @mwajumamussa8848
      @mwajumamussa8848 3 ปีที่แล้ว +1

      Yaan acha tuu jmn.. mwenyew napitia hotuba zake kujifariji kama bado yupo maana akil na moyo vimekataa kabisa kukubali kama Maguful ndio katuacha hivyoo jmn Moyo unaniuma saana kila nikiona picha yake ikiwa namaandish R.I.P 😭😭😭

  • @missangela6720
    @missangela6720 3 ปีที่แล้ว +20

    Waafrika mpaka fimbo ndipo kieleweke tu jamani

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 3 ปีที่แล้ว +16

    WASIO KUPENDA JPM WAFE TU MKUU

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 3 ปีที่แล้ว +15

    Mzee mda mwingine nakuhurumia Sana, kazi za kawaida wanasubiri mpaka Rais aseme, duuhhh!

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +22

    katiba sio msahafu,ibadilishwe na utawale milele

    • @bukheribukheri798
      @bukheribukheri798 3 ปีที่แล้ว

      Mnhuuuuu!!!!! Akili ni nywele hata ndevu ni nywele pia

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +9

      @@bukheribukheri798 najua mafisadi watachukia tu.Watanzania tunataka Rais wa wanyonge magufuli atawale muda mrefu

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +4

      @@abuyunusmohamed6961 kweli kabisa mafisadi majizi na mivivu ndio hawataki kabisa kusikia hizi habari na watanyooka tu

    • @kingcopper_tz
      @kingcopper_tz 3 ปีที่แล้ว

      umevuta bangi leo?

    • @upendotarimo9324
      @upendotarimo9324 3 ปีที่แล้ว

      @@abuyunusmohamed6961 Kweli mafisadi, wezi, wazembe na wavivu ndo wanaomchukia magu maana yuko kinyume na wao

  • @josephnjamasi549
    @josephnjamasi549 3 ปีที่แล้ว +22

    Mzee uwe unatembea na fimbo

  • @shebaminde7656
    @shebaminde7656 3 ปีที่แล้ว +17

    Mkuu wanyooshe hao lazma itifaki izingatiwe,wasikuletee vichwa kama GN 😂

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 3 ปีที่แล้ว +8

    Magufuli your the best president in our generation. Mungu akubariki

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +16

    Mungu aendelee kukutumia raisi wetu kwa Taifa letu la Tanzania mpaka tutaelewana tu

  • @rithapaschal8141
    @rithapaschal8141 3 ปีที่แล้ว +8

    Mh MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unajitahidi sana ,lkn hakuna anayefanana na wewe watendaji wako sio wazuri wanakuangusha wananchi tuna shida sana hatupati msaada tutaishi kwa kuvizia misafara yako mpk lini? Du rais wetu MUNGU akutunze unapambana sana

  • @sophialaurent2406
    @sophialaurent2406 3 ปีที่แล้ว +16

    Nimecheka sana Jaman, kichwa kama GN😂😂😂😂😂😂😂

  • @insanecliipz-2794
    @insanecliipz-2794 3 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akuweke kwa amani mzee ❤️

  • @johnmasinde1875
    @johnmasinde1875 3 ปีที่แล้ว +5

    JPM, come vie in Kenya. We'll elect you

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 3 ปีที่แล้ว +9

    Hawa wazilankende wanajuia GN????
    Kichwa kama GN,sijui ni kichwa gani hiki...
    Hapo ndo kazi itafanyika

  • @kayugumyajoozey6679
    @kayugumyajoozey6679 3 ปีที่แล้ว +10

    i feel great to have this mindset, focused, committed, jah bless Tanzania

  • @wmmtztv6963
    @wmmtztv6963 3 ปีที่แล้ว +9

    🤣🤣🤣🤣kichwa kama GN

  • @twaibutwabibu8809
    @twaibutwabibu8809 3 ปีที่แล้ว +4

    Afu unamkuta MTU ety Magu afai

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 3 ปีที่แล้ว +1

    DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
    Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
    1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
    2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
    3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
    4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
    5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
    6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
    7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
    8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
    9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
    🔟 Inarutubisha mayai
    NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
    Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
    Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
    Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 3 ปีที่แล้ว +3

    Tutakumic sana jpm watanzani wenye mapenzi mema na inchi yetu

  • @husseinking2346
    @husseinking2346 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaaah mung katuondolea shujaa sana yan daah

  • @lauriannicas401
    @lauriannicas401 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii ina uma sana, alimwambia mkandarasi mpaka tarehe 1.6.2021. Na sasa ni tarehe 7.6.2021 simsikii tena Magufuli wangu, heart break 😭

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 2 ปีที่แล้ว

      So painful..let his soul rest in peace

  • @ليلىفاكي
    @ليلىفاكي 3 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania imeondokewa NA kiongoz

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 ปีที่แล้ว +5

    Hahahaha watakuelewa tu mzee kazi njemaaaa

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 3 ปีที่แล้ว +3

    Reginal managers wote wa barabara wanatoka chato mzee

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 ปีที่แล้ว +3

    Anachoka mpaka akili huyu mzee kwa kweli..... good job JPM

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akulinde Rais wetu 🇹🇿 🙏🏽

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 ปีที่แล้ว +5

    "Sema kweli japo ni uchungu" Amesadikisha Rasuulullah SAW

  • @peterkamana1265
    @peterkamana1265 3 ปีที่แล้ว +3

    Baba yetu magufuli uendeleee mpaka miaka 25 Sisi waelewa na vijana wazarendo wa Tanzania tuko nyuma yako,asante

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 ปีที่แล้ว +1

    HOTUBA ZAKE ZOTE ndiyo husikiliza zanipa Moyo kwa kweli ...MAGUFULI JEMBE 💔🇹🇿😭

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 ปีที่แล้ว +1

    JEMBE nakumiss mnoo daah kichwa kama GN Nani kama Wewe??? Hakunaaaaa kama wewe...Moyo wangu upo kwako Hata kama wamekutanguliza bado unanipa nguvu kwa hotuba ZAKO ✍️💔🇹🇿😭

  • @ahmedmalick1898
    @ahmedmalick1898 3 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli mitano tena baada ya 2025 kuisha

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 ปีที่แล้ว +9

    Hahaaa jamani nimecheka kweli kweli kichwa kama GN, Baba Askofu nimefanya dhambi kweli hahaaaaa hii ni kali kabisa

  • @JamalJuma-o9h
    @JamalJuma-o9h 6 หลายเดือนก่อน

    😢dar ,nnchi yetu ingekuwa nnzur sna Yan sio Kama SS iv magu ninoma ,kimsaau ,inakuwa ngumi ,Yan

  • @adrianomduda5293
    @adrianomduda5293 7 หลายเดือนก่อน

    Wacha niendelee kufuatilia hotuba ya mheshimiwa

  • @adamgobeka5664
    @adamgobeka5664 3 ปีที่แล้ว +10

    Gud presdaaa

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza8755 3 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli Rais wawanyonge Ila tunaomba uje huku wilaya ya kilindi kuna matatizo mengi sana ila hatujui tuseme kwa nani tunakuomba uje kilindi nako ,wanakilindi wanakupenda sana

  • @ericksonsosion7044
    @ericksonsosion7044 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukweku Tanzania mmepotesa kiongozi wakazi ,poleni ,na mungu atube kiongozi kama bombe hapa Kenya nayo ni Ruto .

  • @nicksongreyson1759
    @nicksongreyson1759 3 ปีที่แล้ว +2

    Mheshimiwa tutembelee hata kyerwa tunakuhitaji

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah358 3 ปีที่แล้ว +2

    Yaan
    Viongozi huko chini mna shida gani nyie
    Hadi bakola au ndo mmezoea kukuna vitambi ofisini

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 3 ปีที่แล้ว +3

    Swali utamaliza lini? Siyo ndani ya mwaka huu.

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu4372 3 ปีที่แล้ว +2

    Tz haijawahi kutoa Rais kama huyu

  • @vascojuma2158
    @vascojuma2158 3 ปีที่แล้ว +3

    Jmaaa kapone kwenye tundu la sindano

  • @simonnderitu79
    @simonnderitu79 3 ปีที่แล้ว

    woishe mwezi wa sita hukuuona baba

  • @mandalorian_4.11
    @mandalorian_4.11 3 ปีที่แล้ว +1

    naanza kukumbuka maneno yako ( ipo siku mtanikumbuka ) yes we do Mr President 😢😢😭😭😭😭

  • @neemamtega737
    @neemamtega737 3 ปีที่แล้ว +1

    Tulikupenda magufuli ulikua mkweli mpenda maendeleo

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 3 ปีที่แล้ว +1

    Daraja fupi kama hilo miaka mitatu some people are not serious

  • @allylameck2940
    @allylameck2940 3 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣 mzee wewe et ushambss

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 3 ปีที่แล้ว +1

    Nataka kuamini kuwa hawa watendajibwengi wanajuwa kuiba tu utendaji wa kaxi 000Tu wanafanya makusudi yote hiyo aonekane jpm hafanyi kazi ya harali piga chini mkuuuu

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 3 ปีที่แล้ว +2

    Baba yangu R.I.P 😭😭😭😭😭😭

  • @JacksonMusyoka-s2y
    @JacksonMusyoka-s2y 7 หลายเดือนก่อน

    Mbingu inakuhusu tu Mzee wewe.

  • @angeljohannes8630
    @angeljohannes8630 3 ปีที่แล้ว +1

    Kabisa Baba kiboko kiwe Karibu yako ili utendakazi ufanyike Vyema nakwahaki,

  • @AbuuAyubu-q3l
    @AbuuAyubu-q3l 7 หลายเดือนก่อน

    Dah jembe letu jamani

  • @Milcah2
    @Milcah2 9 วันที่ผ่านมา

    Magufuli baba tumekukumbuka😢

  • @asnalimtv7690
    @asnalimtv7690 7 หลายเดือนก่อน

    Dah ila mjambo

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว +1

    Raisi unapiga kazi na hongera. Lakini jaribu kuongea na watu wazima kama watu wazima punguza kuwadhalilisha . Kauli Mali.

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 3 ปีที่แล้ว +1

      Wafanye kazi bhana mambo mengine wanajizalilisha wao sio lawama kwa raisi

    • @shantalismailhassan9878
      @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว

      Kufanya kazi kupo pale pale ndugu ila kuna namna ya kuongea na watu wazima wenzake. Kumwambia mtu kichwa kama GP si fresh ktk lugha ya kiutu uzima na si mara ya Kwanza . Kusema kwamba raisi ni mchapa kazi na anataka watu wawe wachapakazi na wakweli hilo halina mjadala linaonekana na ni vizuri ktk kuleta maendeleo lakini sio tiketi ya kuwadhalilisha watu.

    • @shijamakoye6013
      @shijamakoye6013 3 ปีที่แล้ว +1

      Mimi sijaona kibaya hapo kama yeye angekuwa ametenda majukum yake ipasavyo wala Rais asingekasilishwa nakupelekea kuongea hayo maneno aliyoongea maana tunapewa logic za kishamba kweli yani daraja 25 mita then three years, and you still defending the offender siwezi support this stupidities, for real acha Rais awafokee tu cause it seems his supporters are nothing at all, yani Rais anapambana but these guys are letting him down, so let him imbalance them, maybe they will change and back on the track

  • @omaryrashid4720
    @omaryrashid4720 3 ปีที่แล้ว

    KICHWA kama GN 😊😂😂😂😂😂😂😂? R.I.p fatHer

  • @naamangidion
    @naamangidion 7 หลายเดือนก่อน

    Eet kichwa kama Gn

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi6948 3 ปีที่แล้ว +1

    Na huku mwasanga mbeya jiji tangu mwaka juzi mwezi wa kumi tumekuwa kisiwani japo mbunge mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya mkurugenzi wote wapoo!!wanasubiri turushe kwenye mitandao uone bila hivyo hawaendi hujakosea kichwa kama GN kweli tuone na mwasanga na huku yawezekana tatizo GN,,

  • @mjtz7778
    @mjtz7778 3 ปีที่แล้ว

    Huyu rais atawale mpaka achoke mwenyewe

  • @mandalorian_4.11
    @mandalorian_4.11 3 ปีที่แล้ว

    🗣 Mr President John Joseph Magufuli najuta kukupinga baadhi ya mambo, ni kwasababu wewe ni binadam sio malaika lakin..... watanzania tunakiri kua TUMEANZA KUKUKUMBUKA 😢😢😢 ( haya endelea kuongoza malaika huko uliko chuma )

  • @mchinafamily-cg9ky
    @mchinafamily-cg9ky ปีที่แล้ว

    Mkojani

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu azidi kukutia nguvu Rais wetu

  • @jeromekantambi8193
    @jeromekantambi8193 3 ปีที่แล้ว +1

    Kuna daraja pia huku kwetu mkuu lipo wilaya ya Ludewa,daraja la mto Ruhuhu linaenda mwaka wa nne Sasa

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani sasaivi ukiniuzi kichwa kama gn

  • @abdallahrajabu4401
    @abdallahrajabu4401 3 ปีที่แล้ว

    Da akuna km magu hakuna nimeshasema

  • @fredyphilimon38
    @fredyphilimon38 3 ปีที่แล้ว +1

    Tanzanian, stil watching all over the event involved by JPM. We will miss you so much.

  • @bahatihappy5693
    @bahatihappy5693 3 ปีที่แล้ว +1

    RIP magufuli

  • @RahabuSimba
    @RahabuSimba 7 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu!!Rais wetu mpendwa pumzika kwa Amani

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah358 3 ปีที่แล้ว +1

    😀😀😀
    Acha nicheke tu

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 3 ปีที่แล้ว +3

    Mheshimiwa JPM hoyeeeee🔥🔥🔥🔥

  • @mathiasnicodemus7531
    @mathiasnicodemus7531 3 ปีที่แล้ว +2

    kichwa kam GN

  • @evanstum5032
    @evanstum5032 3 ปีที่แล้ว +1

    Addicted with this clips, rest in peace Pan Africanist.

  • @denisrukangula7086
    @denisrukangula7086 3 ปีที่แล้ว +1

    kwakweli barabara ya kyerwa ni mbovuuuu

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 ปีที่แล้ว

    Moyo wangu huwa waniuma mnooo nakutoa machozi nikiona hiki chombo ya kazi....hivi ni kweli baba umetuacha kweli???💔🇹🇿😭

  • @Smartmoneymakerz
    @Smartmoneymakerz 6 หลายเดือนก่อน

    Mwaka 2024 still watching Magufuli🥺

  • @fredymugha6697
    @fredymugha6697 3 ปีที่แล้ว

    Hotuba za Raisi yaani akili tupu ivi mtu akifa na akili zake amezikwanazo jamanii!!

  • @paulrwechungura4958
    @paulrwechungura4958 3 ปีที่แล้ว +1

    Rais wetu Mungu akulinde,

  • @hassanussein1817
    @hassanussein1817 3 ปีที่แล้ว

    kama Raisi Magufuli amumpendi mtupeni Burundi tutampokea

  • @abdallahrajabu4401
    @abdallahrajabu4401 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda saaaaaaaaana

  • @yusraswalah4734
    @yusraswalah4734 3 ปีที่แล้ว

    No one will replace your party in Tanzania

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 3 ปีที่แล้ว

    Mama Samia suluhu mzee kashatangulia fatilia na mwezi wa sita daraja likamilikee

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 3 ปีที่แล้ว

    Nataka kuamini kuwa hawa watendajibwengi wanajuwa kuiba tu utendaji wa kaxi 000Tu wanafanya makusudi yote hiyo aonekane jpm hafanyi kazi ya harali piga chini mkuuuu

  • @a.a.a.s8322
    @a.a.a.s8322 3 ปีที่แล้ว +1

    Endeleza Mapambano mzee.

  • @paschaltsaxara2376
    @paschaltsaxara2376 3 ปีที่แล้ว +3

    Engineer anafeliiii

  • @saymon2pack408
    @saymon2pack408 3 ปีที่แล้ว +1

    Kichwa kama GN😂

  • @valeriaveda7519
    @valeriaveda7519 3 ปีที่แล้ว

    Tutakumiss baba ehee! Mungu umetupiga kiboko kwakwelii

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว

    Kuwa raisi tz ni kazi ngumu Sana nashangaa wanaopigania kuwa raisi. Wanaomkwamisha magufuri ni viongozi kwenye sector mbalimbali na nafasi mbalimbali ambazo wamepewa ela zinapigwa kwenda mbele haingii akilini fedha za mradi zipo lakini kazi haifanyiki na hiyo ni nchi nzima. Kwanza ona anavyobabaika. Wazee Kama hawa ukiwakuta kwenye cheo chake Hana muda wa kukusikiliza na miwani yake.

  • @kasumbapaulo9228
    @kasumbapaulo9228 3 ปีที่แล้ว

    Nilikuwa namkubari Sana mtemi we2 Wa nchi

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 ปีที่แล้ว

    Hatma ya mpambanaji tutamkumbuka daima

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 3 ปีที่แล้ว +3

    Baba asante nakuelewa sana

  • @pastorymushy416
    @pastorymushy416 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo Cheka inaniachaga howi adi nakuwa na furaha kupitiliza

  • @athumansaidi7663
    @athumansaidi7663 8 หลายเดือนก่อน

    Nalia na magufuri 🇹🇿 😭 😭🇹🇿🇹🇿

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba5331 3 ปีที่แล้ว +1

    RIP mzee wetu JPM 😭😭😭

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว +2

    Hiiiiiiiiiiiiiiiii🤣

  • @DottoKinyamagoha
    @DottoKinyamagoha 12 วันที่ผ่านมา

    Askofu sema kweli uone?

  • @imocymusic
    @imocymusic 7 หลายเดือนก่อน

    Rip magufuli😢

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 ปีที่แล้ว

    Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @davidtemba4893
    @davidtemba4893 7 หลายเดือนก่อน

    😢