Mpina nimmoja wa wabunge imara na mwenye maono kwani ata alipokuwa waziri alikuwa smart sana nadhani hapo bungini waliopo ni makasha ya wabunge baadhi yao hawapo kwa ajili ya wana nchi tz bado sana tupo usingizini na hakuna mbu anaerusumbua ndio mana tulala fafefifooofooooo
Hutuwezi kukataa uzuri wa Bashe. Lakini wengi mnatumia hisia zaidi kuliko kutafuta facts. Wabunge wetu jukumu lenu liwe kumtetea mwananchi zaidi kuliko serikali. Kuweni na uhakika kama kweli Mpina alifanya hilo jambo kwa mslahi binafsi na sio maslahi ya umma.
Mpina uliwahi kuwa waziria awamu ya tano ukaboronga Leo acha wakuvuruge we siyo mtu kama uliwahi kupeleka rula kantini ya bunge wakakuacha ukalindwa,naunga mkono usulubiwe ww hufai
Mavi au wabunge, these are narcissists, who don’t know their jobs, ni kutombana tu, kuhongwa na kula hela zetu. Mutaadhibiwa mkifa washenzi nyinyi wenye akili za nzi!
Tuna wabunge wa hovyo sana, hoja ya MSINGI ya mpina inahitaji majibu Siyo huu mjadala mnaotuletea. Mnaacha MAJUKUMU yenu ya MSINGI kuisimamia Serikali na kuwawakilisha wananchi mnabaki kukiwakilisha chama na familia zenu. Upumbavu kabisaaaaa.
Mnalalamika spika katukanwa mtu anatetea wanyonge kwaio wananchi tuteseke sukari tuliuziwa erfu kumi nyie wabunge mkaona sawa tu ila spika mnamtetea nyie watu wa hovyo kbs
Ise kweli bunge letu inaheshima, inaongea lugha yenye kutoa heshima. Tukiangalia bunge la jirani ni hovyo. Lugha mchanganyiko. Maneno yanarushwa hovyo. Hi ni bunge mfano katika bara nzima la Africa na pengine duniani kote.
Nchi ya kiafrica zinaendeshwa na viongozi ambao ni greedy people kuna siku kama leo mnaweza kumdhalilisha na kumtolea manenoa machafu mwenzenu ambaye ni mtetea wanyongea pia kuna siku mtamgeuka pia raisi kipindi wananchi watapo pinga uongozi usiojali wananchi wake na tabaka la wangonye
Mpina anaongea kwa ajiri ya wananchi ila sawa wengne hamrundi mwakani mbona bashe hajareta udhibitisho kuna kinga kwake wapinzani pashapasha pambalu njooo nyamagana
Mbona tozo hamuluhurumia wanyonge leo sukar kuna wanyonge tanesko wanajiamlia mpo tu bungeni hamtetei mbona naomba rais mengine awe anaingilia tu maana yeye ndie mwenye haki pekee hapa nchini wengne tupo tunaongea sana
Tatzo lako mpina unasema ukweli ukitaka kuishi vzr ukiwa ccm chawanza uwe uongo pili uwe mnafiki tatu upende usifia sifia na kuficha mafisadi hapo utadumu milele ss naona mpina 2025 umekalia kuti kavu autorud tena kweny kura za maoni pole mpina
Tulimuamini Magufuri tukachagua CCM wote kufa Magufuri CCM wameturidisha kule kule lakini Magufuri alisema nikiondoka mtarudi kule kule alisema ukweli. 2025 hatufanyi makosa hata kama Samia atakuwa Rais lakini hawezi kuwa na bunge lakupitisha na kulinda wezi. Africa ya kusini imetuonyesha njia na Magufuri alituamsha. Mpina hata akifukuzwa CCM anarudi bungeni tena kwa kishindo. Sijawahi kupigia kura upinzani lakini kwa hili lazima tulete ushindani bungeni bila ya nchi itapotea.
Pole sana mpina,nchi hii ukitaka upendwe na chama cha ccm furahia mambo ya ufisadi pia uwe mnafki,hapo udumu miaka mingi.mana kuna watu wali kuwa waza lendo na watetezi lakini wame potea
Haya mabunge ya ccm bwana yaani utasema kama vile hawakwenda shule yaani wana muuona mpina kama nijambazi na mchonganishi, ukionana kuna kunakelele nyingi kutoka ccm ujue kunajambo lina nuka hapo
Mpina Oyeee. Watanzania wote tunakuunga mkono. Hao mafisadi wabunge wenzio na Spika wa bunge wasikuumize kichwa. Umejijengea sifa ya pekee. Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia 💯
Wako bungeni kwa ajili ya masilahi yao bahati mbya hatukuwachagua ndiyo maana wako kwa upigaji makofi isiyo na mshiko kabisa mnapoteza tu muda na kupokea kitita
Yaan Bunge Zima linashindwa kujadili wizi na ubadilifu uliozungumzwa then wanajadili namna taarifa ilivyowasilisha, Bunge linashangaza sana hili
Mpina uko vizuri mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Mimi naona alichosema mpina nikingine kinacho zengumziwa nikingine mbina hawasemi kampuni zilizopeŵa vibari
Nilikuwa nakupenda Bunge ila kwasasa hapana,
Mpina oyee.Tukopamoja na wananchi !!!
Hili Bunge halijielewi. Kila Mbunge anajipendekeza. Ni kw maslahi ya matumbo yao, siyo kw ajili ya wananchi.
Mpina ni shujaa wa wanyonge
sisi wananchi tupo na mpina 🇹🇿
Mpina kawatupa mbari sana 🎉🎉🎉 Mwamba
Mpina nimmoja wa wabunge imara na mwenye maono kwani ata alipokuwa waziri alikuwa smart sana nadhani hapo bungini waliopo ni makasha ya wabunge baadhi yao hawapo kwa ajili ya wana nchi tz bado sana tupo usingizini na hakuna mbu anaerusumbua ndio mana tulala fafefifooofooooo
Kwenye jimbo lake hawampendi
Nyie wabunge munaomtukana mpina mungu awape adhabu
Nyie wabunge mungu anawaona tunawasubiri kwa hamu 2025 big up mpina .
Hutuwezi kukataa uzuri wa Bashe. Lakini wengi mnatumia hisia zaidi kuliko kutafuta facts. Wabunge wetu jukumu lenu liwe kumtetea mwananchi zaidi kuliko serikali. Kuweni na uhakika kama kweli Mpina alifanya hilo jambo kwa mslahi binafsi na sio maslahi ya umma.
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina...
Wote hakuna atakayerudi hapo
Lissu alikimbia lema jonh heche, wengi tu walishindwa, mpina Njoo nje
Mimi Nataka kujuwa Alichokisema Mpima juu sukari ni kweli au sio kweli
si kweli maana walimpa mda alete vidhibitisho/ushaidi ukawa ni wa uongo
@@Ellyosborn-fo2zkwewe unaona Mpina ana toa ujinga au ukweli na Kwa niaba ya watu,,,,,,shinda niiii.......
Hawa wabunge unaweza kuwatukana kwa hasira ukapata matatizo tu!...
Yaani ni wa hovyo mno!
Sanaaa
Inatakiwa katiba mpya ili bunge liwe na tija
Mpina uliwahi kuwa waziria awamu ya tano ukaboronga Leo acha wakuvuruge we siyo mtu kama uliwahi kupeleka rula kantini ya bunge wakakuacha ukalindwa,naunga mkono usulubiwe ww hufai
Mnatishana au mnajenga nchi mnatuchanganya sanaa
Sidhani if my lovely Mp mpina atarudi bungeni
Mavi au wabunge, these are narcissists, who don’t know their jobs, ni kutombana tu, kuhongwa na kula hela zetu. Mutaadhibiwa mkifa washenzi nyinyi wenye akili za nzi!
Bunge la Tanzania ni la mafisadi watupu. Haliko hapo kwa kuwawakilisha wananchi. Liko hapo kwa kuwanufaisha wabunge na mawaziri wezi
Waache waamue wanavyotaka,ila wanatakiwa kukumbuka Kenya kitaendelea nini?maana wabunge WA Kenya kwa sasa vikao ni vya moto.Haki itendeke nyakati zote
Bunge ili jamani Mungu Awasaidie.
Mbunge unapewa nafasi ya kuchangia, badala yake unaishia kusuta. Kumsema, na kumsimanga, sio sawa
furahieni majanga ya wenzenu, tusubiri nyie msiokosea, yaani malaika wasaka tonge, waoga, wanafki muendelee kula nchi. Kuku kwa mrija. Hongereni.
Tuna wabunge wa hovyo sana, hoja ya MSINGI ya mpina inahitaji majibu Siyo huu mjadala mnaotuletea. Mnaacha MAJUKUMU yenu ya MSINGI kuisimamia Serikali na kuwawakilisha wananchi mnabaki kukiwakilisha chama na familia zenu. Upumbavu kabisaaaaa.
Mnalidhallilisha bunge na kutoliheshimisha bunge tutaonana uchaguzi ujao,Mlio msulubisha mpina tumewaona
Yaan,sitamani hata kusikiliza hili bunge,yaani mnaita mwenzenu mnafiki nafiki kwa kusema ukweli ,duuu kweli,
Yaan mmh sisemi lkn Mh Mpina piga kazi
Mnalalamika spika katukanwa mtu anatetea wanyonge kwaio wananchi tuteseke sukari tuliuziwa erfu kumi nyie wabunge mkaona sawa tu ila spika mnamtetea nyie watu wa hovyo kbs
Waziri bashe mzushi hatumtaki cc wananchi mpina ni mbuge wetu na mtetezi wa wanyonge wabunge wengi wazushi wanatetea uwozo
Mpina hata kwenye jimbo lake hakuna anaye mtaka
Hili ni bunge?
Bunge la ovyo sana hili msema ukweli huunguzwa
Wewe ndiye mtu wa hovyo sana usiyefikiria unayepelekwapelekwa tu kama bwege
Ise kweli bunge letu inaheshima, inaongea lugha yenye kutoa heshima. Tukiangalia bunge la jirani ni hovyo. Lugha mchanganyiko. Maneno yanarushwa hovyo. Hi ni bunge mfano katika bara nzima la Africa na pengine duniani kote.
Mbumbu ndiyo wanasubirigi kwenye vijembe
Nchi ya kiafrica zinaendeshwa na viongozi ambao ni greedy people kuna siku kama leo mnaweza kumdhalilisha na kumtolea manenoa machafu mwenzenu ambaye ni mtetea wanyongea pia kuna siku mtamgeuka pia raisi kipindi wananchi watapo pinga uongozi usiojali wananchi wake na tabaka la wangonye
wabunge 0 Mpina 3
Ila watz bwana huwa ni wanafiki sana😅😅😅😅
Hapa cjaona ripot ya mh mpina ninachoshangaa nikoment za wananch zinamtetea mpina wabunge wanamponda swal langu hawa wabunge wanawawakilisha watugani?
Mh mpina tetea wa Tanzania mana ni wa naichi wako
Musukuma oyeeee, DP World oyeeee, mjinga sana huyo, atuambie alihongwa ngapi kupiga dene hao DP
Wizi oyee
Well done
Mpina atarudi akiwa anga za juu kuliko wabunge wote
DUUUU!!! UNAFIKI MBAYA SANA, KOSA LA MPINA NI NINI? KUSEMA UKWELI? AU?
Tabasamu naye vp tena kwenye sakata la mafuta alisema alimpa taarifa spika tulia Spika akamwambia tulia sijuh akumbuki DAH
Niwashauri tu viongozi na wanasiasa kwamba acheni kutumia sana akili Zenu na nafasi Zenu zaidi sana simamieni kweli na haki"
Mpina anaongea kwa ajiri ya wananchi ila sawa wengne hamrundi mwakani mbona bashe hajareta udhibitisho kuna kinga kwake wapinzani pashapasha pambalu njooo nyamagana
Mpina umekuwa mkweri wananza kukutafuna krb ubinzani
Mpina kadhalilisha Bunge acha anyooke..
Well done mpina wangeizima hiyo
MPINA wewe ni mtetezi wa kweli wa sisi Wananchi.Mtu akisema ukweli ndo amedharau bunge??
Jamani Tanzania wote siyo watii
An Empty Stomach is not a good political advisor.
siobungelinawezakuzalauliwampakasasawanngihawanaliaminibungehulo
Hiki ni chombo cha taifa jitahidini kuondoa uchawa mnaidhalilisha taaluma ya habari someni comments mtajua watanzania wàmewachoka.
Mbona tozo hamuluhurumia wanyonge leo sukar kuna wanyonge tanesko wanajiamlia mpo tu bungeni hamtetei mbona naomba rais mengine awe anaingilia tu maana yeye ndie mwenye haki pekee hapa nchini wengne tupo tunaongea sana
Tatzo lako mpina unasema ukweli ukitaka kuishi vzr ukiwa ccm chawanza uwe uongo pili uwe mnafiki tatu upende usifia sifia na kuficha mafisadi hapo utadumu milele ss naona mpina 2025 umekalia kuti kavu autorud tena kweny kura za maoni pole mpina
Sifuatilii bunge tenaaa na nitakua mtu wa masumbwi movie na miziki tu sitaki tena mimi kama ndio wabunge wako hivi aseee.
Mpina ni shujaà pendamsipende.Bunge ni la kenya .
Hivi kwanini wasomi hawataki mambo ya siasa wapo tu pembeni, kwanini wasije kuliokoa hili taifa.
Msomi na siasa wap na wap kupiga porojo tu awawez
Mheshimiwa mbona hatupati majibu sahihi alichosema mpina ni kweli au si kweli
Mbwa nyie mmejidharirisha wenyewe
17:38
BASHE U VIZURI MIMI BINFSI NIPO PAMOJA NAWE
😂😂😂😂 HUKU NAOGOPA
Muuui
Kwani paka sindio alitawala kwenye huu msitu
Palipo na maono pana vita mti wenye matunda hupigwa mawe mh mpina hizo zisikutoa kwenye haki
Weeee mama huna lolote kama mungu yupo mpina tunakupongeza Sana kamati ya kilimo umesaidia nini wewe mama ata atukujui tetea posho zako
Mpina AMEWAPIGA KWENYE MSHONO. MPINA MTETEZI WA WANANCHI WA TANZANIA (TANGANYIKA) MPINA HOYEEE! HOYEEEE!
Hongera bhana kwa kusurubisha mpina lakini ipo mda unakuja mtaondoka kwa mtutu wa bunduki kama ivo nchi zingine pumbafuuuu sana nyie
Ete bashe analindwa mpina anahukumiwa haa sasa ukwel ni upi, na uongo ni upi
Mpina wateme hao njoo chadema ... mwaka huu wabunge wa chadema tutawachagua wengi usihofu..
Chama cha okotaokota
Tulimuamini Magufuri tukachagua CCM wote kufa Magufuri CCM wameturidisha kule kule lakini Magufuri alisema nikiondoka mtarudi kule kule alisema ukweli. 2025 hatufanyi makosa hata kama Samia atakuwa Rais lakini hawezi kuwa na bunge lakupitisha na kulinda wezi. Africa ya kusini imetuonyesha njia na Magufuri alituamsha. Mpina hata akifukuzwa CCM anarudi bungeni tena kwa kishindo. Sijawahi kupigia kura upinzani lakini kwa hili lazima tulete ushindani bungeni bila ya nchi itapotea.
Wabunge mungu anawaona mnasema mnalidhalilisha bunge mbn huko Dubai walipokea mlungula
Hili bunge linaubaguzi sana mtu anatetea wanyonge halafu wabunge wanamdhihaki mtetea wanyonge bunge hili la hovyo sana
Pole sana mpina,nchi hii ukitaka upendwe na chama cha ccm furahia mambo ya ufisadi pia uwe mnafki,hapo udumu miaka mingi.mana kuna watu wali kuwa waza lendo na watetezi lakini wame potea
Mpina Mungu yuko nawe mtetea wanyonge mnatete a matumbo yenu
Haya mabunge ya ccm bwana yaani utasema kama vile hawakwenda shule yaani wana muuona mpina kama nijambazi na mchonganishi, ukionana kuna kunakelele nyingi kutoka ccm ujue kunajambo lina nuka hapo
Ukijielewa watakusumbua sanah
Siku zote msemaukweli hapendagwi hata yesu alinyongwa msalabani kwa ukweli wake.
Mpina Oyeee. Watanzania wote tunakuunga mkono. Hao mafisadi wabunge wenzio na Spika wa bunge wasikuumize kichwa. Umejijengea sifa ya pekee. Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia 💯
Mpina oyee watanganyika wako na wewe.
Wako bungeni kwa ajili ya masilahi yao bahati mbya hatukuwachagua ndiyo maana wako kwa upigaji makofi isiyo na mshiko kabisa mnapoteza tu muda na kupokea kitita
BUNGE GANI HILI ? PAMBANENI NA MAFISADI KINA BASHE' HAKUNA LOLOTE HAPO KWANZA HAMPATI KURA ACHENI KELELE
Hata wewe upimwe
Msukuma kwa elimu gani wewe ndio sehemu inayokustahili kuchangia huna unachokijua tunampenda mpina
sikubaliani na wabunge.. ila wacha yaendelee hayo ili Mungu ajitukuze
kuna chakujifunza nanii
Mpina mmeshaanza kumpa jina kubwa kwa wananchi wa jimbo lake!
Mpina juu
Shida yenu ma fisi em huwa hamtaki kuelezwa ukweli
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina...
Mpina usijali, waache wamama wabunge wabweke tu, kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji.
Hongera sana Mh. Mpina, sisi wananchi tumekuelewa vizuri sana. Hata wakikutoa sisi wananchi tuko nawe.
Acheni uongo mtafanya nn
Mpina kazingua
Mpina juuuuuu ,
Kwani wachangiaji hao ni watanzania au?
Yaani kama wametoka nje ya nchi hwawana uchungu hata kidogo
Yaani hii nchi ya ajabu sana, TBC hyo caption yenu imeiwekaje
Mtatoka wote hapo bungeni wengine wataingia ... kama ndugai alitoka itakuwa nyie
Huku bungeni wote ni wanafki, mnamnafkia Rais samia, na hapo mnajaribu kufunga wabunge wengine midomo ili wasiseme ukweli uliopo.