HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2019
- HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
Wahehe walimuita Mkwawa mtwa, waswahili wakamuita mfalme, Unyanyembe wakamuita mtemi, waha wakamuita Mwami na shuleni tukamuita Chifu Mkwawa, mwanaume pekee aliyewanyoa nywele wazungu bila maji.
Huyu mwanaume kiboko ya Wajerumani ni uzao wa yule jiniazi kutoka nchi ya Uhabeshi, Ethiopia ya leo, aliyefika katika ufalme wa Mwamududa miaka 1700 akiwa na teknolojia ya kuwinda kwa mbwa.
#CHIFUMKWAWA
th-cam.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Anastahili views milioni mm Mkwawa nmemuelewa leo tangu nimalize form 4 😂😂😂😂
Ven The Guy 😂😂😂😂😂me too
Wengne tunamuelewa Sana fatilia tena
Ven the guy pol
@Ven hiii
Ven The Guy duh
Wahehe naomba like zenu me mbena
Jamaa bora awe mwalimu wa history anae kubaliana na mm .gonga like hapa tujuane
Maamyuzi.unajizima.data.hata Mimi nimeipenda.hiyo
Napenda sana vile huyu jamaa husoma historia..... Nikiwa hapa Nairobi/Kenya
Mtafute mtiga abdalla utaewa kuliko huyu
Kama ww ni mhehe gongaa like
Wahehe hoyee!!!!!!! Fantastic
nyumbani nn!
Hoyeeeeeee!!!kamwene
Wahehe ni watani zangu Mimi ni Mndamba kutoka ifakara
Hoyeeeeeeeeeeeeeeee!
""Najivunia Kuwa MHEHE,""
2024 Niko hapa tena kurudia kuiskiliza hii historia adhimu ya CHIEF MKWAWA.🎖️👑
Global tv kuna historia kadhaa natamani mgeziweka tukazisikia, historia ya Mwalimu Nyerere, Kenyatta, Joseph Kony, mauji ya Kimbari Rwanda. Waiyaki wa Hinga kutoka Kenya na zingine ambazo nitazitaja tukisonga. itakuwa bora kama Ananias Edigar atakuwa msimulizi kama kawaida. long live global tv long live Ananias Edigar.
Sanaaa
Mauaji ya kimbari ipo mbona story ya nyerere nayo ipo na ya kenyatta ipo zitafute utaziona
anayemuelewa mkwawa agonge like hapa
Namuelew saan!2
Why??????????
upo vizur
Wahehe magaidi...
mohamedi Kibasa nc
kusoma kwangu koote adi form 4 leo ndio nimeelewa hii story, hongera bro 👏👏
Hhhh mwaija
daudi Juma 😂😂 beee!!
Polee
Shule akuna mwalimu anaweza kukufundisha hv zaidi ya kuambiwa tafuta kitabu utapata story yote ila hapa unaelewa zaidi ya shulen
Tunashukuru kwa taarifa zenu nzuli hakika tunaelimika na kufahamu histor mbali mbali
Resistance Against The Imposition Of Colonial Rule
Small Scale Resistance# Mtwa Mkwawa
Hongera sana mtoa historia, napenda sana vile unasoma historia. Unafundisha na kueleweka. Safi
Nimependa story yako iko poa sana inafundisha
Afrika mashariki muhehe ndio kabila lakwaza kuvaa nguo. 🤣😄😃😀😆👍👍👍👏👏👏 Asantee Sana kutujuza kaka pamoja sana🤝
Brilliant narrator, you are so eloquent that I love listening to your story.
im proud to be hehe na mama yangu ni semduda uzao uleeee
Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu
Gfffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffuuuuuuuuuu
Bbbbbbb
nyama ya mbwa dah ngoja nitafute hiyo nyama na dawa yake ninuse watu this is iringa brother waheh tupige like
Nakuelewa wa iringa unaishi wap
Mpagaze & edga mubarikiwe sana kwaku elemisha ulimwengu nawapenda sana,
Wazungu kazi walionyeshwa. Big up kwa wazawa wetu waliokuwa na msimamo.
we Jamaa Nakupenda Sana Wewe, hd sauti yako. tuletee watemi na machifu wa singida
Brother mi ni muhehe na ninaijua vizuri historia yetu ila nmeirudia kuiskiliza Kwa sababu ya usimuliaji wako mzuri, big up! MUNGU AKUINUE katika kazi zako
So nitakufata kamzizi
Hapo inaonyesha Uhehe ulitokana na mchanganyiko wa uzao wa Mswimi toka Uaveshi na wazawa waliowakuta, hivyo hizo koo zaidi 100 za mchanganyiko huo ndiyo Uhehe wenyewe, ni Genius, wahehe wote, na Mkwawa ni Mhehe, waache wivu,
ni wahaBeshi / wahaVeshi.?
@@mnzavachris5423 ndiyo koo zaidi ya 100 zimezaa na kupanuka, ndiyo kabila LA wahehe
@@mnzavachris5423 waabeshi
@@mnzavachris5423 waabeshi samahani nolikosea
Lilian Luhasi arlaah kuumbe!
Bro unaipenda kwel kaz yako.. Mungu akuongoze kwa kila jambo la hery. Unafanunua kwel na kama ungekuw mwalim wng bas ningekuw wa kufaulu maan nakuelewa vzr
Yani wew Acha tu
Hongela mkwawa my friend
Story nzuri nimependa.
Kama ungependa hii story waifanyie movie
Kama mimi ninavyotamani gonga like 💗
Una miaka 30 halafu unalala kwenu halafu unakoroma ukilala
Kaka hongera kwa simuliz maridhawa..
Naomba siku moja utupe simulizi ya mangi wa wachaga!!
Kabiisa
Hahahaha
Ameisha simuliaga ebu andika Denis mpanga simuliz ya wachaga
Big story 💯🏃💥
Asante kutupatia kitu kizuri kama hiki
Hawa ndio wangetakiwa kuongoza nchi kwa kuihangaikia sana nchi hii
Asante sana
Nzuri sanaa🙏🙏🙏🙏👏👏👏...#Elimu hii
Elimu ya wazungu kwa wa-Afrika is a system of misseducation us as Afrikan, wanajua historia yetu kuliko tunavoijua
good work
Shukrani sana Anania Ediga.
Asante san histolia nzuri san
Ananias unavyosimulia utadhani alikuwepo 😂😂😂hongera sana aisee. Apo kwa wapelelezi kula nyama ya mbwa.
Story zako zipo vizur sana kaka toka nianze kusikiaga story ya Gadafi mpaka sasa napenda sana voice ad simulz zako
BIG up
Usalliti. Tangu zamani upo Hivo tusishangae
Napenda saut yako mtangazaj yaan mtu unajikuta unataman uendelee kusikiliza💪👏👏👏👏
Da! Broo mgejaribu kuwa mnatoa CD tunazinunua mnauza hata Cd moja ina stori mbili mbili 2000 ingekuwa vizuri sana
Kweli kabisa dah sipati picha ukiwa geto kwako una sikiza saiti hii dah story mzuli sana
Help kwa historian nzuri
Nikiwa shuleni historia haikunishika, sasa hivi nashika historia na kuielewa vyema kwa lugha mufti ya kiswahili na Global TV
Nakushukuru Ananias Mpagaze
Somo zuri ubarikiwe
Siliviamyinga
Nashukuru sana kumbebabu mkwawa ametoka alichanganyika kabila mbili, nashukuru kujua historia
Kaka uko sawa tena makini sana , historia ya afrrika inaniingia zaidi ya kipindi kile nikiwa shule, nashukuru.
H
Yaan ww daa nakupendaga sana bs tuu
Sikuzi cjuui kwann hawazaliwi vijana jasir Kama wa zamani aise,
Mkwawa namuelewa saana. Huyu jama ni hatariii.
Sio kwamba hawazaliwi, wapo ila wanaogopa kufa
@@mohamedothman9769 ndo hawapo tena au wana mapungufu kama yote
Asante kaka nilikua sielewi chochote kuhusu mkwawa👏👏
Umeelewa kwa kweli shukrani zimefika
Napenda historia zenu
Mkwawa ni moto mkali jmn🔥🔥🤝🤝🤝
Naskia raha sana, historia kutolewa kwa kiswahili....hongera kutoka Kenya...
it hurts ukisikiliza baadhi ya vitu , ni kweli huyo mjusi (dinosaur) inasemekana walichukua skeleton yake wakapeleka kwenye museum huko German, nowadays they are making a lot of money kupitia hcho walichotuibia, bado utackia mtanzania anasema wazungu ni watu wazuri.
Wewe uki google utapata historia yote ya huyo mjusi. Dinosaur. Sio mpka usikilize ndio huujue ukweli. Muwe wepesi wa kusoma yote wameyandika kwenye vitabu. Na wamerahisisha kwenye Gooogle.kila kitu
@@monicahovda5890 hmmm
@@monicahovda5890 tena gugo huko ndo wamechuja mpaaka, vema maktaba zetu wenyewe ndo zipatikane na hizi hadithi/vitabu
Kamwene! Ndimno fuela. Kaka, nakushukuru sana---umenielimisha ziada ya niliyofundishwa shule ya msingi Forodhani. Naomba uendelee na utafiti wako na kuandika kitabu cha historia ya watemi wote. Itapendeza pia ukifanya video ya Mangi Meli, Isiki, Rumanyika wa Karagwe, Mirambo, nk. Na methali zako---eee---hizo zilinoga kweli
Yesu anaweza yote. Uko vizuri kaka, huu ndo muda wetu Tanzania
Kakaunawezasanakusimulia
Asante kwa history ya chief mkwawa
upo vizuri nipe story ya lucky dube kwa ndani zaidi
Tuanze tamadumi zetu tuwe na umoja wa afrika
Safi sana nakupata mkuu uko vizur
NAMKUBALI SANA MKWAWA NA UWA SICHOKI KUTEMBELEA FUVU NA MAKAZI YAKE KULE KARENGA
Chiffu wetu alitisha. Sana huyu. Alikuwa mwamba najivunia kuwa mhehe
Nisidangany mm now had simuamin mungu najali miungu yangu ya kikabila maana God kaletwa na mzungu yaaani mm sinahamu nao mm nawapenda miungu wangu wa kihehe na Leo nimeenda makumbusho kwao
Hahahaha
Kumbeeee brooh upo vizuriiiiiiiiii cana aseehhhh
I appreciate you✔✔✔
Hongera sana mjomba unatupa chakula cha ubongo cc tucyeyajua haya
Asanteee kaka...... 🙏
THANKS A MILLION TIMES.
Umeisimilia vizuri
Endelea na kazi
Nimeipenda sana
Mizimu yote ya africa ikagonga cheers
“Ukimpa mimba mtoto wa kihehe lazima akutaje”😂😂😂
Logater Charles nomaxana
Leo uzinifu umekuwa kama maji ya kunywa zamani ukizini na mtoto wa mtu unauwawa hii sheria bora irudishwe tena..!
Nikae kimya ili
Naachaje sasa kukutaja
Asanten sana
Historia nzur sana msoma historia upo vzr
Simulizi kali sana muhimu kusikiliza asante
Dah naomba mzee baba utoe cdii yaniitakua poasana
Mtangazaji unatangaza vizuri saana
Ananias Edgar ni best historical ever🙌
Naikubali sana sauti yako ndugu msimuliaji Edga, so you make me concentrate to your stories.
Ananias edgas umetishaaaa cnaaaaaa
Daaa leo nimeelewa asili ya waburishi wa rujewa asante mkuu
Na hata asili hasa ya Uhehe ni nini? Ni mchanganyiko wa uzao wa Mhaveshi na wazawa waliowakuta hapo, uzao wa koo hizo ndiyo Uhehe wenyewe, hapo mwanzo ilikuwa wabena tu, ambao nao inasemekana walitokea Ghana
@@lilianluhasi311 dooh, wabena nao kumbe iletwe ya kwao hapa
@@mnzavachris5423 wabena walitokea Ghana mababu wanasema
Lilian Luhasi asee!
Lilian Luhasi asee.,yaonesha iringa ni nyumbani
Iko vizuri kaka.....ni Mwambambe...
Thenks!
Nimefurahi kwa hili
nakubaliiii kakaa
Mkuu sijui tukushukuruje. Wewe ni chuma katika historia. Tunaomba mtuandikie historia yetu itakayofundishwa kwenye shule zetu na vyuo vyetu tuachane na hizi historia za kusifia wazungu akina Livingstone na Karl Peters na kujiona wanyonge. Serikali inabidi iwatumie vizuri ili mtusaidie tufahamu historia yetu.
wakala visivyoliwa kabla ya Ndoa binti akapata ujauzito kijana akala kona kuogopa Mikono ya cheaf
akakutana na mbogo msituni akalestiishwa in peace Aaaaamin 😂😂😂😂😂
huyu bro anajua mpaka homa aisee Duh!!!
Christopher Soty saf
😂😂😂😂😂😂😂😂 kile kipande katishaaaa😂😂😂😂😂
Uku vzr edger
Napenda sana kazi yako
safi sana mkuu hao panya road ote wanaokuiga tupa kule
Dah! Hatari fire !!!
Noma sanaaa big up kwako kaka
Wawooooooooo i like it
najivunia kupata historia kwa simulizi baada ya ile ya shule ya kusoma.najivunia glabal tv
Bigup saana kwa history
Great kaka kazi mzuri
Napenda sana unavyosimulia
Itabid tuandike historia yetu, sio tunasoma historia iliyoandikwa na watu sio sisi
vipi
Ningependa kuona library yako ya vitabu.kwa akili hii nahisi husomi pumba
Shukran denisi mpagaze
Nzur sana
simulizi nzuri sana inazidikuwa tamu kwa ajili ya sauti ya Edgar mpangaze kazi safi
From usa love global online tv keep on