Aman bila haki huwezekani nyinyi ni wachumia tumbo mkishiba nyinyi basi wengine watanzania huko chini shauri yao huu ndio mawazo ya mtu mweusi huangali maisha yake tuu na familiar yake wAkati watanzania wengi watumwa ktk nchi yao wamasai doctor silaa mwabukusi mdude nyangale madereka alafu wewe unasima unatangaza amani umeshiba wengine kuongea ukweli ktk taifa lao wako ktk ulinzi mkali Hawa watu wanaelewa watanzania wangapi wamepoteza maisha yao ktk arizi yao kwa sababu ya wageni ktk taifa lao wewe muogope mungu mzee bora vita kuliko utumwa wenye kukandimiza haki za watu ilitushimiane hao i watakao baki huwezi tangaza amani watanzania wanafunga maduka yao biashara ngumu Kodi wengine wanaishi km wako peponi masikimi ktk taifa lao wamefanywa punda Wewe usitufanye hatuna akili ktk taifa letu wakati tayari sisi shamba la wampumbavu
Kila mtu Ana haki na anastahili haki yake yake ilindwe na haki Hawa uliowataja haki yao ndio iliyowafikisha hapo walipewa haki yakutoa maoni hakuna haki isiokuwa na mipaka wangebaki na hoja yao ya msingi haya yasinge wakuta Uhuru wa MAONI Kila mtu anao lakini usitumie Uhuru huo kuzulu wengine na nchi huo ULEVI wa akili hauwezi kuachwa nchi hii yetu wote kwa matamshi hayo waliyoyatoa yaliowakuta ni stahiki yao hawezi kuwa Serikali halafu watu wanavunja amani waachwe tu HAIWEZEKANI tukosoe tupinge lakini Adabu iwepo watu Kama hicho ndio stahiki yao hiyo Bandali isiwe kisingizio kumbe watu Wana Agenda yao
Watu, ardhi,sisa safi ,uongoZi bora walioacha Mali kwa kutozitolea macho. Nikiwa mdogo mpaka nimekuwa. Sasa hivi Dar daah!!.I haven't seen such a maneuver like this... Ooh!!
Mafarisayo wapo hadi leo, wana sema hivi kisha wao wanatenda vile, huongea kwa upole hali moyoni mwake amejaza hila. Usemi wao humshikisha mungu, ambaye sie yule wamvika ibilisi vazi la harusi, Mungu wetu ni mkuu na wala hadhihakiwi
Mungu awasaidie Sana maana macho mnayo lkn hamuon, Masikio manayo lkn hasikii. Hakuna ulichoeleweka Hapo mtu wa Mungu gan unatangaza Aman bila haki. Ise Mungu atusaidie Sana 🙏 kwanza maelezo yako2, imeonekana unashida mahali
Assallam walkum wallah Matulah wabarkatuh, amani maliasili zai nchi kulimbikiziwa kwawageni hapo Amani ipo kwli? Kuna usalama hapo nchi na vilivyomo kuwa mateka kwa waarabu? Mnisamehe bure kwa hili sioni Amani mnayo idumisha japo sio mtanzania ila mi muAfrican
😂The issue of contact of the ports in Tanzania has raised four major conflicts in Tanzania 1, Utanganyika against Uzanzibari, 2. Christianity against Islam, 3. Opposition against UCCM, 4. Citizens against the Government, the things that are tearing apart our Tanzania are continuing in the way they are seen. Currently, Tanzania You are no longer in the heart of Tanzanians in general and their unity, and now they are questioning the benefits of the union on two sides, why the people of Zanzibar should be allowed to own land in Tanganyika, while the Tanganyikan are not allowed to own land in Zanzibar, secondly, the people of Zanzibar are allowed to be employed in the government of the union, while the Tanganyikan are not allowed to be employed in the revolutionary government , and now they are starting to wonder why Zanzibar wanted to join the OIC. Mwalimu Nyerere refused, the second time he sat down with them. Therefore, the issue of port agreements and others between the Government and the Arabs has raised the opinion of the people against the attitudes of the Government, the CCM and the leaders of the Islamic sects, this is very difficult and requires great wisdom in process it otherwise we don't have Tanzania again in our eyes unless the majority believe that it is being exploited by the minority, it is better to save this, to destroy our Tanzania, this needs the vote of the people and it should not be controlled by the Government again, it was voted by the people who vote for his views at the moment, this is not to be ignored, it also does not need the answers of irony for those who oppose the views of the Government
Mnaacha majukumu yenu ya msingi badala yake mnaanza kiwatisha kina Dr slaa, na wenye mapenzi mema,na nchi yao, nasema kuhusu hilo la bandari anayetetea ujinga, huo labda awe chawa wa mrengo fulani
@@ngwegwenurdin4318 neno amani limekuwa kichaka chawanyonyaji ilikulinda dhuruma zao, neno haki limetupwa na wenye dhuruma maana wakitenda haki hawatadhurumu.sasa SHEKH nayeanaungana na dhuruma ajabu sana
Tatizo ninaloliona Hizi Dini tulizopokea kutoka Kwa waraabu na WA Italiano zimtupokonya reasoning ability kabisaaa mtu anaongea kama kanywa uji uliochacha
hii nikamati ya amani tushaijuwa ni wspumbavu flani tuu, sasa ngoja tusubili kamati ya haki maana amani haiji bila haki aya mazuzu tuyaache yakae pembeni.
Zungumza Haki na kupinga Dhuruma mjomba hayo mengine ni janja janja ya Nyani tuu! 😅😅😅 Tumeshajua siku nyiingi watu gani wanatusanifu na kutujaza upepo wananchi kwa maslahi yao binafsi na tushajua watu gani kweli wanatutetea wananchi nyie tulieni na Kamati yenu ya Amani inayosisitiza Amani Tuu ila kusisitiza HAKI na kupinga Dhuruma hiyo hapana. Yaani na nyie nanyi mnajua kutupanga 😂😂😂
hiyo kamati yenu ni ya kinafiki wote mliokaa hapo ni wanafiki hamtaki kusema ukweli cjui hata hiyo dini mnahubiri unafiki kwani mungu hapeni watu wanafiki km ninyi coni hilo tamko mlilotamka bali ni unafiki mungu awasamehe hamjui mtendalo wanafiki wakubwa nini mungu anapenda watu wakweli cc wote tunahitaji na tunapenda amani na tunataka nchi yetu iendelee lkn ckwa mpango kama huo nikuulize ww mnafiki unaye soma huo unafiki wenu mm nikija kwako nataka kuingia mkataba wakujenga nyumba yako iwe ghorofa lkn hujui utapata nini na miaka mingapi nitaimiliki ww utakubali mbona hamuwi wa kweli mnafiki mkubwa ww
Mbona kama midomo yenu imefungwa pingu. nyinyi niwatu mlio na nguvu sana kuliko. Jeshi mngeiambia serikali hapa hapana sisi tunawafuata nyinyi tungenyosha hii nchi. Ila kwa sababu mnapewa bahasha amani amani amani.
Viongozi wa dini simameni katikati muwe msaada kwa wananchi. Tafuteni haki ilipo ili wote tukutane katika hilo. Amani hailetwi na mtu au kikundi cha watu bali amani inaletwa na haki. Biblia inasema haki huinua Taifa. Mungu ibariki Tanzania.
Sheikh,toka kauli hizo zitolewe ni muda sana umepita,ninyi kama kamati ya amani mlikuwa wapi muda wote huo kama kweli hizo kauli zilikuwa za uvunjifu wa amani ya nchi?,au mlikuwa mnasikilizia kwanza muone upepo unaegemea wapi sio.Halafu hata kwa matamshi yako pamoja na body language yako inaonesha unaongea kitu ambacho unajua ni positive but unalazimika kukiongelea negatively,hukumu ya Mungu i'juu yako Shekh. 10:15
🤔🤔🤔🥱🥱🥱😭😭😭 Isaya 6:9-11 [9]Naye akaniambia, Enenda, ukawaambie watu hawa, Fulizeni kusikia, lakini msifahamu; fulizeni kutazama, lakini msione. [10]Uunoneshe moyo wa watu hawa, ukayatie uzito masikio yao, ukayafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa. [11]Ndipo nilipouliza, Ee Bwana, hata lini? Naye akanijibu, Hata miji itakapokuwa ukiwa, haina wenyeji, na nyumba zitakapokuwa hazina watu, na nchi hii itakapokuwa ganjo kabisa;
Upepo unaovuma sasa hivi hapa nchini siyo mzuri. Kuna dalili za waazi kabisa za udini zinajitokeza kupitia hili sakata la bandari. Tayari kuna utengano miongoni mwa baadhi ya viongozi wa dini. Ninaona kabisaa kila kiongozi wa dini akisimama kuzungumza unaweza kuhisi kuwa yuko upande fulani unaotofautiana na kiongozi wa dini nyingine.
R.I.P JPM ''MWAMBA'' HATA UFUTA ULIKUWA NA THAMANI... MIPANGILIO. MAZAGAZAGA MBEGU KIBAO ZINASTAWI TZII. BASI TU.. TALANTA ZIMELALA ZA MALIASILI. TUNAPENDA USASA SASA. KUIGAIGA WAKTI SISI WATU PORI ARDHI ZINANEEMA KIBWENA TU
@@hamisimkoma7380wewe ndiyo uache ujinga. Amani, ni tunda la HAKI. Bila haki, amani haipo. Hata vitbu vyote vya dini vinasema hivyo. Aliyekufundisha kwamba AMANI ni kila kitu, kakupotosha
Sheikh Walid, wewe nakukubali sana, lakini kwa hili umepotezwa kama alivyopotezwa rais na wachumiq tumbo. Chunguzq kwanza kabla ya kutoa hukumu. Utakuja kufuta baadaye. Nchi hii haina HAKI. Kudai haki ni haki yetu
wewe acha kabisa kutuchanganya sisi siyo wahuni kama hawo wanaokutumia eti aman unaongelea amani gani ya kipumbafu juzi kuna mama alikua amebeba ndizi zake za ua
hivi inakuaje mtu mzima unaimba amani hapo hapo watu wanakula mlo mmoja kwa Siku au unaona watu awana akili uku wengine wakila na kusaza amani ipi unayoisungumzia wewe labda amani ya wakina mama wajane kuporwa biashara zao na manispa ndiyo. amani au kaka unatuona atujasoma sisi tumeso na tulikua tunasubiri kupewa nafasi za kazi za kutumikia wananchi matokeo wanachuliwa watu ambao wanatakiwa wa pumzike makwao
Kama nyimbo vile. Title WANAPINGANA NA WALIOWACHAGUA. WAPIGA KURA WAWACHAGUA VIONGOZI WAO ILI WAONGOZWE VEMA KWA KUJARI KIPAUMBELE CHA MCHAUA VIONGOZI HAO.
Fuata yako sisi tuna Imani lakini nyinyi ndiyo hamna amani mnafanya mtakayo watu wamechoshwa na hayo matendo yenu anzeni nyinyi kwanza huo mkazo wako kazia uongozi
Huyo IGP anaweza kutuonesha Nia njema yake kwa Watanzania ? Hatoke hadharani wangekuwa na nia nje wasingetuletea mikataba ya kuhuni na kishenzi Kama hiyo
Shekh unaongea kwa utulivu na heshma kubwa kuliko masheikh wote niliowahi wasikia.. Kuhusu bandari zetu hata moja hatutaki kuambiwa ujinga wowote. Hatutaki mkataba wa kipumbavu ktk hatma ya maisha ya watoto wetu na wajukuu zetu Kama wameshindwa au hwana imani na kesho njema ya Tanganyika yetu watupishe tumpe Dr Mpango
Hahahaaa, amani ni kula!! Dah Mungu tusaidie. Umefeli sana. Haya hata kama amani ni kula n.k ndo wengine walambe asali wakati wengine wanalamba pilipili!!! Kweli shehe. Hebu ipende nchi yako jamani
Asiogope kurudisha nyumba kauli yake hicho ni kipimo kwake ni penda Amani mpenda mabega yaliyo nyenyuka?, Maana Tz bila huo muwekezaji au mkataba unaweza mbona?
Kamati ya amani ki ukweli ni yakinafiki kabisa.Naamini mnajua kusoma ina maana hamjui mkataba wa bandari ulikiuka sheria.Mbona hamkutoka adharani kuukubali au kukataa na kukosoa.Mtajua wenyewe mbele ya mwenyezi mungu.Linda haki upate aman.
Mtu afungwa kwa kutenda kosa sio kupewa kesi ambazo hata asienda shule anaona tumieni madaraka vizuzi hiyo mitihani mnayopewa mshinde kila Jambo linakuja kwa makusudi yake usijione ww leo kiongozi ktk dunia kesho utakuwa mtumwa ktk kaburi ukifanya Nini ktk uwongozi wako wa kidunia kwanini ulinyanyasa binadamu wanzio kwa sababu ya shilingi haya umekuja na hiyo shilingi hapana utaviacha vyote kiongozi Bora niyule cku ya mwisho analiliwa na watu wake na sio kusemwa mabaya sisi wote wapita njia tu tupo ktk folen kwa majina mengine maiti talajiwa tutende mema kila sekunde 1_ ya pumzi yetu
kama i Mbona Clip za Maongezi yao Zipo Wanajadili Kupindua Nchi 🙆♂️🙆♂️🙆♂️ Kuchoma Vituo vya Police na Office za ccm Clip zipo Mi Najiuliza Swali Sipati Jibu . Dr Slaa Alipokuwa BALOZI wa TANZANIA CANADA Kupindua Cha MAGUFULI Mbona Hakupanga MAPUNDUZI ??? Tena Alichaguliwa na Hayati MAGUFULI Kuwa Balozi . akawageuka CHADEMA . Lakini Mkataba Wake Umeisha Karudi BONGO Amefiwa Tatizo
Mwenye ukaribu na huyo sheikh . Mwambieni kabisa hakuna alichokiongea ameongea ugoro tuuuu. Watanzia atna mgawanyiko tunaishi pamoja na tunakula pamoja .
Endeleeni kutumia ivi wanavuruga amani ya nani wakati watu wanaopinga kufanyika jambo ambalo litaleta watu kukosa amani vizazi na vizazi lakini Kwa sheria ya asili duniani ukimtendea mtu au watu ubaya bila hatua kwakuwa eti wanadai haki yao huoubaya lazima ukurudie
Balaza lenu hl mmeshindwa kujitambua kwani mandamano ndo uvunjifu wa amani wakati mandamno yapo kwenye katba pili kwann msiwalaumu watawala ambao ndio wanavunja amani?
Muogope mungu shehe acha unafiki
Wewe unasisitiza amani lakini haki usemi na mbona rushwa auongelei unaongelea amani,amani inakuja Kwa kutenda haki,ni maneno Gani yaliyochochêwa
Acheni mzaa na bandari zetu
Mh, Sheik ukimaliza kuzungumza soma comments ndo utajua uloongea yanaingia kwa hawa viumbe Watanzania😂😂
Duuuh! Ebwwanaeee!!. UMEONGEA ANDIKA HOMI BOI
Aman bila haki huwezekani nyinyi ni wachumia tumbo mkishiba nyinyi basi wengine watanzania huko chini shauri yao huu ndio mawazo ya mtu mweusi huangali maisha yake tuu na familiar yake wAkati watanzania wengi watumwa ktk nchi yao wamasai doctor silaa mwabukusi mdude nyangale madereka alafu wewe unasima unatangaza amani umeshiba wengine kuongea ukweli ktk taifa lao wako ktk ulinzi mkali Hawa watu wanaelewa watanzania wangapi wamepoteza maisha yao ktk arizi yao kwa sababu ya wageni ktk taifa lao wewe muogope mungu mzee bora vita kuliko utumwa wenye kukandimiza haki za watu ilitushimiane hao i watakao baki huwezi tangaza amani watanzania wanafunga maduka yao biashara ngumu Kodi wengine wanaishi km wako peponi masikimi ktk taifa lao wamefanywa punda
Wewe usitufanye hatuna akili ktk taifa letu wakati tayari sisi shamba la wampumbavu
Kila mtu Ana haki na anastahili haki yake yake ilindwe na haki Hawa uliowataja haki yao ndio iliyowafikisha hapo walipewa haki yakutoa maoni hakuna haki isiokuwa na mipaka wangebaki na hoja yao ya msingi haya yasinge wakuta Uhuru wa MAONI Kila mtu anao lakini usitumie Uhuru huo kuzulu wengine na nchi huo ULEVI wa akili hauwezi kuachwa nchi hii yetu wote kwa matamshi hayo waliyoyatoa yaliowakuta ni stahiki yao hawezi kuwa Serikali halafu watu wanavunja amani waachwe tu HAIWEZEKANI tukosoe tupinge lakini Adabu iwepo watu Kama hicho ndio stahiki yao hiyo Bandali isiwe kisingizio kumbe watu Wana Agenda yao
Hata hio kamati ya amani niwachumiatumbotu nao
Mh
Asante baraza la Maaskofu, hapa Tunasema Elimu Elimu Elimu Ziro ya Watu Ziro.
Nani amevuruga amani? Tunataka uwekezaji mzuri bandarini. Anayevuruga amani ni anayeigawa bandari bure akijua hatutaki, na hili halitapoa. Wapeni ushauri wenye mamlaka wawasikilize wananchi, tutapata amani ya kudumu. Huko kukwepa hoja Sheikh Walid hakutatusaidia.
Watu, ardhi,sisa safi ,uongoZi bora walioacha Mali kwa kutozitolea macho. Nikiwa mdogo mpaka nimekuwa. Sasa hivi Dar daah!!.I haven't seen such a maneuver like this... Ooh!!
Mashee Sasa ndo mnatumika wanafiki wakubwa mbona tumezama
Msitugawe nyie viongozi wa dini, sisi watanganyika ni wamoja, ikiwezekana Kila mtu asali kivyake ikiwa nyie viongozi mna hongwa.
Mafarisayo wapo hadi leo, wana sema hivi kisha wao wanatenda vile, huongea kwa upole hali moyoni mwake amejaza hila. Usemi wao humshikisha mungu, ambaye sie yule wamvika ibilisi vazi la harusi,
Mungu wetu ni mkuu na wala hadhihakiwi
Semameana.
Sema mwana
Amani bila haki na dhuluma ni bure
Mh
Mche mungu haki kumcha ufisadi hakuna hata uone milioni choni huokoti swala inamfanya mtu Safi ndio unapata uchamungu
Hakuna amani bila haki, amani ni zao la haki.
Mh
We
Sheetani
Huna
Akiri
Mungu awasaidie Sana maana macho mnayo lkn hamuon, Masikio manayo lkn hasikii. Hakuna ulichoeleweka Hapo mtu wa Mungu gan unatangaza Aman bila haki. Ise Mungu atusaidie Sana 🙏 kwanza maelezo yako2, imeonekana unashida mahali
Assallam walkum wallah Matulah wabarkatuh, amani maliasili zai nchi kulimbikiziwa kwawageni hapo Amani ipo kwli? Kuna usalama hapo nchi na vilivyomo kuwa mateka kwa waarabu? Mnisamehe bure kwa hili sioni Amani mnayo idumisha japo sio mtanzania ila mi muAfrican
Umebetua bab
😂The issue of contact of the ports in Tanzania has raised four major conflicts in Tanzania 1, Utanganyika against Uzanzibari, 2. Christianity against Islam, 3. Opposition against UCCM, 4. Citizens against the Government, the things that are tearing apart our Tanzania are continuing in the way they are seen. Currently, Tanzania You are no longer in the heart of Tanzanians in general and their unity, and now they are questioning the benefits of the union on two sides, why the people of Zanzibar should be allowed to own land in Tanganyika, while the Tanganyikan are not allowed to own land in Zanzibar, secondly, the people of Zanzibar are allowed to be employed in the government of the union, while the Tanganyikan are not allowed to be employed in the revolutionary government , and now they are starting to wonder why Zanzibar wanted to join the OIC. Mwalimu Nyerere refused, the second time he sat down with them. Therefore, the issue of port agreements and others between the Government and the Arabs has raised the opinion of the people against the attitudes of the Government, the CCM and the leaders of the Islamic sects, this is very difficult and requires great wisdom in process it otherwise we don't have Tanzania again in our eyes unless the majority believe that it is being exploited by the minority, it is better to save this, to destroy our Tanzania, this needs the vote of the people and it should not be controlled by the Government again, it was voted by the people who vote for his views at the moment, this is not to be ignored, it also does not need the answers of irony for those who oppose the views of the Government
Omera Otoyo kare ilia kata gimadhi nyime epinyni!
CCM
Kuna siku mtahojiwa mbele za Mungu kama nafasi zenu mlizitendea haki na majibu yatakuwa hapana hapo ndo mtasiilizia vibano.
Allah atupe mwisho mwema inshallah
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Mimi ninajua unaongeza mambo ya msingi kumbe pumba
Chemistry ( haskis
Viongozi wetu mmesahau amani ni tunda la haki sasa ukitaka amani kuwa mwenye haki kwa watu wote rushwa haikubaliki mbele za Mungu
Faranga Nako huko imefika
Mnaacha majukumu yenu ya msingi badala yake mnaanza kiwatisha kina Dr slaa, na wenye mapenzi mema,na nchi yao, nasema kuhusu hilo la bandari anayetetea ujinga, huo labda awe chawa wa mrengo fulani
Do slaa na mungu nani mkubwa
Shekhe gani asiyezunguzia haki? Kajikita kwenyeunafiki wa amani! Pasipo HAKI amani itatoka wapi?
Anajishusha tu akili ametupa tia Allah nakutupa utashi wa kuelewa jambo na kulipambanua. Bila makaratasi.
@@ngwegwenurdin4318 neno amani limekuwa kichaka chawanyonyaji ilikulinda dhuruma zao, neno haki limetupwa na wenye dhuruma maana wakitenda haki hawatadhurumu.sasa SHEKH nayeanaungana na dhuruma ajabu sana
Janja Janja tuu,Watu wamekata tamaa kabisaa,ishaurini serikali iheshimu maoni ya wananchi kama kweli
Shari yao. Binadamu hafundishwi huruma.
Tatizo ninaloliona Hizi Dini tulizopokea kutoka Kwa waraabu na WA Italiano zimtupokonya reasoning ability kabisaaa mtu anaongea kama kanywa uji uliochacha
Et ikiwa umeamka na amani na mkate wa siku hiyo "Leo nimeamini baadhi ya maandiko ndo yanatujengea mind set za kimasikini Sana "
hii nikamati ya amani tushaijuwa ni wspumbavu flani tuu, sasa ngoja tusubili kamati ya haki maana amani haiji bila haki aya mazuzu tuyaache yakae pembeni.
Maneno lakini kukubali yote yanayendelea hats kama hayafai . Ni ndiooooo .
One side😂😂😂😂
Sioooo
Amani ipi unayoisema wewe hasa mbona sikuelewi kabisa wewe ntu umetumwa nini, mbona huwaambii hao wanaouza bandari yetu ya tanganyika.
Bwana achana na sisi
Wewe mfuate mwakumbusi na haya hayakuhusu nyie si mnataka kuupindua nchi?
Haya jaribuni bc tuwaone
Zungumza Haki na kupinga Dhuruma mjomba hayo mengine ni janja janja ya Nyani tuu! 😅😅😅 Tumeshajua siku nyiingi watu gani wanatusanifu na kutujaza upepo wananchi kwa maslahi yao binafsi na tushajua watu gani kweli wanatutetea wananchi nyie tulieni na Kamati yenu ya Amani inayosisitiza Amani Tuu ila kusisitiza HAKI na kupinga Dhuruma hiyo hapana. Yaani na nyie nanyi mnajua kutupanga 😂😂😂
Mtu kama huyu sio hata wa kumps nsfasi ya kumsikiliza kala pilau huyo kashiba
Shekhe naww chaw?
😴😕mmmh sijakuelewa
Nyie kamati yaamani imbieni selekari ukweli kwamba watanzania hawataki bandari yao hiuzwe
hiyo kamati yenu ni ya kinafiki wote mliokaa hapo ni wanafiki hamtaki kusema ukweli cjui hata hiyo dini mnahubiri unafiki kwani mungu hapeni watu wanafiki km ninyi coni hilo tamko mlilotamka bali ni unafiki mungu awasamehe hamjui mtendalo wanafiki wakubwa nini mungu anapenda watu wakweli cc wote tunahitaji na tunapenda amani na tunataka nchi yetu iendelee lkn ckwa mpango kama huo nikuulize ww mnafiki unaye soma huo unafiki wenu mm nikija kwako nataka kuingia mkataba wakujenga nyumba yako iwe ghorofa lkn hujui utapata nini na miaka mingapi nitaimiliki ww utakubali mbona hamuwi wa kweli mnafiki mkubwa ww
Mbona kama midomo yenu imefungwa pingu. nyinyi niwatu mlio na nguvu sana kuliko. Jeshi mngeiambia serikali hapa hapana sisi tunawafuata nyinyi tungenyosha hii nchi. Ila kwa sababu mnapewa bahasha amani amani amani.
Peleka ujinga huko unajua amani ww umechaguliwa na nan kulinda aman ya Tanzania
Ndichomlichotumwa nawatala hicho mimi nasema hiyokamati niyaikulu hamuogopi hatakujitokeza kusema
Viongozi wa dini simameni katikati muwe msaada kwa wananchi. Tafuteni haki ilipo ili wote tukutane katika hilo. Amani hailetwi na mtu au kikundi cha watu bali amani inaletwa na haki. Biblia inasema haki huinua Taifa. Mungu ibariki Tanzania.
biblia inasema haki uinua Taifa dhambi ni aibu kwa Taifa. amkeni
Jamani, hvi ninyi viongozi wa dini huwa mnakunywa pombe
Sheikh,toka kauli hizo zitolewe ni muda sana umepita,ninyi kama kamati ya amani mlikuwa wapi muda wote huo kama kweli hizo kauli zilikuwa za uvunjifu wa amani ya nchi?,au mlikuwa mnasikilizia kwanza muone upepo unaegemea wapi sio.Halafu hata kwa matamshi yako pamoja na body language yako inaonesha unaongea kitu ambacho unajua ni positive but unalazimika kukiongelea negatively,hukumu ya Mungu i'juu yako Shekh. 10:15
Tuondolee upuuzi bwana!!!!
Amani ipi unayoitaka bila kutenda Haki????
nyie viongozi wa dini uchwara hata muufunike vipi uvundo utanuka tu na watu watausikia
Chana Chana mwanasta.
Kwa hiyo, mwanadamu anauwezo wa kulaani mwanadamu mwenzie. Hii kali sana. Mimi nadhani kamati ingetumia lugha nzuri siyo kulaani.
Hekma. Defense zaidi than utashi wa uelewa wetu sisi Wenyenchi.
Mnatumika😢😢😢😢😢😢ILA MUNGU MWENYE HAKI ATAINGILIA KATI
Swadakta. Maalim
Wewe siyo kamati ya amani mtu wa ajabu wewe ndiyo mchochezi mkubwa
Amani ninini? Mimi nionavyo amani nimtu kuishi bilabughudha , na bila wakumbugudhi ,kilamtu amtendee mwenzake anavyo takiwa , yani yale unayotaka utendewe watendee nawengine lakini upande mmoja ukiona hautendewi utakosa hiyo amani ,nakuanza kudai kutendewa ,itakapoonekana hakuna kutendewa ndipo amani inatoweka,
Amani ni shwari kuu
mimi muisilamu bat baazi ya nyinyi waisilamu wengi wenu wanafiki sana tena ilo balaza lenu limejaa wanafiki sana huna jipya
Waislam Wenzangu tunapinga Mkataba huu tujuane hapa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Shekhe Rudi ukajifunze Zaidi
🤔🤔🤔🥱🥱🥱😭😭😭
Isaya 6:9-11
[9]Naye akaniambia, Enenda, ukawaambie watu hawa, Fulizeni kusikia, lakini msifahamu; fulizeni kutazama, lakini msione.
[10]Uunoneshe moyo wa watu hawa, ukayatie uzito masikio yao, ukayafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.
[11]Ndipo nilipouliza, Ee Bwana, hata lini? Naye akanijibu, Hata miji itakapokuwa ukiwa, haina wenyeji, na nyumba zitakapokuwa hazina watu, na nchi hii itakapokuwa ganjo kabisa;
Niwalewaletu
Mh
We kumbe ni cheche kichwani
Amina
Upepo unaovuma sasa hivi hapa nchini siyo mzuri. Kuna dalili za waazi kabisa za udini zinajitokeza kupitia hili sakata la bandari. Tayari kuna utengano miongoni mwa baadhi ya viongozi wa dini. Ninaona kabisaa kila kiongozi wa dini akisimama kuzungumza unaweza kuhisi kuwa yuko upande fulani unaotofautiana na kiongozi wa dini nyingine.
Mh
R.I.P JPM ''MWAMBA'' HATA UFUTA ULIKUWA NA THAMANI... MIPANGILIO. MAZAGAZAGA MBEGU KIBAO ZINASTAWI TZII. BASI TU.. TALANTA ZIMELALA ZA MALIASILI. TUNAPENDA USASA SASA. KUIGAIGA WAKTI SISI WATU PORI ARDHI ZINANEEMA KIBWENA TU
Kama serikali haitendi haki na Amani itakuwa hakuna, Acha ufala wewe tu nataka haki za bandarini yetu kama Huna lakusema kaa kimya
Acha ujinga wewe ...aman ndio kila kitu
Wewe mafala ni hao maaskofu wakiomponza mwanasheria mjinga mwakumbusi
@@hamisimkoma7380wewe ndiyo uache ujinga. Amani, ni tunda la HAKI. Bila haki, amani haipo. Hata vitbu vyote vya dini vinasema hivyo. Aliyekufundisha kwamba AMANI ni kila kitu, kakupotosha
Na usiseme viongozi wa dini zote tafadhali
Umelipwa kiasi gani kiongozi
Unasistiza Amani bila haki shekh issue sio Dini issue ni Haki
Mungu watawaukumu
Akuna aman tanzania ni ushetwan tu
Njaa mbaya sana, Nimendua kumbe Wanzetu mmeanza kujitenga na Dini ya Kikristo maana Rais ni Mwisramu
Ongeleeni haki sasanyie mnaongelea amani haki ikowapo
Sheikh Walid, wewe nakukubali sana, lakini kwa hili umepotezwa kama alivyopotezwa rais na wachumiq tumbo. Chunguzq kwanza kabla ya kutoa hukumu. Utakuja kufuta baadaye.
Nchi hii haina HAKI.
Kudai haki ni haki yetu
Hiyo kamati siyo ya Tanganyika tunaoporwa urithi wetu sssa tunasema tunaitaka Tanganyika yetu amani haipo
Mtatujua kama wabara nivichaa, nyie siyo wenzetu waunguja nuksi
Kauli, usiseme waunguja nuksi wale ni ndugu zetu, akikosea mmoja usiwahukumu wote
Amani eti?😮 Huwa sipendagi unafiki
Bandari hakuna mtu anae tushawishi ifike mahali mtuelewe sisi ndio watanzania
wewe acha kabisa kutuchanganya sisi siyo wahuni kama hawo wanaokutumia eti aman unaongelea amani gani ya kipumbafu juzi kuna mama alikua amebeba ndizi zake za ua
hivi inakuaje mtu mzima unaimba amani hapo hapo watu wanakula mlo mmoja kwa Siku au unaona watu awana akili uku wengine wakila na kusaza amani ipi unayoisungumzia wewe labda amani ya wakina mama wajane kuporwa biashara zao na manispa ndiyo. amani au kaka unatuona atujasoma sisi tumeso na tulikua tunasubiri kupewa nafasi za kazi za kutumikia wananchi matokeo wanachuliwa watu ambao wanatakiwa wa pumzike makwao
Kama nyimbo vile. Title WANAPINGANA NA WALIOWACHAGUA. WAPIGA KURA WAWACHAGUA VIONGOZI WAO ILI WAONGOZWE VEMA KWA KUJARI KIPAUMBELE CHA MCHAUA VIONGOZI HAO.
Watanzania wana Amani sana lakini nyinyi viongozi hamfuati nini wananchi wanataka mtu kuamka na Amani hakuna watu wanaumia
Huna Akili wewe umehongwa
Hanna ulichokitamka ww unashiba amani bila haki umetumwa????
Sawa pamoja nahayo chanzo cha amani hiyo unakizungumziaje na unawafikishia ujumbe upi?
Fuata yako sisi tuna Imani lakini nyinyi ndiyo hamna amani mnafanya mtakayo watu wamechoshwa na hayo matendo yenu anzeni nyinyi kwanza huo mkazo wako kazia uongozi
Tendeni haki kwanza amani itataradadi mnatugeuza watanganyika kuwa wendazazimu Munga anasema tutendehaki kwanza.
Huyo IGP anaweza kutuonesha Nia njema yake kwa Watanzania ? Hatoke hadharani wangekuwa na nia nje wasingetuletea mikataba ya kuhuni na kishenzi Kama hiyo
amani kwa viongozi raia wote hakuna mwenye furaha njaa tupu na kuonewa kama wanyama mwitu
Shekh unaongea kwa utulivu na heshma kubwa kuliko masheikh wote niliowahi wasikia..
Kuhusu bandari zetu hata moja hatutaki kuambiwa ujinga wowote. Hatutaki mkataba wa kipumbavu ktk hatma ya maisha ya watoto wetu na wajukuu zetu Kama wameshindwa au hwana imani na kesho njema ya Tanganyika yetu watupishe tumpe Dr Mpango
Hahahaaa, amani ni kula!! Dah Mungu tusaidie. Umefeli sana. Haya hata kama amani ni kula n.k ndo wengine walambe asali wakati wengine wanalamba pilipili!!! Kweli shehe. Hebu ipende nchi yako jamani
Wewe nenda kwa makafiri wenzako ukaandamane na kina mwakumbusi
@@mbwanarajab4756wewe punguani
Muogope Mungu
Kwa nini msiunde kamti ya haki?
Asiogope kurudisha nyumba kauli yake hicho ni kipimo kwake ni penda Amani mpenda mabega yaliyo nyenyuka?, Maana Tz bila huo muwekezaji au mkataba unaweza mbona?
Nenda kahubiri msikitini hatukuelewi Tanzania Siyo dola la kiislamu hatutaki waarabu kwetu
Kiongozi wadini asiye sisitiza kutenda haki ni mnafiki, maana Amani ni tunda la haki
Kwa ukweli usio pingika Hawa mashekhe wanatumikia serikali tulishaacha kuwasikiliza mda mrefu, haki haki haki haki
Jizi likubwa nani apogée upumbavu
Kamati ya amani ki ukweli ni yakinafiki kabisa.Naamini mnajua kusoma ina maana hamjui mkataba wa bandari ulikiuka sheria.Mbona hamkutoka adharani kuukubali au kukataa na kukosoa.Mtajua wenyewe mbele ya mwenyezi mungu.Linda haki upate aman.
Nchi gani ktk hii dunia inawatendea haki wananchi wake nitajie wacheni ujinga wewe hutoki kwenda kutafuta rizki hakuna amani
Mtu afungwa kwa kutenda kosa sio kupewa kesi ambazo hata asienda shule anaona tumieni madaraka vizuzi hiyo mitihani mnayopewa mshinde kila Jambo linakuja kwa makusudi yake usijione ww leo kiongozi ktk dunia kesho utakuwa mtumwa ktk kaburi ukifanya Nini ktk uwongozi wako wa kidunia kwanini ulinyanyasa binadamu wanzio kwa sababu ya shilingi haya umekuja na hiyo shilingi hapana utaviacha vyote kiongozi Bora niyule cku ya mwisho analiliwa na watu wake na sio kusemwa mabaya sisi wote wapita njia tu tupo ktk folen kwa majina mengine maiti talajiwa tutende mema kila sekunde 1_ ya pumzi yetu
Umekuwamnafiki mno na hunahadhi yakuwa kiongozi wa DINI.
Msenge kama wewe hatukubali
Msenge ni askofu wako na wewe
Mtanyea ndoo nyie vibaraka wa mashoga
Hili ni jipu nimeona nguvu ya faranga
Mone mone peseeee.not money money pesaaa.
Mama piga kazi ziba mashkio.fanya unalo ona bora kwa nchi na wananchi 😂😂
Tunaomba mtuonyeshe video inayosema maandamano yalioyokuwa yaandaliwe yalikuwa ya fujo😢 Hakika Mungu hatalala kuonyesha ukweli katika hili
kama i Mbona Clip za Maongezi yao Zipo Wanajadili Kupindua Nchi 🙆♂️🙆♂️🙆♂️ Kuchoma Vituo vya Police na Office za ccm Clip zipo Mi Najiuliza Swali Sipati Jibu . Dr Slaa Alipokuwa BALOZI wa TANZANIA CANADA Kupindua Cha MAGUFULI Mbona Hakupanga MAPUNDUZI ??? Tena Alichaguliwa na Hayati MAGUFULI Kuwa Balozi . akawageuka CHADEMA . Lakini Mkataba Wake Umeisha Karudi BONGO Amefiwa Tatizo
We ni geneous yaan unaakili sana.
Hio Bakwata tu tawi la CCM, hamna hoja hapo
Wewe umeshakula Asali ya CCM kamati ya Amani au kamati ya usalama wa serikali mbona serikali ikihatarisha amani hamsemi
Mwenye ukaribu na huyo sheikh . Mwambieni kabisa hakuna alichokiongea ameongea ugoro tuuuu. Watanzia atna mgawanyiko tunaishi pamoja na tunakula pamoja .
Ukiwa kiongozi wa dini Tena kamati ya AMANI simama katikati ya HAKI acheni unafiki
Hakuna amani bila kaki
Endeleeni kutumia ivi wanavuruga amani ya nani wakati watu wanaopinga kufanyika jambo ambalo litaleta watu kukosa amani vizazi na vizazi lakini Kwa sheria ya asili duniani ukimtendea mtu au watu ubaya bila hatua kwakuwa eti wanadai haki yao huoubaya lazima ukurudie
Nilifili ataongea pointi kumbe galasa
Yan Bora nikacheze na mwanangu kuliko kkusikiliza mtu kama ww na utuambie ww umekula sh ngap??
Balaza lenu hl mmeshindwa kujitambua kwani mandamano ndo uvunjifu wa amani wakati mandamno yapo kwenye katba pili kwann msiwalaumu watawala ambao ndio wanavunja amani?
Hawa wote wanapenda madalaka haki hakina
Hoja za kizamani sana sheikh ubwabwa,acha ulevi
Promo proooo mo.ndile ndiiiile. Duh!
Unalipwa bei gani na serikali hii