BI HARUSI AMWAGA MACHOZI NA KUWALIZA WENGI UKUMBINI USIKU WAKE TAZAMA KILICHOTOKEA |AQUILINE NIGHT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 72

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 10 หลายเดือนก่อน +3

    Analia Kwa mengi zaidi ni kitendo Cha kumkosa mama yake mzazi Ktk maisha yake na hasa Kwa siku ya harusi ambayo kimsingi ni siku MUHIMU kupita kiasi ,Hongera sana Mtoto mzuri mungu akuongoze katk mambo ya kheri na baraka 🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @fatumamahoiga3978
    @fatumamahoiga3978 หลายเดือนก่อน

    Pole saana inauma

  • @user-di3pd9lw3k
    @user-di3pd9lw3k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante dada Asante walezi nimejikuta Malia mpaka basi

  • @ElizabethNelson-bh2ij
    @ElizabethNelson-bh2ij 11 หลายเดือนก่อน +3

    Yaaan atakumkumoatia hanma. Yesu okoa wanaopenda kupokea2

  • @user-up9ys9wb9n
    @user-up9ys9wb9n 8 หลายเดือนก่อน +1

    Usijali mungu atakubarik achana na wanadam

  • @CleverMalekela-cf1be
    @CleverMalekela-cf1be 9 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉najivunia kuwa na mama mungu akutie nguvu huishi miaka mingi dunian akika Binti amenifany nimelia sana mungu amtie nguvu

  • @sophianuru9360
    @sophianuru9360 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ambao mama Zetu wametuacha wadogo😭😭😭😭😭😭 nimejikuta nalia

  • @user-bo8py2lu8f
    @user-bo8py2lu8f 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mama mdogo kamkumbatia binti mtoto wa dadake ndiyo maana kasema kajifunza mengi kutoka kwako hakika barikiwa ma mdogo

  • @sagboison6297
    @sagboison6297 ปีที่แล้ว +7

    Nyie wamama mliopewa zawadi Mimi naona nashindwa kuzuia machozi kweli Binti Analia nyie mmekaa kama majiti

  • @MarceryErnest
    @MarceryErnest 2 หลายเดือนก่อน

    Mngu akujalie Sana mama mdogo iyo nibaraka

  • @Rahmajohn-ix3lh
    @Rahmajohn-ix3lh 7 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana mpendwa mungu akutienguvu

  • @user-yq2lf9qf5s
    @user-yq2lf9qf5s 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mamdogo yupo vizur

  • @user-pu8xp8vt2y
    @user-pu8xp8vt2y 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kukosa mama hapaduniani jamani nishida kubwa sana yaani hawaguswi kabisa na kilio chahuyu binti

  • @MonicaKaskazi-ju2is
    @MonicaKaskazi-ju2is 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hao wengine wanaona zawadi ndogo mmm Ila kukosa mama nimetoka machozi

  • @YouAndme-pj2ch
    @YouAndme-pj2ch 10 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu awajalie

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 7 หลายเดือนก่อน

    Jaman Mungu ametuumba tuishi na tupite duniani....kuzaliwa kupo kufa pia kupo....naona watu mmetingwa na kufiwa Kwa mama......Sasa tukiwa hivi inamaanisha tunapinga uumbaji wa Mungu, hatuwezi ishi milele....kwaiyo at some point we need to take issue not as the way ua thinking! Kuondoa matabaka ni hivi endapo utakuta huna wazazi wako halisi, piga moyo konde ishi na utakao wakuta maisha yaende...utalia mpaka lini????? Though inaumiza lkn maisha lzm yaendeleee! Kufa lazima! SEMA Kila mtu anawakati wake! Hivyo hisia za bb harusi ni kubwa ndio lkn hatupaswi kuwakosoa ndugu zake Kwa mapokeo yao....hatuwezi jua!!!!! Some issues tuziache tu utalia mpaka lini....eti kukosa mama....Kuna wengine Wana mama zao lkn ni virambasiii wakubwa unaona mpaka Bora huyo bb harusi alipata walezi wazuri😂😢😢😢

  • @lydiamwaipungu
    @lydiamwaipungu ปีที่แล้ว +15

    Ametoa Zawadi kwa hisia sana lakini wapokeakeaji sijaelewa hajaonesha kujali hisia zake kabisaa sijui 😭nimejikuta nimelia hajabahatika kumuona mama nyiee mama mtamu rip mama yangu😭

    • @dainessmyovela2115
      @dainessmyovela2115 ปีที่แล้ว +3

      Real kbs jinsi wanavyopokea zawadi hz kujali kwao ni 0,watakuwa walimtesa sn mrembo ila muagwa kaona awaoshe2 ndio maana analia😀😀😀

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂itakua

    • @ngwacahnyagwaswa9979
      @ngwacahnyagwaswa9979 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kwel yaan binti ana hisia analia lakn wapokeaji zero 😢

    • @pkentertainment6232
      @pkentertainment6232 10 หลายเดือนก่อน

      Roho mbaya hawakumulea vizuri mungu kawaumbua.

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 10 หลายเดือนก่อน

      Wameshindwa ata kumkumbatia

  • @JusterNdemela
    @JusterNdemela 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @MarceryErnest
    @MarceryErnest 2 หลายเดือนก่อน

    Ongera Sana dada yangu mngu atakujalia tu

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hii familia sijui wametokea bk sehemu Gani? Awajaonyesha upendo ata kidogo mtu anapokwa zawadi utafikiri ni deni la muda mrefu alikuwa anamdai Leo kalipwa. Mwagoka

    • @fatmahnuru7553
      @fatmahnuru7553 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 yaani nimecheka sana hii coment yako japo yanayoendelea hapo yanasikitisha

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@fatmahnuru7553😂😂😂😂😂 kwamba deni la muda mrefuu,uwiiiii

    • @banguha
      @banguha 4 หลายเดือนก่อน

      Bakagoka kwa kweli hapa ndiyo tunaona hawajawai kuwa na upendo na uyu bint wana roho ngumu Yan ingekuwa familia nyingine wote wangetoka kumkumbatia kyonka bojoo

  • @user-yn7nv4zu8w
    @user-yn7nv4zu8w 7 หลายเดือนก่อน

    Yaan nimelia sana

  • @user-yn7nv4zu8w
    @user-yn7nv4zu8w 7 หลายเดือนก่อน

    Nimelia sana

  • @piusgolodian-nt5ih
    @piusgolodian-nt5ih 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu wabariki mama walezi bora

  • @esterkihwelo2228
    @esterkihwelo2228 ปีที่แล้ว +1

    Mama ni mama aise

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 ปีที่แล้ว +3

    Bibi harus alihitaji upendo wahali ya juu mnooo,ndugu mngemkumbatia inapunguza machungu tusio na mama tunaelewa hii pindi unapomkumbuka mama ukilia Alafu ukakumbatiwa unapata releaf kubwa mnooo

  • @frolanzoje-yq7ez
    @frolanzoje-yq7ez 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mwanangu

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 10 หลายเดือนก่อน

    Wapokea zawad mungunanawaona

  • @AnethEdward-nf6sc
    @AnethEdward-nf6sc 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hii inaniimarisha kwamba hakuna anaejali mtoto wa mwenzie ila mtoto wake .tunawashukuru wote msiojali watoto wa wenzenu.

  • @JenniferJofrey-yw9pz
    @JenniferJofrey-yw9pz 11 หลายเดือนก่อน

    Ata mkon Amna jomon bi harus Mungu akutie nguvu

  • @antonelatweve478
    @antonelatweve478 หลายเดือนก่อน

    Hamnaaa kituu hapoo

  • @itikamlagalila1911
    @itikamlagalila1911 ปีที่แล้ว +5

    Wapokea zawadi hamna utu,mwanenu analia hata kumkumbatia mtoto looh😢

    • @user-vb4fe2ei2i
      @user-vb4fe2ei2i 10 หลายเดือนก่อน

      Yan wapokeaji ivyo kbc km wamelazimishwa jmn

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 10 หลายเดือนก่อน

      Ningekuwepo hapo,ningepiga makelele mkumbatieniiiiii😂😂

  • @user-zj9uz6vz3g
    @user-zj9uz6vz3g 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani usikie tu kukosa mama,nimelia sana

  • @dynesskinyaha1766
    @dynesskinyaha1766 4 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli anae angalia tu anapata hisia lkn wapokea zawadi naweza sema ni wakatili kama sio washamba hata hug!!!

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 6 หลายเดือนก่อน

    Wapokeaji zawadi jmn jmn ,hawana upendo kabisaa ht kukumbatiaa jmn jmn

  • @user-pu1gp9bq8g
    @user-pu1gp9bq8g 8 หลายเดือนก่อน

    Nimelia jmn😢😢

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wamama wa ki Africa 😅😅😅 Hapo wanasema "Sasa analia Nini Naye huyu"😅😅😅

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 10 หลายเดือนก่อน

      Afrika MUNGU atusaidie,upendo ni adimu .

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 8 หลายเดือนก่อน

    Nalia mimi

  • @user-zj9uz6vz3g
    @user-zj9uz6vz3g 7 หลายเดือนก่อน

    Me harus ya kakaangu kumkosa mama nililia sana wakati napewa zawadi,

  • @user-yq2lf9qf5s
    @user-yq2lf9qf5s 10 หลายเดือนก่อน

    Wapuzi kweli

  • @merryaugustin8814
    @merryaugustin8814 ปีที่แล้ว

    Angalau ma mdg kamkumbatia baada ya zawadi,Hao wengine loooh 😢

  • @GlorySelemani-hq4bo
    @GlorySelemani-hq4bo ปีที่แล้ว +3

    Watu wa ajabu awa sjapenda 🙄🙄

  • @catylema8929
    @catylema8929 ปีที่แล้ว +1

    mama mama kitu kingine jmn

  • @neemasemkiwa8764
    @neemasemkiwa8764 ปีที่แล้ว

    wapokeaji ovyoo hta kumhagi kumtia moyo jamnii sijapenda

  • @FAYH-mt1nm
    @FAYH-mt1nm ปีที่แล้ว

    Wapokeaji xaxa hata kumkumbatia tuh

  • @respikiarwiza4216
    @respikiarwiza4216 ปีที่แล้ว

    Inatia huruma nyie mamaaa uwii

  • @KailimaMihiko-fn8mn
    @KailimaMihiko-fn8mn 9 หลายเดือนก่อน

    😋🧑‍🏭

  • @obedimaliaki5714
    @obedimaliaki5714 9 หลายเดือนก่อน

    Inaafaa hiyi

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 10 หลายเดือนก่อน

    Yani hata kwenda kumkumbatia hakuna aise😢

  • @upendopallangyo5621
    @upendopallangyo5621 ปีที่แล้ว +1

    Wanaopokea zawadi ni kama hawajaridhika.

  • @thebestway5128
    @thebestway5128 ปีที่แล้ว +1

    Na wapokeaji walilia sana .ila meza imewazuia kunyanyuka..
    Camera aikuwapata kwa mbele wote wanalia.

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 10 หลายเดือนก่อน

    Du hata kumkumbatia kwa uongo tu jmn

  • @gracemwakihaba9353
    @gracemwakihaba9353 ปีที่แล้ว

    ❤😂

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 ปีที่แล้ว +1

    Iyo mipokeaji ya Zawadi sasa 😢 Hovyo kabisa

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂eti mipokeaji

  • @glorymasimango4255
    @glorymasimango4255 10 หลายเดือนก่อน

    Labda wameogooa kuazisha kilio hapo ukumbini ndio maana wameamua wajikaushe.