Allah azidi kukufungulia milango ya Rizk, 🙏 nakushauri mwanangu kaa kimya siku Zote zote mti wenye matunda mazuri ndo unapigwa, piga kazi achana na huyo kumuongelea utachelewa
Kwa ushauri Niffer kwasas kwepa Intervew za kujiongelea dili na madili yako ....ili wakuwekeeeee heshima na wapunguze kukufwatilia..... chukua mfano kwa hamisa wa sas
Acha hizo bhanaa ko u she beautiful Sana au ko sisi atufikili dada ndiyo tuseme umepita hatua kidog bc usione umemaliza Sana Tupo wasichana tunapambana shepu yako sio kitangazo dada
Dada acha dharau usifange wewe umekuwa nani halafu mume wako asitembee na gigy money kwa lipi huwajui wanaume kumbe wewe unajifanya una sura anaweza akakuacha na sura yako hapo akachukua hata mfanyakazi wako wa ndani ije kuwa gigy wadada wa bongo tunawajua mshukuru mungu tu umedanga weeeee na nyota ndio imeanza kung'ara wadada wa bongo sijaona mwenye kujielewa
Above 18 we ni mtu mzima sana , we ni mkubwa kama wakubwa wengine , kulingangana na hali ya maisha kila mtu anapambana ndiyo maana kuna vijana chini ya mika 18 wanatafuta maisha na wanapata Rizki kama wewe tofauti wao hawajulikani wewe social media zimefanya tukufahamu , hivyo kwenye udogo mbona hauko mama,
Ana roho nzur kama mimi au brother zangu kuna mmoja marafiki zake walikuwa wakiumwa anawambia twende kwa baba ukachukuwe hela ya hospital na baba naye kwa kuwa ana uluma alikuwa anatowa
Achaa niffer ww huwajui wanaume unawasikia tuu hata Kama atang'ang'ana naww kama ruba hatokuonyesha ila nakucht upo vizr lkn punguza kujigambaa wapo wadogo Sana walioenderea kuliko ww muogope mungu
Miaka 23 ni mtu mzima huna utoto hapo umechelewe kuzaa sahizi ungekuwa na familia yako ,na nyumba yako huna utoto na hiyo shape niyakawaida ungepata shape ya kajala ingekuwaje? Punguza muhemuko come down wenzio giggy hakutaja jina la mtu yeyote, yeye kazungumzia biashara
Pambana na maisha yako mtoto mzr usipambane na wenye maneno kila cku nimekupenda bure achana nao fsnya yako ona Mundi anatukanwagaa lkn hamjibu m2 hata cku moja wanabak na aibu bog up Niffa
Ata mimi napenda kuwasaidia watu ata kama simjuwi kama ninacho nilikuwa nauluma njian utakuta mtu anatokea akinililia ana shida nilikuwa namsaidia au kama sina nipo na mama namwambia mama tumsaidie mama ananijuwa nilivyo
Huyu dada anaroho nzuri sana,alimsaidia rafiki yangu mtandaoni tu kumpa hela ya matibabu,utoaji wake ndio unaofanya anabarikiwa keep it dada 🙏🥰❤️
Kabisaaa
Amazing so impressed, this girl is going so far Mashallah and her faith in God says a lot . Mola atakulinda Niffa keep doing good
This lady is wise,,,much love from kenya
Wat a clever woman! Manshaallah Niffer endelea na maisha yako stay away from watu wasiojielewa
What a clever and wise lady 👍afu ni well educated siyo giggy na croocked English.
Weweeeeeeee, Dada mwogopeni mungu we mdada! We sio mzuri dadaangu, Mke wangu ndo mzuri kuliko wewe,
😂😂😂😂😂
Your beut girl
😂😂😂❤❤❤ nakupenda unavyompenda mkeo hadi unamsuta mtu live 😂😂❤❤❤
@@EstarMichaelyaani 😂🤣🙌🏾
Mashallah nifa allah akusimamie kila hatuwa tunakupenda sanaa😊🥰
Mash Allah nifa Allah akubariki sana nafurahi kuijua vizur dini yako na mola wako Allah akubariki wewe na sisi
I love your personality❣, unapambana nna umri kam wako, i wish to be like you
Kwa ufupi Gigy hapa amepatwa huyu binti is good at her age. Go girl Niffer.
Mashaallah sister sura yako tu inaonesha mtoto ulopata MALEZI MAZURI KWENYE MAISHA YAKO. Wachana na viruka njia...
Namkubali sana uyu dada very bright ❤❤ ubarikiwe mpka waandamane wote
Mimi nilichokupendea ni kuwa pamoja na yote.lkn pia hujamsahau Allah.hili ndo kubwa na zuri sana kwako.
Kabisa tena hapo kwenye dhambi ndogondogo tujiepushe nazo
❤️❤️❤️
hajamsahau Allah wakat yupo uchi huyo
@@CRMEDIA-yd7dp Wacha wivu. Wanokaa na kuvaa uchi huwasemi usiyo wapenda UTAWASEMA..
@@CRMEDIA-yd7dp umeongea points hhahahha Haja msahau Allah wakati yko uchi kwly hna hya mtoto WA kiislamu
Allah azidi kukufungulia milango ya Rizk, 🙏 nakushauri mwanangu kaa kimya siku Zote zote mti wenye matunda mazuri ndo unapigwa, piga kazi achana na huyo kumuongelea utachelewa
Amiin
mimi nimempenda this gal. she is on another level
I like her….. she’s on real it’s my first time to see her…. 🇺🇬🇺🇬
Umenifurahisha. Sana safi kabisa kuniamini. Ndo inavyo takiwa safiiii kabisa ❤❤❤
Mashaallah mungu akubarik unabusara Sana nakupenda niffer ❤wng sanaaa nakuja dar kukuona nakupenda sanaaaaa
❤❤❤❤❤❤
Kabisa yani mama ndio mwalimu wa kwanza kwa mtoto unaushaur mzur san mungu akubariki katika kila unachokifany inshaal
Gosh this Girl is Smart, i just like her...
She is wise Thats why so many haters🤣🤣🤣
What !! It's true Anajiamini..Mashallah anajielewa anajua anachokisema..Ila plse usijibizane na watu wasiokua na msimamo km wako ..Stay calm 🤙
KWAIYOO ANA MIAKA 23 ALAFU ANA DIGRII ALAFU PIA ALIANZAA BIASHARAA AKIWA MDOGO SASA ALISOMA SAANGAPIII
Masha Allah ALLAH azidi kukufungulia milango nifa
Gigy keshakupaisha Dada wengi walikua hawakujui ila kupitia gigy hata mie nimekujua mshukuru gigy bwana
Ila huyu Mtoto ana akili sana,na anajielewa!!anaongea vizuri pia
Nipher unaakili kubwa mno Mungu akuongoze nakukuepusha na husda zawanadam unajitambua sana na unahofu ya Mungu
Good girl 🥰🥰🥰 I love people like this oooooo
Kuanzia Leo shabiki ako Niffer, tena tumezaliwa mwaka mmoja🥰
Nimempenda Sana huyu binti ana akili Sana na ana hofu ya Mungu,hongera mdogo angu
Kwa ushauri Niffer kwasas kwepa Intervew za kujiongelea dili na madili yako ....ili wakuwekeeeee heshima na wapunguze kukufwatilia..... chukua mfano kwa hamisa wa sas
Wahaya tunajiamini sana tunajutambua tuhekima Alhamdulillah💞💞💞💞💞💞ALOVE مئی سویتے نففر
Acha hizo bhanaa ko u she beautiful Sana au ko sisi atufikili dada ndiyo tuseme umepita hatua kidog bc usione umemaliza Sana Tupo wasichana tunapambana shepu yako sio kitangazo dada
Dada acha dharau usifange wewe umekuwa nani halafu mume wako asitembee na gigy money kwa lipi huwajui wanaume kumbe wewe unajifanya una sura anaweza akakuacha na sura yako hapo akachukua hata mfanyakazi wako wa ndani ije kuwa gigy wadada wa bongo tunawajua mshukuru mungu tu umedanga weeeee na nyota ndio imeanza kung'ara wadada wa bongo sijaona mwenye kujielewa
Mi nawaita mataira wamjini
Maisha yana siri kubwa. Hakuna ajuaje kesho. Never say never
Huyu pia nimnafiki anamdomo sana....kiherehere mob ....kama kuna mtu bongo hananga mdomo ni @Esema
Hahahahah mie napendag tu vile wanawake wa tz huwa wana umbri mdog saaana kila mtu hujion bado binti mdog
Dharau za kihaya mama tambaaaaaa mpakaaa wakomeeeeeeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu dada namuonaga tu humu mtandaoni leo ndo nime mjua zaidi nimempenda sana
Km mimi
From Kenya 🇰🇪 this gal is really I vibe nampenda tu bure
Kabila lake Muhaya kutoka Kagera
Pigakazi dada waliokuchukia wanazururatu ovyoo❤❤❤
NAKUPENDA SANA NIFFR NIMTOTO MWENYE HURUMA NAUPENDO NAKILAMTU MUNGU AKUZIDISHIE UPENDO NA AKUONDOSHEE HASADI❤❤❤
hee gigy money hajatajwa mtu is just advise
good girl continue working hard!
uyu niffer ajengewe sanamu😍❤
Na alivomzuri wee
thats the spirit❤️🔥
Above 18 we ni mtu mzima sana , we ni mkubwa kama wakubwa wengine , kulingangana na hali ya maisha kila mtu anapambana ndiyo maana kuna vijana chini ya mika 18 wanatafuta maisha na wanapata Rizki kama wewe tofauti wao hawajulikani wewe social media zimefanya tukufahamu , hivyo kwenye udogo mbona hauko mama,
Nimekupenda bure mdada kwanza una hofu ya Mungu
Nakupenda Sana dada
Yani nimekupenda Hadi nimekupenda ,alafu ni kweli unayo shepu unayo sura unayo akili unayo confidence, kizazi sanaaaa
niffer ni yule wa lukole mtoaji sana kwa watoto yatima God akubariki sana
She's pretty smart
Nakupenda niffer mungu akujalie
Mash Allah umeongea poit kabisa Gigy ata sijui ana mapepoga atakai muoa ana kaz
Big up my young sister achana nao
Mbona unang'ang'aniaa sana ww ni mdogoo🤣🤣
Hongera Sana umeongea vzr Sana achana na wajinga songa mbele MUNGU atakusaidia zaidi
NIFFER nakupenda bure ...mngu. Akulinde na kila shari. ..💟
Nampenda sana dada niffer yan gigy likorofiii sanaa
Masha Allah
Kwanza me nimependa unajikubali my dia kweli we ni mrembo. Na lazima umshukuru mungu jinsi alivyokuumba
Ana roho nzur kama mimi au brother zangu kuna mmoja marafiki zake walikuwa wakiumwa anawambia twende kwa baba ukachukuwe hela ya hospital na baba naye kwa kuwa ana uluma alikuwa anatowa
Nakupenda unajiamini achana nawajinga
Love you ❤️❤️❤️❤️gigyyy mapesaa
Waooo naenda kukufollow Nifer sasa hivi
DD uko juu ww achana na wwlimwengu fanya kazi t
Mashaallah, nimependa kwasababu humsahau Allah
Mhaya msomi , unajielewa Niffer , wahaya kabila kubwa , nakupenda Niffer.
Media za bongo ndiyo zimepata cha kuongea sasa Niffer dear punguza ma interview unampa Kiki gigi hana akili yy kuropoka tu
hakuna mtu asie na akili mbona anaishi maisha yake
@@samwa9496 Ni kweli ila anavyojitoaga akili mpk anaonekana kama hana akili
Masha Allah tabarakaAllah
Niffer nampenda bure❤❤❤❤
I love you Niffah!
Your perfect girl I love you
Achaa niffer ww huwajui wanaume unawasikia tuu hata Kama atang'ang'ana naww kama ruba hatokuonyesha ila nakucht upo vizr lkn punguza kujigambaa wapo wadogo Sana walioenderea kuliko ww muogope mungu
Well talk
Miaka 23 ni mtu mzima huna utoto hapo umechelewe kuzaa sahizi ungekuwa na familia yako ,na nyumba yako huna utoto na hiyo shape niyakawaida ungepata shape ya kajala ingekuwaje? Punguza muhemuko come down wenzio giggy hakutaja jina la mtu yeyote, yeye kazungumzia biashara
Wivu acheni makasiriko Nafferton anajikubali
Nashangaa
Wacha wivi huu ni wakati wake nifa
@@zaidihussein4311 hata wewe pia niwakati wako pia hamna mwenye wakati wake Kwa mungu cha msingi ni uhai na afya njema thats all .
Aseeeee nimependa sana anajitambua
Nimekupenda sana nife wake mashaallah
Dhuu umeongea point
Pambana na maisha yako mtoto mzr usipambane na wenye maneno kila cku nimekupenda bure achana nao fsnya yako ona Mundi anatukanwagaa lkn hamjibu m2 hata cku moja wanabak na aibu bog up Niffa
Mdogo wangu kaza buti uko vizur Mungu aendelee kukusimamia
Nimekupenda san nifa wenimwislam achana nauyo Gig kama kalaniwauyo
Huyu dada ni kichwa hata anaongea km mtu mwenye akili
Ameenda shule iyo kidogo inamtoa ile hali ya uchokaraa na ushangingi usio na msingi
Hahahahahahah kumbe hanaaaaa alf
Sana kbs
Mungu amjalie
Gigy Wachana na Niffer si classy Yako humfiki bana.Niffer anabidii sana.
Me ni mdogo,,,ni mzuri,,Nina shepu. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Niffer apriciet❤❤❤❤
Dada Ana roho nzurii sana huyu
Kumbe jamaa yng muhaya hongera
my niffer chapa kazi mama achana na watu wanao tafuta umaarufu kwaku ongeleya wengine
Uyu binti nimependa anaofu na mungu usibadilike mdogowangu
Hofu ya Mungu kutembea Uchi nywele za kubandika wakati Allah kawalaani
Uchi minywele ya mibandiko tn mitandaoni ndio hofu ya Allah..Astaghfirullah
Niffer ajengewe mnara, 💪💪💪
Ata mimi napenda kuwasaidia watu ata kama simjuwi kama ninacho nilikuwa nauluma njian utakuta mtu anatokea akinililia ana shida nilikuwa namsaidia au kama sina nipo na mama namwambia mama tumsaidie mama ananijuwa nilivyo
Mzr niyule mwenye kustir maungo byake
Kweli una akili huwez kuwa km Gigi zakujiongeza ila km unajua sheria za Allah badilika vaa star funika kichwa nimekupenda bure
I like her wisdom
Piga kazi mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe unaakili sana
Dada nakupenda, unajitambua
dada ang nakupenda mno sana
Thanks my love sister don't care about gigy she is mad so never mind her
Niffer Allah akuongo napenda vile unamtaja Allah na mtume wake
Mummy uar so grt mungu akulinde na azidi kukupa hekma dear
Uzuri wake hajapaka mkorogo her beauty is natural
Nakupenda bule niffer
Nifah ni binti anajielewa sana walai na mungu ampe umri mrefu
Nakupenda mpenzi
Kama diamond na harmonize kuona harmo kawa juu loo wivu ni mbaya mmmmh