MAKONGORO NYERERE: NAPENDA WANAWAKE /NILIKUA NASEMWA MTOTO WA NYERERE KAHARIBIKIWA/AHSANTE SAMIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2021
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 118

  • @evarinenathaniel9838
    @evarinenathaniel9838 3 ปีที่แล้ว +10

    Be blessed my President Samia Suluhu. Umeikumbuka family ya Julius Kambarage Nyerere.

    • @lennykiganga4763
      @lennykiganga4763 3 ปีที่แล้ว

      Hatuchaguliwi kwa fadhira kama ingekua hivo hata baba ake angemuweka serikalin nyie ndo mnaturudixha nyuma kwan familia ya nyerere ina nn muhim ni utendaj sio kukumbukana hapa

  • @dianafyondi9048
    @dianafyondi9048 3 ปีที่แล้ว +10

    Mama samia kafanya jambo jema sana. Kuimbuka familia ya baba yetu hayati mwalimu julias nyerele

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 3 ปีที่แล้ว +1

    Great sense of humor sana .. kipaji ya mzee wake

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana, mwalimu nyerere ametuachia arama isio futika🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿 Tanzania yetu sote

  • @reaper5534
    @reaper5534 3 ปีที่แล้ว +10

    Safi mama. Sasa brother chapakazi husimwangushe mama yetu tafadhali. Hongera

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 ปีที่แล้ว

      "Husimwangushe" ndo nini? Hapo umeniacha kidogo tafadhali

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 3 ปีที่แล้ว +5

    What a memory, a moment and time to be living.

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว +3

    Mkapa kikwete magu mungu anawaona mmeumbuliwa na mama samia sjui waliwachukia kwann Hawa watt wa mzee nyerere

  • @yakobodeles6103
    @yakobodeles6103 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera rc wetu njoo chapa kazi

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 ปีที่แล้ว +6

    Manyara mpempata Agrey Mwanri mwingine mtaishi kwa kucheka na kutabasamu sana kwani ni mtu wa vichekesho ila ndani ya utendaji. Big up sana .

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 ปีที่แล้ว +10

    Karibu manyara haswa mji ndogo wa Haydom-manyara,,tuwe na kilimo cha kisasa karibu sana

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 3 ปีที่แล้ว +1

      Kabsa aje apambane na changamoto ya stend

  • @shaibutz1485
    @shaibutz1485 3 ปีที่แล้ว +5

    Wasafi for life

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 ปีที่แล้ว +14

    Ila huyu mkuu wa mkoa wa Manyara makongoro nyerere tutaona mengi vituko vingi kama Agrey Mwanry mzee wa Toronto soma iyooo

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 3 ปีที่แล้ว +2

      @@makulaikuku6909 Noma sana tujiandae kuazima mbavu tutacheka balaa

  • @africa7479
    @africa7479 3 ปีที่แล้ว +7

    Anapenda sana utani huyuuuu baba

  • @joelmwanza6009
    @joelmwanza6009 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyo Makongoro anapotential sana ila hajapata nafasi ya ku-shine! Mimi namiona kama Presidential material kusema ukweli ila let's wait and see.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 ปีที่แล้ว

      hata mdogo wake madaraka. nilimsikiliza akiwa miongoni mwa walitoa documedntary ya mzee Nyerere; acha tuu

  • @costandunguru7603
    @costandunguru7603 3 ปีที่แล้ว +10

    Hajabebwa, alishakuwa mbunge akiwa NCCR, pia alishawahi kuwa mkiti was cha wa mkoa, na amekuwa MNEC, anavigezo.tusiwe na mtizamo hasi tu

    • @praygodmtui1407
      @praygodmtui1407 3 ปีที่แล้ว

      Umeongea ukweli ana uwezo Wa kutosha ila watu wana tabia ya kuchafua wengine

  • @yasintamakongoro9458
    @yasintamakongoro9458 3 ปีที่แล้ว +4

    Nakuombea Sana my lovely dady

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa kaingia ikulu akiwa vyombo sasa cjui akiwa mwenyewe itakuajee aiseee big up faru john (konyagi)

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 3 ปีที่แล้ว +1

    Uko sawa makongoro nyerere

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera.

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 3 ปีที่แล้ว +2

    Ongera naomba ukafanye vizuri kazi kama mama yetu kipenzi alivyokuamini na kuheshimu kazi aliofanya baba yetu wa taifa letu

  • @reaper5534
    @reaper5534 3 ปีที่แล้ว +10

    😂😁Wanawake oyeeee!

  • @paulinanyanzala9072
    @paulinanyanzala9072 3 ปีที่แล้ว +1

    Anaweza na anafaa sana kaonesha makali yake wanaojificha kwa kilaji ni wafukunyungu

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 3 ปีที่แล้ว +3

    Hata mimi sina Jingi la kusema 🙏

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 3 ปีที่แล้ว +5

    Hawa watoto wa baba wa Taifa wanazeeka na ndio wanazidi kufanana na baba yao kwa sura kuna yule Madaraka mm namkubali sana yupo makin sana ila makongoro bwana labda kwa vile amekua mzee atapiga kazi ngoja tumuone kwanza utendaji wake kwanza ila rais tunamshukuru kwa kuwakumbuka watoto wa baba wa Taifa letu Tanzania

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 3 ปีที่แล้ว +8

    Yuko poa

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ni politician na siasa anaweza. Na Ana bahati Sana ya kupendwa popote anapokwenda. Na hua Hana madharau. Pamoja na kwamba ni mtoto wa baba wa Taifa lakini anaishi kawaida sanaaa

  • @neemaernest4167
    @neemaernest4167 3 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @fredrickmalunde3426
    @fredrickmalunde3426 3 ปีที่แล้ว +2

    Reporter yupo vizuri muno

  • @jackjoshua3666
    @jackjoshua3666 3 ปีที่แล้ว

    Namfaham kwa kiasi kidogo naweza sema Wana manyara mna neema kubwa yakuwa na baba uyu hakika mtaona matunda yake

  • @princesgiven4720
    @princesgiven4720 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuuh huyu kweli cjui

  • @samtabusitha6422
    @samtabusitha6422 3 ปีที่แล้ว +8

    nakubal

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 3 ปีที่แล้ว +1

    Mdomo umeufanyeje makongoro, pole babuuu

  • @nikutusyamsokwa3476
    @nikutusyamsokwa3476 3 ปีที่แล้ว

    Sins shaka naMakongoro,an utulivu was kutosha

  • @dadapechi
    @dadapechi 3 ปีที่แล้ว +2

    Jingi la kusema . Kiswahili hichi

  • @lennykiganga4763
    @lennykiganga4763 3 ปีที่แล้ว

    Acha tuone kazi zikiongea sio mnamsifu kwa mahaba tu kwan kuwa mtt wa nyerere ndo kufanya kama nyerere, kama angekua mzuri sn hata baba ake asingeacha kumpatia uongoz

  • @ismailmohammed8418
    @ismailmohammed8418 3 ปีที่แล้ว

    C.makongoro nyerere ! Mimi binasfi ninakufahamu na kuamini utafanya kazi kubwa ! Ur social to people hogera

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 ปีที่แล้ว +6

    Huyu kwa vigezo sidhani ila sababu mtoto wa Nyerere

    • @hassansalum5362
      @hassansalum5362 3 ปีที่แล้ว

      Mtu kasoma unasema kwa kua mtoto wa Nyerere

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 ปีที่แล้ว

      Vigezo unavyoongelea ni vipi huyu alikuwa katika siasa muda mrefu sana basi tu.

    • @anthonykondobole3962
      @anthonykondobole3962 3 ปีที่แล้ว

      Kwn kuteuliwa kwa nafasi za serkali kunahitaji vyeti? Au unasoma katiba

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 ปีที่แล้ว

      Huyu hajui chochote eb tutajie hivyo vigezo vya kuwa mkuu wa mkoa ili tukusaidie kuwa jamaa yuko fiti

  • @nadewakala5089
    @nadewakala5089 3 ปีที่แล้ว

    Mzee ugepuzika tu kwani hatuna vijana waliisoma manyara nawaomba manyara tufanye kazi kwa Bodii mbunge wetu atutuletea maedeleo

  • @jumaubwa239
    @jumaubwa239 3 ปีที่แล้ว

    Naona upooo...,

  • @abdulrahmanpaskalina7627
    @abdulrahmanpaskalina7627 3 ปีที่แล้ว

    Vizuri unajua unachopaswa kufanya kulitumikia Taifa.

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 3 ปีที่แล้ว

    Anaweza Sana kwani wanalima ?

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

    Kwa huyu , kazi ipo,,,,

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 3 ปีที่แล้ว

    Makongoro miaka za 80 alikuwa makini sana ila tuu alitulizwa sana kifamilia la mwalimu lisije kuleta taswira mbaya na maadui wa Ujamaa na kujitegemea, lakini mama Samia amafanya teuzi la maana sana,....uongozi wa mama italeta heshima kwa watanzania wote ila bado uteuzi kwa akina Sunche Kapeto.....

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 3 ปีที่แล้ว +1

    Amekumbukwa mtoto wa mzee Nyerere hata hivyo babayao hakupiga pesa wale maisha yao yote km kina Fulani watoto wao wanakula bataa hadi tujukuu

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mama nimwenye huruma nakukumbka walio sailka abalikiwe xana

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 3 ปีที่แล้ว

      Hivi ni swala la huruma na kukumbuka walio sahaulika ama ni swala la utendaji katika kuhudumia wananchi?

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 ปีที่แล้ว

      Huruma ya kujipendekeza kwenye HAKUNA. Waliomwacha hawakuwa na roho mbaya, walimtunza kama mtoto lkn wakijua kuwa pombe na kazi haviendi pamoja. Sitii neno leo Tusubirie KAZI iendelee.

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 ปีที่แล้ว +1

      @@Zaburi- sio "swala" sema "suala"

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 3 ปีที่แล้ว +1

      @@chiefmahucha6847 thank you for correcting me

  • @joevang4685
    @joevang4685 3 ปีที่แล้ว

    mbona kama aliingia kapiga vitu

  • @geraldpallangyo7726
    @geraldpallangyo7726 3 ปีที่แล้ว +6

    Uwache pombe weww

    • @mbwanakhamis9634
      @mbwanakhamis9634 3 ปีที่แล้ว

      Kwn ni mlevi??

    • @mlandasymon1980
      @mlandasymon1980 3 ปีที่แล้ว +2

      Aiseee km anakunywa aaache KBS, pombe haijawah mwacha mtu salama, hasa yeye km kiongoz mkubwa ajitathmin mara 2, bt nampenda sana huyu mzee, Nimempenda sana Mama Samia kumpa shavu huyu mzee, ashindwe mwenyewe sasa

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 3 ปีที่แล้ว

      Heti Acha pombe Ila sura inaonekana😂 🤣😂😂

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 3 ปีที่แล้ว

      Kumbe mlevi...je ?? Unauhakika na hilo ?? Usimwangalie mtu sura au mdomo....hiyo miaka tu nakupenda wanawake.

    • @hamismabula5813
      @hamismabula5813 3 ปีที่แล้ว +2

      Mh! Humo kwenye vyama na serikali mbona wapo wengi tu wanaokunywa pombe!?
      Cha msingi atekeleze tu wajibu wake! Hata mama kamteua haina maana kwamba hajui kuwa anakunywa!

  • @immanlazalo8992
    @immanlazalo8992 3 ปีที่แล้ว

    Piga kazi

  • @stevensulle1200
    @stevensulle1200 3 ปีที่แล้ว

    KARIBU MANYARA

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 3 ปีที่แล้ว +1

    Duh” Amezeeka haraka sana mbona”

  • @godsonndamgoba1934
    @godsonndamgoba1934 3 ปีที่แล้ว +2

    Na u NEC vip

  • @mariambilonkwa5183
    @mariambilonkwa5183 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu na Anna mgwira mbona huyu anaonekana kazeeka xan

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 3 ปีที่แล้ว

      Hizo ni nafasi za kuteuliwa anaweza akateuliwa hata kijana wa miaka 18 AMA mzee wa miaka 70.

    • @mariambilonkwa5183
      @mariambilonkwa5183 3 ปีที่แล้ว

      @@marykarebeti9410 mm nilikia amestaafishwa kwa 62yre

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 3 ปีที่แล้ว

    Huna makosa.......

  • @chifunyomboke3737
    @chifunyomboke3737 3 ปีที่แล้ว

    Punguza gambe lakini

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 3 ปีที่แล้ว

    Kabla ya hapo alikuwa nani

  • @ahz6907
    @ahz6907 3 ปีที่แล้ว +2

    Basi jamaa utakuta usiku wa jana kuamkia leo kapiga pombe mbwiii na demu mkali wa kimburu 😅

  • @fatumaabdhul8620
    @fatumaabdhul8620 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona anaonekana kama chapombe

    • @magrethmsuya5542
      @magrethmsuya5542 3 ปีที่แล้ว

      Mm na mshukuru mungu na mshukuru mama samia kwa kiikumbuka familia ya baba yetu mwalimu nyerere

    • @magrethmsuya5542
      @magrethmsuya5542 3 ปีที่แล้ว

      Mama samia kwa wema na uruma nyingi uliyonayo naomba mungu kwa akili yako ata msiba usikuchome usizurike kwa chochote mama yetu, mungu akutunze mama

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 3 ปีที่แล้ว +1

    Usemi wa wahenga mtoto wa mtu ni mtu 2 na mtoto wa nyoka ni nyoka 2 ila mtoto wa shetani ni shetani mzoefu na ukiwa na damu ya dhuluma na chuki pia kizazi choko ufata mkondo +255 aka nguzo mia 100 zanzibari

  • @alljzayumbajuma8637
    @alljzayumbajuma8637 3 ปีที่แล้ว

    Mzee wa bwaksi

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyo kateuliwa kwa sababu ni mtoto wa Nyerere.

    • @nurukhalifa9413
      @nurukhalifa9413 3 ปีที่แล้ว +2

      Aya na wewe subir kuteuliwa sababu sr name yako Budoya😀😀😀😀😀😀

    • @lusajomwaikambo6058
      @lusajomwaikambo6058 3 ปีที่แล้ว

      Tatizo cha pombe.

    • @geraldswai5492
      @geraldswai5492 3 ปีที่แล้ว

      Kwa hiyo

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 3 ปีที่แล้ว +1

      Hapana fuatilia historia yake utaona kwanza alikuwa mwanajeshi kisha siasa kaanza muda hata upinzani alikuweko sema tu baba yake alikuwa hampi nafasi tu.

    • @alinanineedom8442
      @alinanineedom8442 3 ปีที่แล้ว +1

      Kumbuka alikua mjumbe wa kamati kuu na mjumbe wa NEC...pia ashakuaga mbunge jamhuri na Afrika mashariki

  • @jumakiatu.628
    @jumakiatu.628 3 ปีที่แล้ว

    asA.sA.aKiNi .mi.niMiLa.LA.giA.i.ljaNa.iLe.umE.me.Me.sA.iVi. aMuNa.ruKu.nDo.kA.mTu.uNiNu.nUa.LukU.uPaTi.wAngiNe.tuNi.lALa.giZa.seKaLi.muNgA.LiyE.wAnA.mChi.si.wAnGuiNe.tuNiLa.LA.giZa.sA.iVi.lk.rUkU.shiDa.f

  • @africa7479
    @africa7479 3 ปีที่แล้ว +4

    Anapenda sana utani huyuuuu baba

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 3 ปีที่แล้ว +4

    Hahhhhh...,Kazi iendelee bwana makongoro., kada mwenye historia yake. 1995 alikikacha chama chake akasema kimekiuka misingi yake...anatufundisha kutokata tamaa ktika maisha, uyu ni moja kati ya watoto Wa mwalimu alieonesha matamanio yake ya kuwatumikia wananchi tangu siku nyingi sana akipingana na matarajio ya baba yake tangu kipind icho