Hata ww umewatukana wale wazee bdo hujakomaa kisias hlf kumbuka Kuna maisha baad ya hiyo siasa mauti huja ghafla San akhera ni Bora kulko Dunia yko tafakari walipita weng kwny siasa na Dunia wakaiacha
Utamaduni wakutoheshimiana CCM siutamaduniwake hayo ni yakwako tu kilamtu leo nimusemaji wachama .hilo nitatizo. leo wenyemizigo yauharibifu ndio lulu yachama nauongozi bora hapo lazima tuwemiguusawa halafu tukimbie badala yakutembea kama mifugo yenye sodoka.
Kwa akili ya haraka, tukiunganisha dots, Bashiru ilibidi awekwe kando baada ya mwendazake kufariki ili watu waendelee kula kama walivyokuwa wamezoea? Inatisha sana!
WE ACHA KIBAMIA ACHEN CHUKI Z SIZO NA MASHIKO KWAN UKINYAMAZ KIMYA ITAKUWA NINI AKUNA MKAMILFU . ATA WEWE UKIFUKUZWA CHAMA WAKO WATAKAO KUSEMA VIBAYA TU .
Kibajaji kazoea kuwachana na kuwatukana chawa wenzake wanaoondolewa kwenye nafasi kwa kuteleza ndimi zao tu lakini lao moja kwa maana kuwa ni mbunge yupi wa ccm wa awamu ya 5 atakayetamba kwamba amepita kwa kuchaguliwa?! Lakini Lusinde na wewe ujipange,kwa vyovyote mdomo huo huo ndio utakaokuponza kama baba yako Ndugai na matambo yoote yale!
SIKIPENDI HIKI CHAMA. KILISHAISHIKILIA HII NCHI KAMA MUNGU ALIPOUMBA NCHI, ALISEMA CCM UITAWALE TANZANIA. KOMA CCM, KOMA. ACHIA TAIFA HILI PEPO LA CCM UMESHINDW.
Jamani huyu Kibajaji mbona sijamwelewa, mbona bado anamzungumzia Magufuli au ni Clip ya long ndy imepakiwa leo ili tuisikilize tu? Sasa mbona anazidi kuanika ubaya wa chama sisi tumeshachoka na ccm pisheni tuone wengine watasimamia vip Rasilimali zetu ninyi mmefeli mnatuzamisha shimoni. Vipofu wa maono na matarajio ya WaTZ
Utamaduni wakutoheshimiana CCM siutamaduniwake hayo ni yakwako tu kilamtu leo nimusemaji wachama .hilo nitatizo. leo wenyemizigo yauharibifu ndio lulu yachama nauongozi bora hapo lazima tuwemiguusawa halafu tukimbie badala yakutembea kama mifugo yenye sodoka.
Yaani hata mimi wale wote wanaomsema vibaya mh Magufuli siwapendi na sitawapenda daima. Watake wasitake hakuna kama Magufuli...RIP mh Magufuli
@@user-gr9px4pi2w exactly
Kwa nini maguli.asisemwe wakati.u ajua Jin's watu.walipoteza maisha .kipindi chake
Usimuongelee magufur na sample zenu izo Yule alikuwa genius cyo wew wala hao mama zako
Pumbavu sana hii ya zamani sana😮😮mnamaliza mb za watu
Sasa pumbafu ninj kwani uongo?
Yaani wamekosa vitu vipya wanaturudisha nyuma. Hawafai kabisa😊
Vya zamani vinaishi.@@maximiliankassimmakarabeka1691
Akili nyingi ya kutfta view😂😂😂 watu wanatembea na upepo unapovuma 😅😅
Well said Kibajaji.
Clip ya zamani sana japo haijapitwa na wakati kwani mambo za ccm ni Yale Yale.
Mweshimiwa hongera kutukumbusha haya ndugu lusinde jobu Kuna watu wako ccm wanatuhalibia chama
mbona mnazingua sana hii taarifa ya zamani sana
Usimtukane Lusinde , mtukane aliyerusha hii kitu ya zamani
Hii ya zamani sana miaka 2018
Mh lusinde hujawahi kuniangusha kabisa kwa hoja zako
UMEELEWEKA ASANTEE. MUŠA HAJAWAHI TUKANA MTU. KUNADESTURI YA KIONGOZI AKIAMBIWA UKWELI HUSINGIZIA MAZITO TENAYAUWONGO
BIG-UP KIBAJAJIIIIIII
Hata ww umewatukana wale wazee bdo hujakomaa kisias hlf kumbuka Kuna maisha baad ya hiyo siasa mauti huja ghafla San akhera ni Bora kulko Dunia yko tafakari walipita weng kwny siasa na Dunia wakaiacha
Ukishindwa kumheshimu mtu Kwa cheo chake ,hata umri wake basi
Hii ya tangu Mzee magu
Utamaduni wakutoheshimiana CCM siutamaduniwake hayo ni yakwako tu kilamtu leo nimusemaji wachama .hilo nitatizo. leo wenyemizigo yauharibifu ndio lulu yachama nauongozi bora hapo lazima tuwemiguusawa halafu tukimbie badala yakutembea kama mifugo yenye sodoka.
Duu mtihani sana
YA ZAMANI
Uhindo mnazingua. Unaletaje habari za miaka 4 iliyopita?
Safi sana Kibajaji, una akili sana. Yaani ya miaka 6 lakini utafilkiri ni ya jana au leo!
Vitu vinaishi.Mitandao inatunza vitu sana,Hya mama Samia angehifadhi hkuoaswa kuwapa vyeo hwawatu kbisa.Nape,kinana,muigulu chemba,makamba,wte hwa baba magufuli aliyaona mapema.Kinana baba alimwona kwenye sectar yambuga zawanyama.
Huyu mbona huwa hapewagi Uwaziri jamani maana huwa anajitahidi sana uchawa au dawati lake fupi sana nini 😂😂😂
Darasa la nne B hahaaaaah
Mshamba na umjini?
Hii video ni ya kipindi cha magufuri
Nyie mmezowea kututukana. Sawa tuu
Uzuri Wa wanasiasa wanajua namna ya kujibiringishua na wanainchi kusahau
Sawa
Hii clip ya zamani sio ya jana wa juzi ni kipindi kile Nape na kinana walivyozingua
Acheni ungese hii ni ya Zamani, acheni kutupotezea mda
Nani kasema ya sasa hivi?
Wafukuzwe CCM
Uhondo nanyie niwapumbavu sana.
Kichwa Cha habari na yanayo semwa tofauti
UMESIKILIZA VIDEO YOTE UKAKOSA KUSIKIA HAYO MANENO?
Mbona unatuma clip za zamani
Ya zamani hii, enzi za Magufuli
Kwani nani kusema ya leo? Hata kama ya zamani je ni ukwrli au uongo?
Huyu Jamaa huyu cjui Leo anajisikiaje magu hatajwi kabisa, unafiki wa kisiasa
Habari siyo ya mwaka huu
Msiba tena??
Nani kasema ya mwaka huu??????
Mdomo umekusaidia
Nape ni mshamba kwelikweli
Hii clip ni ya zamani sana ...ndugu zangu.
Hawa ndio wanafiki kuongelea mtu baada ya kutumbuliwa hv nchi hiii unafiki utaisha lini na uchawa 😮😮
mmelewa madaraka kwa ufisadi wa kuuza rasilimali zetu sasa ameanza kuubuana hiyo ni trela bado movie inakuja
Kama hamuna vya kuposti musituletee mambo ya nape na mwendazake hio video ni ya zamani
Mpaka leo unaamini wamepotoka?....akil huna kabisa
Huyu kibajaji anapenda sana kupatia kiki kwa tuhuma za watu
Big up Kibajaji
Sasa hayo mambo ya miaka 5 ilopita nyie mnakasirika leo
halafu mtoa post uwe na adabu hii clip ni ya miaka zaidi ya 6 iliyopita
Makosa yamefanyika nape namakamba magufuri aliwaona mwanzo kuwa hafai kosa kuwarejesha mimi nilijua tu wataendeleza njamaa zao na waondoeni wote
Mumeumbuka😅😅😅
CCM muache ujinga mlitaka kuonyesha kama Magufiri alikuwa mbaya, wale wote waliyo msumbuwa kuwutawala wake mkawarudisha . Sasa mnaanza kuabika
Damu ya John Pombe Magufuli haita waacha salaama
WAO MJANJA NI YULE ALIE FISADI
Uchawa ugonjwa mbaya kama kansa na ukimwi
Mtu ukimzoesha tabia chafu atawachafua
Musiba kaleta msiba😅
Kwa akili ya haraka, tukiunganisha dots, Bashiru ilibidi awekwe kando baada ya mwendazake kufariki ili watu waendelee kula kama walivyokuwa wamezoea? Inatisha sana!
Kuhamia Dodoma siyo ishu we chawa
Mambo ya kitambo sana
😊
KWANI LAZIMA USEME KKKK
Wewe kibajaji huna lolote unataka uendelee kuwa mbunge tu
Msiba au msigwa mbona sielewi sauti inavyotoka
SAMIA SULUHU ARUDI KWAO ZANZIBAR NA MUUNGANO WAKE, HATUUTAKI TANGANYIKA NA TUNATAKA RAIS TANGANGINYIKA?
We siku zote ni wa kutumika tu tunakujua. Leo mnamkana Nape, Dah siasa ni sihasa kweli. Raia siku hizi ni wajanja acheni hizo
Mnarogana wenyewekwa wenyewe
Kibajaji Huna kitu
Hoja za jimboni kwako hatukusikii bungeni ila yakiibuka ya ccm unakuja juu ili uonekane huna lolote
Kweli ccm hmna akili kwn ushamba ni matuc wew mama yk ametokea mjini c ametokea shmb wch ujinga
Msenge maziwa tu huyo😊
Huyu njaa tu kwann anasubir Nape atenguliwe
Uyu nimusenge sana
Huyu anyangwe kadi yaccm hafai hata maisikitini
Mbona ukuyasema hayo kipindi hicho
WE ACHA KIBAMIA ACHEN CHUKI Z SIZO NA MASHIKO KWAN UKINYAMAZ KIMYA ITAKUWA NINI AKUNA MKAMILFU . ATA WEWE UKIFUKUZWA CHAMA WAKO WATAKAO KUSEMA VIBAYA TU .
Mbona ulikuwa hausemi mpaka katumbuliwa ndo umenyanyua domo lako tunawajuwa
Hii ni ya kabla ya kutumbuliwa no ya kabla Magufuli hajafariki.
Kwahiyo Samia ndo kahamishia serikali dodoma😂😂😂😂😂
Huyo rais ni munguuu???daraja aumadarasa ni KAZI pesa ya raisi acheni siasa za hovyo
Km unafikiri kamtukana raisi, mpeleke mahakamani
Kibajaji kazoea kuwachana na kuwatukana chawa wenzake wanaoondolewa kwenye nafasi kwa kuteleza ndimi zao tu lakini lao moja kwa maana kuwa ni mbunge yupi wa ccm wa awamu ya 5 atakayetamba kwamba amepita kwa kuchaguliwa?! Lakini Lusinde na wewe ujipange,kwa vyovyote mdomo huo huo ndio utakaokuponza kama baba yako Ndugai na matambo yoote yale!
Koww nanape nani anaifaam ccm nanani ameipigania ccm. Ww nayy
Mr.Misifa Kibajaji mpiga domo maarufu wa ccm-jimbo la Mbarali utaratibu huohuo ndio utakuja kukudhuru
Jimbo la Mbarali?
ulitaka amuite Baba yako
RAIS NAMHESHIM SANA SANA.
ILA CCM KUFAAAAAAAA, KUFAAAAAA, KUFAAAAAA ALIYE KUASISI ALISHAKUFA NA WEWE KUFAAAAAAAA!!!
Mmh
@@Namtumbo
Inauma sana.
Wako WATU wanajineemesha wao WAKATI wananchi wanaumia,kisa ni kada WA CCM au ananafasi ktk chama
SIKIPENDI HIKI CHAMA.
KILISHAISHIKILIA HII NCHI KAMA MUNGU ALIPOUMBA NCHI, ALISEMA CCM UITAWALE TANZANIA.
KOMA CCM, KOMA.
ACHIA TAIFA HILI PEPO LA CCM UMESHINDW.
Huyu jamaa anajua kujikomba sana akiambiwa muoshe rais miguu halafu uilambelambe anafanya kweli niamini
Mzee wa matukio 😅😅😅😅😂
Ccm mna tabia zakutuibia kura hata mjitete vp siku zenu zaja kuachia madaraka hamtatawala milele.
Wabunge wanaotetea ugar tu
Huyu ana akili kama ya panya
Wewe ndio mwenye akili ya sisimizi.
Asa mshamba ni tusi nalo? Hiyo ni aina ya sifa
Wataje basi
Hujaenda shule wewe na elimu yako ya Darasa la 7. Waliokuchagua nao mnafanana
Zigo lingine ni hili,pimbi kabisa huna tofauti na huyo nape
Jamani huyu Kibajaji mbona sijamwelewa, mbona bado anamzungumzia Magufuli au ni Clip ya long ndy imepakiwa leo ili tuisikilize tu? Sasa mbona anazidi kuanika ubaya wa chama sisi tumeshachoka na ccm pisheni tuone wengine watasimamia vip Rasilimali zetu ninyi mmefeli mnatuzamisha shimoni. Vipofu wa maono na matarajio ya WaTZ
Wewe uliyaka asimtaje Magufuli aliyetuleteaxwatanzania maendeleo????????
Weeee AKILI Huna Bwana weee
Mbunge huna lolote wewe
Utamaduni wakutoheshimiana CCM siutamaduniwake hayo ni yakwako tu kilamtu leo nimusemaji wachama .hilo nitatizo. leo wenyemizigo yauharibifu ndio lulu yachama nauongozi bora hapo lazima tuwemiguusawa halafu tukimbie badala yakutembea kama mifugo yenye sodoka.