Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.
Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫
❤❤ , Mungu baba ndiye mweza wa yote daima tukiwa upande wake akuna lakutokea lililo baya ju yetu ,kazi nzuri.
Jamani! Igizo nimetazama,msisimuko tosha,hata sina la kusema,ila tu kuwaombeeni msiishie katika kuigiza nguvu za Mungu,ila nguvu zake zidhihirike maishani mwenu na zaidi ya yote,murithi ufalme wa mbinguni. Kutoka Burundi,nawaenzi sana.
I'll p
Mungu awabariki sana kwa movie nzur ya kutukumbusha kuwa na iman❤nakupenda Yesu
Amen 🙏🙏🙏
Mbarikiwe Kwa kazi nzuri
Yesu Kristo anaokoa
#JesusForLife
Aky kazi yko n nzuri sana baba joan.more ❤❤❤ guys
Yaaan hii ninzuli mno Mungu awabarikie kwakuafanya kazi hiii najua thawabu yenu ipo Mbingu kwakuwaelimisha watu
Mbarikiwe sna
Amen hakuna mtu ako na nguvu zaidi ya mwenyezi mungu 🙏🙏🙏
Nauliza Yesu ndie Mungu ama Mwenyezi Mungu ni mwengine.
Hakuna linaloweza kuwa ngumu mbele za Mungu🙏🙏🙏pongezi sana kwa kazi nzuri❤❤❤
Kwakweli mungu ndo Kila kitu mungu awabariki kwa kazi nzur
Maombi ni silaha kubwa sana asante mungu
Jamani 😢nauzunika sana nikimuona jinsi huyu mkaka anavomkumbuka mkewe na kuwa na kilio cha uzuni sana. 😢ila mungu kweli ni mwanaume 🥺 Tena mola hamuachi mja wake ❤. ASANTE 😫
Vip
Mambo
Habar❤❤
Pole yak
Pole kaka lake
Asante sana baba Joan kwa movie ii ya imani
Safi sana 👏👏 baba joan
Yesu ni wangu leo kesho hata jana ntamkimbilia yeye tu katika maisha yang nashukur pia kwa movie nzur iliyo ambata na imani ya mungu
I like that faith indeed nothing impossible before our Lord and savior Jesus Christ 🙏
Hongereni jaman kwa kumushirikisha Mungu
Wawoooo very nic from Burundi i like so muche ❤❤❤❤ nipe like zangu please
Wow glory to God hakuna linaloshindikana kwa Mungu
Glory be to GOD. Endeleeni kumtukuza MUNGU
Mungu was mbinguni Ni mwaminifu hajawahi mwacha mja wake shetani ha mamraka kwa maisha ya mtuamtumainiaye bwana
❤❤❤❤❤kizuri Kila na mwenzako me fine matokeo
Mungu ni mwaminifu
Congratulations ❤❤❤ more god is greater
Hongera sanakaka movie zako ninzuri
Aksante kwamchezo tumefurayi me tu mungu Ndiaye muweza wayote
Pepo wameshidwa kwa jina l mungu ❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sana baba karobo😂
Mungu lazima aibize madui zetu
Kazi nzuri sana
Yes mungu nimushindi
Aisee ni nzuri sana hii sana sana
🎉congratulation baba joan
Haleluya hatuna Kama mungu Daima, mbarikiwe sana
Aki mungu ndiyo mweza wa yote waaaah very painful movie
Lsilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana Mwamini MUNGU leo
Aise mungu akuponye na akutangulie
Umejia kazi au kuchukuw mume wa watu
Tamaa mbaya San nyumba gani hyoo njoo Omni Kwa warabu 🇴🇲 Kuna magorofaa yakwenda sio yakurudi utakufaa ww n tamaa yako
Mungu Ni Mukubwa🙏🙏🙏🙏 Amen. Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Watu wanao jifanya wapole ni hatari but yesu ni kila kitu!
🙏 🙏 amen 🙏 hakuna silaha yeyote itakayotumwa kinyume chetu itakayofaulu
Nia safi hairongwi lisaa achana na mume wa watu tamaa mbaya unamtesa mwenzio kwa tamaa na hautafanikiwa utakavyo.
Mungu ni mwema sana Hakuna wakumzidi Mungu
Nimesimamisha kazi zote kuitazam mov hii hakika nimeipenda
Keep it up i love your work it teaches
Mungu nimwema
MUNGU ni mweza wa yote.yeremia 33:3
😮wow so Good like amen amen 🙏 ❤❤❤❤
Kweli mungu anaokoa ukimwamini na hata kuomba.
Tamaa mbaya
God is the final say amen
Lisa ujue mungu uko natamuokoa bibi ya boss😢😢
Jamani hongereniiiii
Wamwaminio mungu nizaidi yawashindi ktka christo yesu
Mungu awabariki
Baba Joan ni Mwalimu Wa maisha kwli
Mungu ndiye mweza yote
Congratulations 🎊 baba joeli🎉🎉
Movie nzuri ❤❤
Mwalimu mgeni iendelee please 🥺 from kenya sehemu ya kumi na tatu
analo azisha Mungu mwanadamu hawezi kutenganisha. Kamwe
Kaz nzur❤❤
Nimeipenda San hii
Mfanyakazi hafai mbna
Yaani baba joan wewe ni hatari sana kwa mambo ya sanaa
Duh, utukufu kwa Mungu
Nimeipenda sana
Movie nzuri ya fundisha
Hapa kenya tunakupenda sana
God is everything
Mabinti wa kaz shkamoo ila Mungu anaweza yote
Glory be to God 🙏🙏🙏🙏❤❤🇰🇪🇰🇪
Ety unajua wakorintho sanaa aisee😂😂😂. Et nitajie miaka ya Yesu🙌🙌🙌
A nice of actually ❤❤❤from kenyaaaa
Ee bwana wape watu Hawa kipwa zaidi kwa damu ya yesu kupitia movie hii
Shetani hana mamlaka yoyot 🙏🙏🙏
😂😂😂baba Joan kuigiza uhalisia uwezi. Hv kweli mfanyakazi anatoa mcheko huo nawewe upo karibu nae ndo kusema hujamsikia jmn
Mungu anawesa
Good job
Asante Yesu
Mungu anaweza yote
Hiyo moving iko namadundizo zuri sana, I like it's ❤❤❤❤
Mungu mwema Kila wakat❤❤❤❤
Amen shetani umeshindwa
Mungu ni mwema great lesson
Nimeipenda sana😢😢😢
Congraturation
Amen 🙏🙏🙏🙌
Amina sanaaaaa
❤❤❤❤ from Drcongo goma
😂😂 mungu ninani haaa
Kali san hii
Glory be to God always. Nice movie baba Joan
Kaing'ang'ania hy wakorinto!!!😁
Mungu no mkubwa sana
Waouuu Mungu mkubwa
Mungu yupo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Keep it up ❤❤❤❤❤🙏🙏
God is good
AMEEEEN 🙏 hakuna linalomshinda MUNGU
Mmmmh jmn..hii dunia Kwakweli inamambo 😢😢😢
Good is great