UTATA KIFO CHA KAWAWA/ALITOKA NYUMBANI MZIMA/ALINIOA NIKIWA NA WATOTO/TOFAUTI ZA FAMILIA ZILIKUWEPO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

ความคิดเห็น • 159

  • @alfredfuteh573
    @alfredfuteh573 2 หลายเดือนก่อน +8

    Inshallah. Mungu ampumzishe Mzee wetu. Mzee Kawawa alikuwa Mtu wa watu. Namkumbuka Mzee kwa kuwa mwingi wa shukrani. Nikiwa nafanya kazi CCT tulifadhili mradi wa maji Kiluvya. Kwa kila hatua tuliyofikia alikuwa akituita nyumbani kwake Dodoma na Kiluvya kushukuru bila kujali wadhifa wake. Kweli Mola amrehemu.

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 2 หลายเดือนก่อน +3

    Shukrani mr Lambati kwa kutuletea hii interview nzuri sana sana, well done

  • @abelminja2443
    @abelminja2443 2 หลายเดือนก่อน +10

    Aisee Nimempenda Sana Huyu Mama. Tafadhali Taifa Limpe Heshima Anayostahili

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu mama ana hekma sana,na anamaadili sana mashallah HONGERA sana mama yetu ,Kwa kumlea vizuri Mzee wetu kawawa.

    • @K-go1qj
      @K-go1qj หลายเดือนก่อน +1

      Aache kuweka hayo marangi rangi kwenye kope umri ushamwenda

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni mwanamke sio mwanaume mapambo kwake ni ibada

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mama Kwa Stori yako nzuri ya maisha yako tena iliojaa maadili

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v หลายเดือนก่อน +1

    Mwanahabari Ambae moyo wake una chembe nyingi za kheri na imani.Mtu anae huzunishwa na maumivu ya watu wengine hua namuheshimu sana

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nimefurahi sana huyu mama yupo vizuri."Ubarikiwe mama".

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v หลายเดือนก่อน +3

    Mama amekua mtu mzima lakini uzuri wake bado unajitokeza.Mola amrehemu mzee kawawa

  • @elizabethmwakalinga3287
    @elizabethmwakalinga3287 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana mama.Nimekupenda sana

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 2 หลายเดือนก่อน +6

    Anti yangu wa Tabora Asante kwa Elimu Na historia ya Mzee

    • @HARUNSIMON-hj6up
      @HARUNSIMON-hj6up 23 วันที่ผ่านมา

      Joyce. Upo wapi ndugu yangu, mie hyu pia ni shangazi yangu asili ya hyu Mama tunaijua sisi watu ichemba ulyankulu, ni kitukuu cha Babu mkubwa alie fia vita ya 2 ya Dunia aliitwa Mlolwa kazeva kidete, Babu hyu alioa mwana Fwamba watu wa chemchem Tabora mjni

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 หลายเดือนก่อน +9

    Masha Allah Mama mrembo

    • @AshuuSaid-ke1kx
      @AshuuSaid-ke1kx 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sanaaa manshallah umeniwahi tu kusema

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 2 หลายเดือนก่อน +2

      @@AshuuSaid-ke1kx ni mrembo aisee

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sanaa

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@AshuuSaid-ke1kxMasha Allah

  • @asiamohamed8431
    @asiamohamed8431 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekupenda bure habibty Asina. Umeongea vizuri sana.

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala7774 2 หลายเดือนก่อน +19

    Mtangazaji ana nizamu hongera sana

    • @Nedjadist
      @Nedjadist 2 หลายเดือนก่อน +3

      nidhamu.

  • @user-zq1hy1ec5n
    @user-zq1hy1ec5n 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mama wa Tabora mwenzangu mazungumzo Yako yana elimu kubwa nda ni yake mungu akupe umri mrefu hekima na busara zako hazina mfano

  • @user-ni9zc3gx5t
    @user-ni9zc3gx5t 2 หลายเดือนก่อน +4

    Uyu mama mkweli kabisa baba yangu alikua rafiki yake sana na kawawa kweli alikua mtoaji mungu amrehemu uko halipo

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee Kawawa alikuwa mzalendo wa dhati,Mungu amlaze pema peponi!!

  • @nalcisjosef
    @nalcisjosef 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekumbuka mbali sana. Nimefurai sana

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 2 หลายเดือนก่อน +2

    Alikuwa ameoa msichana mdogo ❤

  • @abelminja2443
    @abelminja2443 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa Kweli huyu Mama Alifaa Kuwa Mke wa Kiongozi.
    ___
    Anaongea Vema Sana

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 2 หลายเดือนก่อน +6

    Lambat unastahili kuwa bbc au Dw kiswahili big up bro

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 2 หลายเดือนก่อน

      Anafaha sana kuwa BBC mm namlinganisha na Salim kikeke

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana. Tukumbuke mhasisi mzee kawawa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 หลายเดือนก่อน

      Mhasisi🤔🤔🤔🤔🤔

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 หลายเดือนก่อน +5

    MIMI SIKUJUWA KAMA KAWAWA ALIOWA TENAA. MIMI NAMJUWA MAMA SOFIA. NA MAMA MFAUME MWALIM WANGU MKUU SHULE YA TURIANI MAGOMENI. (MAMA ZARIA,). HUYO NAONA ALIOLEWA BAADA YA KUFA HAO WENGINE.

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 2 หลายเดือนก่อน

      Safia kawawa alikua mkuu wa umoja wa wanawake Tanzania

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu mama atakua kaolewa n( kawawa ))akiwa mzee manake Angekua hai atakua na miaka 98 na miezi Karibia 6😮

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u หลายเดือนก่อน

      Alimuowa mwanamke mwengine wa morogoro mbulushi nadhani anaitwa fatma

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kwa interview nzuri

  • @K-go1qj
    @K-go1qj หลายเดือนก่อน

    Wapigania uhuru walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus baada ya uhuru wakajigeuza wakoloni weusi wakinufaika wao na matunda ya Uhuru

  • @nassorissa8779
    @nassorissa8779 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda sana interview nimempenda pia mama

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole Mama! Ninajua maumivu yako😢

  • @ThomasMselewa
    @ThomasMselewa 2 หลายเดือนก่อน

    Mama yupo vizuri sana anaongea vizuri na ana Kila sababu ya kuwa hapo alipo hongera sana kwake

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 หลายเดือนก่อน

    Tunashukru MAMA kwa kutupa historia ya kaka mzee Kawawa❤❤❤👍👍👍🙏🙏

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mwanamke mekap, ulijiandaa.

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lambert, na Shaaban maalim kondo.The best from This channel

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mtangazaji ana hoji vzr

  • @HawaMasoud-xw3ii
    @HawaMasoud-xw3ii 2 หลายเดือนก่อน

    Allahumma ighfir lahou warhamhou

  • @nemaJuma-u5o
    @nemaJuma-u5o หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda hii❤

  • @RichardAmaro-pv8po
    @RichardAmaro-pv8po 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nimekumbuka mengi kumhusu Mzee wetu Waziri Mkuu mstaafu Hayati Rashid Mfaume Kawawa. Simba wa vita wengi wetu tumemsahau katika historia ya mchakato wa Uhuru wa Tanganyika na hatimaye Tanzania. Naiomba serikali yetu tukufu chini ya uongozi thabiti wa mama yetu mpendwa Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuona haja ya kuanzisha harakati ya kumbukizi za kumuenzi Hayati Rashid M. Kawawa kwa ajili ya mengi aliyoyafanyia nchi yetu.

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 2 หลายเดือนก่อน +2

    Et nyati nane duuuuh cc wananchi wa kawaida tunaambiwa majangil duuuuh

  • @ainesndosi4759
    @ainesndosi4759 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama anajipenda sana

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekupenda mama na nimejifunza kitu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mama.Wifi yangu❤❤❤❤❤ mimi wa songea👍👍👍

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 2 หลายเดือนก่อน +1

    Interesting

  • @cyrilkessy3032
    @cyrilkessy3032 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mama Kawawa

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bibi yangu kabisa wa mtaani kwetu mtaa wa Gongoni Tabora Mjini

    • @HARUNSIMON-hj6up
      @HARUNSIMON-hj6up 23 วันที่ผ่านมา

      Pale kwa athuman famba ni chemchem au gongon? Eti ndgu

  • @henryjohn3576
    @henryjohn3576 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee alikuwa mchapakazi mzuri tulimtembelea KijijinI kwake songea ni mkatimu sana

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 2 หลายเดือนก่อน

    Umerudi dar 24 mkuu? Nilikuona zamaradi tv wakati fulani...mimi shabiki yako dam ulipo nipo you are doing great job miongoni mwa vijana

  • @asiamohamed8431
    @asiamohamed8431 2 หลายเดือนก่อน

    Allaah Mtukufu amsamehe baba yetu mzee Rashid Kawawa

  • @DianaElias-d1v
    @DianaElias-d1v 12 วันที่ผ่านมา

    Kwa sasa hatuna viongoz,bali ni manyang'au tupu.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee alioo huyo na watoto wengi tu wakutosha na nje ya ndoa

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wake wa viongoz wote wapo😅,,

    • @K-go1qj
      @K-go1qj หลายเดือนก่อน

      Wanaume uwahi kufa

  • @AzzaNassor
    @AzzaNassor 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mama Ana kauli nalugha tamu hachoshi kumsikiza.

  • @K-go1qj
    @K-go1qj หลายเดือนก่อน

    Mke akiwa na dini raha sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji ni miaka minane siyo miyaka nane. Unomfanyiya interview amesema sahihi miaka minane. Asante

    • @godfreykitebo7382
      @godfreykitebo7382 2 หลายเดือนก่อน +1

      We nae ni walewale Sio miyaka ni miaka

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama nimempenda sana

  • @nicholausmnzava3101
    @nicholausmnzava3101 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mama yangu, wewe ni mama na mke

  • @user-qh2bx5em6j
    @user-qh2bx5em6j 2 หลายเดือนก่อน

    Mama unaongea vizuri sana

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 2 หลายเดือนก่อน

    Interview nzuri, yenye hekma, yenye6mafunzo mazuri.

  • @sanaf8367
    @sanaf8367 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hicho chama cha viongozi ni uchakatuzi wa fedha tu hakuna jengine

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 2 หลายเดือนก่อน +1

    Apumzike kwa amani mzee kawawa 😢

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 2 หลายเดือนก่อน

    Yaan serikali imeshindwa kumjengea ata nyumba nzuri

  • @bongo39
    @bongo39 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sio mbadhirifu kabisa nyumba za wahindi nyingi walizitaifisha ili tuwe nao sawa vizuri sana wamefanya na pepo yao wataipata huko kwa mungu kwa wema waliotufanyia watanzania kutupa nyumba za msajili

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 2 หลายเดือนก่อน

      Una mshukuru mwizi???wewe ukiibiwa kitu kidogo utakubali????

    • @mohammadiali3890
      @mohammadiali3890 2 หลายเดือนก่อน

      Acha roho mbaya na kuwa na Adabu

  • @user-qg3kf1ue7z
    @user-qg3kf1ue7z 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ogapa Watu au mtupu mtu anaeweza kujinunua kwa bakuli 3 za pilau.....kizazi hiki cha damu ya binadamu na Kafara za damu ya Kafara kinawaka moto....

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z 2 หลายเดือนก่อน +2

    Utata wanini kila mtu atakufa aina yake wote si kwamba wataumwa kunawatakaokufa ghafla yaani kila mtu alivyoandikiwa hakuna anayejuwa hata jkiwa mgonjwa unaeza kufa jambo lengine

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv หลายเดือนก่อน

    Nadhani alikuwa streight sana au alikuwa hana mba mba mba kama jpm coz ndani ya ccm ukiwa streight sana Yu must know one Yu will be r.l.p

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rashid!

  • @K-go1qj
    @K-go1qj หลายเดือนก่อน

    Kawawa alikuwa mkarimu na mwema sana

  • @user-dl4rw6fo6x
    @user-dl4rw6fo6x 2 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi usomeke hivi: Stanislaus Lambert 🙌🏿

  • @OSCARJOHNSON-dz2rx
    @OSCARJOHNSON-dz2rx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mavazi yale ya lubega walipenda kuvaa Marafiki zao Marais kwame Nkrumar wa Ghana na Sekou Toure wa Guinea

  • @herbertbathlomeo4650
    @herbertbathlomeo4650 2 หลายเดือนก่อน +1

    vizuri kwa interview

  • @hamisiponza-te7xj
    @hamisiponza-te7xj หลายเดือนก่อน

    Alikuwa bendera anafuata upepo tu dimema mmh! Dihinda mmh akapigwa makofi na oscar k

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu 2 หลายเดือนก่อน

    Nimevutiwa saana na maelezo ya Mama Asina

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 หลายเดือนก่อน +2

    SASA HAYO SIYO MAHOJIANI NI HADISI. M

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 2 หลายเดือนก่อน

      Ni hadithi 😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 หลายเดือนก่อน

      Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo hadisi😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fathefirst1935
      @fathefirst1935 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu mama ni mzungumzaji mzuri

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 2 หลายเดือนก่อน

    Story teller

  • @user-ux3jl9cl4w
    @user-ux3jl9cl4w 2 หลายเดือนก่อน

    Liware jaman, saiv tumetupwa akuna at barabara

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 2 หลายเดือนก่อน

    Oooh bagamoyo sasa naanz kupat picha

  • @allykigatta7564
    @allykigatta7564 2 หลายเดือนก่อน +3

    ...kumbe MIBANDIRIFU YA MALI YA UMMA IPO KILA WAKATI...ASA UNATOA AMRI NYATI 8 ULETEWE KISHA MNASEMA NI MALI ZETU WOTE...hapo mkimkamata mtu kapiga swala mmoja tu anafungwa miaka 20...NCHI HII MTI SAFI NI MAKONDA...MAGUFULI...POLEPOLE...BASHIRU NA KABUDI.

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @ashahamad-mq3iz
      @ashahamad-mq3iz 2 หลายเดือนก่อน

      Jamani Viongozi nyote ni Wachungaji na Mutaulizwa mulioyowafanyia Wananchi wenu kazi kwenu muogope Allah na siku ya Kiama wache Dhuluma Wizi na uuwaji na wizi wa kura

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ali Kigata acha kuongea utumbo, kwani hao nyati mzee Kawawa alikula peke yake na familia yake?! Mbona kawagawa kwa watanzania tena kaenda kutoa sadaka Bagamoyo kwa Sheikh Ramia mahala ambapo yalipofanyika maombi makubwa ya kuombea uhuru wa taifa letu na kina mwalimu Nyerere waliombewa hapo na uhuru ukapatikana. Mzee Kawawa kwenda kutoa sadaka ya nyama ya nyati mahala hapo na watanzania wa eneo hilo wakala kwani kuna ubaya gani?! Acha roho mbaya na chuki kaka hazitakusaia kitu.

    • @user13375
      @user13375 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@rayisadesigns2646unajifanya mwema kwa mali ya umma, nyati si wa viongozi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@rayisadesigns2646Hajielewi hapo ni watanganyika walivuna mazao yao ya wanyama haikuwa ufisadi

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b 2 หลายเดือนก่อน

    Kiss kizuri sauna . Mkewe amezungumza na mzungumzaji mzuri

  • @omarali797
    @omarali797 2 หลายเดือนก่อน

    2009 Kikwete ni rais, vipi Mwinyi hataki kuja kwa pako wazi?

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 หลายเดือนก่อน

    Namba 8 inaashiria mauti
    Namba 6 inaashiria maradhi

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 2 หลายเดือนก่อน

    Wapi hapo rufiji au bagamoyo

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mselamsela machoni🤣🤣.

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 2 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @mvullamanase
    @mvullamanase 2 หลายเดือนก่อน

    Speech yake ni kama Samia Suluhu. Sometime

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani 😢

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 หลายเดือนก่อน

    Kifo😭😭

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 2 หลายเดือนก่อน

    UWINDAJI WANYAMA PORI S POA HAPANA

  • @Ommylayzah_tz
    @Ommylayzah_tz 2 หลายเดือนก่อน

    RIP KAWAWA MZEE WA CHAI

  • @fatumamisinga6211
    @fatumamisinga6211 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmh mpodo

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kawawa c mpigania uhuru wa Tanganyika bali alikua mpambe wa nyerere huyo kazaliwa kusini uko maana umetaja miaka bila sehem alipotoka.

    • @geofreyngole242
      @geofreyngole242 2 หลายเดือนก่อน

      Kawawa alikuwa Kiongozi wa chama Cha wafanyakazi wa africa.
      Ktk harakati kundi Hilo lilijihusha kudai Uhuru wa Tanganyika.
      So hakuwa mpambe wa mwl Nyerere tuu ila mpambanaji sawia na mwl Nyerere

    • @farijala1
      @farijala1 2 หลายเดือนก่อน

      Mnambiwa someni Historia Mjue utamu wake.KWa taarifa. Huyo unayesema hakuwa Mopigania Uhuru, Ndio alikuwa Rais wa kwanza

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb 2 หลายเดือนก่อน

      @@farijala1 sasa Abdul wahid sykes alikua nani ? John lupi,Abdallah chaurembo,mohamed tamaza ,mwalimu nyerere, mwinjuma,suleiman takadini,na n.k hiyo tanganyika wewe ujasoma umekalili hadi leo umeme wa mgao Zanzibar hakuna umeme wa mgao na umeme unatoka Bara nchini kwenu wehu nyie na wasomi wenu wajinga

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 2 หลายเดือนก่อน

      Watu wengi wanafikiri Kawawa hakuwa msomi,Jambo ambalo siyo kweli!,

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@farijala1Alikuwa raisi wa kwanza kawawa kweli ilikuwa unashika number one 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @aziza9093
    @aziza9093 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @lawagustino1887
    @lawagustino1887 2 หลายเดือนก่อน

    Aisee huyu mama jembe.

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanamwali?????
    Lahaula

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 2 หลายเดือนก่อน

    Asina kawawa????
    Why she was married to her Father, that is Jewish tradition

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of 2 หลายเดือนก่อน

      Ukafir unapokomaa ni tatizo kubwa sana pole yako kijana

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry หลายเดือนก่อน

      Aliolewa na Kawawa sio baba yake wacha kufuru. Baba haoi mtoto wake ni kharam kiislamu labda kwenu. Mtoto wake kaolewa na mume mwengine amtakaye. Kwenu ndio mnaowana baba na mtoto.

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 2 หลายเดือนก่อน

    Non believer*

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wakiua nyati hata swala wananchi wa kawaida mnawaita majangili kumbe majangili wakubwa wakubwa wanaojifanya kutetea maslahi ya nchi wakati wanaila.

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 2 หลายเดือนก่อน

      WEWE WACHA UJINGA NYATI SITA KWA KIONGOZI ALIETAFUTA UHURU WA TAIFA HILI WEWE UNAKULA RAHA TU PAKA WEWE NYATI KAWAGAWA KWA JAMII

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 2 หลายเดือนก่อน

      Nyati aliomba kibali cha halali nyerere na kawawa nyati 6 ni kitu gani kuwa na adabu leo unajidai unaishi vizuri unawajua waliyofanya uwe hivyo punda wewe

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 2 หลายเดือนก่อน

      Mkuu wa nchi mstaafu mkombozi mzalendo aliemsaidia nyerere kwenye harakati zake halafu unamfananisha majingili mwehu wewe

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 2 หลายเดือนก่อน

      Hawa viongozi waliitumikia taifa kwa uaminifu hawakuwa mafisadi nyati 6 sio jambo la kuhoji kwa kawawa kuwa na akili

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@saidbakar-qo6ri Siyo wao waliotuambia na kutuaminisha kuwa binadamu wote ni sawa? Je kama kila mtanzania atahitaji kula atakavyo, hao wanyama watanusurika? Msikilize mjane akieleza namna wahusika walivyostuka kwa Kawawa kutaka nyati wanane. Sikiliza uzuri badala ya kukurupuka na mapenzi kibubusa.

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nyerere aliuinua ukatoliki na kuupa kipaumbele mno hapa Tanzania na mengine mengi ya kiitikadi yake.
    Kawawa yeye sijaona na nafasi yake iliyosaidia dini yake na alama alizoacha ndani ya uislamu tangu aingie madarakani

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio uzembe walioufanya

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s 2 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo unexaliwa mwaka gani. Nyerere huyohuyo alitaifisha shule za katoliki.ili dininnyinginevwasome. Unalijua hiyo. Sijamsikiliza mpaka mwushonhuyunni.mke mdogo wamiaja mine kama sikosei.

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe hukupenda kusoma umekuwa mjinga unatia aibu hujielewi hujui unachosema, kichwa kimejaa mavi hicho. Nyerere alipendelea sana waislamu na ndio wanaoongoza kwa kumtukana na kumchukia kwa sababu ya ujinga. Ama kweli Nguruwe ni nguruwe tu hata umfanyeje. Nyerere kanyang’anya wakatoliki mali zao walizonenga kwa sadaka za waumini; mashule ya mapadre na masista, vyuo, mahospitali n.k. Kachukuwa kwa nguvu kafanya mali za serikali ili wananchi wa dini zote wazitumie kwa kuwa serikali hai kuwa bado na uwezo wa kutosheleza mahitaji. Ingekuwa hizo mali ni za waislamu zimechukuliwa leo hii kungekuwa na vita nchi hii. Unafiki na uwongo na roho mbaya na hiyana ndio asili yenu. Mkapa nae kawapa chuo cha Kiislamu ambacho ni majengo ya 𝙏𝙖𝙣𝙚𝙨𝙘𝙤 iliyojengwa na watu wa dini zote amewapa waislamu waanzishe chuo cha dini yao hadi leo wameshindwa kukikuza au kuongeza chochote ni kugombana tu kila siku huyu kalıba kile huyu kadhulumu hiki, wanafiki laanatullah. Mnamlaumu Nyerere kwa lipi? Nyie mnajuwa umalaya tu kazi hamfanyi, Shule hamtaki, mali za bakwata masheikh wanauza wanawazumguka waislamu wenzao, dhulma tupu , kuna uislamu hapo? Siku mkiacha unafiki mkawa wakweli na mkapenda elimu mtajuwa shida yenu ni ujinga tu sio kingine.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 2 หลายเดือนก่อน

      Nyinyi wabaguzi sana. Umeamua kuleta agenda za udini. Hovyo kabisa

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mlinzi " Luanda " wa ukae
    mtu wa system,

    • @piuskusenge-jf2ob
      @piuskusenge-jf2ob 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 Mama nimempenda Yuko very charming, pia ni muwazi, safi

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 2 หลายเดือนก่อน

    Now I can understand the guy unbelievable (kafir) that is why he did not know how to respect a muslima widow putting into consideration the Marhum is not around. Allah almusta3an

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 2 หลายเดือนก่อน

    MZEE KAWAWA....MPIGANIA UHURU...MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....ALIISHI MAISHA HALISI YA KITANZANIA.

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 หลายเดือนก่อน

    Kawawa kataifisha nyumba za wahindi kwa Nini zake kama kafanya ivyo munategemea Nini

    • @mamlomamlo9064
      @mamlomamlo9064 2 หลายเดือนก่อน

      Atakiona huko Cha moto mbele ya Allah