Safi sana Mh. Makongoro. Style yako ya kukabidhi ofisi na jokes za hapa na pale kwa kweli zinaleta raha ya kazi. Naamini kwa jokes hizi na makabidhiano haya murua kabisa,Mh.Queen atajiskia yuko nyumbani. Hivyo ndivyo kazi inatakiwa kuwa, kazi na jokes kidogo!
Makongoro ni mcheshi tena ni mtu wa kujichanganya na watu wote wala hana majigambo kwamba ni mtoto wa kiongozi maarufu sana Africa na Dunia nzima kwa ujumla. Hanaga makuu wala tatizo lolote lile... BIG UP SANA MTOTO WA MUASISI WA TAIFA LETU; MAMA KAKUONA CHAPA KAZI.
Dah makongoro Nyerere tunakutakia kazi njema huko Rukwa mm ni mzaliwa wa simanjiro manyara Kwa kweli kazi uliyo tufanyia hatuna Cha kukulipa ila mungu atakulipa uzidi kuwa moyo ule ule wa kuwatumikia wananchi hata huko Rukwa ukawatumikie vema kama Wana manyara
Makongoro ana utani kama wa Mwalimu, lakini kusema kweli huyu Mama yuko vizuli sana, kwanza ana uzuli wa asili, alafu napenda msuko wake, nimfano Bora wa Wanawake.👌
Queen sendiga,dada mzuri pesa ipo kama RC afu kasuka tu kawaida nywele nane,ila njoo sasa kwa hawa maslay queen...kichwa box,hana kazi na hajui kujipambanua ila anataka wigi na misuko ya 50000 na kuendelea...😂😂😂 Kalaghabao
Rais wangu ongera 8 nsana kwa kumuacha mtoto wa baba Taifa kuwa Rc,tena baba huyu mcheshi kama baba yake,lakini viongozi wengine kujisikia sana..Rais wangu oyeeee, Makongoro oyeee ❤❤👍👍
Makongoro is so Charming!!big up
Hongera makongoro Nyerere umefata nyayo za baba wa taifa
Hongera Mh. Makongoro. Unakipaji sana. Ofisi zinachangamka. Mungu atakupandisha vyeo zaidi. Amen
Raise wetu safi sana kuendeleza kumuamini mtoto wa baba yetu wa Taifa Mwalimu Nyerere aliko atakuombea Kwa Mungu Kwa kazi ya Urais
Safi sana Mh. Makongoro. Style yako ya kukabidhi ofisi na jokes za hapa na pale kwa kweli zinaleta raha ya kazi. Naamini kwa jokes hizi na makabidhiano haya murua kabisa,Mh.Queen atajiskia yuko nyumbani. Hivyo ndivyo kazi inatakiwa kuwa, kazi na jokes kidogo!
Makongoro ni mcheshi tena ni mtu wa kujichanganya na watu wote wala hana majigambo kwamba ni mtoto wa kiongozi maarufu sana Africa na Dunia nzima kwa ujumla. Hanaga makuu wala tatizo lolote lile...
BIG UP SANA MTOTO WA MUASISI WA TAIFA LETU; MAMA KAKUONA CHAPA KAZI.
Manyara watakumiss sana makongoro uko vizuri mtoto wa baba wa taifa la Tanzania.uko mcheshi sana ni ishala ya upendo.
Dah makongoro Nyerere tunakutakia kazi njema huko Rukwa mm ni mzaliwa wa simanjiro manyara Kwa kweli kazi uliyo tufanyia hatuna Cha kukulipa ila mungu atakulipa uzidi kuwa moyo ule ule wa kuwatumikia wananchi hata huko Rukwa ukawatumikie vema kama Wana manyara
Mama Samia hongera Sana Kwa kuwateuwa Hawa wakuu wa mikoa
Mzee wangu makongoro,Mungu ni mwema,utaendelea kuaminiwa...wewe chapa kazi tu
Makongoro ana utani kama wa Mwalimu, lakini kusema kweli huyu Mama yuko vizuli sana, kwanza ana uzuli wa asili, alafu napenda msuko wake, nimfano Bora wa Wanawake.👌
Ukweli huyu mkuu wa mkoa nampenda sana sana napenda sana musuko wake
Anafikisha ujumbe wa kweli katika hali ya ucheshi...Queen yupo bomba.. amekuja nyumbani kwao hasa
Akili kubwa sana huyu makongolo😅😅
Ila mkoa wa Rukwa Mungu akusaidie sijui,
Mzee napenda sna
Hongera Sana Kiongoz 👍 ucheshi na kazi ni mhimu Sana katika Utumishi uliotukuka
Umerithi ucheshi wa Mwalimu Nyerere .Hongera sana
Ni mtoto wake?
@@stanastana3199 ndio ni mtoto wa hayati mwalimu nyerere
@@machasofficialsite6221 poa
Makongoro ni mcheshi mno
Hapendi Makasiriko Aisee
Sijachokaga kumsikiliza Makongoro..najiuliza tuu, anajua kukasirika?
Asante Rais wetu Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kumuenzi baba wa Taifa. Hakika wewe ni mfano wa kuigwa
Queen sendiga,dada mzuri pesa ipo kama RC afu kasuka tu kawaida nywele nane,ila njoo sasa kwa hawa maslay queen...kichwa box,hana kazi na hajui kujipambanua ila anataka wigi na misuko ya 50000 na kuendelea...😂😂😂 Kalaghabao
Baba mcheshi jaman hadi rahaaa❤❤❤❤😂
Manyara wangemuacha makongoro
Rais wangu ongera 8 nsana kwa kumuacha mtoto wa baba Taifa kuwa Rc,tena baba huyu mcheshi kama baba yake,lakini viongozi wengine kujisikia sana..Rais wangu oyeeee, Makongoro oyeee ❤❤👍👍
Uwa nakupenda Sana Mzee wangu
Ahhh huyu asaa ni komedians😅😅😅😅😅
Mhmm mzee Makongoro jmn
Makongoro mcheshi sana
Karibu Queen wetu
Nitakuwepo kwa wiki moja
😂😂😂anavituko huyu
Makongolo halikuwa haamini kama ataendelea kuwa mkuu wa mkoa
Safsana kaka
Ucheshi wakulithi lakini.akimaanisha mambonibalabala
Ila queen yupo vizuri sna licha ya kuwa mkuu wa mkoa lakin hajabadili style yake ya twende kilioni Safi sna
Nice one.
Komaa mpaka kiiitke❤
Makongoro Nyerere Ni Mtu Na Mkubali Sana 🎉🎉,Anahotuba Yake Ile Tuzo Za Mzee Wake na Kazi Alizo Zifanya.
Huwa napenda Sana Kumsikiliza.
uyu dada bora kaondolewa rukwa maana angekufa
Majina yote
Na mm Sina macho ha ha ha ha ha aaaaaq
Sendiga Amesuka nywele 8 Tuli.alafu ni RC,alafu slayqeen wanataka wigi la elfu 50
😁😁😁😁
Sawa wakuu wa mikoa
😂😂🥰💪💪
Huyu ni mtoto wa hayati nyerere au?
Ndio
@@catherinerichard3316 yeye hataki kuwa rais au
Hongeren life is about joy charmimg charmastic so
Msicheke saana angalieni Shida za watu na mjiulize mtazitatuaje
Heeee kwahiyo watu wasicheke hata siku moja kisa watu wanashida???
Mlevi sana
Queen tutakukumbuka wanarukwa