RAIS MWINYI AVUNJA UKIMYA "NIMESHTUKA KIDOGO" ATOA TAHADHARI NZITO KWA VIONGOZI WA UMMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2023
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Pia Tunaomba Ziara za kushtukiza ktk vituo vya police kuna watu wanawekwa pasina kesi kwa mda mref bila ya kufikishwa mahakamani
Maneno mazuri sana, sijui Zanzibar tuna shida gani? Mpaka Masheha wanatumia madaraka vibaya.
Dhulma hailet maendeleo😅
Sawa
Msitudanganye sisi sio watoto miaka miwili tu mmeingia madarakani kila mmoja wenu amenunua majumba na kujilimbikizia mipesa sasa maadili gani hasa mnaozungumzia
Unyanyasaji mkubwa upo kwa ao makamishna wasaidizi wao yaani manaibu wana wapuza malalamiko ya askari wadogo
Mh!! Usipochukua maamuzi ya haraka uajibikaji utausikia tu
Hhhhhhhhhhhh musiatafute kutiana aibu munajuwana
Pia ajira zinatoka kwa watoto wa viongozi tu
Iongozi wake alowateua sio waadilifu haki zetu wafanyakazi hatupewi mimi nimekuwa Mkuu wa Idara kwa miezi 7 sijawah kupewa haki yangu ya posho hata mwezi 1 mpaka nikaamua kuacha kazi kufanya biashara sitaki kupotezewa mida
Maadili hamna katka sirekali yako hio tume ya Maadili Bimani kairipua Tatizo unalo wewe ndio wa kwanza kuingia madarakani kwa dhulma kwa kuuua roho za watu
Tumia Hekma katika kufikisha ujumbe wako katika hili haihitajiki chuki ya siasa uliyoionesha
Maadili hamna kweli viongoz dhulumati hawajali ila RAIS anajitahid anaangushws na wanaomsaidia
@@Asilimedia Hekima gani unayotaka ya kusifia watu walodhulumu roho za watu bila ya hatia huo utakua ni unafiq
@@nassorseif7907 achana na izo fikra usiishe kwa kukaririshwa mambo,
Raisi anajitahid kusema. Ila hao wanaoambia yanaingia kulia na kutoka kushoto. . Viongozi jitahidini kuwa waadilifu. Na ALLAH atakusaidieni. Ila kumbukeni hizo ni kodi zetu.
Mheshimiwa huku mwanyanya walio fukia mabomba ya maji wameziba barabara za ndani kwa kuweka viungio na mashimo yasiyo fukiwa je tukiwa na mgonjwa au ajali ya moto gari hazifiki masheha tukiwambia hawachukuwi hatua tusaidie hili
Utawalabora si maneno Bali ni vitendo tumeyako ya uchaguzi na masheha wako umewaelekeza wawanyime wazanzibar Haki yao ya kuandikishwa kupiga Kura halafu utajigamba unataka Hali na utawala bora
Ni kweli kaka hakuna utawala bora RAIS hata ajitahid vipi ila anaowateua hawamsaidiii wanakandamiza watu
Ao makamishna na vibaraka vyao
Ajira yajuzi jumamosi Demba kuna majina yamekatwa nakutiawatoto wao