Huyu Shabiby ni mfanyabiashara makini Sana.. hongera Sana Sana.
Mbunge Makini....Anatema Points Tupu. Salute sana Mheshimiwa.....kwa Wabunge wa Aina hii Upinzani lazima Wapate tabu kupenya.
Kama unamuona anae umiza mikono gonga like
umeongea sana Mr shabiby mungu
akuongoze daima kweli kuusu stand niaibu sana naisi hii changamoto IPO mikoa yote ilikua na stand mpya
King of business.....🇴🇲🇹🇿 hongera sana
Shabiby kachangia vzr km Mbunge sio wale wana mipasho hawana hoja wanasimama kupoteza muda tu
Umekulaa sanaa viazi ndio maanaa unaakili na hoja nzurii ho hongelaa
Safi sana shabiby serikali yetu imetengeza mianya ya wizi
Qhongera muheshimiwa Ahmed shabiby nakukubali sana
shabiby mitano tena 👏👏
Safi Sana Shabiby kwa kuwatetea wanyonge
Mbunge mwenye uwezo wa hali ya juu sana
Hongera sana Mhe.Shabiby kwa mchango wako mzuri umeongea uhalisia na ukweli uliopo. Suala la Stendi hizi kuwa mbali na miji zinatesa sana wananchi hasa wale wasiokuwa na uwezo!
Maa Sha Allah, Shabiby unaongeaga ukweli mtupu. Nilichogundua ni kwamba wanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Wanaongea chochote ilimradi matumbo yao yajae bila kujali maslahi ya wananchi wengine.
mungu akuongoze ktk kaz yako mzee SHABBIBY!
hongera sana!!!!!!!
Shabiby wewe ni kiongozi mcha mungu na mungu akupe afya na rizki..una moyo wa utu sana
Shukrani Shabiby mambo yanashangaza sana kuhusu hizi stendi zilizo mbali na makazi ya watu zina usumbufu mkubwa
Kweli kabisa shabibu kwanini washushe abiria stendi wakati gari inaelekea hukohuko wanakokwenda?hivi kweli serikali kabla ya kutenda haijiongezi ?wakati gari siyo Yao ? Point unafaa uwaziri mama Samia hawa ndio wanaotakiwa uwape uwaziri
Well said Shabiby... Dom wanafunzi kushuka 8 8 upande boda, bajaji, tax adi town ni gharama mnooo
Jazak Allah kheir Shabiby
nimeipenda sana hiyo taarifa.
Shabibyyyyyyyyyyyy,big up
Mambo mengi si nyie mnapitisha lakini havifanyiwi kazi pia mnawaumiza watu wa mabasi jirekibisheni serikali
Mungu Akubariki sana Mzee Shabiby Kwa Kuliona hilo Serikali Ikubari Tu Kwamba Walikosea Na Wazirudishe Hizo Stend Mana Ni Mateso Mno! Mtu Anakwenda Iringa Mjini Unamshusha Igumbilo Kilometer 20 Nyuma Unamuingiza Kwenye Garama Nyingine C Kutesana Uku.
Shabiby safi sana umeongea point watu wanatoka mbali walipo na stand ya mabus safi kbsa
Dah nampenda sana shabiby kwanza anajiamini saaana, dah asipewe uwaziri ili awe anapiga mawaziri
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Safi sana shabiby tunanyanyaswa ctend zpombali tukipewa msaada hawataki
Sema Shabib sema kwa sauti
Dah hii ni hatariiii Sana mama futa huu wizi
Nakulewa sana mhe. Shabiby. Hongera
Huyu mbunge Ana Akili nyingi sana mmsikilize
Ndio maana siku hizi Shabiby hamtoi vinywaji... Oooh... Machine!!
thanks so much father God bless you Good point
Yani sasa hivi kuna ushetani mkubwa sasa hivi ni bora mmejionea hayo nyiye wenyewe alafu kuna msamiati unasema wawekezaji labda mwekezaji kicha
Gonga like kwa jirani yake..
Shabby kaka tuwasiliane leo umeeleweka kaka
Vita kawaw ulikukuw umelala shabb kashakutajia idadi ya stand haraf we unatoa taarifa kweli hebu kuw Makin kuwasikiliza wenye hoja za mashik( shabib kataj Dom, iringa na songea we hukusikia?)
Pongezi shabiby kweli uko vizuri sana salamu zako zimefika
Hongera mbunge.
Mbunge wAngu MWENYE akili zake😂
Salute mzee
Safi Sana shabbiby ukogo vizuri sana
Mamae huu wizi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Aksante san, kututetea wassfiri.
Sawa mbunge wetu. Mwanike wa ukaya
Jamaa upo vizuri safi sana
Hapo mbunge wangu nimekukubali
Msema ukweli ni mpenzi wa mungu
Kweli Shabiby hapo kwenye kushusha abiria stend mbali na gari linaenda huko huko mjini kweeeli tunateseka Sana Sena baba abiria tupone
Shabibi mtu makini sana we need him
mh shabiby yupo sahihi kabisah suala la stand na umbali linatutesa
😂 😂 😂 😂 wewe inakuuma nn wewe wakati huna hata basi
Safi Sana kweli unajitahidi huchangii pumba
Wizi huo udhibitiwe haraka
Lait mzee angewaona hao wafanyabiashara mambo yangekuwa mazuri
Kweli huu ni wizi kweli kabisa
Shabibi wetu Safi Sana , waukaya
Bonge la point muheshimiwa Shabiby, safari hii nikishuka Dodoma natembea kwa miguu hadi mjini bora mgomo tuu
Fedha za watz maskini.Hongera mbunge makini ambaye huna ubinafsi.Mungu akujalie Maisha Marefu.
Hili Jinga Linalopigapiga Meza Linakera! Ndio Watanzania tunalipa watu wa aina hii. Kaa sikiliza, Hoja Nzuri hazihitaji Kelele zako za Kupiga Meza.
JOMBII uko vizuri...!
Safi sana bos
Well said Mr MP..
Hongera sana sema ukweli
Sema mzee,nimekupenda bure,umewapa makavu yao
Mbunge anaongea mambo muhimu mnoooo,
Shabby Mungu akulinde
Ila kweli yani juzi dodoma nimeshuka 88 yani nilitamani kulia mchozi..nimepata tabu kweli...gharama...muda..daah
Ongera sana mh shabby kwakuongea point
❤❤
Nakuunga mkono shabby
Ka'..JaMaNi....!
Tumekuelewaa...swali ZuRi MjOmBa...
Hongera mh
Mmmmmmh wabunge wabunge!!!!!
Mbona toka mwezi jana mmekuwa waongeaji wazur hivyo!
Yani tungekua na waheshimwa wabunge kama mzee Shabiby hata 20 aise ingekua 🔥🔥. Kuhusu stend imeniuma sana hasa Songea na Iringa
Safi sana Mh. Shabibi
Heko!..Mh...Shabiby...upo sawa...
Safiii sanaa mr shabib
Shabiby upo vizuri sana mzewangu
Kila Mara Ninasema NIA NJEMA YENYE MAAMUZI MABOVU!
Kishwaga jamani mikono hiyo ...
Hatari saana
Nchi hii wafanyabiashara walionewa Sana. Mama Samia wanusuru Wafanyabiashara
Safi sana babaaaaa
Uko sawa sana
Hongera shabiby
Fact sana.....hio bishara kichaa
Shabiby nakuunga mkono,huyo mbwa wa Latra amelishwa hela ondoa huyo
Mh,Upo sahihi sana.
Huyo anayemsapoti Shabiby anagonga kila mara,hiyo inaitwa kujipendekeza kwa Boss,afu kama anagonga kwa uoga hivi🤣🤣🤣
Sio kujipendekeza, huyo naye ana miliki mabasi (superfeo) yeye na G msigwa na Makinda
Kweli shabiby umesema pointi Nzuri
Safi sana Mh Shabiby
kiswaga tuliza mpira brother kwani mkono haiumi
baadhi ya viongozi wanapenda sana kuwakomoa wafanyabiashara na siyo kusaidia wafanyabiashara. na kurahisisha usumbufu
Point sana boss
Hii hoja imetusaidia sana... asante mheshimiwa
Safi sana mfanyabiashara uko vizuri tumbua majipu
Uyu jamaa noma piga Kaz xhabibi
Msikate tamaa ongezeni nguvu humo kuna watu hawana nia nzuri na taifa hili ipo siku mungu atawasikia. Wakikataa kuwasikia
Hawa wasema ukweli ndio wanatakiwa kuingia bungeni.hongera sana shabiby