kazi nzuri belle usikate tamaa kijana .. nafasi yako inakuja mungu anasimama na wewe sasa.. naamini kuna siku atapatikana MENEJA au KAMPUNI inayojua THAMANI yako THUMB UP.....TUKO PAMOJA... nanunuaje album au nyimbo zako..?
Wimbo umebana kipaji cha belle... Belle ni mkali zaidi ya hapo,hyo style ya kuimba haikutoi belle afloat kwa corus nimekusoma kale ka sauti kako hataree.. Ur gud champ...
Best director knows how to pick best locations and shots...congrats hanscana step by step I can see you conquering international video making industry...God bless you... ukikaza u can reach there
Tunaosikiliza 2024 gonga like
Kk wakwanz kk
🤚
We here in 2024🔥🔥
We nizaidia ya wimbo wacha nikuimbe, wacha nivimbe Nani anakataa, Malaika wa furaha amenishukia ndaani, ameomba nikuimbe leo, Malaika wa furaha amenishukia ndanii ameomba nikusifie mrembo.
Dah 2024 huu wimbo uliniapatia dem sinza but nilikuwa sijui kutongoza enz hizo namwekea nyimbo t nhoma mpaka akanielew
Tunaongalia 2023 tujuane kweny coments
😂😂
Kumbe tupo wengi huu wimbo unanikumbusha mbali sana
Tunaoskiliza 2020 gonga like
Belle 9.
Salute bro ktk Vipaji vya Muziki tulivojaaliwa Nchini mwetu Bac nawe umo.
But sijui nani kakuzimia Nyota yako.
Songs zako zitaishi milele.
Management yake haiko sawa...naumiaa Sana .kuona Hutu na bright wanakuwa WA kawaida
Nyimbo iko Bombaa!!! Ni kalii...♨️✌🏽️
Malaika wa furaha amenishukia ndanii ameomba nikuimbie leo, Malaika....
❤👍👍👍Oya Belle nago we mkali sana mwana
2024 gang!
Hii kitu lazima ikuchote tu too much feelings 2024
namkubali sana bell9 (jux) mnatisha
This man is something else 🔥 🔥
Faida ya msanii ya R&B akipenda Hiphop.... ngoma full ujazo wa mashairi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hapo hamna mwenye deni kwa msanii wala directar hansacna ......penda sana mziki wa bongo unavyokuwa zaidi kwenda international
Belle9 My favorite East African artist, keep it up my brother Man.
kaza mzee,kideo kizuri,god bless yah
I loove this Belle 9 guy!! Toka enzi za sumu la penzi!! His lyrics are very deep! Pure Talent
2008 au sio, talent OG
We ni zaid ya wimbo👊👊👊👊👊
Best bongo mwandishi wa mashairi nakupenda belle9.
The one and only, I will always Listen to your song more and more you got it n shikilia hapo Belle 9. waiting to see you ukivuka border
acha waongee shauri zao belle 9 maneno yao hayavunji kaz yako
we nimkaliii balaaa napendaga sana kaz zako
be blessed my bro
Brooo we mkali sjui nan anakukwamisha blood
kazi nzuri belle usikate tamaa kijana .. nafasi yako inakuja mungu anasimama na wewe sasa.. naamini kuna siku atapatikana MENEJA au KAMPUNI inayojua THAMANI yako THUMB UP.....TUKO PAMOJA... nanunuaje album au nyimbo zako..?
uwiiiiiiiiiiiii! baho baho naupenda sana hu wimbo jaman
I enjoy it mwana🎉🎉
waoooò bere wanikosha mieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
I have been listening to Belle 9's music since I was in elementary school, coming back and he's still him💚
flow kali,
vocalz kali......yap yap shauri zao
Bado naangalia ngoma kali belle 9 salut sanaa mkal
very very nice 1keep it belle 9 good song bonge lavideo song zako huwa unapanga mistari brother mungu akufungulie milago.uzidi kupanda.
Wimbo umebana kipaji cha belle...
Belle ni mkali zaidi ya hapo,hyo style ya kuimba haikutoi belle afloat kwa corus nimekusoma kale ka sauti kako hataree..
Ur gud champ...
Bell 9 mzir kisula mpk saut tamu😍😍😍
Wachaa nivimbee 😍😍😍nic song Belle9
one luv ngoma hii aijawai kuchuja ipo vizuri
Kazi nzuri 9 nimeupenda cn huu wimbo
This seems to be a next level
u r the beast among the best keep it real home bouy
kama unajua unajua tu
gonga like kama unajua
Haichuji aisee🙌🏽 2021 na bado Goma ni moto
daaah hii nyimbo kila mwaka mpay inakuwa mpyaa❤😂😂
mr belle nine wasanii hitajika always on top siezi wasahau hadi kiama my menters from 2007 to 2050
Wimbo mzuri sanaa huu, hongera bell9 👏👏👏
I really like the song n message on it..good work belle9
good song as well as the video, the location is amazing
Hyu jamaaa anajuaa kuimba kuliko diamond mbali sanaaa...wachache wataelewa
Brother hanscana.. Nice job.. 1day tutafanya kazi..
Belle 9 yo blessed director hanscana salute
strong beat i say.itahit kama sumu ya penzi aisee...big up belly 9
Kaka belle ni bonge la video heshima morogoro iende NA kazana kutoa ngoma Mara kwa Mara NA video Kali kama hizo wewe binge la muimbaji yani
safi sana brother
hakika unaweza
Naipendaga sana la song, kijana anaweza
Uyu ana juwa sana ku imaba, lakini kwa sababu tanzani kuna jaa wachawi ndo maana hamu ona kipaji ya belle 9.
Huyu jamaa noma duh!!! Anajua mpk anakera sijui kafia wapi jamani
2023 this remains my Favourate song ever🔥
Shikamoo hanscana..!!!
nice video belle9 hongera.
Best director knows how to pick best locations and shots...congrats hanscana step by step I can see you conquering international video making industry...God bless you... ukikaza u can reach there
Ulicoment miaka 6 ilopita Safii Leo Hanscana He is A Big Director🔥2022
Belle 9 unanifaa saana kbx! una kasauti kazuri saana acha nikoembee kwa Mola akulinde tena na wewe fanya kazi tu!
Adi 2019
nakubali kaz 2019 - 2020 nice song
I like belly 9.he is my best artist.
Count me in love him too 😍 ❤ 💕 💗
Mkari xnaaaaa.
Siku ya Leo naangalia mzk wa mda mrefuu kwel rah😮😮😮😮
Nice song from belle 9 big up brother
Now this right here be the dopest video belle9 has ever done! props to hanscana this right here as for is the best uv ever directed! dope dope dope
Pamoja sana bro @@@
hey....belle ni mkali, hata kwenye live perf!! big up Tanzanian Musician.......safari yenu ipo katikati, kazeni mwendo soon mtafika mbali.
Belle ume improve sana ktk video na nyimbo Kali sana
my man
bellee umeshindaaaa nyimbo nzuri hii
Umekuwa bongee
La mtuuu
ongeza juhudi kamanda dude umelitendea haki kwakweli
Mmbvp wmbowko mzr sana
This song bado ni kali sanaa mazee
Back here again 2023🇷🇺🇷🇺🇷🇺❤️❤️
Napenda huu wimbo sana.Belle9 we need you back. Too much silence
Wimbo mzuri na video mzuri pia... Kila la KHERI kijana katika kazi zako..
Like zangu kutoka Jordani 2019
Maneno haya vunjiii....mfupaa
Amaizing video.
Good job Director
Legend on fire 🔥
kazi yako unaipenda sn belle9 nzl uskate tamaa ss kama mashabiki wako twakupa sapota sn
Doto Deogratias nice job bro keep on
Kazi nzuri belle9
u nailed it bro,, luv the location though
Number 1 artist in Tanzania
first time I watched this song via East Africa Tv, I liked it there and then and now its on replay for the whole week. Nice Song
2019 wacha nivimbe wacha niringe
kali mzee mor town.
safi sana! @belle9 @hanscana
The best song of Belle9
Belle9-Hanscana ....job well done
A new Belle9 is here. karibu sana. From Kenya, I love your music. Fanya kitu na @officialalikiba
nice work one day utaeleweka
Umetisha chupa kali … Director Katisha… @venntskillz #kwanzarecords
I see improvements on your work kaka, good job though I see some #TreySongz in there! Keep gud and vitamin music alive ...
Bell9 ni mkubwa
never give up janja.
wimbo wangu pendwa
tujuane tuosikilza julai 2024
Nice video B. Keep the vitamin music alive
2023 💥
Ulitisha sana