ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Siri ninayo tulikua wapenzi wapi wale wa 2024 ❤❤
When bongo fleva is alive hakuna cha kiki ni mziki mzuri tu here we are 2024
Bdo tuko on 2024 belle bdo waskizwa
“Japo sikua really kwa penzi lako ila nilikuita my love “ WHEN MUSIC WAS REALLY ANYONE 2023??
Bado Nitaipenda 2023, in Maputo ciy. South of Mozambique
Simba day imetukumbusha mziki mzur❤❤
From City without ocean 2024 simba day baada ya kibu kurudi❤
Kama wamkubali belle9 kuwa msanii mwenyewe mashairi mazuri weka like.huyu ni legend #2022
Tar 10 Mwezi 11 Mwaka 2024. Salute. From Dar es salam Tanzania.
One of the best vocalists kuwahi kutokea huku Africa!
Belle 9. Salute bro ktk Vipaji vya Muziki tulivojaaliwa Nchini mwetu Bac nawe umo. But sijui nani kakuzimia Nyota yako. Songs zako zitaishi milele.
ali mikabo mdogo wake yule ndio kazima nyota ya kaka yake
Ibaki kuwa siri mimi na wewe kama tulikuwa wapenzi..#2021 like you belle9 mkali wa mashairi tz
Wale ambao bado tuna taradad na nyimbo #2023 weka hizo like hapa wajuba..👉🇹🇷turkiye
Mziki mzuri
I still listen 2023 inanikumbusha mbali sana hii ngoma. CONGOLE Belle9
Tulikuja hapa baada ya ngoma kupiga Simba day ubaya ubwela 2024
😅😅😅😅 tupo
tupo 🎉🎉
😂😂😅😂😂nilipoltoka t Uwanjani nikaanza kuisikiliza
🤚
Baada ya kibu kurudi imebidi nije kusikiliza vzr 2024 @simbaday 🎉
2024 naigia huku nalia najuta yote nime fanya kwako😢
Gonga like kama bado unasikiliza hii ngoma 2020
Together
Yar
Amediiiii
Hawa wasanii sikuizi hawapo,,,,,
niko Goma Drc congo bell 9 muimbaji bora umepotea kwenye muziki 2024 tuko tena 🎉🎉
who is here 2024
Tupo
Like me
Me
I really love this song....20/05/22 ....nimeskiliza mara6
Kila lenye mwanzo lina mwisho, belle umepotea😩😩
Bell 9 nakukubali sana tangu kitambo hicho
Bell9 yupo sasa yangu mwaka 2015 alikua akianjisha biyashara n'a mpaka sasa ni mfanya biyashara maarufu sana😂😂😂
I had my bet more on this guy breaking thru than Diamond..sumu ya mapenzi song and etc..big fan Kenya 🏁🇰🇪
Basi nataka muniambie kama bell9 yuko wapi kwa myaka hii maana hasikiki tena, niko drc butembo town❤❤❤
Mbona yupo TZ🇹🇿 apa
Inabaki kuwa ngoma nzuri na yenye mashairi bomba#2023
Some of us we are here becoz of our childhood memories ,,,good feelings ever hamwezi elewa😊
2020 I still watching AMERUDI by great BELLE 9
Ni nooma xana
2020 DEC 16th still watching amerudi by belle9 kubwa sana hii
Amerudi
Qar xn hii ngoma
What about 2022 bro
Nipo Burundi ndayumvilije mala 6 maana wimbo huu mzuri sana mwiza cane mu kirundi
Huu ndio mziki broo 🔥🔥🔥😍👌❤️💃
2020 amerudiii hiii ngoma inanikumbusha skuliii
When music was real. 2021 anybody?
Yeah we still watching
Here I am
True
I’m hereeee
We are here 🙌
Whoever did the acoustic strings at the end.BIG UP
2020 bado tuko fans wa B9 wa mziki mzuri
2021 still yo songs r uptodate!! Yo great Belle 🙌
Kama unangaria ngoma hii 2021 gonga apa
Hatariiiii
@@abuusamwel7286 😂 HIYO unangaria yake 🦝😂
Those days , take me back😍
2022 April still listening 🎧 to this sweetest song @ Bell 9~big up sana ...Who is here🙋 enjoying this song surely
Nice and unforgettable collabo ,Tunda man ft spark
Mapenzi yalintesa back enzi za hii ngoma dem anasema ana mtu wak wa mda ko me nimuache daaah maish kwl yanakwenda
Amerudi Until now 2022🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇹🇿
The best artist,only being underrated,I appreciate your work.
Dah ngoma Kali kuanzia beats mpaka lyrics
Kweli umempoteza jembe lako masigange mungu akupe nguvu dogo nakukubari Sana
Goma Kali kinyama nimeikubali inanikumbusha mbali
naipenda sana hi ngoma haiwezi kupita siku 3 bila kuisikiliza
Nimeitafuta baada ya kibu kuludi
This song will last forever like mothers love💯2022
Mungu azndi kukupa huwai Kaka yani na kuku Bali sana wewe na Kaka mkubwa Alikiba mimi ni mkongo Niko tanzania mkibizi
Jaman belle tisa tisa anajuaaaa
Daah nakumbuka hii nyimbo kipind hicho daaaaah jmn miaka unaenda jmn 2022 twende kaz
Belle upo wapi mbona hatusikii ngoma zako 🙄🙄🙄
Belle 9 nakutambua bro unaweza kwa bongo flavor
End of 2020 still watching... King of chorus on his time
🎉🎉 real bongo
Baada ya simba day nime rudi tena 😂😂 tulio rudi tujuane 2024
Heshima kwako baba, bado na leo inanijaa kichwani
Today he is performing live in TABORA ✅✅
Ndagukunda Belle 9 kutoka Rwanda
NEVER GET OLD THIS ONE
Mpaka leoo huu wimbo nakusikiliza respect sana belle 9🙏🙏🙏
Wimbo unaishi huu
Sijawahi kuichoka hii ngoma aiseee
This will never get old
Ndakumbuka zamani kidogo
Goma Kali kinoma hadi Leo big up bro
legendery bongo king of rnb
Who needs to go back to his old lover whom you did bad things to him plz you this master piece of love ❤ and I will be OK for you ❤
My uncle kusikiza hizo song sa bell9 alifanya nikawa fan mkubwa sana
l like this song. bell9 big up my broo..l do appreciates your work ov art dat yu do 👍👍
2022 Ngoma bado tamu👊 Belle 9 unajua mjomba
Bora ibaki kuwa siri nawee........🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
le premeré foi je vie le chantréur Bon kor quel peyi sa
Remembers my first true love when I listen to this song😃🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
2021 baada ya kusikiliza kazi ya super women wasafi ft diamond, madee, rayvanny, jux, mbosso, belle 9, Joel lwaga, baba levo, Dullah makabila, G nako, lava lava,
2024 still dope song.we miss this kind of songs belle 9
Atuta tshoka kusikia Ngoma zako kama unakubali asthiya like Yako from congo drc !!!
Ndiyo ndugu yangu hatutachoka, apa niko DRC butembo
Here we are like kitambo,when feelings were expressed by good music.......
2020 still kitu kikali 🔥🔥
Hakika ulikuwa unaachia ngoma kali
23/3/2023 here we go 🔥🔥 good work Belle 9 🇰🇪
Dahaaa belle 9 fundi wa wamziki
Da hii nyimbo inagusa maisha yangu kabisa mpenzi wangu ambae ndo mke wangu kwa Sasa baada ya kuludi nikakwambia nilie kua nae kwa mda uo kua ameludiii
Hua inauma sana. Shida wanaume huwa mnashindwa kuongea ukweli. Mkishapata mlichokuwa mnataka ndipo mnasema amerudi. So painful... Unajua mtu huna malengo nae unampotezea muda tu. Mbingu mtaisikia tu wazee
@@aidamwakalinga6182 acha tu Mambo Aya same time ayanaujanja inabidi tu iwe ivyo
Meaning of bongo fleva👏👏 weka like kama unakubali 2021
Wa 2022 tujuane
My favorite bongo song 2023
Nakukubali broo
Living music 2021 still dope
My favorite song ..my favorite artist
Watoto wadogooo watuache kidogo wakongwe tuburudike dah kama utani vile uzee huu hapa❤🔥🔥🔥🥹🥹
Jitahidi mbona unajuwa sana
Im caught into that situation..!😢 He's back.!
Sorry I understand how tricky it may be
usaliti
Timeless music🔥🔥🔥❤️
Belle 9 💥💯💥💯
Iko juu sana
May 2023 are you there ? This song will never get old
Zamani mlikuwa mnajuwa kuimba ila sahivi hakuna kitu #amerudi #belle9
Nyimbo nzuri sana 2012-2023
Dada angu alienda kufanya kaz saudia alivyorud boyfriend wake ameoa... wakarudiana wakawa wanachepuka 🤣 hii ndo nymbo yao nlpokuwa naenda kwao likizo
relevant to life cases!!! Big up brother
Great music of all time!!! Belle Nine
Siri ninayo tulikua wapenzi wapi wale wa 2024 ❤❤
When bongo fleva is alive hakuna cha kiki ni mziki mzuri tu here we are 2024
Bdo tuko on 2024 belle bdo waskizwa
“Japo sikua really kwa penzi lako ila nilikuita my love “ WHEN MUSIC WAS REALLY ANYONE 2023??
Bado Nitaipenda 2023, in Maputo ciy. South of Mozambique
Simba day imetukumbusha mziki mzur❤❤
From City without ocean
2024 simba day baada ya kibu kurudi❤
Kama wamkubali belle9 kuwa msanii mwenyewe mashairi mazuri weka like.huyu ni legend #2022
Tar 10 Mwezi 11 Mwaka 2024. Salute. From Dar es salam Tanzania.
One of the best vocalists kuwahi kutokea huku Africa!
Belle 9.
Salute bro ktk Vipaji vya Muziki tulivojaaliwa Nchini mwetu Bac nawe umo.
But sijui nani kakuzimia Nyota yako.
Songs zako zitaishi milele.
ali mikabo mdogo wake yule ndio kazima nyota ya kaka yake
Ibaki kuwa siri mimi na wewe kama tulikuwa wapenzi..#2021 like you belle9 mkali wa mashairi tz
Wale ambao bado tuna taradad na nyimbo #2023 weka hizo like hapa wajuba..👉🇹🇷turkiye
Mziki mzuri
I still listen 2023 inanikumbusha mbali sana hii ngoma. CONGOLE Belle9
Tulikuja hapa baada ya ngoma kupiga Simba day ubaya ubwela 2024
😅😅😅😅 tupo
tupo 🎉🎉
😂😂😅😂😂nilipoltoka t
Uwanjani nikaanza kuisikiliza
🤚
Baada ya kibu kurudi imebidi nije kusikiliza vzr 2024 @simbaday 🎉
2024 naigia huku nalia najuta yote nime fanya kwako😢
Gonga like kama bado unasikiliza hii ngoma 2020
Together
Yar
Amediiiii
Hawa wasanii sikuizi hawapo,,,,,
niko Goma Drc congo bell 9 muimbaji bora umepotea kwenye muziki 2024 tuko tena 🎉🎉
who is here 2024
Tupo
Like me
Me
I really love this song....20/05/22 ....nimeskiliza mara6
Kila lenye mwanzo lina mwisho, belle umepotea😩😩
Bell 9 nakukubali sana tangu kitambo hicho
Bell9 yupo sasa yangu mwaka 2015 alikua akianjisha biyashara n'a mpaka sasa ni mfanya biyashara maarufu sana😂😂😂
I had my bet more on this guy breaking thru than Diamond..sumu ya mapenzi song and etc..big fan Kenya 🏁🇰🇪
Basi nataka muniambie kama bell9 yuko wapi kwa myaka hii maana hasikiki tena, niko drc butembo town❤❤❤
Mbona yupo TZ🇹🇿 apa
Inabaki kuwa ngoma nzuri na yenye mashairi bomba#2023
Some of us we are here becoz of our childhood memories ,,,good feelings ever hamwezi elewa😊
2020 I still watching AMERUDI by great BELLE 9
Ni nooma xana
2020 DEC 16th still watching amerudi by belle9 kubwa sana hii
Amerudi
Qar xn hii ngoma
What about 2022 bro
Nipo Burundi ndayumvilije mala 6 maana wimbo huu mzuri sana mwiza cane mu kirundi
Huu ndio mziki broo 🔥🔥🔥😍👌❤️💃
2020 amerudiii hiii ngoma inanikumbusha skuliii
When music was real. 2021 anybody?
Yeah we still watching
Here I am
True
I’m hereeee
We are here 🙌
Whoever did the acoustic strings at the end.BIG UP
2020 bado tuko fans wa B9 wa mziki mzuri
2021 still yo songs r uptodate!! Yo great Belle 🙌
Kama unangaria ngoma hii 2021 gonga apa
Hatariiiii
@@abuusamwel7286 😂 HIYO unangaria yake 🦝😂
Those days , take me back😍
2022 April still listening 🎧 to this sweetest song @ Bell 9~big up sana ...Who is here🙋 enjoying this song surely
Nice and unforgettable collabo ,Tunda man ft spark
Mapenzi yalintesa back enzi za hii ngoma dem anasema ana mtu wak wa mda ko me nimuache daaah maish kwl yanakwenda
Amerudi Until now 2022🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇹🇿
The best artist,only being underrated,I appreciate your work.
Dah ngoma Kali kuanzia beats mpaka lyrics
Kweli umempoteza jembe lako masigange mungu akupe nguvu dogo nakukubari Sana
Goma Kali kinyama nimeikubali inanikumbusha mbali
naipenda sana hi ngoma haiwezi kupita siku 3 bila kuisikiliza
Nimeitafuta baada ya kibu kuludi
This song will last forever like mothers love💯2022
Mungu azndi kukupa huwai Kaka yani na kuku Bali sana wewe na Kaka mkubwa Alikiba mimi ni mkongo Niko tanzania mkibizi
Jaman belle tisa tisa anajuaaaa
Daah nakumbuka hii nyimbo kipind hicho daaaaah jmn miaka unaenda jmn 2022 twende kaz
Belle upo wapi mbona hatusikii ngoma zako 🙄🙄🙄
Belle 9 nakutambua bro unaweza kwa bongo flavor
End of 2020 still watching... King of chorus on his time
🎉🎉 real bongo
Baada ya simba day nime rudi tena 😂😂 tulio rudi tujuane 2024
Heshima kwako baba, bado na leo inanijaa kichwani
Today he is performing live in TABORA ✅✅
Ndagukunda Belle 9 kutoka Rwanda
NEVER GET OLD THIS ONE
Mpaka leoo huu wimbo nakusikiliza respect sana belle 9🙏🙏🙏
Wimbo unaishi huu
Sijawahi kuichoka hii ngoma aiseee
This will never get old
Ndakumbuka zamani kidogo
Goma Kali kinoma hadi Leo big up bro
legendery bongo king of rnb
Who needs to go back to his old lover whom you did bad things to him plz you this master piece of love ❤ and I will be OK for you ❤
My uncle kusikiza hizo song sa bell9 alifanya nikawa fan mkubwa sana
l like this song. bell9 big up my broo..l do appreciates your work ov art dat yu do 👍👍
2022 Ngoma bado tamu👊 Belle 9 unajua mjomba
Bora ibaki kuwa siri nawee........🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
le premeré foi je vie le chantréur Bon kor quel peyi sa
Remembers my first true love when I listen to this song😃🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
2021 baada ya kusikiliza kazi ya super women wasafi ft diamond, madee, rayvanny, jux, mbosso, belle 9, Joel lwaga, baba levo, Dullah makabila, G nako, lava lava,
2024 still dope song.we miss this kind of songs belle 9
Atuta tshoka kusikia Ngoma zako kama unakubali asthiya like Yako from congo drc !!!
Ndiyo ndugu yangu hatutachoka, apa niko DRC butembo
Here we are like kitambo,when feelings were expressed by good music.......
2020 still kitu kikali 🔥🔥
Hakika ulikuwa unaachia ngoma kali
23/3/2023 here we go 🔥🔥 good work Belle 9 🇰🇪
Dahaaa belle 9 fundi wa wamziki
Da hii nyimbo inagusa maisha yangu kabisa mpenzi wangu ambae ndo mke wangu kwa Sasa baada ya kuludi nikakwambia nilie kua nae kwa mda uo kua ameludiii
Hua inauma sana. Shida wanaume huwa mnashindwa kuongea ukweli. Mkishapata mlichokuwa mnataka ndipo mnasema amerudi. So painful... Unajua mtu huna malengo nae unampotezea muda tu. Mbingu mtaisikia tu wazee
@@aidamwakalinga6182 acha tu Mambo Aya same time ayanaujanja inabidi tu iwe ivyo
Meaning of bongo fleva👏👏 weka like kama unakubali 2021
Wa 2022 tujuane
My favorite bongo song 2023
Nakukubali broo
Living music 2021 still dope
My favorite song ..my favorite artist
Watoto wadogooo watuache kidogo wakongwe tuburudike dah kama utani vile uzee huu hapa❤🔥🔥🔥🥹🥹
Jitahidi mbona unajuwa sana
Im caught into that situation..!😢 He's back.!
Sorry I understand how tricky it may be
usaliti
Timeless music🔥🔥🔥❤️
Belle 9 💥💯💥💯
Iko juu sana
May 2023 are you there ? This song will never get old
Zamani mlikuwa mnajuwa kuimba ila sahivi hakuna kitu #amerudi #belle9
Nyimbo nzuri sana 2012-2023
Dada angu alienda kufanya kaz saudia alivyorud boyfriend wake ameoa... wakarudiana wakawa wanachepuka 🤣 hii ndo nymbo yao nlpokuwa naenda kwao likizo
relevant to life cases!!! Big up brother
Great music of all time!!! Belle Nine