Masikin namuonea hurma Sana huyu Fatma 😭😭😭hakujua yaliotokea kumbe asengemkubal Namhisi hayuko ok Subhanallah Koukwel Ni mtihan kama sianin vile nahisi kama Ni filam kumbe niukwel Mtupu😭😭😭😭Sina chakusema zaid yakuwapa pole nyote kuanzia Amina Dazuu na huyu fatuma pia yupo katika kipind kigum😭😭😭Allah akusaidie inshaallah 😭😭😭😭🤲 Tunamlaum Amina kwel amefanya makosa lkn Kikwel Amina huyi kijana Alimforce Halaf tena akapita na Iblis😭Sijui ata Nisemej Kwakwel ni Jumla ya mitihan Allah atustir na vizaz vyetu yarabb😭😭😭😭😭🤲
Mapenz yalivyo kila shetani na buyule.awe mwanamke awe mwanamke akikupenda walhi upuuz upuuz wake anauwacha.lakini kama hajakupenda utulivu o.mapepe mapepe.insha Allah msamehe na Allah awape nusra awaepushe na majanga na wajaze kheri ktk ndoa yenu.
Wajua watu wengine akili hamnaga so mlitaka akae akizini kila kukicha wakati zuu amekataa kurudi na amina amekataa kuolewa na yeye, so sijui mnataka nn nyie waja,
Kanamuona mamake na amina maana hapa anakumbukwa zuu yeye tena hayuko 😂😂 aisee ukisikia ukiua kwa upanga na wee utauliwa kwa upanga😂😂 popote ulipo amina polee ila zuu rudi kwa mmeo
Wadada tujitafutien maisha au ela jaman ndoa sio kila kitu tumwombe sana mungu atupe watu sahihi sio kama hv wanaolewa tu ovyo ovyo mtu hamjakutana muda mwingi kaja boom humjui tabia zake za sasa we mbio ndoan daah 😢😢😢so sad 😢😢
Uyo kk ni malaya naarizik na wanawake ila usiongee kumaliza kitajakukutakitu umtoe mtt wawatu bkra na kumtia mimba nakumsababishia maraziyakurongwa Leo unamuacha mhh
HONGERA BWANA ALLY, DA ZUU KAZA UZI. NIMEFURAHI HIYOO ISIYO NA JINA KUSIKIA KUA ALLY HAJAMUOA AMINA MIJIGAMBO YA MAMA YAKE KWISHNEYI. MTASEMA ZUU MCHAWI KUMBE NI MALIPI YA MUNGU SIKU AMEONA KUCHELEWA NA WENGINE HAWAFIKI MBINGUNI, AMEAMUA MALIOP HAPA HAPA DUNIANI.
Shemegi mwongo kamwaribiya Amina hutu wake. Dada Zuu, heko tayari kwa kuchamsha zingine kwa Fatma. Asiye shauliwa na wazazi, atafundishwa na dunia. Mume wa mtu sumuuuu.😂😂
Jamani😂😂😂 hodi humu ndani ndugu zangu amina amelipwa mauwa yake wallah alikatazwa na baba yake hakuskia sasa je uso utauweka wapi aminaaa zuuu mungu kakulipia dada yangu😊😊😊😅😅😅
Amina, Amina, Amina auwaye kwa upanga, atauliwa kwa upanga. Malipo ni hapa, hapa duniani. Kwa sasa, ni bwana Hali na bi Fatma. Wa kwanza dada Zuu wa pili bi Amina bi Fatma wa tatu kazi ipo.
Webaba amduli atakama so mkeo ila nimzazi mwenzio nakwann useme nawatt wawili ikiwa naunawatt watatu na amina asinge ingia kichaa nisama namkewako yani wekk mhh
Nani kaona jicho la bi fatma mtangazaji alivyosema alijua amina ndio kaolewa😂😂sema dah @tikitv muipin comment yangu ,huyu baba ni mwingi wa habari hata kama asingekuwa amina angemtafta tu mwingine..dj mletee mama Aminaaa😂😂
Waleta mijimacho ya kwaka hapo subiri zuu Sasa badili na wewe Sasa paka at arudi kwake wame toka mbali nahuyo mume hata km ni mimi cezi kubali so bado wewe bi fatuma nawe chako kiko motoni
Kama ni kweli Zuu ataendelea kubeba dhambi kwasababu amemtia Amina uchizi haya Bwana Alli kamuowa Bi Fatma je Zuu utaroga watu wangapi ? Wanaume sio watu wa kuwaamini.
mm data zime nikosea hailhadlai nime pata lazima nirudie izi bidio zote penyeniliwachia🤦♂️🤦♂️ Nataka kujua saidi kuusu meid kaifanya mwingine awache boma akithani yeye nimalaika🙆♀️🙆♂️ Aya uyu baba Nikiruka njia mbona Aunge rudi Uombe Zuuu Msama mkalee watoto pamoja 🙆♀️🙆♂️Ogopa watu wa malong'i🙄🙄🙄🙄
Ali japo kua amina hukumuoa lkn huduma usiache kumpelekea mtt wako uhuni wako umemulaghai mtt wa watu ushamuharibia maisha na zuu aendelee tu kwenda kwa babu ushamuoa fatuma sasa baada ya amina
Eeh baba Abudul jamani mkavu😂😂😂😂 upon wapi mama Amina alikuja kwa kutamba oh cjui oh cjui jaman ndoa ya matambo alitaka baba Abdul ampe Mali 😂😂😂 ndo ashaoa sasa 😂😂😂
Hahahahaaaa, dda unamaswali hadi rah. Lkn na wwe kama ulikuwa bado unamsubir bwana ally ilikuwaje ukabeba mimba. Kwahiyo sameheaneni yaishe nimapito ya dunia tuu ddaa, mwisho utamfanya bwana ally akuigope akukimbie
Baba Abdul wenzetu husema Ukweli Utakuweka Huru!! Acha misemo na story... Ungemwambia Bi Fatma Ukweli tu. Kumbuka ndoa ni kitu muhimu na mwombe Mke mkubwa msamaha ili yalio mkuta Bi Amina yasimkute Mke wa pili. 🧐
Bi fatma tuulize sisi wambea wajiji tukupe ubuyu wa huyo mume wako kuwa makini dada nimazito yanayoendelea vita hadi kwa waganga nikurishiana makombola tu ndo mana hajakwambia ungeyajua hayo si zani kama ungekubali hiyo ndo 😂😂🙌
Haya wakwanza mm jamani kutoka kenya nawatch nikiwa Algassim Saudiarabia,kazi kwako ww utakae fika nyuma yangu naomba like japo 10 tuu 😂😂
Mimi wa tisa
Ikali imenda mume jizi boya😅😅😅
@@BeatriceKalembwane 🤣🤣🤣🤣🤣Karibu mpenzi
@@fatumastv 🤣🤣🤣🤣
Masikin namuonea hurma Sana huyu Fatma 😭😭😭hakujua yaliotokea kumbe asengemkubal Namhisi hayuko ok Subhanallah Koukwel Ni mtihan kama sianin vile nahisi kama Ni filam kumbe niukwel Mtupu😭😭😭😭Sina chakusema zaid yakuwapa pole nyote kuanzia Amina Dazuu na huyu fatuma pia yupo katika kipind kigum😭😭😭Allah akusaidie inshaallah 😭😭😭😭🤲 Tunamlaum Amina kwel amefanya makosa lkn Kikwel Amina huyi kijana Alimforce Halaf tena akapita na Iblis😭Sijui ata Nisemej Kwakwel ni Jumla ya mitihan Allah atustir na vizaz vyetu yarabb😭😭😭😭😭🤲
Yaani...!🙆
Safi sana Amina ulichokipanda vuna maumivi ulivomtenda zuu leo umelipata 😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂
Chonga mzinga wako ww acha yao
Wavamiaji wa ndoa za wenyewe olewako uvamie yangu Niko Saudi lkn huto chizika uta potea nahauta patikana kamwe hongera Sana da zuu❤❤😂😂😂😂😂
😂😂he wivu wa wanawake ni hatari kama bomu la nyukilia😂😂😂
Mapenz yalivyo kila shetani na buyule.awe mwanamke awe mwanamke akikupenda walhi upuuz upuuz wake anauwacha.lakini kama hajakupenda utulivu o.mapepe mapepe.insha Allah msamehe na Allah awape nusra awaepushe na majanga na wajaze kheri ktk ndoa yenu.
Ongera Amija umejiongeza kuikataa vita endelevu Ali kuwa makin na zuu vita itaendelea😅😅😅
Mh mbona kama mmefanana??
Wewe mshsmba na huwezi kutulia na mke mmoja..mshenz
Makubwaaaa😮njooni jamani malipo hapahapa duniyani😅
😀😀😀😀😀😀😀 nimecheka Sana huyu mwanaume hapa Hamna kitu hapa, Mungu atuepushe na wanaume wa hivi walah
😂😂 yaani huyu bwana na yule isihaka wakina queen darin na Sabra ni mbegu Moja chefuuu kabisa 🤣
@@mariamkibindo1741 yaaan ujinga mtupuu
Wajua watu wengine akili hamnaga so mlitaka akae akizini kila kukicha wakati zuu amekataa kurudi na amina amekataa kuolewa na yeye, so sijui mnataka nn nyie waja,
😂😂😂 amiin ya rabb
@@maryammdoe5801sio hivyo angemguzia tu.
Huyu mwanamke mwenyewe chenga tu😅,tunasubili mrejesho wakeeeee, jamanii Ex harudiwi jamani
Nimefrahiiiiiiiiiiiiii amina ajaolewaaaaaaa bana niache unafki nimefarhi
😂😂😂 hata mie yaan mama yake alijiamin ndoa ipo Zuu kafanya yake hapo hata Zuu atarudi
Huyu hawez kumacha amina
Mtangazaji Nenda kamuhoji Amina tumsikie nae Maana alijiaminisha sana
Kanamuona mamake na amina maana hapa anakumbukwa zuu yeye tena hayuko 😂😂 aisee ukisikia ukiua kwa upanga na wee utauliwa kwa upanga😂😂 popote ulipo amina polee ila zuu rudi kwa mmeo
Jamaa ajihandae kisaikolojia huyu mwanamke sio
Nimecheka kama fala amina hatajwi jamani hata abduli hajatambulishwa leo mamaaaaa amina njoo usikie wale miungu yako imekuwaje bora kaoa kwingine
Ukimaliza kumuogopa shetani ogopa wanaume ona alivyomgeuka amina 😳😳🙌
Safi sana aliongikia ndoa ya Zuu
😂😂
Wacha amgeuke alichomfanyia mwenzake nikitu kibaya sana. Hivi unaendaje kuishi ndani kwa mtu unamchukulia mume wake. Angekua mtu Baki sawa
Mjinga san atapigwa matukio huyo
Mr Alli na Bi Fatma wamefanana sura sijui watazaa bomu gani. Mwenyezi Mungu anisamehe.
Shoga huuna macho mbona fatuma mzuri sana tena anajicho hasa la kuvutia
Huna adabu duuh 😂😂😂
😢😢
😂😂
Weee umesema Kama mimi😂😂😂😂
Utamu kunoga macho ya bi fatma sasa zuu kazi unayo hapo😅😅
Mmmm mtihani jamani wanawake tuweni makini maana mm sinachakusema niweishiwa pozi jamani 😢
Mama amina umeumbuka sana . Naulisema amina lazima aolewe haya sasa ameolewa huyo amina
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅jmni nimechkaa balaah
Kwani C Amina Alieolewa Umbeya Nao Unatabu
@@nurusaid4698Amina hajaolewa Ila alikuwa kwenye harakati za kwenda kufunga ndoa ndo akapata ajali
😂😂😂😂atale sana
Jamani njooni huku 😅😅😅😅wifi wetu wa moto😅😅😅😅😅
😂😂😂
Hao ndio wanaume bwana amina na mama ako mmebaki nyuso ndogo kama kidonge cha piriton 😅😅😅😅😅
Team Da Zuu piga kelele 😂😂😂weweeeeeee Amina kakataa mwenyewe ndoa chezea Zuu ww😂😂😂
Oyooooo😂😂😂
Weweeeeeeeeee
Hata wewe fatuma usilete mijimacho yako yakuwaka chako piya kiko motoni
Huyu Ally anaonekana Hana msimamo
Mhuni mhuni huyu mwanamme
Haeleweki anataka nini wakati wanawake ndo wale wale sasa yeye anaonja huku anaacha anajarbu kule anaacha cjui anatafuta radha gani😂
😂😂😂😂😂😂nimejikuta nacheka ka chizi eti amina anasema unataka kuniweka msulule dunia simama ni shuke😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂nimejikuta nacheka ka chizi eti amina anasema unataka kuniweka msulule dunia simama ni shuke😂😂😂😂😂
Fatuma oyooooo, kilichomkuta kibeku na ungo kitamkuta 😂
Huyu dada ana zungusha jicho kama amina ❤❤😂
Ulimwambia umelal na mfanya kaz am
😂😂😂
Sizan kama yakweli nahic amina kaolewa hapo zuga tuu
Peleka ushamba huko! Mambo ya Amina yalivuma sn,hunaga cmu ya touch??
😂😂😂😂😂😂😂kumekuchwa😅
Bs dai talaka kama huna imani ushazoea kizini Malaya ww
Huyu mwanamume chenga,huyu mwanamke naye ajiangalie
Hapo kengere imeshagongwa kwenye kichwa chale angalia anavyomuangalia kwenye nafsi yake inaaka moto maskin
Wadada tujitafutien maisha au ela jaman ndoa sio kila kitu tumwombe sana mungu atupe watu sahihi sio kama hv wanaolewa tu ovyo ovyo mtu hamjakutana muda mwingi kaja boom humjui tabia zake za sasa we mbio ndoan daah 😢😢😢so sad 😢😢
Huyu ali maneno mengi na muongo huyu hana kutulia na mmoja na huyu mke pozzi nyingi munamuona anamnyari mumewe kisha sura zao zote mzito wamefanana
Eti sura zao wote nzito 😂😂😂😂
Gonga like hapa kama ishara ya kumzomea mama Amina😛😛😛
Sijui wakicheki hii intavyu watakuwaje! 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂nimekupenda bule
😂😂😂😂😂
Kiukweli nimefulai sana amina hajaolewa
😂😂mkorofi ww
Hata mimi nimefurah sana
Nimefurahi sana nlikuwa cmpendi Amina, zuu Rudi kwako
Si mume huyu jamani tafadhari huyu ni da sijui nisemeje
Mbona wanafanana kama mtu na mdogo wake😂😂
Huyu kaka anabahati ya wanawake wenye macho mazuri mashalah ❤❤❤
Hukai naye, huyo mwadazimu
Kiukweli amina alikuwa mpumbavu sana
Kawa chizi baada ya kumuuguza umemuacha umeoa mke mwingine
Amina ndo amekataa kuolewa mwenyewe
Huyu mume cye jmn duh
Uyo kk ni malaya naarizik na wanawake ila usiongee kumaliza kitajakukutakitu umtoe mtt wawatu bkra na kumtia mimba nakumsababishia maraziyakurongwa Leo unamuacha mhh
Mwanamke wa Kiislamu utakuwaje na mahusiano na Mwanaume mpaka amukuzalisha bila ya NDOA?.
Mbona huyu kama ndugu yake wanafanana kweli😂
😂😂😂afanana na mume mala hii!!!
Hawa wanamtuliza Zuu mganga wake mkali atulie kwanza maana Zuu mgomvi wake Amina kwahiyo akisikia Kaoa mmke mwengine Zuu nae atafurahia
Inawezekana sana
Huwezi kuambiwa wote na hata ww hujasema yote na itakua kuna mengine huyajui
Nami niliwaza hivo hivo kuwa ndugu yake kweli atii hapa tumepigwa
Nani kaliona jicho la mke 😂😂😂😂
Aibu kwa mama amina .
Mama Amina alijifanya maji makubwa 😂😂
Mbona mke anatoa anamwangalia macho sana kwa mume😂😂😂😂😂. Lakini mume na mke wanafanana hadi mapua
Mchokozi😂😂
Si ndio wameanzana zamani wanafanana😅😅😅
@@tinarmanka1550 kweli jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
@@sistertrashid2488 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂anawaza hapo 😂 mambo yashaingiriana
Aahh sio mchezo bwana huyu ana shida ya tamaa ya wanawake 😮😮
Uyu penda penda
Penda-pendapo apenda apatapo mteremko 😂😂
Huyo si chinga na kama chinga
Alafi mshamba wawanawake pia viela kapata ukubwan
@@hemedyawadhi2935 Kwa taarifa yake ashapotea basi
Fatuma subiri yatakayokukukta na da zuu
Humwanaume hajijui yupoyupo tu
Binafsi nimeridhika alivyomuoa huyo amina alikuwa anajishaua sana😅😅😅
Aswaaa
Hata mie zuu ludi kwako uishi na watoto yule shetani katoka
Ila munafanana sura mbaya😂😂
Na kweli sufuria na mfuniko aise huyy siyo mume 😂😂😂😂
HONGERA BWANA ALLY, DA ZUU KAZA UZI. NIMEFURAHI HIYOO ISIYO NA JINA KUSIKIA KUA ALLY HAJAMUOA AMINA MIJIGAMBO YA MAMA YAKE KWISHNEYI. MTASEMA ZUU MCHAWI KUMBE NI MALIPI YA MUNGU SIKU AMEONA KUCHELEWA NA WENGINE HAWAFIKI MBINGUNI, AMEAMUA MALIOP HAPA HAPA DUNIANI.
Dj tuletee Amina na mama yake 😂😂😂
Asumaniiiii😂😂
Mr Ali wewe ni mfupi lakini akili zako ndefu😂😂
@@LucyMassawe-wo9pw😂😂😂😂
Ulivokutana na huyo mwanamke ulipima ukimwi naye kwanza?
Chanzo niww chama tatizo yote ss sialirogwa so imani ww siulimpeleka kwamganga
Jamani tunaisubr intervw ya aminaaaaaaaa ikiwezekana na da zuuuuuuu jmn
Bi fatmah muheshimu da Zuu uyo mume wenu ni mongo tena mnafki eti da zuu alikuwa hamjali noooooway
Yaani hy m ume ni nyoko😅😅😅😅😅😅😅Yaani kakimbia kwengineeee yaani mtu akiamua lake anaamua w ume ni nyoko pasua kichwa😅😅😅
Huyo bab nimalaya haswaaa
Shemegi mwongo kamwaribiya Amina hutu wake. Dada Zuu, heko tayari kwa kuchamsha zingine kwa Fatma. Asiye shauliwa na wazazi, atafundishwa na dunia. Mume wa mtu sumuuuu.😂😂
YANI KAMTOWA BIKIRA YAKE MTOTO WA WATU DAAAAA
@@mwatangachuma9069 Ndiyo.
Jamani😂😂😂 hodi humu ndani ndugu zangu amina amelipwa mauwa yake wallah alikatazwa na baba yake hakuskia sasa je uso utauweka wapi aminaaa zuuu mungu kakulipia dada yangu😊😊😊😅😅😅
kisicho riziki hakiliki....Amina wapi ?anatajwa Zuu..
Haya ni Maigizo
@@edithrwechungura2768😂😂
Bifatma jiangaikie kama amina karogwa nazuu kisa mumewe na amina kukataa ndowa niuchawiwakurogwa nazuu
Amina umekoma ulikua unaniudhi sana umesaidiwa hlf unajifanya mjanja
Yani tena sanaaa
Tena haya zimewatoka yeye na mama ake
Amina, Amina, Amina auwaye kwa upanga, atauliwa kwa upanga. Malipo ni hapa, hapa duniani. Kwa sasa, ni bwana Hali na bi Fatma. Wa kwanza dada Zuu wa pili bi Amina bi Fatma wa tatu kazi ipo.
😅
Webaba amduli atakama so mkeo ila nimzazi mwenzio nakwann useme nawatt wawili ikiwa naunawatt watatu na amina asinge ingia kichaa nisama namkewako yani wekk mhh
Nani kaona jicho la bi fatma mtangazaji alivyosema alijua amina ndio kaolewa😂😂sema dah @tikitv muipin comment yangu ,huyu baba ni mwingi wa habari hata kama asingekuwa amina angemtafta tu mwingine..dj mletee mama Aminaaa😂😂
Nasikia raha mm jaman💃💃💃
Mwambie ukweli kitamramba naye bi Fatuma😂😂😂cheza na zuuh wew 😂😂😂😂
Wifi mpya karibu kwa shemegi sasa kuwa makini, nyuma yako, atapenda tena kigori. Nimewasalimu toka kongo.
Nimefurahi kusikia Amina benchi
@@jenifadenis7321 Tumsamehe Amina.
Amkeni amkeni amkeniiiiiii
Nakwambiwa wee acha tuu😂😂
Waleta mijimacho ya kwaka hapo subiri zuu Sasa badili na wewe Sasa paka at arudi kwake wame toka mbali nahuyo mume hata km ni mimi cezi kubali so bado wewe bi fatuma nawe chako kiko motoni
He he makubwa haya mwanaume alikuwa na kimhemhe sana kumbe cha kuoa kumbe s amina tuu 🤣🤣😂😂😂😂😳😳😳
🙆🙆🙆🙆🙆
Kama ni kweli Zuu ataendelea kubeba dhambi kwasababu amemtia Amina uchizi haya Bwana Alli kamuowa Bi Fatma je Zuu utaroga watu wangapi ? Wanaume sio watu wa kuwaamini.
Hakika safar hii zuu atapaa juu kwa kuroga mumewe kaoa sasa mtu mwingine cjui atazimia 😂
mm data zime nikosea hailhadlai nime pata lazima nirudie izi bidio zote penyeniliwachia🤦♂️🤦♂️ Nataka kujua saidi kuusu meid kaifanya mwingine awache boma akithani yeye nimalaika🙆♀️🙆♂️ Aya uyu baba Nikiruka njia mbona Aunge rudi Uombe Zuuu Msama mkalee watoto pamoja 🙆♀️🙆♂️Ogopa watu wa malong'i🙄🙄🙄🙄
wewe kaka hatali
Ali japo kua amina hukumuoa lkn huduma usiache kumpelekea mtt wako uhuni wako umemulaghai mtt wa watu ushamuharibia maisha na zuu aendelee tu kwenda kwa babu ushamuoa fatuma sasa baada ya amina
Kutoa chochote kumpa mume kwa ajili ya wtt wake ni kawaida tena sheria ni mke umsimamie mume ajali family yake tena sio wtt hata ndugu hasa wazazi
Hapo ushafeli bint mke apewa taarifa nimeoa ila sio ruhusa
Fatuma Dada, ungojee kasheshe kwa kutoka Zuu na Amina.
Eeh baba Abudul jamani mkavu😂😂😂😂 upon wapi mama Amina alikuja kwa kutamba oh cjui oh cjui jaman ndoa ya matambo alitaka baba Abdul ampe Mali 😂😂😂 ndo ashaoa sasa 😂😂😂
Hahahahaaaa, dda unamaswali hadi rah. Lkn na wwe kama ulikuwa bado unamsubir bwana ally ilikuwaje ukabeba mimba. Kwahiyo sameheaneni yaishe nimapito ya dunia tuu ddaa, mwisho utamfanya bwana ally akuigope akukimbie
Ila Mamaake Amina Alizidi kidomodomo jamn hadi najiskia vbay nikimfikiria Amina
Wapiiiiiiiii Aminah na kujitapa kote jmn
Ali afadhali umemuacha amina kamchukue mkeo zuu mlee watoto wenu vita imeisha
Baba Abdul wenzetu husema Ukweli Utakuweka Huru!! Acha misemo na story... Ungemwambia Bi Fatma Ukweli tu. Kumbuka ndoa ni kitu muhimu na mwombe Mke mkubwa msamaha ili yalio mkuta Bi Amina yasimkute Mke wa pili. 🧐
Wewe Bi Fatma, Mke mkubwa ameridhia wewe uolewe Mke wa pili???!*
Wewe bwana Ally mwenzako hakija mkuta kitu na alishapigwa chuma cha uchizi kuwa serious 😂😂
Tik TV mbna ulisitisha story ya gaude haijaish
Huyu mwanaume
Mmm allah amwuongoze mmm mtihani
Mama Amina Amepigwa na kitu😂kizito 😂😂😂 kula chuma icho 😂😂😂😂😂
Vita vya pazi imani ya kunguru
Anamaneno mengi
Alafu makode
Bi fatma tuulize sisi wambea wajiji tukupe ubuyu wa huyo mume wako kuwa makini dada nimazito yanayoendelea vita hadi kwa waganga nikurishiana makombola tu ndo mana hajakwambia ungeyajua hayo si zani kama ungekubali hiyo ndo 😂😂🙌
😅😅😅
Kwakweli
Maneno manene
Kushinei mwanamke mwenzangu akuna mume apo taper maneno mengi
Muongo uyo usimuamini