MANARA - "MIMI BADO NI MSEMAJI WA YANGA, BADO NALIPWA, ILA NINAYOFANYIWA..."
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2022
- MANARA - "MIMI BADO NI MSEMAJI WA YANGA, BADO NALIPWA, ILA NINAYOFANYIWA..."
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - กีฬา
Mwenyezi Mungu atende kazi yake njema kulingana na mapenzi yake mema yatimize hapa duniani na kama huko mbinguni ameeeen Hallelujah ameeeen
Wana roho mbayaaaa Sana ucjali manara karbu wasafi
Manara ni wapekeee sana ..
Haji Allah atakushimamia litapit naili
Mungu atakusaidia tuu karia muache tuu akunyanyase tu
Kwelii wee noma
Tunakuamini msemaj wetu usjal pamoja sana walijuwa tutakwama wamechemka hawakujua kuwa yanga tupo ful Aly
kamwe anawakilisha
Msijali very soon haki inaenda tendeka, kuna watu wanaenda kulia na kijutia kwa mabaya yao
Na bila manara uwanja haujai so hiyo ni hasala kwa Tff na club kwa ujumla manara ana ushawishi mkubwa sana kwenye soka la bongo nakumbuka hata boss wa wasafi aliwahi kusema manara na ndo aliyemfanya afatilie mpira ila saiv naona yuko busy na zuchu
Nyie kama utopolo akilizenu ndo zimeishia hapo
@@yasinrashid985 afu huwezi amini mi sio Simba wala yanga ila napambana niwe kama manala ili nipige ela za maboya kama wewe
Manara upo pekeyako
aliekuwa msemaji wa yanga ndg haji manara aongea kwa unyenyekevu usingegombana na rasi wako usingesimamishwa we nando chazo Cha ugomvi
Wewe ulikua afisa wa Yanga acha kubadilisha maneno.
Unayowafanyia wengine unayajua au mkuki kwa nguruwe
Hujawahi kuwa Msemaji wa Utopolo, Wewe ulikuwa mhamasishaji tu,
Km wanakulipa utakuwa umewaibia.
Wakishutuka watakudai.
Nikiwa mkubwa nataka niwe Kama Manara
Wewe unafaa ukagombee umiss hilo jina linakufaa
Nikweli utakuwa, mwenzako ujue Mwisho wao huwa wanatoweka hawa masope.
HAWAKUTAKI YANGA WAMESHAPATA MSEMAJI NA AFISA HABARI WATOTO WADOGO WAMEFIT 100 NA WANATUMIE WELEDI WEWE HUNA WELEDI.......
HAUTAKIWI BANHAAAAAA
Mm yanga jamaa awezi kueka akiba yamaneno ana tukana paka watu wadini
Simba haikuhusu umegombana na dewji unaichukia Simba akiondoka dewji ndo utaipenda Simba we mnafiki
HIVI HAWA MBOGO MAJI NDIYO WALIOWAFUNGA MAMA ZAO NA MANYWELI AKIWEPO... AU NI WENGINE?
ManaraUnaropoka
tunakukubari manara mugu yuko pamoja nawewe tunakupenda
Hao ndio Walimwengu kaka, hakuna kurudi nyuma
Anafanyiwa nn au wameanza kumpeleka buza kwa nani yule sijui mpange nahisi hivyo
Sasa hayo ndio yanayowauma ... Google hahhaaaaaa haaaaa unatisha
Hujui ulicho kosa
Manara acha ujinga sasa unasema sheikh kwahio diva no sheikh au?
Hasa Jemedari anatamani ufe kabisA ili afurai
Haji usiache kabisa kujiusisha nasoka kwani wao nikinann wataondoka tu usiwaze kupakichwa kwani wao ndio mungu muachie mungu atakulipia
Hilo ndo lengo lao kukupoteza usisikike kbs majahili wakubwa kbs
Nimefatilia clip zote 96% ya mazungumzo yake kazitumia kulalamika anaonewa.......
Anaonewa kwwli kwani uongo
Hata macho yako huoni
Uchoko tuu
@@saidjumasaid3924 maisha hayo aliyatengeneza mwenyewe kwa kuhisi yeye ni mkubwa kuliko mtu yeyote .......Na si kwamba anaonewa ni vile tu anauwezo wakujitilisha huluma kwa midia ........toka akiwa simba hadi leo ni kulalama tu
sss mtu umesimamishwa kazi hiyo nafasi yako ya utendaji iko wapi hapo
Bugati hajimanara ape ulinzi
Tatizo unafiki unakuponza sana aise
Dah maneno mengi
Umeshaanza kujijuwa kuwa umeshapotea sasa hayo maneno yamkosaji kwani ndio leo unajuwa mama yako mgonjwa baada kujuwa Babra kawa kiongozi wa mpira Africa ndio umeona kumbe nayoyafanya na kiongozi wa mpira Africa atayaona sasa bora ukimbie, na shizo sms unazosema umetumiwa ni baada ya kusikia Babra ni Caf na yupo hapahapa Tz. Bye bye manara Tz unapotea.
Mkolo hawezi kunielewa manara hata sku moj
Amepotea wapi tena?
Manara unamatatizo cyo siri duuuh
maisha ni kuchagua wewe umechagua maisha ya kulalamika,,endelea na mfumo huo 🤣🤣🤣🤣
Mwongo huyo albino mbwa koko!
Mizengwe ya wachambuzi wamichongo wanaotumiwa na maklofc🐱🐱🐱
Bugati kama bugati wewe ni kichwa acha roho ziwaume aliyepewa kapewa watapata tabuuu sana hawakupati sisi tuko nyuma yako tunakuombea
Buggat watu wanamuogopa mno aiseee
Elbugat
Hhh
Upo pekeako
Kwanini kipindi cha mama samia vitu vengine vinakuwa ovyo? Diamond afungiwa mtasubiri sana manara apigwa ban dahh mtathminini huyo mama ni undercover hater wa maendeleo ya kisasa
Umeisha mzungu pori kibali yaishe
Bugat
Fitna fitna Tanzania imeota mizizi
Badaee utakuja kulia apa Mara nilikua nalipwa laki mbilii uanze kutia huruma
Pisha njia sasaivi tunahitaji wasomi babra wa Simba kakuumiza xn kisa kapata kapata nafasi huko shirikisho
Unajua lkn maana ya Officer ...? Au ukiwa unalipwa tu mshahara basi ww ni afisa ? Na habar za mama yko zinakujaje hapa au nayeye analipwa na Young africans ....? Fuck off ......
Wewe ni Zero content, ongelea vitu vikubwa vyenye maono, sio kujifananisha na GOOGLE, wewe ni (cheap propagandist)
Ukiviongelea ww inatosha
Wapenzi wa Mazoezi pita hapa subscribe channel yetu Kwa video za Mazoezi