KAFIA GHETTO FULL MOVIE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ธ.ค. 2023
- #Bhailam#Rachel#Naomy
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?... - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Waliopenda hii movie na kuenjoy tujuane😂😂😂😂
tujuanie hapa hapa
Me hapa hivo
Jamani Dada yake Bhailam mwamba sana Yani anajuwa Kuigiza saaana Hongera Sana dada yake bhailam❤❤❤
Kumbe sio mimi peke yangu nilieona😊😊
Dada wa Bailam amecheza uhusika wake vizur sana, hongera kwake na wahusika wote, kaz nzuri
Asanteni sana movie nzuri sana❤👏
Bailam ww noma hiii story kali kali broooo❤❤❤❤❤❤❤❤ it
Nice mashaa allah wallahi hakuna part 2 plz from uk 🇬🇧
Jamani kuna mengi ya kujifunza katika mchezo huu. Hongereni
Kwa wifi kama huyo ujipange
Mm nimependa Sana huyu dadako kama hana mume naomba kuwa mumewe wahalali nikoserious 💯💯💯💯
Movie nzuri mnooo nimempenda gumbo buana. Anaigiza kulinga a na uhakisia
Jamon jamon Mariam mwamba saaaana❤❤❤ Hongera Kwake Mariam anajuwa sana kuigiiza 😂❤❤❤
@@AnithaIrankunda hi story kali sana
Aise huwa sipendi hizi bongo movie ila hiii nipoteza muda wangu kutazama Upo vzr sana kka story kali mnoooo unyama
Zama zimeChange sana
E noma sana munaigiza uhalisia wamambo thanks
Léo Niko wakwanza Ku comenti naombeni liké zangu 😂🇨🇩🇨🇩
Kazi nzurii sanaa, imenifanya nianze kuipenda tena Bongo Movie
Dada wa bailamu nimempenda ata fika mbali
Movie iko safi Sana ..👍🏻🥰ila niulize tu "yani team nzima mpaka producer hakuona Bhailam kakosea ELFU HAMSINI KAZIITA FIFTEEN THOUSAND NA SIO FIFTY THOUSAND....KWELI?😂😂🙌🙌😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣mmenifurahisha kwel apo kweny kudaka ka waindi alooh bailam umepigaje apoo
Baba mapacha ameupiga mwingi🎉 ati anawachana😂😂😂...iyaka naabudu 🙌 🙌
Bailam umetisha sanaa
Nai enjoy 😂😅😢 there are everythings from it
Jamani Fatuma ni mpolee🤭😂😂😂
Kazi nzuri sana
Muhehee umeupiga mwingii hum 😊chukua maua yako dada bhailam
Nachenee utindaa
Jamn mungu awabariki wadada wote duniani,huyu dada namfananisha na dada angu jmn
Ndikola ngolo nene uuwii mhehe ameweza kinyamaa
Kaibuka mkojan mwingine 😂😂😂😂
🎉 ndio kbs
Piga kelele kwa baba mariam 😂😂😂😂😂
Jmn huyu dada wa moto😂😂😂khaaaa
Ongela sana kaka
KAZI NZURI SANA 🎉
Bongo movie ilio potea taratibu imeanza kurudi
Nmekuwa wa kwanza 🥰
❤❤❤❤❤❤ nko sawa
Filamu ni kali hongereni wote mmeua😄🙌,,,ila my fave character ni dada wa Bairam kajua kuvaa uhusika kweny kila scene🔥
Kazi nzuri sana hongera sana bhailam ila recho nakupenda sana maombi mengi kwako upate tunzo maana unajuwaa na unajuwatenaa😘😘
Wapi like za bhailam simba jamani 😢😢😢😢❤❤❤😅😅
Bailam umeyakanyaga😅😅😅
Hii movie kali sanaaaa😂😂😂
Alafu inamafundisho saaana
Filam zuri bailam ila kosa kumuuw uyo biti mapema wakati mimi moja napenda kumuona sana nampenda isiya zake
Nachukia wanawake wa kuambia hawa viumbe wa mikia ya chini niko tayari nikufanyie chochote pumbavu sana ndio mana awataki majukumu waume yamezowea kulelewa masingo madha wengi kwa huu ujinga.. Nawachukiaaaa sana.
Nice movie South Africa
Ila Bailham umetupiga kwenye fifteen sauthan 😂😂😂..bt well done 👍🔥♥️
Shepu kama bamia😂😂😂
Iyi movie nitam Sana bro
Hicho kilio cha huyo baba ndio kinaniacha hoi😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂 mwamanya bhantu
❤❤❤❤dah aisee bonge moja la movie 🔥🔥🔥🔥😊
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂😂😂nimecheka eti we andazi nipishe daa munewwza wapenzi
Saf sana ❤❤❤😂😂😂
2:00:37 😂😂😂huyu ndio kaibeba hii movie ameua sana na hiz moments zake za kusini
Bhailam ww ni kanumba aliye baki unajua sana mzee
Utengwee bro unajua sana
Dada hongera unasitahiri zawad❤❤❤❤❤❤
Unyama sana bailam
Jamani hii kitu tam Sana nilikua nikiipitatu
Hii movie noma sanaa
Huyu dada ake bhailamu ni kabila gani nimeona kasema nikola ingolo unene uwiiiiii😂😂😂😂
Broo unajua sana sana sana
Nice movie
picha nzuri sana ...keep it up Bhailam and team
Good job bro
Umetisha bhailam
😂😂😂😂😂😂jamn bailam
Ndio uzuri
Njooni Mozambique 🇲🇿 tunawapenda sana
Daaa reachel upo vzri aky nmependa ushauri wko kwa ma ex wa kkako aky umecheza part Kam ya mma Mungu akutie nguvu uzidi kukuza kipaji chko
Bailam we mandazi kweli maana sio kwa jicho hilo dada anaomba wewe unamcheka
😅😅😅😅kumbe bhailam unamacho kubwa ukifaint😅😅😅
We andazi😂
Afu baba Mariam mbona anapenda sn neno ndo uzuri🤣🤣🤣
Maskini dadake bailaam 😢
Naomb namb za gumbo bhailam
Mzee wa ndiyo uzuriii nakukubal
Inachekesha lon
Mwendelezo jameni❤❤❤❤❤❤
Like kwa bailamu na team nzima
Top actor is sister bhilam
Good job bro subscribe
Kenyan men, kimbieni TZ, true love exists😂😂😂😂
Film unayianza kui angalia 19h usiku unaisha 5h za asubuhi dhuuu😮😮😮😮😊
da!nawakubali sana bhailan na kundi lote
Bailam upo vizur napend ulivyoigiz
❤❤❤❤❤❤🇰🇪
Hu polisi hatari maswali yote anayauliza yote kwa mara moja mhojiwa hata hajui atajibu swali lipi😂😂😂
Bravo ukweli movie yenyewe imepangika na hata waigizaji wote wake sawa nimewakubali. Kubwa kutoka kwangu nawaombea Mungu azidi kuwapa hikma kwa kazi yenu ya uigizaji. Bravo bhailam.
Wewe kaka huyo ameuliwa na mke wa huyo rafiki yako ndie aliye uwa na akatoroka juweni lakufanya ilamke wa rafiki yako ndie muuwaji😊
Very nice movie, maturely acted, Bhailum you did well. Excellent
bailam hao madada mapacha aise wamefanana sana na dem wangu bro
Nice nimekupenda bhailam
Maryan kiukwel unajua san nikupe maua yako
📺📺📺📺🔥👑🇰🇪
Kazi nzur hogeren ❤
❤❤ vieye maliamu alikua muke mwema sasa ndoi huyu nipeni link
dada wa bhailam nakupa 💯🥰 daah uko vzr dada 🥰❤️
Kazi nzur
❤bhailam❤❤❤
My 🎉🎉❤
Movie kali zaidi ❤😂
Nzuri Hii movie
Huyu Jamaa gumbo anafanana na dr. Ndlozi
Dr Ndlozi ndio nan
@@Cambarada Dr.Ndlozi ni mbunge wa Afrika Kusini kutoka chama cha EFF
❤❤❤❤❤