VIJANA WAWILI WATEKWA na WATU WASIOJULIKANA DAR - SIKU ya 11 HAWAJAONEKANA - MOCHWARI -POLISI HAWAPO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- VIJANA WAWILI WATEKWA na WATU WASIOJULIKANA DAR - SIKU ya 11 HAWAJAONEKANA - MOCHWARI - POLISI HAWAPO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Poleni sana wazazi wenzetu mtt anauma sana sana
Tena sana kabisa ataingekua mtoto wajiran lazma ulie
Nimtihani wakidunia ,ila vijanawetu wanasiri nyingi wanazoshiki bila wazaz kujua ,ila Mungu atusaidie nahii mitihani ,Amiin
Nchi iko vibaya sababu ya haki kutoweka na sisi wananchi tumeruhusu haya jb ni moja tu kushirikiana mfano aliyesema kuwapoteza yule alitakiwa atupe majb yote ilituwajue watekaji ni akina nani? Mungu tusaidie kazi tunayo binadamu wabaya sn
Maombi ni muhimu mno nchi Iko kubaya utu umeondoka chuki tuu imetawala
Sielewi Kwanini Aya Mambo Yanakua Asikali Wamesomea Upelelezi Kwanini Aya Mambo Yako Nchini
Polisi wangewasaidia kuulizia polisi stations nyingine kuliko wa mama kuhangaika hivyo jamani
Au jamani wale wanaoiba watu Na kuwatoa viungo wamekuja Tanzani jamani. Hayo mambo yalitokea Kenya Vinatishaa poleni sana mungu awasaidie wapatikane.
sio kenya tu na tanzania yalikuepo awam ya kikwete watu waliuzwa sana viungo hadi ma albino waliuzwa sana na watanzania watoto kwa wakubwa wamepotea sana
Subuhanallah.
Hakuna ni police ukiwa unanunua simu za wizi au mwizi BC wanakuchukua na hautoonekana Kaka angu alikuwa ananunu simu za wizi hatujamuona miezi 3 ila nguo simu zimekutwa chalinze na alifatwa na gari la police 😢i@@aishaalbalushaishabalush8291nchi inatunyoosha
Pole mama mungu atatusaidia ataonekana kua na subra waulizeni hao vijana wenziwao watakupa ushirikiano
Pole Mwanamke mwenzangu' nafahmu ni maumivu gani unayopitia
Subuhanallah. Wasiojulikana. Ila Mungu anawajua. Nawao sikuyao ipo mojatu. Watamjua tyalowaumba kujakutekawenzao huku Duniani ukali wake. Kwakuwazurumu watu nafsizao Duniani. Sijui wanajiamini nini maana nawao punzinzao amemiliki Mungu. Tu nimmoja. Sasa nae mungu akiamua.lake sijui nyue mtasemaje. Msiyojulikana
Pole sana jaman huruma
Pole sana mamaaangu pole mungu atasimama
Dah pole Sana ndugu yetu mitihani mizito
Mungu akupe subra yaarabi. Allah hakem Karim. Tunaomba allah afanye wepesi apatikane.
Jamani Tanzania yangu tunakwenda wapi jamaniiiiiiii 😭😭😭😭
Inshaaallah Biidhini lahi Qareem hapo tusomeni ALBADIRI Watawaachia wenyewe Inshaaallah🙏Allah awalinde
Pole dada nakupoterewa na mwanao mpendwa
YAA RABBY TULINDE TULINDIE WATU WETU PIA Na sote
pole sana
Mmmmhhh je kwann amkuchukua namba ya gari?
Inauma
Hee mungu hii dunia sijuwi tunaekerekea wapi Mana Kira siku majanga yani ukirara ndani ukiamka sarama mshukuru mungu mana binadamu tumekuwa kama wanyama mauwaji yamezidi watu wanatekwa onvo ivi mungu akushusha raana tutasema anatuonea au mana tumezidi jamani
Mtihani
Tujitaidi pia kuchunguza tabia za watoto wetu hasa vijana tufahamu wanashuulika na nn ili kuwe na mwanzo mzuri wakuanzia, tusiilaumu tu serikali😢😢😢
Hapana hawawatu spesho wanaifanyahi kazi kunakitutu tz hapo. Nasiyo waalifu hawawanachukua watowowotetu
Tusilaumu tu hilo ndy oni lako ni sawa lkn inshu yetu sisi ni watekaji hata kama hao vijana wanamakosa sheria zipo wapelekwe police sio kwenda kuwaua mm naamini yote hayo tatapita tu haya yote ni nchi bado inajitafuta ktk kujitafuta mengi tunashudia ukiangalia hata viongozi wetu wa kiafrika hawachaguliwi kuongoza nchi ball kuiba ni wezi sn wote wakubwa kwa wadogo so nichangamoro sn kunawakati nafikiri bora kuwa na Rais wa mkataba mwanauchumi tunampa tunachokitaka anauwezo anapewa nchi lkn nchi inakuwa mikononi mwa jeshi na mkataba ukiisha hajafanya aliyotuahidi afungwe iliwasikimbilie sn Ikulu kwani hiko wanaenda kuiba tu hawana kz nakujigeuza miungu taboa hoi tunayo sn waafrika pumbavu zet.u
Hapo unaona kwa akili zako umetoa maoni?
Hii nchi ngumu sana kwakweli!
We Sada kua na Akili japo kidogo na kama huna la kusema ni Bora ufunge Bakuli lako. Hata kama tabia za Vijana ni mbaya na iwe wameiba kweli, ni jukumu la Polisi kuwapeleka Mahkamani na sio kuwapoteza kama hivo. Nchi yetu inaendeshwa Kwa kumfuata Sheria. Inaonesha hujui Uchungu wa Mwana wewe pumbavu zako wewe.
Yaani umeandika pumba kabisa
Jamani tuna kwenda wapi tAnzania ni aibu kubwa sana tuishi maisha ya hofu Kwa nini nini
Yani watu wameshindwa hata kunasa namba za usajili za hiyo gari?
Baaadae ndio tutasikia oooo,,wale walikuwa viongozi wa panya road na matukio yao tunaambiwa waliyo yafanya na baadae majirani wanajitokeza kupongeza serikali kwa kazi nzuri
Pole sana swali ssna fanya nyiradi amka ucku usimame
Na ss raia tujifunze mkiona gar inawachukua watu kwann msihoji kwann msipige kelele jmn? Hv watapotea wengi mana ss kwa sisi hatuna ushirukiano
Mmmh mkuu muda mwingin wanakuja na mashine gun
Poleni sana jamani mung atafanya wepesi
Poleni ndugu zangu yani roho zetu zipo mkononi kwa vijana wetu
Pole sana mama 😢😢
Jaman nanyiny majangiri mutuachie watoto wetu jaman
Tutauliwa. Sana maana tumezoea kila kitu tumuachie mungu
Pole jamani uchunqu tunayo sikiya sisi kina mama mungu ndo yuwajuwa
Serikali jmn nchi imekuwa nahofu kwamambo yautekaji.Tusaidieni jmn watu wamekuwa sio waoga jmn.Tutatakwisha,tusaidie jmn wananchi wenu.Mama Samia tusaidie watanzania wako.
Subhannallh 😢
Pole Sana Kwa kweli Una maumivu makali Sana jamani tuvae viatu vya wahusika
Mmh 😢
Mungu atamleta
Mama samiya na majeshi yake hili sakata lakupotrya watu ovyo walichunguze ili litokomee maana itakuwa nchi haina amani
Mama samia tusaidie😢😢😢😢
Mhh
Pole dads
Acha niandike kwa upole.serekali na police tunaiomba jamani.huu utaratibu wa kusema ukaripot baada ya masaa 24 ni mgumu sababu wakati unasubiri massage 24 mambo yanazidi kuharibika.kutake action mapema inaweza kuokoa roho za wengi jamani.ebu tuseme labda usiku huo huo wangeanza kutrack hiyo gari barabarani ingeweza kuwa habari nyingine.
Hmmm
Huu mchezo wa kutekana Kuna mwanang makasi ametkwa mpk leo hajulikan alipo na walikuw wawil alikuj kuchukuwa vingngt.... Walikuw na gar imekutwa mkuranga imetelekezwa .. Mm nahis vijana wanakusanywa na kutolew nje ya miji Kuna kitu wanafnyishwa sio bure kwann wote njia ya huko vitu vyao vnakutwa?????
Mpk Leo amja wapat
Pole sana selekali yetu inajali kula pesa tuu na familia zao hakuna ulinzi wala za laiya wa tz mungu tuangalie kwa mala ya pili tunateseka
Hajuna polisi nchi hii.
kama Asimwe alipatikana na hawa kupatikana inawezekana
Inatisha kwa kweli
😢huij. Bu ji 9 arac 5:30 5:30
Mungu atakusaidia ataonekana kua na subra vijana wengine huwa wanakwenda ubaharia sauz afrca hawaagii
Kutekana tekana ni mambo ya kishamba mbna kipindi cha Magu haya Mambo hayajakuwepo mama punguza misele nchi yako inaoza huku ww upo tu na ndege..... Kaaa uangalie shida za wananchi wako nchi inaoza hiii mama unawachekea Sana uliowapa mamlaka ya kupambana na hzi inshu 😢😢
Eeh mwenyezi Mungu tujaalie wapatikane waki wai
Kwani inakuaje fremason inau
Angalia mwanamke mwenzako anavyolia kwa uchungu unayaacha maviongozi majizi maslah binafsi yanatesa wanyonge jiulize wako akitekwa itakuwaje
Mimi Shem wangu amepotea toka mwezi wa kwanza mpk Leo wako wawili siasa msemwa na Ally mtonji tz tunateseka mno na Hali hii
Watu wasiojulikana wanatokea wakati wa uchaguzi
ndo ushangae sasa jamani
Wakati ule walikuwa msingizia shujaa wetu
UKWELI HII SIKIA TU KWA MWENZAKO USIOMBE IKUKUTE KWENYE FAMILIA YAKO. LKN KWANN WANATEKWA WATU WA KAWAIDA TU KWANN ASITEKWE NA MTOTO WA KIONGOZI YEYOTE😢😢😢😢...... INAUMA SANA. KILA SIKU WATU WASIOJULIKANA HV KWELIIIII😢😢😢
Mmmhhh natamani kuandika lkn Nami nina watoto nisije kuwaponza buree😢
Lia tu ndugu yangu lakinibusifikirie kama kuna serikali itakuunga mkono katika jambo hilo. Allah ndiye mjuzi na mweledi atatoa haki. Na wao wanachukuliwa kwenye hadhara ya shighuli kwanini wasipige makelele raia wakaivamia.
Yanarudia jamn
Hi i ya polisi kusema hawaabdikishi taarifa mpaka masaa 24 yapire haiko sawa
Ukitafakari vizur utakuta hyo ni sawa na ile ya SATIVA
Watanzania tumekuwa wapole saaaana na kama tusipoona tatizo la mwenzetu ni letu basi kupona ni kaz sana
Poleni watanzania lkn sisi tunajua uko kuna amani sana inakuwaje tena mambo ayo
Ndo Mtaijuwa CCM Wamesema wakiwapoteza msiwatafite
Kwa nini polisi iswe na mawasiliano na polisi nzima Kwa muda wa nusu saa wakatoa taarifa ili umma yote ishiriki kuharakisha kwa ujambazi kama huu ukomeshwe badala ya kuchukua poa tu. Polisi ni chombo cha haraka kikiwa na mtandao mkubwa wawajibike vipasavyo. Si kumwachia mzazi majukumu yote.kwa nini watu wasipige mayowe jambo kama hili linavyotokea?. Huko nangurukulu kumepelelezwa?kati ya umati mzima asitokee hata mmoja kuipiga gari picha. Mafunzo yatolewe kwa umma.
Sizani kama mama huyu anakula na kupata Usingizi. M-Mungu atunusuru
Kwani watekaji wanatokea wapi kirasiku wanatekwa serekari iko wapi maana siyo mara yakwanza wara yapiri
MAMBO MENGINE POLISI YA TANZANIA YAKIAJABU MWANANCHI KAPATA TATIZO ZITO USIKU ANAHAMBIWA AJE SIKU YA PILI POLISI WA TANZANIA USIKU HAWAFANYI KAZI????😢😢😢😢
Nenda Tazara police station
Ariechoma picha ya raisi
Tufnye kama kenya vyenginevyo tunajidanganya
Hii usikie kwa mwenzio tu
ROMA MKATOLIKI tusaidie nawewe ulikua mhanga wa hili jambo ( ulishawahi kutekwa )
hichondokimabikikwasasa wamaishapelekwa uwawanakutupwaporini waliwe na. wanyama hayondo maishayetuyasasa
Watu wanajulikana ni askari wa serikali, wakati wa magufuli ilikuwa ni kawaida ya kutekwa watu.
Watoto wa Temeke wanaisha kutekwa kila leo yaani mtu ht km hana matukio anatekwa na police wanasema hawajawaona sasa Serikali yetu sijui inalinda nn
Uyo ramadhan nimesoma nae😢
@@shabanihamis7110 Shule gani?
@@OfficialA83640 miburani ipo temeke hospital Barabara ya kuelekea manispaa
Serekali tunaomba msaidie kupatikana hawa vijana warejeye kwenye mikono ya familiya yao.
Hii ni uchungu kabisa 😭😭😭
Kutekana tekana huu ni uhuni wa kishamba ,weka bunduki chini tubishane kwa hoja maana lengo letu sote kuijenga Tanzania Moja
Huyu mama bhana unamwomba fisi akusaidie kumpata kondoo et police wamsaidie kumtafuta mwanae utasubiri sana, mlilie Mungu mama yangu hao ni fisi. mmmmm😢!
Hata hii kuchukuliana wanawake inaweza changia Sana mtu kukufanyia ubaya anakuwekea kisasi
Acha ouwaga😂na mahusiano yako hao watoto na mahusiano wapi nawapi
Mbona hawawateki watu maarufu Tz?wanatekwa walalahoi
Mbona mchezo wa kutekwa unazidi
Asilimia kubwa porisi wetu ndio vinara kwa utekaje
Sasa kama pikpki inaonekana inavyo tembea kwann wasifukuzie au kufatilia huko ilipo huo uzembe sasa
Msihangaike ni CCM ndo watekaji, nendeni lumumba chomeni moto
Duu yamerudi tena yalee ya miaka ile Mungu tunusulu waja wako
Fanyeni maombi watarudi Tu hao
Mmi ndiomana polici siwapendi abadani. Watabia mbaya mbwahao
Yale yale ya Sativa kutekwa Dar anakutwa Katavi😭
Kituo cha tandika kina laza? hapo sijaelewa
Shida askari wa nchi hii wako kulinda masilahi ya viongozi,wakati wao pia ni maskini,
Watu wasio julikana walimteka mauzinde lakini mwenyewe anasema walikuwa na smz
Matukio ya utekaji yamekuwa kitu cha kawaida watuwamesha zoea kwamaana uchunguzi haujawai kufanyika na majibu yakapatikana kwamaana hiyo wananchi wanamashaka na wachunguzi wa matukio hayo
Sasa mbele za watu na watu wanaangalia ifike mahali wananchi wachue hatua mkononi
jamani watu wote waliokua hapo wameshindwa hata kuivamia gari kwel dar sasa hiv kuna ishu ya kukamata watu wanapelekwa kutolewa Figo inauma
Tanzania ebu simameni pamoja acheni uzembe hii sio Sawa selikali ya hovyo kabisa pata tokea
Nchi imekuwa mbaya sasaiv tunaogopa ata kukoment
Sin lakusema mm juu ya hili ila magu ulale pema peponi ila mambo huko changanyiken tunakukumbuka baba
Je mtamzgizia tena Magufuli?wale mliokuwa msingizia shujaa wetu eti ateka watu mshindwe kabisaa lisu na mbowemkome kumtajataja Magufuli pambane hali zetu 😢
Sasa mnauliza nini wakati sativa ashawaambia alitekwa na polisi kwa hiyo wanaoteka watu ni polisi au usalama wa Taifa
sasahivi hatuwogopi wanyama tunaogopa binadam nawosiwegineni askarijamani. yanihawanahofuya mungu
Duuh