Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc 1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje) 2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti. Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline... NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu
Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.
Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bora atoke yy
Wanajuana hao we nyamaza
Ww unamuona t ila humjui
Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma
Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke
Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi
Huwezi jua pengine kavunja sheria
Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..
Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)
@@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.
Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza
I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea
Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi
Anakosea sana hili jeshi sio vema kudhalilishana
Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!
Mengi yapo ndani yamtungi
Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo
Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha
Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde
muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working
Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼♂️🤔
Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi
Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!
Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?
alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓
Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi
Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu
Hapa kazi tu!
😁😁😁🏃🏃🏃🏃
Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.
Kwani wao waharifu?
Asante IGP siro... hapa mkwaju popote hakuna kuhofia
Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa
mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi
Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu
Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu
"Uhalifu"
I like it
Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya
Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn
Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video
Hafai kwanza aliwatukana mama zetu
Aisee
Good job afande siro
Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda
Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾
Safi siro
Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana
.
Lo
.
Lo
Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa
Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong
Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣
Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya
Hahahaaaaa yamemkuta leo
@@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake
Hiki kikao ingefaa tusikione.
Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa
❤
Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.
Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ
😢😢afande muroto..poleee
Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu
Kabisa Amini da!! Hi siyo ya kuleta huku
Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana
Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
Afande siro mpiga kazi sanaaaa
Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.
Hee nanyie kumbe
Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh
Malipo hapa hapa dunian😁😁
Mroto kawa mpole kama sio yeye
Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda
Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe
Kusahau tumeumbiwa na mungu
Sasa hapo magufuli anahusika na nn tena?
Hahaaa atapata taabu sanaa😀😁😀😁
Sro turikua tunakupenda
Bring back our Muroto
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke
Ahahaha mi sina neno
Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo
Siro waharifu waonyeshwe tuwajue
They are guility until the coart
Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri
Namkubali Sana kamanda muroto
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc
1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje)
2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti.
Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline...
NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
Carlos Ndyetabula 👍
Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.
Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi
Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂
Kila mtu ana boss wake
Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia
IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye
😀😀😀😀
Wanaomtetea mruto ni wale wanaomuona akijionyesha kwenye video kila akikamata mwiz hata kama kaiba baiskel. ndio wanaona anapiga kaaaaaazi
Iyo azabu haitosh ungelifukuza kabisa
noma xana
Hapo haja inagonga mlango
Good
Namkubali kamanda dodomaaa
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?
Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟
We mwandishi unagongwa
Huyu muroto anataka sifa Sana mbwa huyu
Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi
Hio haiendi mahali. Kesho utasikia wamerudishwa
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja?
Waandishi mnatuchanganya.
Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
Haua mambo yenu sisi wananchi mnatuonyesha ya nini..kiki za kijinga tu. Malizeni nyuma ya panzia
Huyu kamanda Wa Mwanza mjinga sana fukuza kazi
Muruto mnamtetea nyie mnamjua hapo wanajuana wenyewe kwa wenyewe
Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu
Hamjaona anavyotuonea watu wamaror taazamagar zaubavuni zatusaidia usiku yeye hazitaki
Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.
Safi sana mh:siro .
UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH
Mbona kamanda mroto namuamini sana ,tatizo lake ni nini ?
Anapenda Sana kujiona Sana fala huyu
Unamtukana nan ww nyang'au
Hapa kazi tuuu😅😅😅😅😅😅😡😬😠😴