Babuu Wakitaa Afunguka Alivyonusurika na Kansa | Mikiki Aliyopitia Tangu Yupo Hoi Mpaka Sasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2023
  • Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 106

  • @Auntieminah
    @Auntieminah 9 หลายเดือนก่อน +9

    This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!

  • @kelvinsichone2359
    @kelvinsichone2359 9 หลายเดือนก่อน +10

    Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.

  • @digitalworld5577
    @digitalworld5577 9 หลายเดือนก่อน +14

    Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….

  • @MargrethNdone
    @MargrethNdone 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu

  • @RahmaAwadh-ul9yu
    @RahmaAwadh-ul9yu 9 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa

  • @vincej9275
    @vincej9275 9 หลายเดือนก่อน +4

    Thanks to God for your healing. You are very positive.

  • @abeldavid845
    @abeldavid845 9 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu...
    Glory to God

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 9 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine

  • @adeboTNM
    @adeboTNM 6 หลายเดือนก่อน

    Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 9 หลายเดือนก่อน +2

    Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 9 หลายเดือนก่อน

    God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 8 หลายเดือนก่อน

    kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 8 หลายเดือนก่อน

    Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement

  • @bobcheni
    @bobcheni 9 หลายเดือนก่อน +2

    Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 9 หลายเดือนก่อน +4

    Bi zena hongera sana

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 9 หลายเดือนก่อน

    Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer

  • @ancolartherapper1899
    @ancolartherapper1899 9 หลายเดือนก่อน

    Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote

  • @BakariMtomae
    @BakariMtomae 9 หลายเดือนก่อน +1

    Aiseeeh pole sana kak

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 9 หลายเดือนก่อน

    Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani

  • @georgecredo9100
    @georgecredo9100 9 หลายเดือนก่อน +1

    My brother pole sana

  • @Snuky54
    @Snuky54 9 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote

    • @yusrasalum
      @yusrasalum 9 หลายเดือนก่อน

      Amin

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 9 หลายเดือนก่อน +2

    Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️

    • @aisharamadhan5257
      @aisharamadhan5257 9 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 9 หลายเดือนก่อน

      @@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 9 หลายเดือนก่อน

      @@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno

    • @minaelnathanael1846
      @minaelnathanael1846 9 หลายเดือนก่อน

      Acha kulaumu wauguzi

  • @AminaMwingira-jh7ze
    @AminaMwingira-jh7ze 9 หลายเดือนก่อน +3

    Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah

  • @lilianilimbe4508
    @lilianilimbe4508 9 หลายเดือนก่อน +1

    Polee sanaaa

  • @mitaahisia8452
    @mitaahisia8452 8 หลายเดือนก่อน

    kaizer sosar.....nakubal sana bro

  • @omaryrashidiboga4651
    @omaryrashidiboga4651 9 หลายเดือนก่อน +2

    Duh pole sn Mwana wa hip hop

  • @JuliusMchopa-pr5pt
    @JuliusMchopa-pr5pt 9 หลายเดือนก่อน +3

    Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲

  • @chiwagaempire1211
    @chiwagaempire1211 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze

  • @AshuraNgoto
    @AshuraNgoto 9 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @asyajey3479
    @asyajey3479 9 หลายเดือนก่อน

    Pole sana babu

  • @brightonmasaki1183
    @brightonmasaki1183 9 หลายเดือนก่อน +1

    Pole brother

  • @veronicapaul4821
    @veronicapaul4821 9 หลายเดือนก่อน

    God is good

  • @GladnessJames-mk9yh
    @GladnessJames-mk9yh 8 หลายเดือนก่อน

    Daah ushuhuda mzuri sana

  • @mbeyusaid4688
    @mbeyusaid4688 9 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Allah ndo mweza wa yote

  • @lulumbwaga9822
    @lulumbwaga9822 9 หลายเดือนก่อน +1

    Champion

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 9 หลายเดือนก่อน

    Kumbe country boy na Babu ni nduguuu

  • @Noahkilima24sep
    @Noahkilima24sep 9 หลายเดือนก่อน +1

    Doctor ruta

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d 9 หลายเดือนก่อน

    Babuu wa Kitaa 🫶

  • @hariethmatungwa9293
    @hariethmatungwa9293 9 หลายเดือนก่อน

    Duu bigup

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil6121 9 หลายเดือนก่อน +3

    Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro

  • @giztony2009
    @giztony2009 9 หลายเดือนก่อน

    Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa

  • @dannylema3125
    @dannylema3125 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?

  • @malengaWetuTv2699
    @malengaWetuTv2699 9 หลายเดือนก่อน +6

    Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dak ya 17-18.....mwijaku hapo

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 9 หลายเดือนก่อน

    Naogopa mimi😢

  • @eliasurious7419
    @eliasurious7419 9 หลายเดือนก่อน

    Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 9 หลายเดือนก่อน +1

    Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo

  • @bobcheni
    @bobcheni 9 หลายเดือนก่อน +1

    Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 9 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.

    • @mtaostephen3660
      @mtaostephen3660 9 หลายเดือนก่อน +2

      Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena

  • @Ramboyclassic69
    @Ramboyclassic69 9 หลายเดือนก่อน +21

    Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔

    • @KalenjeMasoud-vg3om
      @KalenjeMasoud-vg3om 9 หลายเดือนก่อน

      Pole sana

    • @ayubukedimundi3221
      @ayubukedimundi3221 9 หลายเดือนก่อน +1

      Pole Sana ndugu

    • @user-nq4md3sj6d
      @user-nq4md3sj6d 9 หลายเดือนก่อน

      pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah

    • @Darian2550
      @Darian2550 9 หลายเดือนก่อน

      Pole sana!

    • @saeedmassoud256
      @saeedmassoud256 9 หลายเดือนก่อน

      Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏

  • @sarahmurano2829
    @sarahmurano2829 9 หลายเดือนก่อน

    Pole san

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 9 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti

  • @tanzaniaprogress
    @tanzaniaprogress 8 หลายเดือนก่อน

    Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah

    • @eveliynejoseph7944
      @eveliynejoseph7944 9 หลายเดือนก่อน +1

      Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 9 หลายเดือนก่อน

      @@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili

  • @ibrahimbaila7764
    @ibrahimbaila7764 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road

    • @Trappqueen970
      @Trappqueen970 9 หลายเดือนก่อน

      anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa

    • @luizabahati5198
      @luizabahati5198 8 หลายเดือนก่อน

      Inshallah

  • @jamesmwangonda7080
    @jamesmwangonda7080 9 หลายเดือนก่อน +7

    mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.

    • @jrm9448
      @jrm9448 9 หลายเดือนก่อน

      Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i 9 หลายเดือนก่อน +3

      Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu

    • @robertadrian2559
      @robertadrian2559 9 หลายเดือนก่อน +1

      Acha ujuaji

    • @justyoscar2987
      @justyoscar2987 9 หลายเดือนก่อน

      @@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!

    • @amandomwamanda9000
      @amandomwamanda9000 9 หลายเดือนก่อน

      Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 9 หลายเดือนก่อน

    Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢

  • @abdallahahmed2776
    @abdallahahmed2776 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona mwijaku hana raha😂😂😂

  • @internationaltiktok4477
    @internationaltiktok4477 9 หลายเดือนก่อน

    Naitaji namba za huyo doctor

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 8 หลายเดือนก่อน

    Mjanja huyuu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 9 หลายเดือนก่อน +2

    Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo

    • @ireneinnocent4128
      @ireneinnocent4128 9 หลายเดือนก่อน

      Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 9 หลายเดือนก่อน +1

      Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.

    • @mwajabuyusuph3945
      @mwajabuyusuph3945 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@rogath_silayo habari

    • @mwajabuyusuph3945
      @mwajabuyusuph3945 8 หลายเดือนก่อน

      Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 8 หลายเดือนก่อน

      @@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri

  • @nelsonmasolwa8343
    @nelsonmasolwa8343 9 หลายเดือนก่อน

    mwamba anaongea san asee

  • @FarajiAbdallah-pq1dc
    @FarajiAbdallah-pq1dc 8 หลายเดือนก่อน

    Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa

  • @jrm9448
    @jrm9448 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima.
    Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.

  • @franciskyombo9394
    @franciskyombo9394 9 หลายเดือนก่อน

    Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.

  • @AshuraNgoto
    @AshuraNgoto 9 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

    • @user-jv1tk2vz8m
      @user-jv1tk2vz8m 8 หลายเดือนก่อน

      Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia