Nadhani Hii imefuatia Baada ya picha za Ramani ya Ikulu ya R aisi Kuvuja mtandanoni. Hii ni hatari kwa Kenya hata baada ya maandamano na Vuguvugu hili kuisha, Maadai wengine wanao uwezo kutumia ramani kufanya Chochote.
huyo mzee Gashagwa kwanza hajui kazi yake..yeye mwenyewe alisema hakuamini wakati kuchaguliwa kama naibu wa raisi..yeye ndio ajiuzulu kwa kutomshauri kiongozi wake🇰🇪🇰🇪💪
Ila Wakenya wamenifurahisha sana…Kuna MP wenye vitambi walikuwa wanatoka mbioo🤣🤣 Sikujua Kama kinawatu wanaweza kuweka mitumbo Yao juu ya kichwa na kukimbia vile🤣🤣
Mmmhh iyo inaitwa ivi kaka sky acha mvua inyeshe Ili tuone panapovuja ndo iyo kaka sky...inamana hawakujuwa kwamba wanachofanya wanawaumiza wananchi?? Au walikuwa wanawajalibu Ili waone watapokeaje?? U have to be serious bwana..maisha ni magumu no ajira zakutosha watu sio waadilifu alafu unawalaumu watu wengine wakati nawengine wamehusika kuchokonoa machungu na mahasira ya wananchi watu hawana furaha za maisha kabisa...unajua siku zote alieshiba kamwe hamjui mwenye njaa..
Kabla Hajji ajiunzulu unatakiwa uanze wewe na huyo ruto wako mpeleke sura ngumu za kunyanyasa wake uko ushagoo
Nadhani Hii imefuatia Baada ya picha za Ramani ya Ikulu ya R aisi Kuvuja mtandanoni. Hii ni hatari kwa Kenya hata baada ya maandamano na Vuguvugu hili kuisha, Maadai wengine wanao uwezo kutumia ramani kufanya Chochote.
Hata yeye makamunwa Rais hana sifa ya kuwa na hiyo safari alishindwaje kumshauru boss wake,tena yeye ndiyoe shida kubwq saana katika uongozi wa ruto
Wakujiuzulu ni wewe mwenyewe na Rutopolo mwenzio mnaweka kodi hadi kwenye kucheka na kuliya 😂😢
Hakuna naibu wa raisi anaropoka Ivo huyu hafai kua naibu raisi
The name is Pronounced 'Gashagwa'.
Other wise mnafanya kazi nzuri
Huyu Dp na boss wake ndio wametuangusha vibaya sana brother sky jama ni mpumbavu sana na akona elimu ndogo sana
huyo mzee Gashagwa kwanza hajui kazi yake..yeye mwenyewe alisema hakuamini wakati kuchaguliwa kama naibu wa raisi..yeye ndio ajiuzulu kwa kutomshauri kiongozi wake🇰🇪🇰🇪💪
Siasa zina mipangilio mswada wa fetha hausishwi na naibu wake kivyovyote vile. Naibu huufuata msimamo wa rais
Ila Wakenya wamenifurahisha sana…Kuna MP wenye vitambi walikuwa wanatoka mbioo🤣🤣 Sikujua Kama kinawatu wanaweza kuweka mitumbo Yao juu ya kichwa na kukimbia vile🤣🤣
Gachagua anafikiria na matako nowdays he shud leave hajji alone
Kwani mkurugenzi wa NIS ndio kapitisha mswada wa finencial bill.
Wanasiasa ni watu wa kuwaogopa sana hawaishi vigeugeu.
Mshauri wa kwanza wa rais ni mteule wake namba moja yaani makamu wa rais......anajua ila anafikiria siasa hadi kwenye mambo ya msingi
Wakati wajaluo walikua wakiuliwa ulikua wapy
Wote wamoja sahi wana jitetea
Mmmhh iyo inaitwa ivi kaka sky acha mvua inyeshe Ili tuone panapovuja ndo iyo kaka sky...inamana hawakujuwa kwamba wanachofanya wanawaumiza wananchi?? Au walikuwa wanawajalibu Ili waone watapokeaje?? U have to be serious bwana..maisha ni magumu no ajira zakutosha watu sio waadilifu alafu unawalaumu watu wengine wakati nawengine wamehusika kuchokonoa machungu na mahasira ya wananchi watu hawana furaha za maisha kabisa...unajua siku zote alieshiba kamwe hamjui mwenye njaa..
Hawo ni wasomali na hawana roho nzuri na wakenya waodoeni ma office ni
Wewe ndio unaroho mbaya unawajulia wapi wasomali????😢😢😢
Yeye Gathagua na Ruto wote kitu moja tuu !! Yeye alikua wapi watu wanapo pigwa risasi Kenya !!!
Tamaa zao wenyewe wanatafuta wa kumtupia lawama
Wote Wanajua Kinacho Endelea
Pronounce Gashangua not Gachangua 😊kuandika ndio unaandika Gachangua
Tunatupiana lawama sasa
Mwambie rais amteuwe dada yako
Shati lake Sasa🔥🔥
Propaganda!!