🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- 🔴#Live: PROFESA JANABI AIBUA MAPYA kwa MAKONDA - AWAJIBU WANAOMSEMA MITANDAONI - "HAMNIPI SHIDA"...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Asante makonda, je Hawa watu wote tunajifunza nn? Uchumi, na huduma za Afya kwenye vituo vyetu Zina mashaka! Watanzania changamoto zinakua nyingi Sana,
Mungu awalinde awape maisha marefu yenye afya tele pamoja na familia zenu Mh Makonda na Prof Janabi Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake Amina
Profesa Janabi Inshallah ni Waziri wa Baadae mchapa kazi
Mheshimiwa mkuu wa mkoa akubariki sana tena sana akupe umri mrefu.
Kweli kabisa makonda akiwa raisi wa nchi hii nchi itakuwa kama ulaya uyo ndio kiongozi wa kweli
Rc makonda kazi yako na pro janabi kweli wito wa mwenyezi mungu nawaombea maisha marefu ys kheri lnshaalah
Yani uwa namkubari Sana uyu professor nampenda Sana uwa ni muwazi na uwa maneno yake uwa yananiingia Sana mwenyezi mungu azidi kumpa maisha marefu🙏🙏🙏.
Makonda unafaa kua raisi huna mpinzani wallah
Makonda big up❤❤❤❤❤❤
TUNAENDELEA NA MAOMBI MEMA KWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA.Ndg. PAULO C. MAKONDA🇹🇿✅ kwa siku za usoni.
Naomba muheshimiwa nitoe uzowefu na elimu niliyoipata nje ya nchi kufanya kazi kama muuguzi mjuzi wa magojwa ya moyo katika community inabidi wizara ya afya ianze mchakata wa kupeleka huduma za chronic heart disease katika jamii niko tayari kusaidia my experience asante
Daa!! Hata yote ni kukua Kwa SAYANSI na TEKONOLOJIA
Professor nakupenda Sana mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu 🙏🙏🙏 uwa nikikusikiliza maneno yako ya kitabibu nakuonaga kuwa kweli unaumizwa Sana na maladhi ya watanzania.... ahsante Sana🙏🙏🙏
Hongera Rc Makonda
Nakumbuka ulipokuwa Dar ulisimamia usafi kila mwisho wa mwez
Sasa hiv ukiwa Arusha umeanzisha kitu kipya cha mtu kutibiwa bure sio kaz ndogo maana hii mbegu ya maono itaenda na kusambaa mikoa yote Akika ninakupenda maana una upendo wa kweli kwetu sis wanyonge na hasa watanzania masikin
Huyu mzee huaga haongei pumba siku zote anaongea points tu
Duu!! Hongereni Sana kwa Kuwasaidia wasiojiwez!!
Maana ya Elimu nikusmamia kwahaki nakufuata misingi iliyowekwa bila kuvunja Sheria ya Nchi
Mm
Makonda anawashinda japo elimu hana huyu ni rais ajaye makonda
Siyo kweli, jamaa ana post graduatediploma ya uongozi kutoka chuo kikuu cha Ushirika moshi
Ana elimu kubwa tu
Wewe ulie na elimu kipi umekifanya. Kuna elimu na akili
VITUO VYETU VYA AFYA VIPATIWE MADAKTARI BINGWA WENYE KUWAJIBIKA.
Sio raisi sema jamaa yupo vizuri ❤
Hongereni sana kwa mpango huu
Safi sana,nakupenda sana
Makonda ubarikiwe sn.
Dah
Moro tu waje jmn
Good Job Dr Janabi Good Job RC Makonda!
Makonda hoyeeeee