ความคิดเห็น •

  • @geraldngwisija5034
    @geraldngwisija5034 3 ปีที่แล้ว +15

    Hawa wasema ukweli ndio wanatakiwa kuingia bungeni.hongera sana shabiby

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 3 ปีที่แล้ว +34

    Huyu Shabiby ni mfanyabiashara makini Sana.. hongera Sana Sana.

  • @rwehumbizajonathan8689
    @rwehumbizajonathan8689 3 ปีที่แล้ว +11

    Mbunge Makini....Anatema Points Tupu. Salute sana Mheshimiwa.....kwa Wabunge wa Aina hii Upinzani lazima Wapate tabu kupenya.

  • @danielbraitony9696
    @danielbraitony9696 3 ปีที่แล้ว +8

    Kama unamuona anae umiza mikono gonga like

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 3 ปีที่แล้ว +16

    umeongea sana Mr shabiby mungu
    akuongoze daima kweli kuusu stand niaibu sana naisi hii changamoto IPO mikoa yote ilikua na stand mpya

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 3 ปีที่แล้ว +8

    King of business.....🇴🇲🇹🇿 hongera sana

  • @amanishoo1813
    @amanishoo1813 3 ปีที่แล้ว +15

    Shabiby kachangia vzr km Mbunge sio wale wana mipasho hawana hoja wanasimama kupoteza muda tu

  • @chikuluchidodokochiitingan340
    @chikuluchidodokochiitingan340 3 ปีที่แล้ว +6

    Umekulaa sanaa viazi ndio maanaa unaakili na hoja nzurii ho hongelaa

  • @izraelyherman4467
    @izraelyherman4467 3 ปีที่แล้ว +11

    Safi sana shabiby serikali yetu imetengeza mianya ya wizi

  • @salimbinargan9658
    @salimbinargan9658 3 ปีที่แล้ว +13

    Qhongera muheshimiwa Ahmed shabiby nakukubali sana

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 3 ปีที่แล้ว +9

    shabiby mitano tena 👏👏

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo1467 3 ปีที่แล้ว +10

    Safi Sana Shabiby kwa kuwatetea wanyonge

  • @chogaissa1619
    @chogaissa1619 3 ปีที่แล้ว +6

    Mbunge mwenye uwezo wa hali ya juu sana

  • @danielmpigasupi2212
    @danielmpigasupi2212 3 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana Mhe.Shabiby kwa mchango wako mzuri umeongea uhalisia na ukweli uliopo. Suala la Stendi hizi kuwa mbali na miji zinatesa sana wananchi hasa wale wasiokuwa na uwezo!

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 3 ปีที่แล้ว +27

    Maa Sha Allah, Shabiby unaongeaga ukweli mtupu. Nilichogundua ni kwamba wanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Wanaongea chochote ilimradi matumbo yao yajae bila kujali maslahi ya wananchi wengine.

  • @sadikiabdi6179
    @sadikiabdi6179 3 ปีที่แล้ว +17

    mungu akuongoze ktk kaz yako mzee SHABBIBY!
    hongera sana!!!!!!!

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani1502 2 ปีที่แล้ว +2

    Shabiby wewe ni kiongozi mcha mungu na mungu akupe afya na rizki..una moyo wa utu sana

  • @herikaduma4993
    @herikaduma4993 3 ปีที่แล้ว +9

    Shukrani Shabiby mambo yanashangaza sana kuhusu hizi stendi zilizo mbali na makazi ya watu zina usumbufu mkubwa

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa shabibu kwanini washushe abiria stendi wakati gari inaelekea hukohuko wanakokwenda?hivi kweli serikali kabla ya kutenda haijiongezi ?wakati gari siyo Yao ? Point unafaa uwaziri mama Samia hawa ndio wanaotakiwa uwape uwaziri

  • @neemajoel5081
    @neemajoel5081 3 ปีที่แล้ว +19

    Well said Shabiby... Dom wanafunzi kushuka 8 8 upande boda, bajaji, tax adi town ni gharama mnooo

  • @petermushy9883
    @petermushy9883 3 ปีที่แล้ว +57

    Kuna mwamba kalipwa na boss anapiga Kofi moja moja😁

  • @issaramadhan9937
    @issaramadhan9937 2 ปีที่แล้ว +3

    Jazak Allah kheir Shabiby

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 3 ปีที่แล้ว +14

    nimeipenda sana hiyo taarifa.

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba3547 3 ปีที่แล้ว +7

    Shabibyyyyyyyyyyyy,big up

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 ปีที่แล้ว

      Mambo mengi si nyie mnapitisha lakini havifanyiwi kazi pia mnawaumiza watu wa mabasi jirekibisheni serikali

  • @dottodotto7621
    @dottodotto7621 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu Akubariki sana Mzee Shabiby Kwa Kuliona hilo Serikali Ikubari Tu Kwamba Walikosea Na Wazirudishe Hizo Stend Mana Ni Mateso Mno! Mtu Anakwenda Iringa Mjini Unamshusha Igumbilo Kilometer 20 Nyuma Unamuingiza Kwenye Garama Nyingine C Kutesana Uku.

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 3 ปีที่แล้ว +14

    Huyo wa Pembeni ni Mbunge au CHAWA wa Shabiby 😂😂😂

  • @kamanyile
    @kamanyile 3 ปีที่แล้ว +15

    Shabiby safi sana umeongea point watu wanatoka mbali walipo na stand ya mabus safi kbsa

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 3 ปีที่แล้ว +8

    Dah nampenda sana shabiby kwanza anajiamini saaana, dah asipewe uwaziri ili awe anapiga mawaziri

  • @paschalkipeta2353
    @paschalkipeta2353 3 ปีที่แล้ว +13

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @jenniferkaristo5671
    @jenniferkaristo5671 3 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana shabiby tunanyanyaswa ctend zpombali tukipewa msaada hawataki

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 3 ปีที่แล้ว +6

    Sema Shabib sema kwa sauti

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 3 ปีที่แล้ว +5

    Dah hii ni hatariiii Sana mama futa huu wizi

  • @mussai.sillas3796
    @mussai.sillas3796 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakulewa sana mhe. Shabiby. Hongera

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison435 3 ปีที่แล้ว +6

    Huyu mbunge Ana Akili nyingi sana mmsikilize

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 3 ปีที่แล้ว +13

    Ndio maana siku hizi Shabiby hamtoi vinywaji... Oooh... Machine!!

    • @rugijofrey3685
      @rugijofrey3685 3 ปีที่แล้ว

      Anatoa vinywaji hela iko kwa vendor😂😂

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps 3 ปีที่แล้ว

      😀

  • @samueltomboza3767
    @samueltomboza3767 2 ปีที่แล้ว +7

    thanks so much father God bless you Good point

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Yani sasa hivi kuna ushetani mkubwa sasa hivi ni bora mmejionea hayo nyiye wenyewe alafu kuna msamiati unasema wawekezaji labda mwekezaji kicha

  • @dismascosmas1441
    @dismascosmas1441 3 ปีที่แล้ว +4

    Gonga like kwa jirani yake..

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 3 ปีที่แล้ว +7

    Shabby kaka tuwasiliane leo umeeleweka kaka

  • @sigfridprotas5695
    @sigfridprotas5695 3 ปีที่แล้ว +15

    Vita kawaw ulikukuw umelala shabb kashakutajia idadi ya stand haraf we unatoa taarifa kweli hebu kuw Makin kuwasikiliza wenye hoja za mashik( shabib kataj Dom, iringa na songea we hukusikia?)

  • @ahmedashfa7318
    @ahmedashfa7318 3 ปีที่แล้ว +6

    Pongezi shabiby kweli uko vizuri sana salamu zako zimefika

  • @juliethsemwenda8100
    @juliethsemwenda8100 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera mbunge.

  • @neylatikilango401
    @neylatikilango401 3 ปีที่แล้ว +18

    Mbunge wAngu MWENYE akili zake😂

  • @gibonykiyao9698
    @gibonykiyao9698 3 ปีที่แล้ว +4

    Salute mzee

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana shabbiby ukogo vizuri sana

  • @erastoshedrack7118
    @erastoshedrack7118 3 ปีที่แล้ว +1

    Mamae huu wizi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @bettymassanja881
    @bettymassanja881 3 ปีที่แล้ว +11

    Aksante san, kututetea wassfiri.

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 3 ปีที่แล้ว +5

    Sawa mbunge wetu. Mwanike wa ukaya

  • @barakanelson8123
    @barakanelson8123 3 ปีที่แล้ว +9

    Uyu anaipiga Kofi anazingua aiseee😂😂

  • @merickymangula5156
    @merickymangula5156 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa upo vizuri safi sana

  • @richardmgweno3846
    @richardmgweno3846 3 ปีที่แล้ว +2

    Hapo mbunge wangu nimekukubali

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 3 ปีที่แล้ว +7

    Msema ukweli ni mpenzi wa mungu

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 3 ปีที่แล้ว +7

    Kweli Shabiby hapo kwenye kushusha abiria stend mbali na gari linaenda huko huko mjini kweeeli tunateseka Sana Sena baba abiria tupone

  • @theophilmawe9776
    @theophilmawe9776 หลายเดือนก่อน

    Shabibi mtu makini sana we need him

  • @b90tv2
    @b90tv2 3 ปีที่แล้ว +6

    mh shabiby yupo sahihi kabisah suala la stand na umbali linatutesa

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 ปีที่แล้ว +20

    😂 😂 😂 😂 wewe inakuuma nn wewe wakati huna hata basi

  • @stevengracphord953
    @stevengracphord953 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana kweli unajitahidi huchangii pumba

  • @joshualaitei6275
    @joshualaitei6275 3 ปีที่แล้ว +5

    Wizi huo udhibitiwe haraka
    Lait mzee angewaona hao wafanyabiashara mambo yangekuwa mazuri

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 3 ปีที่แล้ว +3

    Kweli huu ni wizi kweli kabisa

  • @gellysemwali5113
    @gellysemwali5113 3 ปีที่แล้ว +6

    Shabibi wetu Safi Sana , waukaya

  • @rahimdikungule3737
    @rahimdikungule3737 3 ปีที่แล้ว +7

    Bonge la point muheshimiwa Shabiby, safari hii nikishuka Dodoma natembea kwa miguu hadi mjini bora mgomo tuu

  • @peterdoisso2414
    @peterdoisso2414 2 ปีที่แล้ว

    Fedha za watz maskini.Hongera mbunge makini ambaye huna ubinafsi.Mungu akujalie Maisha Marefu.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu ปีที่แล้ว

    Hili Jinga Linalopigapiga Meza Linakera! Ndio Watanzania tunalipa watu wa aina hii. Kaa sikiliza, Hoja Nzuri hazihitaji Kelele zako za Kupiga Meza.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 ปีที่แล้ว

    JOMBII uko vizuri...!

  • @samiumussa1193
    @samiumussa1193 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana bos

  • @rosiemmari5396
    @rosiemmari5396 3 ปีที่แล้ว +1

    Well said Mr MP..

  • @rafikkarimomar8202
    @rafikkarimomar8202 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana sema ukweli

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 3 ปีที่แล้ว +3

    Sema mzee,nimekupenda bure,umewapa makavu yao

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 3 ปีที่แล้ว +10

    Mbunge anaongea mambo muhimu mnoooo,

  • @charleskaflela7115
    @charleskaflela7115 2 ปีที่แล้ว

    Shabby Mungu akulinde

  • @luizabahati5198
    @luizabahati5198 3 ปีที่แล้ว +7

    Ila kweli yani juzi dodoma nimeshuka 88 yani nilitamani kulia mchozi..nimepata tabu kweli...gharama...muda..daah

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 2 ปีที่แล้ว

    Ongera sana mh shabby kwakuongea point

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 ปีที่แล้ว +5

    ❤❤

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakuunga mkono shabby

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว +5

    Ka'..JaMaNi....!
    Tumekuelewaa...swali ZuRi MjOmBa...

  • @allynkya265
    @allynkya265 2 ปีที่แล้ว

    Hongera mh

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 3 ปีที่แล้ว +6

    Mmmmmmh wabunge wabunge!!!!!
    Mbona toka mwezi jana mmekuwa waongeaji wazur hivyo!

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 ปีที่แล้ว

    Yani tungekua na waheshimwa wabunge kama mzee Shabiby hata 20 aise ingekua 🔥🔥. Kuhusu stend imeniuma sana hasa Songea na Iringa

  • @bsemwaly207
    @bsemwaly207 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana Mh. Shabibi

  • @fellyfernando4516
    @fellyfernando4516 2 ปีที่แล้ว

    Heko!..Mh...Shabiby...upo sawa...

  • @suleimangaming1907
    @suleimangaming1907 2 ปีที่แล้ว

    Safiii sanaa mr shabib

  • @mahamudunangalapa4933
    @mahamudunangalapa4933 3 ปีที่แล้ว

    Shabiby upo vizuri sana mzewangu

  • @deohank5995
    @deohank5995 3 ปีที่แล้ว +5

    Kila Mara Ninasema NIA NJEMA YENYE MAAMUZI MABOVU!

  • @shabanimyombe3834
    @shabanimyombe3834 3 ปีที่แล้ว +3

    Kishwaga jamani mikono hiyo ...

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 3 ปีที่แล้ว +7

    Hatari saana
    Nchi hii wafanyabiashara walionewa Sana. Mama Samia wanusuru Wafanyabiashara

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail4488 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana babaaaaa

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 ปีที่แล้ว

    Uko sawa sana

  • @suleymanally1465
    @suleymanally1465 2 ปีที่แล้ว

    Hongera shabiby

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp 2 ปีที่แล้ว

    Fact sana.....hio bishara kichaa

  • @nikhatkhan8362
    @nikhatkhan8362 3 ปีที่แล้ว +8

    Shabiby nakuunga mkono,huyo mbwa wa Latra amelishwa hela ondoa huyo

  • @benderarulenge8898
    @benderarulenge8898 3 ปีที่แล้ว +3

    Uko vizuri

  • @saidlwambo1995
    @saidlwambo1995 2 ปีที่แล้ว

    Mh,Upo sahihi sana.

  • @magonasoudy5297
    @magonasoudy5297 3 ปีที่แล้ว +10

    Huyo anayemsapoti Shabiby anagonga kila mara,hiyo inaitwa kujipendekeza kwa Boss,afu kama anagonga kwa uoga hivi🤣🤣🤣

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 3 ปีที่แล้ว +1

      Sio kujipendekeza, huyo naye ana miliki mabasi (superfeo) yeye na G msigwa na Makinda

    • @rashdiyange7758
      @rashdiyange7758 3 ปีที่แล้ว

      Nime cheka mimi mpka meliasss

  • @pastormosesmwimitv1742
    @pastormosesmwimitv1742 3 ปีที่แล้ว +3

    Kweli shabiby umesema pointi Nzuri

  • @tycoon9540
    @tycoon9540 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana Mh Shabiby

  • @kareisindilo2776
    @kareisindilo2776 3 ปีที่แล้ว +5

    kiswaga tuliza mpira brother kwani mkono haiumi

  • @msingida33
    @msingida33 3 ปีที่แล้ว +1

    baadhi ya viongozi wanapenda sana kuwakomoa wafanyabiashara na siyo kusaidia wafanyabiashara. na kurahisisha usumbufu

  • @killylevenson1359
    @killylevenson1359 3 ปีที่แล้ว

    Point sana boss

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 3 ปีที่แล้ว

    Hii hoja imetusaidia sana... asante mheshimiwa

  • @simonnick1242
    @simonnick1242 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana mfanyabiashara uko vizuri tumbua majipu

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala276 3 ปีที่แล้ว +3

    Uyu jamaa noma piga Kaz xhabibi

  • @share966.like.subscribe
    @share966.like.subscribe 2 ปีที่แล้ว

    Msikate tamaa ongezeni nguvu humo kuna watu hawana nia nzuri na taifa hili ipo siku mungu atawasikia. Wakikataa kuwasikia